Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Vatican
      Posts : 540
      Rep Power : 518
      Likes Received
      46
      Likes Given
      36

      Post As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia


    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,736
      Rep Power : 10180
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default Re: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

      As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia Wanamgambo wa as Shabab wa Somalia leo wameonya kuwa watakabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya vilivyoingia Somalia ili kuwatafuta raia wanne wa kigeni waliotekwa nyara na wanamgambo hao. Sheikh Hassan Turki kiongozi wa ngazi za juu wa as Shabab sambamba na kuahidi kuwa watavirejesha nyuma vikosi vya Kenya, amewataka wapiganaji wote wa kundi hilo na wananchi wa Somalia kuilinda nchi yao dhidi ya askari wa Kenya aliowaita kuwa ni vikosi vya adui. Askari wa jeshi la Kenya jana waliingia kilometa 100 kaskazini mwa nchi jirani ya Somalia kwa lengo la kupambana na wapiganaji wa as Shabab ambao hivi karibuni walishambulia maeneo ya mpakani mwa Kenya na kuwateka nyara raia wa kigeni.
      Maafisa wa Kenya wanasema kwamba hatua hiyo imechukuliwa kwa lengo la kulinda ardhi na mipaka yake pamoja na kuimarisha usalama.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    4. #3
      mdau wetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Vatican
      Posts : 540
      Rep Power : 518
      Likes Received
      46
      Likes Given
      36

      Default Re: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

      kibaru hicho, mfupa ulioishinda serikali ya mpito ya Somalia na vikosi vya kusimamia amani vya Umoja wa Afrika utaweza kuliwa na majeshi ya Kenya

    5. #4
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,736
      Rep Power : 10180
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default Re: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

      Turn back?
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    6. #5
      mdau wetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Vatican
      Posts : 540
      Rep Power : 518
      Likes Received
      46
      Likes Given
      36

      Default Re: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

      kama wana ubavu si wangeenda kupigania kisiwa cha MIGINGO

    7. Miaka 50

    8. #6
      mseseve's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2011
      Posts : 274
      Rep Power : 466
      Likes Received
      24
      Likes Given
      10

      Default Re: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

      ewe shujaa uliyemngoa nduli tia mguu pale kama unaweza

    9. #7
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,012
      Rep Power : 582
      Likes Received
      124
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By mseseve
      ewe shujaa uliyemngoa nduli tia mguu pale kama unaweza
      ha ha ha ha kazi ni rahisi pale

    10. #8
      Kabaridi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Location : Laikipia
      Posts : 1,768
      Rep Power : 702
      Likes Received
      462
      Likes Given
      598

      Default Re: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

      Alshababu kwa sasa, is becoming a virtual militia! wanapigana vita vya lelemama kwenye twitter account yao.


    11. #9
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 1,956
      Rep Power : 923
      Likes Received
      718
      Likes Given
      1475

      Default Re: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

      Quote By Kabaridi
      Alshababu kwa sasa, is becoming a virtual militia! wanapigana vita vya lelemama kwenye twitter account yao.
      Mkuu haya mambo ni kumuomba Mungu awape Al Shabaab akili za kufikili kwamba kuwahua/kujeruhi watu/raia wasio na hatia ni dhambi. Ogopa sana kupigana na militia/guerrilla wasio vaa uniform - HIT and RUN tactics ni ngumu sana kuzi-contain, cha muhimu na raia wa Kenya kushikamana kwa kusahau tofauti zenu; mkifanikisha hilo Al Shabaab watapata wakati mgumu kutimiza malengo yao, mkijisahau na kuanza kuwaita kwamba ni Virtual Militia hilo linaweza kuwa-cost an arm and leg msidhalau chochote - any lead however crude may save your lives. Mimi ndio ushauri wangu.

