Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      mpayukaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 950
      Rep Power : 921
      Likes Received
      337
      Likes Given
      1498

      Default Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama



      Kundi la kigaidi la Al-Shabaab limeanza kuishiwa hata uwezo wa kufikiri. Baada ya Marekani kutoa pesa kwa atakayefichua walipo viongozi wa kundi hili, eti nao wamejibu kwa kusema eti atakayefichua maficho ya rais wa Marekani, Barack Obama, atapewa ngamia 10 wakati wakijua fika anakoishi!

      Kama hawajui ni kwamba anaishi White House. Hivyo basi nawashauri Al Shabaab wanipe zawadi angu. Kuongeza chumvi na dharau wamesema eti atakayefichua maficho ya Hilary Clinton atapewa kuku 20. Je huku ni kuishiwa kiakili au kutafuta umaarufu?
      MziziMkavu likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,420
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      784
      Likes Given
      1796

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Sioni tatizo mkuu, Marekani wanajua hawa jamaa wako Somalia, sasa ya nini kuanza kutangaza dau wakati wanajua walipo? Si waende kuwasaka!! ndiyo maana wakajibu kwa style hiyo hiyo!
      zomba likes this.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    4. #3
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,951
      Rep Power : 753
      Likes Received
      281
      Likes Given
      146

      Default

      ni kutaka kuwadhalilisha kwa kuwafananisha na ngamia na kuku

    5. #4
      mpayukaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 950
      Rep Power : 921
      Likes Received
      337
      Likes Given
      1498

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Wa Ukenyenge Somalia ni kubwa wakati White House ni moja. Jaribu kuliona hili kwa macho yasiyo na makengeza. Hivi kuna mtu mwenye akili anaweza kumdhalilisha mwenzie anayemkimbia? Laiti wafu wengekuwa wanasema Osama angekuwa na habari nzuri kwa al Shabaab.

    6. #5
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1209
      Likes Given
      1253

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      hawa jamaa nao sidhani kama wanalolifanya wanalijua..ila kwa sababu ishu imeungana na dini..ngoja tukae kimya
      Mlangaja likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Quote By mpayukaji
      Wa Ukenyenge Somalia ni kubwa wakati White House ni moja. Jaribu kuliona hili kwa macho yasiyo na makengeza. Hivi kuna mtu mwenye akili anaweza kumdhalilisha mwenzie anayemkimbia? Laiti wafu wengekuwa wanasema Osama angekuwa na habari nzuri kwa al Shabaab.
      Hujui kuwa majeshi ya US ndio yalikimbia Somalia, sasa yamewachombeza Wakenya wakauwane wao kwa wao. Zaidi ya 5% ya Jeshi la Kenya ni Wasomali. Hawa Jamaa wanajuwa fitna kweli kweli.
      Last edited by zomba; 12th June 2012 at 08:05.
      WA-UKENYENGE likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    9. #7
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,696
      Rep Power : 11282
      Likes Received
      1479
      Likes Given
      570

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Hawa jamaa ni noma!

    10. #8
      mageuzi1992's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 1,856
      Rep Power : 834
      Likes Received
      107
      Likes Given
      67

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      duh! very fun!

    11. #9
      kwamwewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 856
      Rep Power : 5406
      Likes Received
      99
      Likes Given
      125

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Quote By zomba
      hujui kuwa majeshi ya us ndio yalikimbia somalia, sasa yamewachombeza wakenya wakauwane wao kwa wao. Zaidi ya 5% ya jeshi la kenya ni wasomali. Hawa jamaa wanajuwa fitna kweli kweli.

      ulisahau !!!!! Na wanapenda sana kitu kadogo

    12. #10
      bampami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2011
      Posts : 1,069
      Rep Power : 594
      Likes Received
      259
      Likes Given
      108

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Nao ndo akili zao.

    13. #11
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,108
      Rep Power : 3639
      Likes Received
      1300
      Likes Given
      2150

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Ngamia ana significance kubwa sana ktk imani za kiarabu. Kwao ni zaidi ya Hela, ni km vile watu wasiojua huwa wana shangaa sana kusikia mtu kauza nchi kwa ajili ya tende, kuna watu kibao tumekuwa tukishangaa kuona vyoo vya kisasa vinajaa mawe na hakuna watoto wala vichaa.....kuja kucheki kwa makini kumbe kaamia jamaa mmoja anatoka ukanda fulani, na huwa anapendelea kuvaa visuruali fulani vifupi km vile vya akina dada, huyu jamaa kwa imani yake kutumia mawe kufutia nyeti ni kawaida na wazo jema..... Em bwana iman za watu na tamaduni zao ni vichekesho.
      Edward Teller likes this.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    14. #12
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5027
      Likes Given
      5752

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      hahahahaha, jamaa wanadharau mbaya. eti ngamia 10? kuku 20 (mfumo dume!)? lahaulah wallah quatah! but there is a stronger message behind, nd I think wenye kutaka kuelewa wameelewa.
      MziziMkavu likes this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    15. #13
      Mpangamji's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Posts : 483
      Rep Power : 555
      Likes Received
      117
      Likes Given
      70

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      meseji ni kuwa wanataka waisiamu wajitoe muhanga wao watagaramia familia zao miaka kumi

    16. #14
      walter mollel's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th November 2009
      Posts : 10
      Rep Power : 486
      Likes Received
      2
      Likes Given
      4

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      kauwawa osama sembuse hivyo vijibumbavu! time will tel!

