Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      lukunij's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 352
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Post Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      Mimi ni kijana ,nipo chuo kimoja hapa nchini natafuta mwanamke awe muislam,mwenye umri chini ya miaka 25,awe mfanyakazi wa serikali au awe mwanafunzi wa mwaka wa tatu ktk degree ya uwalimu, mrefu kidogo awe commitment na life mwenye sifa anicheki kwa 0656071876 usibeep.

    2. Study Abroad

    3. #2
      mandieta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 2,745
      Rep Power : 891
      Likes Received
      270
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By lukunij
      Mimi ni kijana ,nipo chuo kimoja hapa nchini natafuta mwanamke awe muislam,mwenye umri chini ya miaka 25,awe mfanyakazi wa serikali au awe mwanafunzi wa mwaka wa tatu ktk degree ya uwalimu, mrefu kidogo awe commitment na life mwenye sifa anicheki kwa 0656071876 usibeep.
      Mtengeneze mwenyewe!!!!!

    4. #3
      Prince Hope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Posts : 395
      Rep Power : 423
      Likes Received
      68
      Likes Given
      24

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      Maelezo yako hayajitoshelezi. sidhani kama upo serious hata kidogo. Sell your cv first, it will be easy for them to judge whether you are the perfect match.
      Last edited by Prince Hope; 18th August 2012 at 12:53.

    5. #4
      lukunij's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 352
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      Quote By Prince Hope
      Maelezo yako hayajitoshelezi. sidhani kama upo serious hata kidogo. Sell your cv first, it will be easy for them to judge whether you are the perfect match.
      kama unazo hizo sifa,nitafute cv yangu haitoshi kuweka hapo so utaipata ukinitafuta

    6. #5
      Chimbuvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 2,942
      Rep Power : 9110
      Likes Received
      1471
      Likes Given
      930

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      Hahahaha haya mapenzi ni kitu gani,unaoa degree au unaoa mke mwema,,,kila la kheri mabinti jamani akili kumkichwa.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,448
      Rep Power : 19777
      Likes Received
      4284
      Likes Given
      1187

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      Jiuze ununuliwe,sio ununuliwe kwa sifa za mwingine

    9. #7
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,885
      Rep Power : 5055
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      2627

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      Hongera kaka!

    10. #8
      Buntungwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 78
      Rep Power : 449
      Likes Received
      7
      Likes Given
      4

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      mkuu ndoa ya kweli aichagui mfanyakazi au mama wa nyumbani unakwepa majukum eeeeeeeeh?anaweza akawa si mwalim wala mfanyakazi wa serikali ila mambo yake mazuri tu vijana kazi kwenu

    11. #9
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,521
      Rep Power : 6985
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      577

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      ishh!ni kweli mahusiano ya mapenzi yanaanzia popote pale hata hapa waweza kumpata mwenza, na wengi tu wamefanikiwa kupata waume bora na wake bora kupitia jf. Tatizo ni kwamba kwa nini uweke masharti ambayo sio ya lazima kwenye kutafuta mpenzi hadi mtakapojaaliwa kufunga ndoa?
      KWENYE MAPENZI HAKUNA VITU VIFUATAVYO:
      1.Dini
      2.kabila
      3. ukoo
      4. mali
      5. ufukara
      6. dhehebu
      7. mrefu,mfupi, mnene, mwembamba,mbaya, mzuri,mchafu na nk
      na ndio maana waswahili wakasema kwamba mapenzi hayana macho.JIPANGE UPYA
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    12. #10
      valid statement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2011
      Posts : 2,549
      Rep Power : 897
      Likes Received
      419
      Likes Given
      0

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      ukimpata usisite kuja kutupa mrejesho nyuma hapa hapa jamvini

    13. #11
      Idimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2007
      Location : Ikwiriri
      Posts : 4,649
      Rep Power : 13619
      Likes Received
      835
      Likes Given
      318

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      Duh. Huyu mtafutaji ni kiboko.
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man!
      [email protected]

    14. #12
      nipeukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 318
      Rep Power : 407
      Likes Received
      117
      Likes Given
      80

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      ....kijana ur choreography is sooo 70's...
      utakapomuona tu utajua,na usishangae sifa hizo zikawa hazipo
      to be a professional liar one needs a great deal of memory,since u don't have that just take the easy way out......TELL THE TRUTH

    15. #13
      mkiva's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2012
      Posts : 912
      Rep Power : 551
      Likes Received
      254
      Likes Given
      1

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      huyu si mtafutaji anawadanganya.au hajui anachokitafuta.anafikiri ndoa nijambo lakujaribu kama vile wengi wanavyojaribu mapenzi kwakua na wapenzi wapia kila siku.

    16. #14
      lukunij's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 352
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      Quote By mkiva
      huyu si mtafutaji anawadanganya.au hajui anachokitafuta.anafikiri ndoa nijambo lakujaribu kama vile wengi wanavyojaribu mapenzi kwakua na wapenzi wapia kila siku.
      niko serious kaka, nikimpata nitawapa info

    17. #15
      lukunij's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 352
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      wana jf nikwamba sijampa mwenye sifa mpaka sasa so ngoja siku zikizidi 3 nitaangaria vigezo nipunguze ni re-advertise tena

    18. #16
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,066
      Rep Power : 6537
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: Natafuta mchumba wa kufunga naye ndoa

      Quote By lukunij
      niko serious kaka, nikimpata nitawapa info
      Uncle hauko serious, ungeweka CV yako kwanza maana itasave time ya kueliminate wale wanaoona hawaendani na CV yako
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    19. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...