Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uchaguzi mkuu Kenya sasa ni Machi 2013

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 49 of 49
    1. #1
      Askari Kanzu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 3,769
      Rep Power : 4743
      Likes Received
      774
      Likes Given
      1107

      Default Uchaguzi mkuu Kenya sasa ni Machi 2013

      Kenya kuandaa uchaguzi Machi 2013

      | 13.01.2012 | 10:00 UTC

      Mahakama kuu nchini Kenya imeamuru kuwa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo utafanywa katika mwezi Machi mwaka 2013, labda tu kama serikali ya sasa ya muungano itavunjwa kabla ya wakati huo. Tarehe ya uchaguzi mkuu, wa kwanza tangu kuzuka kwa ghasia mbaya zaidi za baada ya uchaguzi miaka minne iliyopita, imeibua mjadala mkali baina ya wanasiasa hasimu wakipendekeza tarehe zinazotofautiana kutoka mwezi Agosti mwaak huu hadi Machi mwaka 2013.

      Jaji Isaac Lenaola amesema bunge litamaliza muhula wake tarehe 14 Januari mwaka 2013, na uchaguzi utafanywa katika kipindi cha siku 60 kuanzia januari 15 mwaka 2013. Hata hivyo, aliongeza kuwa uchaguzi huo unaweza kuandaliwa mwaka huu katika siku 60 baada ya serikali ya muungano kuvunjwa kupitia mwafaka wa maandishi baina ya rais na waziri mkuu.

      Deutche Welle


    2. #41
      Mphamvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Pale pale kwa JANA!
      Posts : 7,340
      Rep Power : 18686
      Likes Received
      1117
      Likes Given
      1064

      Default

      Quote By EMT View Post
      Nafikiri hii case inaweza kuweka precedent mbaya. Kwa mfano, kwenye chaguzi zijazo kitokee anything kitakachosababisha ucheleweshwaji wa MPs kuapishwa kama ilivyotokea uchaguzi uliopita. Je, in the subsequent election, wata-override tena hicho kifungu cha katiba?
      kilichotokea Kenya ni uroho wa wanasiasa.
      Waliona kuwa endapo uchaguzi ungekuwa Agosti, wangepunjwa mishahara na marupurupu ya miezi mitano mizima, imagine? Kwa mshahara wa KSh. 800k kwa miezi tano? Aloo...
      Ukweli ni kuwa ni lazima watu wasacrifise nafasi zao ili katiba mpya itekelezwe @first time, kama alivyofanya Mkurugenzi wa TAASISI YA KUPAMBANA NA RUSHWA, PLO Lumumba.
      Its African Leaders' legacy again...

    3. #42
      Kabaridi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Location : Laikipia
      Posts : 1,818
      Rep Power : 716
      Likes Received
      481
      Likes Given
      627

      Default Re: Uchaguzi mkuu Kenya sasa ni Machi 2013

      Mahakama ya kenya imewarudishia wale rais na PM mamalaka ya kuweka tarehe ya uchaguzi. Hii ni wakati ambayo katiba ya kenya inafanya kazi. na wacha tuone kama itamfaidi mkenya mwananchi

    4. #43
      kshaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 438
      Rep Power : 472
      Likes Received
      137
      Likes Given
      39

      Default Re: Uchaguzi mkuu Kenya sasa ni Machi 2013



      kenyans are now becoming sticklers for constitutionalism. One may not agree with them but this is, unreservedly, a good thing
      JamiiForums| Home of Great Xenophobes

    5. #44
      kshaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 438
      Rep Power : 472
      Likes Received
      137
      Likes Given
      39

      Default Re: Uchaguzi mkuu Kenya sasa ni Machi 2013

      as i've said before on this thread, the new constitution will take years of interpreting by the judiciary and the encouraging thing is, ordinary Kenyan wananchi are up to the task of challenging any deviation by individuals or institutions without fear. The second part of this video is interesting watching

      JamiiForums| Home of Great Xenophobes

    6. #45
      Askari Kanzu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 3,769
      Rep Power : 4743
      Likes Received
      774
      Likes Given
      1107

      Default Re: Uchaguzi mkuu Kenya sasa ni Machi 2013

      Raila adokeza anataka uchaguzi ufanyike mwaka huu!


      PM Raila Odinga has hinted that the forthcoming general election could be held later this year and not next year as suggested by the High Court.


    7. #46
      Idimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2007
      Location : Ikwiriri
      Posts : 4,825
      Rep Power : 13659
      Likes Received
      939
      Likes Given
      345

      Default Re: Uchaguzi mkuu Kenya sasa ni Machi 2013

      Quote By karachuonyo View Post
      As long as Kenya is the third world country but they tried to there best to establish new constitution and now are on practise
      Good. Having a good constitution without abiding to it is as good as not having it at all. I think we will face the same fate here in Tanzania, if we are not that careful
      Ab-Titchaz likes this.
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man!
      [email protected]

    8. #47
      Gama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 4,620
      Rep Power : 1372
      Likes Received
      435
      Likes Given
      717

      Default

      Unatekeleza matakwa ya wananchi au katiba?!
      Quote By Kisiya Jr. View Post
      wabunge wa kenya wameiruka katiba waloiapia kuilinda baada ya kutaka uchaguzi ufanyike mwezi August,badala yake uchaguzi utafanyika mwezi januari. katiba mpya ya kenya inataka uchaguzi ufanyike baada ya miaka 5 ila wananchi wanataka uchaguzi ufanyike kwa mjibua wa katiba ilowaweka madarakani.

      lpo haja ya serikali za kiafrika kuanza kutekeleza matakwa ya wananchi ili kujijengea imani kwa wapiga kura wao
      BBC....

