Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sweetie niPM tukale bata

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 55
    1. #1
      TajiriMutoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : Kaunta ya juu
      Posts : 85
      Rep Power : 365
      Likes Received
      35
      Likes Given
      48

      Default Sweetie niPM tukale bata

      Mtaani wananiita mzee wa Bata a.k.a Tajiri Mutoto, yani huwa nakulaga bata mpaka kuku anaona wivu ahahah,
      wanajamvi, mi ni mtu wa jokes jokes na kula good tym, ila kuna upweke huwa unajitokeza nikiwa nakula bata.

      Sasa nimeonelea leo niipost hapa jamvini, tushirikiane kwenye hili. Ngoja nifupishe maelezo, nisikuchoshe na ww usinichoshe.

      Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26, kielimu nina Master level, niko serikali nakula hela moja ndefu tu kila mwezi. maendeleo nafanya, kuna mjengo wangu nauendeleza kidogo kidogo, msije fikiri nala bata bila maendeleo.

      Kwasasa natafuta mdada/mshangazi wa kuwa nakula nae bata, vigezo:

      • Asiwe kicheche.
      • Awe anakunywa pombe, ila sio mlevi.
      • Asiwe anavuta sigara.
      • Awe na sura nzuri
      • Wenye umri mkubwa watapewa vipaumbele zaidi
      • Awe na muda wa kula gudtym, asiwe mtu wa kufanya kazi weekend
      • Wanene watapewa vipaumbele zaidi



      Nawakilisha, niPM wewe mdada tule bata!
      Last edited by TajiriMutoto; 20th June 2012 at 17:23.
      Liwalo na liwe

    2. Miaka 50

    3. #2
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      huyo ndio tajiri mutoto vigezo na masharti kuzingatiwa lol!
      TajiriMutoto likes this.
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    4. #3
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,066
      Rep Power : 6536
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Duuh hivyo vigezo vyaonyesha unataka kulelewa. Unapenda kula bata on others account!
      Tuko and TajiriMutoto like this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    5. #4
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 18,931
      Rep Power : 9474
      Likes Received
      3052
      Likes Given
      1192

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Nenda kale mingo kwenye makanisa ya kilokole ujichagulie
      TajiriMutoto likes this.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    6. awp
      #5
      awp's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Location : Around the Corner
      Posts : 911
      Rep Power : 532
      Likes Received
      269
      Likes Given
      998

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      haya makubwa, usipende wazee utazeeshwa
      TajiriMutoto likes this.
      "Look Deep into Nature and then you will Understand Everything Better" - ALBERT Einstein

    7. Study Abroad

    8. #6
      jamiif's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 956
      Rep Power : 546
      Likes Received
      242
      Likes Given
      511

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      mh! hebu ngoja nione wachangiaji leo...
      TajiriMutoto likes this.

    9. #7
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,112
      Rep Power : 28887
      Likes Received
      11616
      Likes Given
      4783

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Marioo! Awe na hela za nini sasa wakati ww unazo zinazokuzidia?
      MadameX, Tuko and TajiriMutoto like this.

    10. #8
      jobseeker's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 63
      Rep Power : 377
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Mimi kiswahili hapa kimenishinda, maana toka nione na kusikia ule wimbo albata, basi nilikuwa nafikiria kuwa kwa kiswahili cha mitaani watu wanaposema BATA wanamaanisha mwanamke hususan mwanamke mwenye makalio makubwa. lakini sasa naona watu wanatumia neno hili vinginevyo na nashindwa kuelewa hususan pale mwanamke anapotumia neno hili ilhali unajua kuwa hakusudii bata mnyama.
      Nielimisheni wenzangu, kwa lugha za kisasa vijana wanaposema bata au albata wanakusudia nini hasa?
      TajiriMutoto likes this.

    11. #9
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,066
      Rep Power : 6536
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      jobseeker, kula bata ni kula raha!
      TajiriMutoto likes this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    12. #10
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,066
      Rep Power : 6536
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Quote By King'asti
      Marioo! Awe na hela za nini sasa wakati ww unazo zinazokuzidia?
      Na hili la mario chanzo chake nini ....
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    13. #11
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3140
      Likes Given
      4053

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      nenda jolly club,maisha club,new afrika casino.las vegas alafu utajifunza ni mwanamke gani wakuoa
      figganigga likes this.

    14. #12
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Quote By TajiriMutoto
      Mtaani wananiita mzee wa Bata a.k.a Tajiri Mutoto, yani huwa nakulaga bata mpaka kuku anaona wivu ahahah,
      wanajamvi, mi ni mtu wa jokes jokes na kula good tym, ila kuna upweke huwa unajitokeza nikiwa nakula bata.

