Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi tunahitaji Katiba Mpya au Mjadala juu ya Katiba Mpya?

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      ChiefmTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2008
      Posts : 1,478
      Rep Power : 862
      Likes Received
      109
      Likes Given
      36

      Default Hivi tunahitaji Katiba Mpya au Mjadala juu ya Katiba Mpya?

      Wana jf, hivi kwa sasa tunahitaji Katiba mpya kwanza au tunahitaji kufanyika kwa mijadala rasmi juu ya Katiba mpya. Nimeulilza hivi kwa sababu kuna watu wanataka tudai Katiba Mpya bila ya kujali kuwa hakujawahi kuwepo kwa mjadala rasmi juu ya Katiba mpya. Tusipoiona haja ya kufanyika kwa mijadala rasmi juu ya Katiba, watatokea wajanja ambao watapeleka Mswada Bungeni wa kutaka Katiba mpya na ukakubaliwa na ikaundwa Katiba nyingine hata kama ni kwa jina tu. Lakini tukidai mjadala rasmi, sio rahisi kuchezewa shele. Nawasilisha

    2. Miaka 50

    3. #2
      Taso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2010
      Posts : 1,175
      Rep Power : 795
      Likes Received
      308
      Likes Given
      121

      Default Re: Hivi tunahitaji Katiba Mpya au Mjadala juu ya Katiba Mpya?

      Mjadala rasmi maana yake nini

    4. #3
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,253
      Rep Power : 8972
      Likes Received
      803
      Likes Given
      340

      Default Re: Hivi tunahitaji Katiba Mpya au Mjadala juu ya Katiba Mpya?

      Quote By ChiefmTz
      Wana jf, hivi kwa sasa tunahitaji Katiba mpya kwanza au tunahitaji kufanyika kwa mijadala rasmi juu ya Katiba mpya. Nimeulilza hivi kwa sababu kuna watu wanataka tudai Katiba Mpya bila ya kujali kuwa hakujawahi kuwepo kwa mjadala rasmi juu ya Katiba mpya. Tusipoiona haja ya kufanyika kwa mijadala rasmi juu ya Katiba, watatokea wajanja ambao watapeleka Mswada Bungeni wa kutaka Katiba mpya na ukakubaliwa na ikaundwa Katiba nyingine hata kama ni kwa jina tu. Lakini tukidai mjadala rasmi, sio rahisi kuchezewa shele. Nawasilisha
      Tufafanulie juu ya huo "mjadala rasmi" ukoje ili nikujibu swali lako!
      "Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).

    5. #4
      nyantella's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 604
      Rep Power : 548
      Likes Received
      72
      Likes Given
      33

      Default Re: Hivi tunahitaji Katiba Mpya au Mjadala juu ya Katiba Mpya?

      Quote By Buchanan
      Tufafanulie juu ya huo "mjadala rasmi" ukoje ili nikujibu swali lako!
      Labda anataka tujihakikishie contents za katiba mpya zitakua nini ili tusije andika kijarida badala ya Katiba. Maana mawazo na madai ya katiba mpya kwa wakati huu ni kuitoa CCM madarakani. supposed imewezekana than what next? na walioshindwa wadai katiba mpya ya kukiondoa hicho chama kingine madarakani? Katiba iwe futuristic with long lasting ideas!
      Power without Control is useless!!!!

    6. #5
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,875
      Rep Power : 1692
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Re: Hivi tunahitaji Katiba Mpya au Mjadala juu ya Katiba Mpya?

      Kwa maoni yangu ni wananchi ndio wana final say juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa katiba mpya.kufikia huko ni lazima kuwe na mjadala rasmi utakaohusisha pande mbalimbali.
      Serikali itakapokubali kujadili suala hili ndipo tutakapoita 'mjadala rasmi'

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      ChiefmTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2008
      Posts : 1,478
      Rep Power : 862
      Likes Received
      109
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Taso
      Mjadala rasmi maana yake nini
      Mjadala ambao utatoa maazimio yatakayotumika kwenye Katiba mpya

    9. #7
      ChiefmTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2008
      Posts : 1,478
      Rep Power : 862
      Likes Received
      109
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Buchanan
      Tufafanulie juu ya huo "mjadala rasmi" ukoje ili nikujibu swali lako!
      Ni kuwepo kwa vikao rasmi katika ngazi mbalix2 kwa ajili ya kujadili Katiba mpya.

    10. #8
      Makindi N's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,043
      Rep Power : 784
      Likes Received
      128
      Likes Given
      149

      Default Re: Hivi tunahitaji Katiba Mpya au Mjadala juu ya Katiba Mpya?

