Amedadavua hivyo leo kwenye show ya Big Brother Stargame kwa kuonesha ubunifu wake wa kisanaa.
Kama haitoshi aliweka noti ya Elfu kumi ya kiTanzania (Msimbazi) kwenye presentation yake kutambua utaifa wa mama yake...
Amedadavua hivyo leo kwenye show ya Big Brother Stargame kwa kuonesha ubunifu wake wa kisanaa.
Kama haitoshi aliweka noti ya Elfu kumi ya kiTanzania (Msimbazi) kwenye presentation yake kutambua utaifa wa mama yake...
A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people.
Poti huyo
Anajua Tz mko kama 45mil ivi so akipata apo ata 5mil votes si haba!
Ila kwa sasa watz life ikoo tight sijui kama atafanikiwa kupata votes
WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.
Na ndiyo maana anataka kuondoka BBA maana anaona UVIVU wa KITANZANIA. Maana watanzania ni wavivu sana na hawataki shida.
Just because presidents screws around, it doesn't make a president for screwing around..
Ana mpango wa kugombea ubunge hapa tz nini?
Together in Poverty Apart in Riches
Kweli mama yake ni Mtanzania wa Mwanza sehemu moja itaitwa bugarika.
Kasungura omera itimang'o..kama nakufahamu vile
"Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"
Kumbe ndo Maana ana Swagger Za ukweli.
East African community
Jamani hii si mara ya kwanza kwa Prezzo kusema kuwa anaasili ya Tanzania, kutokana na mama yake kuwa Mtanzania hivyo kudai kuwa anatafuta kura zetu ni hisia muflisi.....tatizo hamfuatilia hii industry ya muziki wa kizazi kipya katika nchi zetu za Afrika Mashariki.
An Eye for an Eye Makes the whole World Blind
me nameless ndugu yangu jamani
Follow Us Here