Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kumbe PREZZO mama yake ni MTANZANIA...

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 47 of 47
    1. #1
      leroy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 327
      Rep Power : 587
      Likes Received
      89
      Likes Given
      94

      Default Kumbe PREZZO mama yake ni MTANZANIA...

      Amedadavua hivyo leo kwenye show ya Big Brother Stargame kwa kuonesha ubunifu wake wa kisanaa.
      Kama haitoshi aliweka noti ya Elfu kumi ya kiTanzania (Msimbazi) kwenye presentation yake kutambua utaifa wa mama yake...
      A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people.

    2. Miaka 50

    3. #41
      andishile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 607
      Rep Power : 481
      Likes Received
      151
      Likes Given
      314

      Default Re: Kumbe PREZZO mama yake ni MTANZANIA...

      Pamoja na kwamba mama yake ni mtanzania,mimi kura yangu ya kubaki bba hapati!yani huyu mjamaa kwenye big brother ni mpika majungu mkubwa,kawapikia majugu wenzake wametolewa,sasa hivi zamu yake anapendekezwa kutolewa ndo anajitangazia mama yake mtanzania ili watanzania tumuonee huruma! Alisahau usemi wa"auae kwa upanga atakufa kwa upanga"

    4. #42
      Been There's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Posts : 21
      Rep Power : 383
      Likes Received
      1
      Likes Given
      5

      Default Re: Kumbe PREZZO mama yake ni MTANZANIA...

      Kwa hiyo? whats so special about him kuwa na mama mtanzania??? Post vitu vya maana humu jamvini,kama una undugu naye ni huko huko nje sisi haituhusu.....

    5. #43
      Idimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2007
      Location : Ikwiriri
      Posts : 4,689
      Rep Power : 13627
      Likes Received
      855
      Likes Given
      324

      Default Re: Kumbe PREZZO mama yake ni MTANZANIA...

      Kuna picha yake moja ktk Facebook kavaa T shirt yenye picha ya Nyerere (Mapenzi kwa Tz?), huenda ni kweli mama yake ni mbongo
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man!
      [email protected]

    6. ram
      #44
      ram's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 1,920
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      709
      Likes Given
      363

      Default Re: Kumbe PREZZO mama yake ni MTANZANIA...

      Mwanza, Bugarika kweli ni kwa wakurya, yawezekana ikawa kweli

    7. #45
      janjez's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: Kumbe PREZZO mama yake ni MTANZANIA...

      waTZ wanamkana mwanao..., as EA WE NEED PEACE LOVE AND UNITY JUST AS BOB MARLEY SANG

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      Mbilindolas's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 15th August 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 342
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Kumbe PREZZO mama yake ni MTANZANIA...

      Teh teh uyu ni mkenya c mtanzania

    10. #47
      Kilembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 960
      Rep Power : 689
      Likes Received
      116
      Likes Given
      145

      Default Re: Kumbe PREZZO mama yake ni MTANZANIA...

      Ni kweli alishawahi sema hivyo hata kabla ya kwenda big brother kuwa mama yake ni Mtanzania na anaishi maeneo ya Bugando, Mwanza!

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...