    12. #10
      Kabaridi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Location : Laikipia
      Posts : 1,768
      Rep Power : 702
      Likes Received
      462
      Likes Given
      598

      Default Re: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

      Quote By Bukyanagandi
      Mkuu haya mambo ni kumuomba Mungu awape Al Shabaab akili za kufikili kwamba kuwahua/kujeruhi watu/raia wasio na hatia ni dhambi. Ogopa sana kupigana na militia/guerrilla wasio vaa uniform - HIT and RUN tactics ni ngumu sana kuzi-contain, cha muhimu na raia wa Kenya kushikamana kwa kusahau tofauti zenu; mkifanikisha hilo Al Shabaab watapata wakati mgumu kutimiza malengo yao, mkijisahau na kuanza kuwaita kwamba ni Virtual Militia hilo linaweza kuwa-cost an arm and leg msidhalau chochote - any lead however crude may save your lives. Mimi ndio ushauri wangu.
      Najua haya lakini tukitizama nia ya wanaoleta makala kama hii, hakuna uchangunuzi wanakusudia kufanya, na hata ukiangalia mtiririko wa posts vile zinavowekwa ndio utakuta hayana maana kumbe. Ni ligi tu inayobuniwa na wasioelewa kiini cha ugaidi na madhara yake AM. Nasikitika kuwa jukwaa la kenya limekuwa dumpsite. Ashante kwa ushauri wako mzuri, lakini naonelea tuchukue a pragmatic approach na hekima zote tulizopewa na mwenyezi Mungu kumaliza ugaidi. Hakuna kushindwa mpaka dhamira yako itakapolegea na kukubali kushindwa.

      Swala la Somalia/Ugaidi isiwe tu ni kitu ambacho kitawekewa hema kwa muda mrefu bila suluhu ya kuleta amani ya kudumu. Tazama matatizo yote iliyokuwa sehemu za Namibia na na sasa kuna ustawi na maendeleo. Ilichukua shughuli ya mataifa mengine Africa na wakati huu wana amani, siyo kusema mataifa husika yalimsahau Mungu wakati huo.


    13. #11
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

      Kumbe bado wapo? Kutishia hakusaidii waamue kwenda kulima tu wajue moja. Vita haina msaada
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    14. #12
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 1,956
      Rep Power : 923
      Likes Received
      718
      Likes Given
      1475

      Default Re: As Shabab watishia kukabiliana vilivyo na vikosi vya Kenya huko Somalia

      Quote By Kabaridi
      Najua haya lakini tukitizama nia ya wanaoleta makala kama hii, hakuna uchangunuzi wanakusudia kufanya, na hata ukiangalia mtiririko wa posts vile zinavowekwa ndio utakuta hayana maana kumbe. Ni ligi tu inayobuniwa na wasioelewa kiini cha ugaidi na madhara yake AM. Nasikitika kuwa jukwaa la kenya limekuwa dumpsite. Ashante kwa ushauri wako mzuri, lakini naonelea tuchukue a pragmatic approach na hekima zote tulizopewa na mwenyezi Mungu kumaliza ugaidi. Hakuna kushindwa mpaka dhamira yako itakapolegea na kukubali kushindwa.

      Swala la Somalia/Ugaidi isiwe tu ni kitu ambacho kitawekewa hema kwa muda mrefu bila suluhu ya kuleta amani ya kudumu. Tazama matatizo yote iliyokuwa sehemu za Namibia na na sasa kuna ustawi na maendeleo. Ilichukua shughuli ya mataifa mengine Africa na wakati huu wana amani, siyo kusema mataifa husika yalimsahau Mungu wakati huo.
      Well said - MKUU.

    Similar Topics

    1. Kenya yaomba msaada wa Israel kukabiliana na al Shabaab
      By Jason bourne in forum Kenyan Politics
      Replies: 4
      Last Post: 15th November 2011, 07:51
    2. Al Shabab kushambulia Kenya!
      By Cha Moto in forum Kenyan News
      Replies: 15
      Last Post: 19th October 2011, 12:19
    3. Replies: 0
      Last Post: 1st August 2011, 20:48
    4. Al-Shabab watishia kuishambulia Kenya
      By EMT in forum Kenyan Politics
      Replies: 1
      Last Post: 22nd April 2011, 21:27

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...