Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: KAA CHONJO:"" Upepo wa katiba unapita kwa Kasi ya ajabu""......

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,765
      Rep Power : 1221
      Likes Received
      430
      Likes Given
      821

      Default KAA CHONJO:"" Upepo wa katiba unapita kwa Kasi ya ajabu""......

      Isee upepo wa katiba unapita kwa kasi ya ajabu

      Huko nyuma niliwai kuandika kuwa ikifika muda wa kukusanya maoni
      TISS wataleta dude moja la kututoa kwenye reli naona wamefanikiwa
      kwa kiasi fulani.

      Serikali inapenda mgomo wa madaktari uendelee kusongo huku ikikimbiza
      tume ya katiba vijiji kukusanya maoni kwa watu wengine wasiokuwa na uelewa

      Kuweni chonjo UPEPO WA KATIBA UNAPITA KWA KASI YA AJABU

    2. Miaka 50

    3. #2
      Davie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Posts : 82
      Rep Power : 538
      Likes Received
      16
      Likes Given
      208

      Default Re: KAA CHONJO:"" Upepo wa katiba unapita kwa Kasi ya ajabu""......

      Inawezekana ikawa na ukweli kwa hili unaloandika,....maana inafahamika waTz tuna kawaida ya kusahau..
      hivo ni rahisi na inaonekana hili la katiba mpya saizi halina mashiko sana..

    4. #3
      Gerald's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2007
      Posts : 264
      Rep Power : 641
      Likes Received
      38
      Likes Given
      29

      Default Re: KAA CHONJO:"" Upepo wa katiba unapita kwa Kasi ya ajabu""......

      mkuu ni kweli kabisa hata sisi uku mjini ni ulimboka tuu

    5. #4
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,765
      Rep Power : 1221
      Likes Received
      430
      Likes Given
      821

      Default Re: KAA CHONJO:"" Upepo wa katiba unapita kwa Kasi ya ajabu""......

      siku zinazidi kwenda cdm kimya

    6. #5
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,730
      Rep Power : 2268
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: KAA CHONJO:"" Upepo wa katiba unapita kwa Kasi ya ajabu""......

      Quote By King of Kings
      siku zinazidi kwenda cdm kimya
      Huko kwako mna Tawi la CDM, kama hamna lazima muachwe kwenye mataa. Suala ni kujimobilise. usingojee Dk aje awafungulie tawi. Fanya upesi kuitisha kikao cha wanachama.
      Simple life is healthier than egoism.


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...