This is undoubtedly the height of desparation. Why is a mod changing the contents of my mosts?! This is indeed shameful for you to change my posts!
This is undoubtedly the height of desparation. Why is a mod changing the contents of my mosts?! This is indeed shameful for you to change my posts!
Last edited by Mwembetayari; 5th July 2012 at 18:29.
You talk, Kenyans Act!
Kenya wameona mbali, hawataki kitu chochote kiingilie kasi ya maendeleo yao. Tanzania tumejiingiza kwenye vita ya wakubwa tusubiri kukiona cha moto. Hutuna ubavu wa kupambana na US na Europian Union. Amini usiamini tutaumia tu. Siandiki kishabiki lakini ndiyo hali halisi. Kwanza huko serikali yetu inashinda kukopa.
nadhani sababu kuu kenya kugeuza msimamo ni kwa ajili ya mipango ya kigaidi ya iran kutaka kulipua mabomu 30 nchini
Follow Us Here