      Sasa nimeonelea leo niipost hapa jamvini, tushirikiane kwenye hili. Ngoja nifupishe maelezo, nisikuchoshe na ww usinichoshe.

      Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26, kielimu nina Master level, niko serikali nakula hela moja ndefu tu kila mwezi. maendeleo nafanya, kuna mjengo wangu nauendeleza kidogo kidogo, msije fikiri nala bata bila maendeleo.

      Kwasasa natafuta mdada/mshangazi wa kuwa nakula nae bata, vigezo:

      • Asiwe kicheche.
      • Awe anakunywa pombe, ila sio mlevi.
      • Asiwe anavuta sigara.
      • Awe na sura nzuri
      • Wenye umri mkubwa watapewa vipaumbele zaidi
      • Awe na muda wa kula gudtym, asiwe mtu wa kufanya kazi weekend
      • Wanene watapewa vipaumbele zaidi
      • Asiwe wa mizinga



      Nawakilisha, niPM wewe mdada tule bata!
      Utakuwa unatatizo wewe, hautaki kupigwa mzinga!!!!
      TajiriMutoto likes this.

    15. awp
      #13
      awp's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Location : Around the Corner
      Posts : 911
      Rep Power : 532
      Likes Received
      269
      Likes Given
      998

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Nivea, umeongea hayo maeneo atapata majibu
      "Look Deep into Nature and then you will Understand Everything Better" - ALBERT Einstein

    16. #14
      TajiriMutoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : Kaunta ya juu
      Posts : 85
      Rep Power : 365
      Likes Received
      35
      Likes Given
      48

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Quote By Chauro
      huyo ndio tajiri mutoto vigezo na masharti kuzingatiwa lol!
      Ahahaha, karibu Chauro, mi ndo mzee wa Bata, nakula bata mpaka kuku anaona wivu
      Liwalo na liwe

    17. #15
      TajiriMutoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : Kaunta ya juu
      Posts : 85
      Rep Power : 365
      Likes Received
      35
      Likes Given
      48

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Quote By King'asti
      Marioo! Awe na hela za nini sasa wakati ww unazo zinazokuzidia?
      King'asti hamna sehemu kwenye maelezo nimesema awe na hela. Nimesema asiwe wa mizinga, ahahahah Bata 4Life
      Liwalo na liwe

    18. #16
      TajiriMutoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : Kaunta ya juu
      Posts : 85
      Rep Power : 365
      Likes Received
      35
      Likes Given
      48

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Quote By MadameX
      Duuh hivyo vigezo vyaonyesha unataka kulelewa. Unapenda kula bata on others account!
      Ahahaha MadameX hujanipata vizuri, hapa pesa ipo sema matumizi tu ndo tatizo
      Liwalo na liwe

    19. #17
      TajiriMutoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : Kaunta ya juu
      Posts : 85
      Rep Power : 365
      Likes Received
      35
      Likes Given
      48

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Quote By awp
      haya makubwa, usipende wazee utazeeshwa
      awp Wakubwa ndo wenyewe, ma experience maujuzi yakutosha yani fulu
      Liwalo na liwe

    20. #18
      TajiriMutoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : Kaunta ya juu
      Posts : 85
      Rep Power : 365
      Likes Received
      35
      Likes Given
      48

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Quote By Fidel80
      Nenda kale mingo kwenye makanisa ya kilokole ujichagulie
      Mkuu Fidel80, tatizo wale hawanywi pombe wataniboa
      Liwalo na liwe

    21. #19
      TajiriMutoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : Kaunta ya juu
      Posts : 85
      Rep Power : 365
      Likes Received
      35
      Likes Given
      48

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Quote By Sangarara
      Utakuwa unatatizo wewe, hautaki kupigwa mzinga!!!!
      Mkuu Sangarara, Mizinga noma inarudisha nyuma maendelea, Bata mwanzo mwisho
      Liwalo na liwe

    22. #20
      TajiriMutoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : Kaunta ya juu
      Posts : 85
      Rep Power : 365
      Likes Received
      35
      Likes Given
      48

      Default Re: Sweetie niPM tukale bata

      Quote By nivea
      nenda jolly club,maisha club,new afrika casino.las vegas alafu utajifunza ni mwanamke gani wakuoa
      We nawe nivea kwani nimesema natafuta mwanamke wa kuoa? Nimesema naafuta wa kula nae bata & nothing serious. Afu kigezo cha kwanza asiwe kicheche, hao wa jolly kwangu sumu
      Nivea likes this.
      Liwalo na liwe

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...