Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

    Report Post
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345
    Results 81 to 94 of 94
    1. Nzi
      #1
      Nzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Location : 740 Park Avenue
      Posts : 3,316
      Rep Power : 21623
      Likes Received
      924
      Likes Given
      822

      Default Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

      Kundi la Mombasa linalotaka kujitenga na kuwa nchi kamili.
      Tayari kundi lina rais na baraza la mawaziri ambao wapo tayari kuendesha hiyo "nchi" yao. Kundi hili limekuwa na ajenda ya kujitenga na kutengeneza jamhuri ya Mombasa toka mwaka 1999!
      Wanadai wamekuwa chini ya utawala wa Kenya,utawala ambao umewasahau na hauwatendei haki.

      Baadhi ya viongozi wa dini zote, wakristo na waislamu huko Mombasa wanaonekana kuliunga mkono kundi hilo. Ingawa serikali ya Kenya imeliita kundi hilo ni haramu,tena ni la kuogopwa zaidi ya Al-Shaabab.

      Nasikia harufu ya udini mkali sana hapa. Kwani walio kwenye harakati hizi wengi ni waislamu. Na sasa hali imekuwa mbaya kwa kundi hili kuonekana kuwa TISHIO zaidi ya Al-Shaabab!
      Mh! Yangu macho.
      Source: Citizen-Nipashe.

    2. Miaka 50

    3. #81
      livefire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 852
      Rep Power : 552
      Likes Received
      369
      Likes Given
      79

      Default Re: Rais Kibaki asema serikali yaKenya haitajitenga na jimbo la Pwani

      parliament supported the president too. I dont care what happens in zanzibar but its worth noting no uprising succeeds where the Kenyan elite has been deployed, dont think MRC will be any different.

    4. #82
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,834
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      210

      Default Re: Rais Kibaki asema serikali yaKenya haitajitenga na jimbo la Pwani

      Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiirrrrrrrrrrrrr rrrrrrrr
      Kabaridi likes this.
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    5. #83
      livefire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 852
      Rep Power : 552
      Likes Received
      369
      Likes Given
      79

      Default Re: Rais Kibaki asema serikali yaKenya haitajitenga na jimbo la Pwani

      nyi si mwongee kiswahili, ama mwataka kujilipua...takbiiir ndo nini?

    6. #84
      Edward Teller's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Area 51
      Posts : 3,431
      Rep Power : 1120
      Likes Received
      570
      Likes Given
      612

      Default Re: Rais Kibaki asema serikali yaKenya haitajitenga na jimbo la Pwani

      ukishakuwa na culture za kiarabu..ni zaid ya utumwa kwenye maisha yako
      hawa watu wa pwani watakuwa na matatzo ya akili
      Mwembetayari likes this.
      “Talk slowly but think quickly”

    7. #85
      Kabaridi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Location : Laikipia
      Posts : 1,760
      Rep Power : 701
      Likes Received
      462
      Likes Given
      592

      Default Re: Rais Kibaki asema serikali yaKenya haitajitenga na jimbo la Pwani

      Quote By Mbimbinho
      Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiirrrrrrrrrrrrr rrrrrrrr
      Pole Sana, ninyi ndo akina
      Laisha laisha lakra !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!Lol!
      Mwembetayari likes this.


    8. FemaTV & Radio

    9. #86
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,848
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      509
      Likes Given
      0

      Default Re: Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

      Mijikenda,waswahili,wadigo are caught between a rock and hard place. Absentee landlords on onehand and land grabbers on the other hand.

    10. #87
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1387
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default Re: Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

      Quote By Nzi
      Kundi la Mombasa linalotaka kujitenga na kuwa nchi kamili.
      Tayari kundi lina rais na baraza la mawaziri ambao wapo tayari kuendesha hiyo "nchi" yao. Kundi hili limekuwa na ajenda ya kujitenga na kutengeneza jamhuri ya Mombasa toka mwaka 1999!
      Wanadai wamekuwa chini ya utawala wa Kenya,utawala ambao umewasahau na hauwatendei haki.

      Baadhi ya viongozi wa dini zote, wakristo na waislamu huko Mombasa wanaonekana kuliunga mkono kundi hilo. Ingawa serikali ya Kenya imeliita kundi hilo ni haramu,tena ni la kuogopwa zaidi ya Al-Shaabab.