      Jiulize utapataje Katiba mpya bila mjadala? Mchakato lazima uanze na mjadala. Hivyo upatikanaji wa Katiba unamaanisha mjadala ulikuwepo!
      Leo Tolstoy once said "Everybody thinks of changing the world, no one thinks of changing himself"

    11. #9
      ChiefmTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2008
      Posts : 1,478
      Rep Power : 862
      Likes Received
      109
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By nyantella
      Labda anataka tujihakikishie contents za katiba mpya zitakua nini ili tusije andika kijarida badala ya Katiba. Maana mawazo na madai ya katiba mpya kwa wakati huu ni kuitoa CCM madarakani. supposed imewezekana than what next? na walioshindwa wadai katiba mpya ya kukiondoa hicho chama kingine madarakani? Katiba iwe futuristic with long lasting ideas!
      Lakini pia itatusaidia kukubaliana mambo ya msingi.

    12. #10
      ChiefmTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2008
      Posts : 1,478
      Rep Power : 862
      Likes Received
      109
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By jackbauer
      Kwa maoni yangu ni wananchi ndio wana final say juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa katiba mpya.kufikia huko ni lazima kuwe na mjadala rasmi utakaohusisha pande mbalimbali. Serikali itakapokubali kujadili suala hili ndipo tutakapoita 'mjadala rasmi'
      Ahsante Mkuu kwa kutokuwa Kipofu wa kuona ukweli. Jambo la msingi ni kuishinikiza gvt kuandaa na kuruhusu vikao kwa ajili ya kujadili Katiba.

    13. LAT
      #11
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Hivi tunahitaji Katiba Mpya au Mjadala juu ya Katiba Mpya?

      Quote By ChiefmTz
      Wana jf, hivi kwa sasa tunahitaji Katiba mpya kwanza au tunahitaji kufanyika kwa mijadala rasmi juu ya Katiba mpya. Nimeulilza hivi kwa sababu kuna watu wanataka tudai Katiba Mpya bila ya kujali kuwa hakujawahi kuwepo kwa mjadala rasmi juu ya Katiba mpya. Tusipoiona haja ya kufanyika kwa mijadala rasmi juu ya Katiba, watatokea wajanja ambao watapeleka Mswada Bungeni wa kutaka Katiba mpya na ukakubaliwa na ikaundwa Katiba nyingine hata kama ni kwa jina tu. Lakini tukidai mjadala rasmi, sio rahisi kuchezewa shele. Nawasilisha
      mkuu... kuna mjadala mwingine tena zaidi ya huu tunaoufanya hapa JF na huko mitaani....... kitakacho fuata ni mchakato wa upataji wa katiba mpya.....

    14. #12
      ChiefmTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2008
      Posts : 1,478
      Rep Power : 862
      Likes Received
      109
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By LAT
      mkuu... kuna mjadala mwingine tena zaidi ya huu tunaoufanya hapa JF na huko mitaani....... kitakacho fuata ni mchakato wa upataji wa katiba mpya.....
      Mjadala tunaofanya sio rasmi na hauna hata muhtasari ambao tunaweza kuutumia kama reference.

    15. LAT
      #13
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Hivi tunahitaji Katiba Mpya au Mjadala juu ya Katiba Mpya?

      Quote By ChiefmTz
      Mjadala tunaofanya sio rasmi na hauna hata muhtasari ambao tunaweza kuutumia kama reference.
      mkuu i agree... but what is more important are the contents and then all of that procedures can follow smooth..... suppose the contents for the need of a new draft constitution are not sufficient and healthier enough to pave way for the drafting a new constitution; we need to brainstorm and not neccessarily formal..... but also we need oral discussions and measure the pro's and con's

    16. #14
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,025
      Rep Power : 2563
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Re: Hivi tunahitaji Katiba Mpya au Mjadala juu ya Katiba Mpya?

      From my understanding I think we need both 2 steps,na tayari moja wananchi wameanza ambayo inangojewa sasa kuwa rasmi kwa kupokelewa na mamlaka then tuendelee

    Similar Topics

    1. Mapendekezo katiba mpya: Tunahitaji makamu wa rais?
      By W. J. Malecela in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 68
      Last Post: 28th November 2011, 00:26
    2. Replies: 35
      Last Post: 16th March 2011, 07:26
    3. Mjadala wa katiba mpya ITV live
      By Jidundufila in forum KATIBA Mpya
      Replies: 4
      Last Post: 28th January 2011, 21:21
    4. Hivi Mjadala wa Katiba mpya tunamwambia nani hasa?
      By Mathias Byabato in forum KATIBA Mpya
      Replies: 2
      Last Post: 16th December 2010, 17:22

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...