Re: Mbunge aliyevaa herini afukuzwa bungeni Kenya

By
MAMMAMIA
Ingawaje ninajihesabu mtu mwenye uvumilivu na kushikamana na haki za binadamu, lakini hili kwa mtu kama yeye, mtunga sheria alipaswa kuwa kioo cha tabia nzuri kwa vijana. Pengine mawazo yangu yametokana na sipendelei kuona vijana wanavaa herini.
Huyu dogo ni mbung wa makandara ana vituko kupita kiasi na kana pesa za kumwaga juzi hapa kalitajwa kuwa youko kwenye hii group ya big narc kataika east africa wote wanmfanyia mdosi mmoja wa Msa Ali Punjani naye ni kama Rostam
This country there are too many politicians who believe,with a conviction based on experience,that you can fool all of the people all of the time.~Franklin P. Adams
Follow Us Here