Jamani waungwana habari
mwenzenu nimefunguka sasa natafuta yule aliyetayari kuwa mwaminifu na mchapakazi makini anitwangie hapa nami niko
tayari kukomunicate naye asijali tutakuwa pamoja kama atakubali kupima vvu
ila najua mke/mme mwema anatoka kwa Mungu basi asisite kuomba anipate

Reply With Quote


Follow Us Here