Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi JF kama Taasisi, Hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja kuhusu Katiba Mpya?

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      STK ONE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Location : Mpanda, Katavi Region
      Posts : 628
      Rep Power : 498
      Likes Received
      176
      Likes Given
      44

      Default Hivi JF kama Taasisi, Hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja kuhusu Katiba Mpya?

      Wana Jamvi ni maoni yangu tu, hivi hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya? Maoni hayo tunakuwa tunayawakilisha kwenye tume sehemu mbali mbali punde inapofika. Hii itapelekea maoni yetu kufikiriwa na kuwekwa kwenye katiba mpya. Ni maoni tu, kama inawezekana, tuna wanasheria wengi sana humu tuchangie na watuandikie conclusion ya maoni yetu. Asanteni. Nawaomba tusilete U CCM na U CDM katika hili, TANZANIA NI YETU SOTE.
      BAK likes this.
      HERI UKIMWI KULIKO CCM....BUT THE END IS ON THE WAY.....

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,168
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default Re: Hivi JF kama Taasisi, Hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja kuhusu Katiba Mpya?

      "Maoni ya pamoja" ni tofauti na spirit ya uhuru wa maoni.

      Tuko watu tofauti sana kuweza kuwa na "maoni ya pamoja".
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    4. #3
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,278
      Rep Power : 606
      Likes Received
      332
      Likes Given
      58

      Default Re: Hivi JF kama Taasisi, Hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja kuhusu Katiba Mpya?

      mbona umeanza kujistukia mkuu,we ni gamba? Livue kwanza kama bado kaka...

    5. #4
      STK ONE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Location : Mpanda, Katavi Region
      Posts : 628
      Rep Power : 498
      Likes Received
      176
      Likes Given
      44

      Default Re: Hivi JF kama Taasisi, Hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja kuhusu Katiba Mpya?

      Quote By Scofied
      mbona umeanza kujistukia mkuu,we ni gamba? Livue kwanza kama bado kaka...
      Mimi sina mengi ya kusema, soma signature yangu chini...lakini Katiba ni ya nchi, na ni vyema kwenye jambo ambalo linahusu nchi, tusiweke itikadi za vyama vyetu vya siasa.
      HERI UKIMWI KULIKO CCM....BUT THE END IS ON THE WAY.....

    6. #5
      STK ONE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Location : Mpanda, Katavi Region
      Posts : 628
      Rep Power : 498
      Likes Received
      176
      Likes Given
      44

      Default Re: Hivi JF kama Taasisi, Hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja kuhusu Katiba Mpya?

      Quote By Kiranga
      "Maoni ya pamoja" ni tofauti na spirit ya uhuru wa maoni.

      Tuko watu tofauti sana kuweza kuwa na "maoni ya pamoja".
      Nafahamu our differences, but yet as Tanzanians, we can have common ideas on what we ought our country to be in the near future. THis is only possible if we have common ideas for common good. Tofauti zetu hazituzuii sisi kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya. Tukiweka itikadi za vyama vyetu vya siasa kando, tunaweza kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya as GREAT THINKERS.
      mbwigule likes this.
      HERI UKIMWI KULIKO CCM....BUT THE END IS ON THE WAY.....

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,168
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default Re: Hivi JF kama Taasisi, Hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja kuhusu Katiba Mpya?

      Quote By STK ONE
      Nafahamu our differences, but yet as Tanzanians, we can have common ideas on what we ought our country to be in the near future. THis is only possible if we have common ideas for common good. Tofauti zetu hazituzuii sisi kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya. Tukiweka itikadi za vyama vyetu vya siasa kando, tunaweza kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya as GREAT THINKERS.
      The very idea that a membership as diverse as this forum has must somehow have common ideas is what made us to wallow in poverty for so long.

      We had the so called "common idea", it was called "Ujamaa and Kujitegemea" under CCM. It failed.

      Now let's embrace a little diversity.

      Should a commonality emerge naturally, that will be welcome news.

      But please do not try to herd a population with such divergent views as JF to converge on "common ideas" by design.

      It is the height of thought control, which is totally against the spirit of freedom embraced by JF.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    9. BAK
      #7
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,615
      Rep Power : 44968
      Likes Received
      8366
      Likes Given
      8346

      Default Re: Hivi JF kama Taasisi, Hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja kuhusu Katiba Mpya?

      Si wazo baya kwamba WanaJF wakusanye mapendekezo ya nini kinachostahili kuwemo kwenye katiba mpya toka kwa wadau mbali mbali kisha mapendekezo hayo kuwakilishwa katika hiyo tume ya kukusanya maoni. Tunaweza kusema mapendekezo hayo yakusanywe kwa muda wa miezi miwili/mitatu.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    10. #8
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,168
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default Re: Hivi JF kama Taasisi, Hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja kuhusu Katiba Mpya?

      Quote By BAK
      Si wazo baya kwamba WanaJF wakusanye mapendekezo ya nini kinachostahili kuwemo kwenye katiba mpya toka kwa wadau mbali mbali kisha mapendekezo hayo kuwakilishwa katika hiyo tume ya kukusanya maoni. Tunaweza kusema mapendekezo hayo yakusanywe kwa muda wa miezi miwili/mitatu.
      Huyu anataka "maoni ya pamoja" kama JF.

      Last time I checked JF si chama cha siasa, sasa maoni ya pamoja tutayatoa kwa itikadi gani ya pamoja tuliyo nayo?

      Kama issue ni kukusanya maoni JF ndiyo kazi yake kila siku.

      Angalizo liko hapo "ya pamoja". Maana watu wasije kuwa na maoni yao wanataka kutumia jina la JF, wanaungunga support ya wawili watatu, halafu wanasema "maoni ya pamoja ya JF ni haya".

      Weka maoni kwanza, halafu watu watajadili watajua haya ni ya pamoja au la.

      Ukishaanza kuwapelekapeleka watu kwenye "maoni ya pamoja" kabla hata maoni yenyewe hayajajulikana utakuwa unaenda kinyumenyume huku unaangalia mbele, hukawii kugonga.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...