      Nasikia harufu ya udini mkali sana hapa. Kwani walio kwenye harakati hizi wengi ni waislamu. Na sasa hali imekuwa mbaya kwa kundi hili kuonekana kuwa TISHIO zaidi ya Al-Shaabab!
      Mh! Yangu macho.
      Source: Citizen-Nipashe.
      siku zote waislam ni watu wa kujitenga katika mambo yote, hata msahafu unaowaasa kuwaheshim na kuishi kama wanavyoishi waliopokea kitabu kabla yao wanaudharau. sishangai, kwani wao wamelelewa kuamini wanaonewa tu
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    11. #88
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,834
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      210

      Default Re: Rais Kibaki asema serikali yaKenya haitajitenga na jimbo la Pwani

      Quote By Mzalendo452
      Pole Sana, ninyi ndo akina
      Laisha laisha lakra !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!Lol!
      Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiirrrrrrrrrrrrr rrrrrrrr
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    12. #89
      Mwembetayari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 468
      Rep Power : 459
      Likes Received
      168
      Likes Given
      80

      Default Re: Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

      Mombasa is my hometown and the group you are putting on a pedestal is a small group that is concentrated around Kwale with financial backing from wealthy Arabs who think it is the 12th century.
      You talk, Kenyans Act!

    13. #90
      Mwembetayari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 468
      Rep Power : 459
      Likes Received
      168
      Likes Given
      80

      Default Re: Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

      I am from the Coast and this is a small group that is concentrated in Kwale and funded by rich Arab merchants from Mombasa. They are less than 1000 individuals and 99% of the residents of the Coast province are against this group.

      This is not the first or even the best organized secessionist movement in Kenya. Only 2 years ago a well funded and armed Sabaot Land Defence Force were brandishing their guns and rulling the forests of Mt. Elgon. Today, they have taken up farming.

      Why you may ask? GSU!

      The shiftahs met them, the SLDF and the MRC are not even worthy of the forgiveness offered by the bullets of the GSU.
      Kabaridi likes this.
      You talk, Kenyans Act!

    14. #91
      Kabaridi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Location : Laikipia
      Posts : 1,760
      Rep Power : 701
      Likes Received
      462
      Likes Given
      592

      Default Re: Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

      Quote By Mwembetayari
      I am from the Coast and this is a small group that is concentrated in Kwale and funded by rich Arab merchants from Mombasa. They are less than 1000 individuals and 99% of the residents of the Coast province are against this group.

      This is not the first or even the best organized secessionist movement in Kenya. Only 2 years ago a well funded and armed Sabaot Land Defence Force were brandishing their guns and rulling the forests of Mt. Elgon. Today, they have taken up farming.

      Why you may ask? GSU!

      The shiftahs met them, the SLDF and the MRC are not even worthy of the forgiveness offered by the bullets of the GSU.
      hehehe........you have actually reminded me of the shiftas in 68' after a period of unrest and calls for sesession, they gladly returned to nomadism. Though point to note, the SLDF was quelled by a combination of kenya police and the KAF.


    15. #92
      Kabaridi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Location : Laikipia
      Posts : 1,760
      Rep Power : 701
      Likes Received
      462
      Likes Given
      592

      Default Kwale: No Queen will come, no agreement will be fulfilled and nothing will happen!!!

      Mbunge wa Msambweni kaunti ya Kwale Omar Mbwana Zonga awambia washirika wa kundi haramu la MRC kutengua pwani ya kenya ni ndoto na wafikirie kuhusu maendeleo

      Source Attend banned group


    16. #93
      livefire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 852
      Rep Power : 552
      Likes Received
      369
      Likes Given
      79

      Default Re: Kwale: No Queen will come, no agreement will be fulfilled and nothing will happen!!!

      this is very okay....there steps are numbered
      Kabaridi likes this.

    17. #94
      Kabaridi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Location : Laikipia
      Posts : 1,760
      Rep Power : 701
      Likes Received
      462
      Likes Given
      592

      Default Re: Kwale: No Queen will come, no agreement will be fulfilled and nothing will happen!!!

      leaders have distanced themselves from proscribed group, but have urged govt to address their issues.


    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...