Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Awe mwaminifu

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,786
      Rep Power : 1839
      Likes Received
      1000
      Likes Given
      1073

      Default Awe mwaminifu

      Jamani waungwana habari

      mwenzenu nimefunguka sasa natafuta yule aliyetayari kuwa mwaminifu na mchapakazi makini anitwangie hapa nami niko
      tayari kukomunicate naye asijali tutakuwa pamoja kama atakubali kupima vvu
      ila najua mke/mme mwema anatoka kwa Mungu basi asisite kuomba anipate
      Kuseq, Excellent, SYENDEKE and 1 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      smartdavid79's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Awe mwaminifu

      Hello, naomba tuwasiliane kwenye 0766 548 590 tafadhari!!

    4. KUN
      #3
      KUN's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 227
      Rep Power : 429
      Likes Received
      32
      Likes Given
      168

      Default Re: Awe mwaminifu

      Quote By ladyfurahia
      Jamani waungwana habari

      mwenzenu nimefunguka sasa natafuta yule aliyetayari kuwa mwaminifu na mchapakazi makini anitwangie hapa nami niko
      tayari kukomunicate naye asijali tutakuwa pamoja kama atakubali kupima vvu
      ila najua mke/mme mwema anatoka kwa Mungu basi asisite kuomba anipate
      we uko tyr?

    5. #4
      luku_77's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 177
      Rep Power : 382
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

    6. #5
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 429
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Re: Awe mwaminifu

      ebu tililika zaidi na uweze jipambanua
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    7. Miaka 50

    8. #6
      M'Jr's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th July 2011
      Location : Still cracking....................
      Posts : 2,843
      Rep Power : 3152
      Likes Received
      807
      Likes Given
      653

      Default Re: Awe mwaminifu

      Quote By ladyfurahia
      Jamani waungwana habari

      mwenzenu nimefunguka sasa natafuta yule aliyetayari kuwa mwaminifu na mchapakazi makini anitwangie hapa nami niko
      tayari kukomunicate naye asijali tutakuwa pamoja kama atakubali kupima vvu
      ila najua mke/mme mwema anatoka kwa Mungu basi asisite kuomba anipate
      Mi nimeomba na nimeambiwa ni wewe......Lol!
      ladyfurahia likes this.
      A hen is only an egg's way of making another egg

    9. #7
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,786
      Rep Power : 1839
      Likes Received
      1000
      Likes Given
      1073

      Default Re: Awe mwaminifu

      Quote By SYENDEKE
      ebu tililika zaidi na uweze jipambanua
      kama kweli umeomba na umeambiwa ni mimi M Jr. basi usisite kunitwangia katika room yangu si unaijua my bro
      nitafute hapo utanipata kwani wewe ni mtoto wa osama maana naona unafanana naye
      good day
      SYENDEKE likes this.

    10. #8
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,786
      Rep Power : 1839
      Likes Received
      1000
      Likes Given
      1073

      Default Re: Awe mwaminifu

      mbona sijakuelewa syendeke ndugu yangu

    11. #9
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,786
      Rep Power : 1839
      Likes Received
      1000
      Likes Given
      1073

      Default Re: Awe mwaminifu

      Quote By M'Jr
      Mi nimeomba na nimeambiwa ni wewe......Lol!
      Kama kweli umeomba ukaambiwa kuwa ndimi M Jr basi usisite kunitwangia katika room yangu unakaribishwa zaidi
      sasa wewe unatoka mkoa wa musoma mbona mwenzio siwezi mabavu sasa itakuwaje maana uko tunasikia katika vyombo vya habari mmhm!!!! nashindwa kusema hapo ..................???
      oky ingia tu katika hiyo room nitajua namna ya kufanya
      good day
      richardm likes this.

    12. #10
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,786
      Rep Power : 1839
      Likes Received
      1000
      Likes Given
      1073

      Default Re: Awe mwaminifu

      Smartdavid nashukuru kwa kunitumia namba yako ya simu lakini mtandao huo sina nina mtandao wa tigo,
      je waonaje ukanitumia email ili iwe rahisi kwanza kukufahamu hata jinalo halisi ingia private message ili uweze kunitumia jinalo na email yako nitafurahi zaidi. Je uko tayari kupima vvu? ingia private message tuwasiliane huko itakuwa vyema
      siku njema
      Excellent likes this.