    17. #15
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,172
      Rep Power : 622
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default

      Quote By asigwa
      hawa jamaa nao sidhani kama wanalolifanya wanalijua..ila kwa sababu ishu imeungana na dini..ngoja tukae kimya
      tofautisha kati ya imani na dini mkuu!

    18. #16
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,092
      Rep Power : 5807
      Likes Received
      1025
      Likes Given
      2876

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Wameishiwa sana baada ya kuzidiwa kete ktk utekaji wa meli kujipatia fedha
      You may know me but you have no Idea who I am !

    19. #17
      Vinci's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2009
      Location : Piyaya
      Posts : 2,003
      Rep Power : 903
      Likes Received
      309
      Likes Given
      397

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      .....tena kwa dharau ya juu. kuku na ngamia...hahahaha
      Quote By WA-UKENYENGE
      Sioni tatizo mkuu, Marekani wanajua hawa jamaa wako Somalia, sasa ya nini kuanza kutangaza dau wakati wanajua walipo? Si waende kuwasaka!! ndiyo maana wakajibu kwa style hiyo hiyo!
      "If I have seen further it is by standing on the shoulders of Giants" (Newton, 1675)





    20. #18
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,618
      Rep Power : 1357
      Likes Received
      790
      Likes Given
      169

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Quote By Nicholas
      Ngamia ana significance kubwa sana ktk imani za kiarabu. Kwao ni zaidi ya Hela, ni km vile watu wasiojua huwa wana shangaa sana kusikia mtu kauza nchi kwa ajili ya tende, kuna watu kibao tumekuwa tukishangaa kuona vyoo vya kisasa vinajaa mawe na hakuna watoto wala vichaa.....kuja kucheki kwa makini kumbe kaamia jamaa mmoja anatoka ukanda fulani, na huwa anapendelea kuvaa visuruali fulani vifupi km vile vya akina dada, huyu jamaa kwa imani yake kutumia mawe kufutia nyeti ni kawaida na wazo jema..... Em bwana iman za watu na tamaduni zao ni vichekesho.
      Naona we ***** umeamua kutukana watu ! nyie mnaokunya machakani huko kwenu ndo mnaaribu vyoo, mlipokuja mjini mkaona muige utamaduni wa kuchamba na karatasi, huku mkibaki na mavi !!. mnatusumbua kuvuruga mipango miji kwa kupenda kwenu kuishi na Mbuzi na Ng'ombe. Masaki na Ng'ombe wapi na wapi !
      Last edited by Ally Kombo; 20th June 2012 at 17:14.
      " Wala wewe huwaongoi vipofu na upotovu wao. Huwasikilizishi ila wanao ziamini Aya zetu. Hao ndio Waislaam, walio nyenyekea. Q: Ar'rahman: 53.

    21. #19
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,108
      Rep Power : 3639
      Likes Received
      1300
      Likes Given
      2150

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Quote By ally kombo
      Naona we ***** umeamua kutukana watu ! nyie mnaokunya machakani huko kwenu ndo mnaaribu vyoo, mlipokuja mjini mkaona muige utamaduni wa kuchamba na karatasi, huku mkibaki na mavi !!. mnatusumbua kuvuruga mipango miji kwa kupenda kwenu kuishi na Mbuzi na Ng'ombe. Masaki na Ng'ombe wapi na wapi !
      Acha utoto wewe, kunya machakani kabila gani afrika halina ndugu wanakunya huko?zenji wenyewe wanakunya baharini na machakani karibu nusu yao. we sayansi yako umeisoma wapi?we jiwe litafanya nini karatasi halifanyi?Zaidi zaidi jiwe linaleta mikwaruzo na halina absoption properties za karatasi.pia unajua magonjwa yanayoweza patikana ktk mawe?Kwanza karatasi ni disposable ,mawe yataingiaje ktk choo cha kisasa?au wewe ndio mmojawapo ya wanaojaza mawe chooni?Je unajuwa hayo mawe yanaweza kuwa yametumika na watu wangapi wanayoyakuta kama wewe? Unashangaa kuishi na ng`ombe, mbona masai wanwashangaa wazanzibara kutnya baharini, na baadaye uchafu kurudishwa beach na mawimbi.Nani wa kumcheka mwenzie.? Kwa hiyo ukatuambia hayo maeneo yako yana sugu sana?Hongera mkubwa upo nyumba ya maendeleo na sayansi.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    22. #20
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,189
      Rep Power : 19210
      Likes Received
      8154
      Likes Given
      26620

      Default Re: Al-Shabaab watoa ngamia 10 kwa 'atakayemfichua' Obama

      Quote By mpayukaji


      Kundi la kigaidi la Al-Shabaab limeanza kuishiwa hata uwezo wa kufikiri. Baada ya Marekani kutoa pesa kwa atakayefichua walipo viongozi wa kundi hili, eti nao wamejibu kwa kusema eti atakayefichua maficho ya rais wa Marekani, Barack Obama, atapewa ngamia 10 wakati wakijua fika anakoishi!

      Kama hawajui ni kwamba anaishi White House. Hivyo basi nawashauri Al Shabaab wanipe zawadi angu. Kuongeza chumvi na dharau wamesema eti atakayefichua maficho ya Hilary Clinton atapewa kuku 20. Je huku ni kuishiwa kiakili au kutafuta umaarufu?
      Si ndio Uwezo wao kutowa Ngamia 10 na kuku 20 atakaye weza kumfichuwa Obama na Hillary Clinton ni kawaida tu wache na wao waseme wanavyotaka..... Mkuu mpayukaji
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...