Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      TUME YA KUKUSANYA MAONI JUU YA KATIBA MPYA- DUNGA 9/7/2012

      Dunga maoni leo:
      Walosema mfumo wa sasa wa Muungano uendelee ni 59, walotaka mfumo wa Serikali mbili huru zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kuwa na mashirikiano kupitia Muungano wa Mkataba ni 108, walotaka Tuachiwe tupumuwe ni 2, walowasilisha barua (mchanganyiko) ni 49

      MAONI JUU CHA MCHAKATO WA KATIBA HUKO MAKUNDUCHI

      Maoni Jana:
      Kijini (Makunduchi) walosema Tuachiwe tupumuwe ni 2, waliotoka nje ya mada ni 2, barua ni 3, walotaka Serikali mbili huru zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa (Zanzibar na Tanganyika) na kisha kuwa na Muungano wa Mkataba ni 39, walotaka mfumo uliopo uendelee ni 78. Jumla ni 124.

      MAONI JUU YA KATIBA MPYA HUKO PAJE.

      Jana Paje na Bwejuu,
      Waliosema tuachiwe tupumuwe ni 8, waliotaka Serikali mbili huru (Zanzibar na Tanganyika) zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kufuatiwa na Muungano wa Mkataba wa Mashirikiano baina yao ni 46, waliotaka Muungano uendelee kama ulivyo sasa ni 25 na waliotoa maoni kwa barua ni 26 (ambao ni mchanganyiko baina ya wanaotaka muundo wa sasa na wale wanaotaka Mkataba).

      Kajengwa (Makunduchi):
      Waliotaka Tuachiwe tupumuwe ni 2, waliotaka Mkataba ni 48, waliotaka mfumo uliopo uendelee ni 69, waliokuwa hawakufahamika ni 2, barua 26.

      Mawazo yangu:
      Kwa matokea haya ni wazi Wazanzibar wanataka Muungano uendelee wa Serikali mbili ya sasa, msitarajie mabadiliko na msije mkawasumbua tena Watanganyika. Wako wapi waliosema Wazanzibar hawataki Muungano?

      Updates today:

      TUME YA KUKUSANYA MAONI JUU YA KATIBA MPYA.
      Leo Tume ya Kukusanya Maoni ya Katiba imemaliza kazi Mkoa wa Kusini Unguja,
      na mukhtasari wa maoni unaonesha kuwa waliotaka muundo wa sasa wa Muungano ubaki kama ulivyo ni 1503,
      na waliotaka Serikali mbili (Zanzibar na Tanganyika) zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kuwa na mashirikiano kupitia Muungano wa Mkataba ni 1411
      Last edited by Kimox Kimokole; 14th July 2012 at 22:33.
      MziziMkavu and Bigirita like this.
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3272
      Likes Received
      1316
      Likes Given
      919

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Source?
      MziziMkavu likes this.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    4. #3
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Quote By Kichuguu
      Source?
      Mimi Mwenyewe na Tume ya Katiba
      Kichuguu likes this.
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    5. #4
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,217
      Rep Power : 19216
      Likes Received
      8171
      Likes Given
      26686

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      WaZanzibar Hawataki Muungano Uvunjike Wanachotaka Wao, Wa Zanzibar wapate haki zao wasiingiliwe mambo yao ya ndani kwenye Serikali yao na hata suala la Mafuta ni yao ni la kwao. Lakini ikiwa Serikali ya Muungano ikiwa inaingilia Suala ya Serikali ya Zanzibar hapo ndipo Wa Zanzibar hawata utaka tena huo Muungano Uwepo. Hayo ni Mawazo yangu mimi sio mawazo ya Wa Zanzibar .@Kimox Kimokole
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    6. #5
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Quote By MziziMkavu
      WaZanzibar Hawataki Muungano Uvunjike Wanachotaka Wao, Wa Zanzibar wapate haki zao wasiingiliwe mambo yao ya ndani kwenye Serikali yao na hata suala la Mafuta ni yao ni la kwao. Lakini ikiwa Serikali ya Muungano ikiwa inaingilia Suala ya Serikali ya Zanzibar hapo ndipo Wa Zanzibar hawata utaka tena huo Muungano Uwepo. Hayo ni Mawazo yangu mimi sio mawazo ya Wa Zanzibar .@Kimox Kimokole
      MziziMkavu kuna watu wa Zanzibar wanasema Wazanzibar wanataka "KUPUMUA" na hawataki Muungano. Lakini kwa maoni mengi yanayotolewa wanataka muundo wa sasa uendelee wa serikali mbili, na wengine wanataka Muungano wa mkataba, hapo ndipo nina wasiwasi...
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    7. Miaka 50

    8. #6
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,217
      Rep Power : 19216
      Likes Received
      8171
      Likes Given
      26686

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Quote By Kimox Kimokole
      MziziMkavu kuna watu wa Zanzibar wanasema Wazanzibar wanataka "KUPUMUA" na hawataki Muungano. Lakini kwa maoni mengi yanayotolewa wanataka muundo wa sasa uendelee wa serikali mbili, na wengine wanataka Muungano wa mkataba, hapo ndipo nina wasiwasi...
      Mkuu Kimox Kimokole Kwa Ufupi

      WaZanzibar Wameshachoka na huo Muungano wetu Wanacho taka hawa Wa Zanzibar kuwa huru hawaoni Faida ya huo

      Muungano, Tangu Uanzishwe huo Muungano yafika sasa ni Miaka 48 hakuna faida yoyote ile kwa hao Wa Zanzibar .