    9. #48
      Ab-Titchaz's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 30th January 2008
      Location : Detroit,MI
      Posts : 11,665
      Rep Power : 7839
      Likes Received
      2599
      Likes Given
      2415

      Default Re: Uchaguzi mkuu Kenya sasa ni Machi 2013

      Court: Kenya's next election in March 2013




      FROM LEFT: Appellate Judges Kalpana Rawal, Erastus Githinji, Hannah Okwengu, David Maranga and Martha Koome.


      The Court of Appeal has upheld a lower court's ruling that the next Kenya General Election will be held in March 2013.

      A majority bench ruled that the March 4, 2013 date set out by Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) be "adhered to".

      Only Justice Martha Koome issued a dissenting ruling. The judge ruled that the polls should be held on or before January 15, 2013.

      Justice Koome ruled that Parliament’s life should not exceed a five-year cycle and said the House should be dissolved on November 14, 2012.

      She ruled that the High Court misinterpreted the Constitution and the two alternatives given by court were unconstitutional. The judge declared them null and void.

      However, four appellate judges ruled that Kenyans will go to the polls in March next year.

      Judges Erastus Githinji, Kalpana Rawal, Hannah Okwengu and David Maranga upheld a decision reached by the High Court in January regarding the election date.

      Justices Isaac Lenaola, David Majanja and Mumbi Ngugi ruled that the elections will be held in March, 2013 after the expiry of the current Parliament’s term unless the President and the Prime Minister agree in writing to dissolve the Coalition Government.


      Following the decision and the failure by the two principals to indicate whether they will dissolve the government, the IEBC went ahead to fix the election date on March 4, 2013.

      However, two lobby groups, the Centre for Rights Education and Awareness (CREAW) and the Caucus for Women’s Leadership appealed against the High Court ruling claiming that the judges misinterpreted the Constitution.

      Court: Kenya's next election in March 2013*- Politics*|nation.co.ke
      'Belief in myths allows the comfort of opinions without the discomfort of thought.' - JFK

    10. #49
      Kabaridi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Location : Laikipia
      Posts : 1,818
      Rep Power : 716
      Likes Received
      481
      Likes Given
      627

      Default Re: Uchaguzi mkuu Kenya sasa ni Machi 2013

      Quote By kshaka View Post
      Kwa sababu bunge hili lilianza term mnamo tarehe 13 Januari 2008, term yake inaisha 13 January 2013. Kwa hivyo ukifuatilia katiba vizuri, uchaguzi unafaa uwe baada ya hapo. Alternative inayopatikana kwa katiba ni rais avunje bunge kabla hiyo miaka mitano haijapita. Hapo ndipo uchaguzi utakapoweza fanywa mapema au, kwa sababu Kenya inatawaliwa na "coalition" kwa sasa, accord ambayo inatawala coalition hii ikivunjwa na both parties, tutaweza pata uchaguzi wa mapema.
      kshaka
      Wadau wetu watani hawaelewi mambo yalivyo katika utekelezaji katiba. Ni vema rais alivotenda kuwa uchaguzi lazima ifanyike siku sitini baada ya makundi yote ya mseto kukubaliana tarehe ya kuvunja serikali ya mseto. Wao wanadhani ni rais anahairisha tarehe ya uchaguzi! wadau hawaelewi hata coalition ikivunjwa hii leo, uchaguzi utafanywa baada ya miezi miwili. !

      Quote By Mphamvu View Post
      kilichotokea Kenya ni uroho wa wanasiasa.
      Waliona kuwa endapo uchaguzi ungekuwa Agosti, wangepunjwa mishahara na marupurupu ya miezi mitano mizima, imagine? Kwa mshahara wa KSh. 800k kwa miezi tano? Aloo...
      Ukweli ni kuwa ni lazima watu wasacrifise nafasi zao ili katiba mpya itekelezwe First time, kama alivyofanya Mkurugenzi wa TAASISI YA KUPAMBANA NA RUSHWA, PLO Lumumba.
      Its African Leaders' legacy again...
      Hii ndio tu fikra ya siasa na nyadhifa za siasa; marupurupu; entitlements yaani "chetu-changu; changu-changu" na mengine ndio yanapigwa darubini. Halfu hapo kwenye red naona PLO kapukutwa wala hacusacrifice maana ako na taaluma lakini hawakurenew contract yake; siasa hizo tu.
      Last edited by Kabaridi; 3rd August 2012 at 17:10.
      Mphamvu likes this.


    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...