    13. #11
      M'Jr's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th July 2011
      Location : Still cracking....................
      Posts : 2,843
      Rep Power : 3152
      Likes Received
      807
      Likes Given
      653

      Default Re: Awe mwaminifu

      Quote By ladyfurahia
      Kama kweli umeomba ukaambiwa kuwa ndimi M Jr basi usisite kunitwangia katika room yangu unakaribishwa zaidi
      sasa wewe unatoka mkoa wa musoma mbona mwenzio siwezi mabavu sasa itakuwaje maana uko tunasikia katika vyombo vya habari mmhm!!!! nashindwa kusema hapo ..................???
      oky ingia tu katika hiyo room nitajua namna ya kufanya
      good day
      Kha sa kwani huko somalia wanakopigana ina maana wote ni askari jamani!
      A hen is only an egg's way of making another egg

    14. #12
      omary2222's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 352
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Awe mwaminifu

      awe ana miaka mingapi niambie

    15. #13
      babe S's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Posts : 700
      Rep Power : 516
      Likes Received
      180
      Likes Given
      160

      Default Re: Awe mwaminifu

      Ah sijui ni hisia zangu au perception, kwa ninavosoma posts za ladyfuraha ni kama hayuko serious au anapenda utani, au labda ni swaga tu! ni mtazamo tu
      Kuseq and Excellent like this.
      We never really grow up, we only learn to act in public.

    16. #14
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,786
      Rep Power : 1839
      Likes Received
      1000
      Likes Given
      1073

      Default Re: Awe mwaminifu

      Hapana simaanishi kuwa mnatwangana sana ila nyie wanaume mna mabavu kwa wanawake nami sijazoea hiyo kitu kwakweli ntashindwa mieeeeeeee mwenzio

    17. #15
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,786
      Rep Power : 1839
      Likes Received
      1000
      Likes Given
      1073

      Default Re: Awe mwaminifu

      Hapana babe S mimi niko serious na jambo hili labda wewe unaona kuwa napenda utani sio mtu wa hivyo mwenzio anahitaji kweli kweli kabisa nitafutie hata kaka yako kama yuko single.
      mathematics likes this.

    18. #16
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 429
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Re: Awe mwaminifu

      Quote By ladyfurahia
      mbona sijakuelewa syendeke ndugu yangu
      nikiwa na maana funguka zaidi nakuona uko general sana kiasi kwamba wanaume wengi hapa wanakuona hauko serious kivile ni kama unawapima akili vile kiukweli kuna wanaume walio serious wanatafuta watu wakuwa nao sasa anapo kutana na bandiko ambalo halimvutii inakuwa ngumu sana kufanya uamzi na inavyo katisha tamaa zaidi unakuta m2 umemtumia pm then unakuta yuko kimya even if amepata inatakiwa kurespond positive ili m2 mwingine anavyotokea kuweka bandiko lake asitumie last post zilizo kuwa zakihuni kuona hata wengine ni wababaishaji but much respect
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    19. #17
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 429
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Re: Awe mwaminifu

      Quote By babe S
      Ah sijui ni hisia zangu au perception, kwa ninavosoma posts za ladyfuraha ni kama hayuko serious au anapenda utani, au labda ni swaga tu! ni mtazamo tu
      ndo maana hata mimi nimemwambia sioni kama yuko serious kwa jjinsi bandiko lilivyo nashukuru na wewe kuweza kuona hilo lakini nimtazamo2
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    20. #18
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,786
      Rep Power : 1839
      Likes Received
      1000
      Likes Given
      1073

      Default Re: Awe mwaminifu

      Samahani syendeke na dada Babe S naona mjanielewa kabisa mwenzenu niko serious lakini bado sijamjua yupi ni wa lweli na yupi ni mbabaishaji tu ndomana nashindwa kutofautisha mwenzenu nisaidieni kama kweli yupo wa kweli niko
      tayari hata ndugu zenu kama wapo tayari kupima vvu
      siku njema

    21. #19
      papag's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Posts : 228
      Rep Power : 545
      Likes Received
      31
      Likes Given
      93

      Default Re: Awe mwaminifu

      tupe wasifu wako au ukipenda tupm
      I don’t know what the key to success is, but the key to failure is trying to please everyone.
      - Bill Cosby

    22. #20
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,786
      Rep Power : 1839
      Likes Received
      1000
      Likes Given
      1073

      Default Re: Awe mwaminifu

      Jamani nimechoka na hizo sms zenu sasa nafunguka kuwa tayari ninaye ondoeni shaka
      nawatakia kila la kheri nanyi Mungu awape kama mimi alivyonipatia
      usiku mwema

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...