      Kwa hiyo Wa Zanzibar Wamesha choka na Kero la Muungano hata kama wewe ulikuwa na Mke umemuowa miaka 48

      Mukaishi muda wote itafiki wakati iedha atakuchoka wewe huyo mke wako au wewe utamchoka mke wako kila kitu kina

      Mwanzo wake na Mwisho wake Mkuu nionavyo mimi hata kama kukiwa na kura ya Maoni Wa Zanzibar wote karibu asilimia

      99 hawautaki huo Muungano Mkuu nionavyo mimi mkuu na kwa mawazo yangu hayo.
      Kimox Kimokole likes this.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    9. #7
      Opaque's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2008
      Posts : 953
      Rep Power : 730
      Likes Received
      227
      Likes Given
      84

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Quote By Kimox Kimokole
      ... Wako wapi waliosema Wazanzibar hawataki Muungano?
      Wako huko huko Zanzibar, kwani hujui Uamsho wanapatikana wapi?
      MziziMkavu likes this.



    10. #8
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Quote By Opaque
      Wako huko huko Zanzibar, kwani hujui Uamsho wanapatikana wapi?
      Mbona hatuoni juhudi zao za "Tunataka Kupumua" zikiungwa mkono?
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    11. #9
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3272
      Likes Received
      1316
      Likes Given
      919

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Hivi faida za Muungano ni nini; kwangu kama raia nitapimaje kuwa ninapata faida kwenye huu muungano. Nadhani zanzibar wanafaidi zaidi kwa vile wana uwanja mkubwa sana wa kupatia madaraka ya kitaifa kuliko mimi mitanganyika ambaye ama nitapata madaraka kwenye serikali ya muungano ama sipati madaraka kabisa.

      Wao wanaweza kupata madaraka ama kwenye serikali ya Muungano au kwenye serikali ya mapinduzi. wanaweza kuwa wabunge wa muungano wakiwa na sauti kama mbunge wa kutoka Tanganyika, wakati watanganyika hawawezi kuwa wajumbe wa baraza la wawakilishi.

      Niliupenda Muungano kwa sababu za kihistoria tu kuwa tumekulia ndani ya muungano lakini siyo kuwa ninapata faida yoyote na muungano huo ambayo ninaweza kuonyesha kwa majivuno.
      JokaKuu and Kimox Kimokole like this.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    12. #10
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,274
      Rep Power : 3045
      Likes Received
      3060
      Likes Given
      4155

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      MziziMkavu, umesema huwasemei Wazanzibari, mara umeanza kuwasemea, vipi tena??
      Maoni kutoka maeneo matatu yanaonesha hawana problem na Muungano....sasa usiloelewa ni kitu gani?
      Quote By MziziMkavu
      Mkuu Kimox Kimokole Kwa Ufupi

      WaZanzibar Wameshachoka na huo Muungano wetu Wanacho taka hawa Wa Zanzibar kuwa huru hawaoni Faida ya huo

      Muungano, Tangu Uanzishwe huo Muungano yafika sasa ni Miaka 48 hakuna faida yoyote ile kwa hao Wa Zanzibar .

      Kwa hiyo Wa Zanzibar Wamesha choka na Kero la Muungano hata kama wewe ulikuwa na Mke umemuowa miaka 48

      Mukaishi muda wote itafiki wakati iedha atakuchoka wewe huyo mke wako au wewe utamchoka mke wako kila kitu kina

      Mwanzo wake na Mwisho wake Mkuu nionavyo mimi hata kama kukiwa na kura ya Maoni Wa Zanzibar wote karibu asilimia

      99 hawautaki huo Muungano Mkuu nionavyo mimi mkuu na kwa mawazo yangu hayo.
      Kimox Kimokole likes this.
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    13. #11
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,608
      Rep Power : 13888
      Likes Received
      3271
      Likes Given
      1777

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Quote By Kichuguu
      Hivi faida za Muungano ni nini; kwangu kama raia nitapimaje kuwa ninapata faida kwenye huu muungano. nadhani zanzibar wanafaidi zaidi kwa vile wana uwanja mkubwa sana wa kupatia madaraka ya kitaifa kuliko mimi mitanganyika ambaye ama nitapata madaraka kwenye serikali ya muungano ama sipati madaraka kabisa. wao wanaweza kupata madaraka ama kwenye serikali ya Muungano au kwenye serikali ya mapinduzi. wanaweza kuwa wabunge wa muungano wakiwa na sauti kama mbunge wa kutoka Tanganyika, wakati watanganyika hawawezi kuwa wajumbe wa baraza la wawakilishi. Niliupenda Muungano kwa sababu za kihistoria tu kuwa tumekulia ndani ya muungano lakini siyo kuwa ninapata faida yoyote na muungano huo ambayo ninaweza kuonyesha kwa majivuno.
      Inasemekana umuhimu wa muungano upo katika suala la usalama/security.Zanzibar ikijitenga itakuwa rahisi sana kutumiwa kama ngome ya ugaidi na kutusababishia tukose amani.

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    14. #12
      Babuyao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2009
      Posts : 1,719
      Rep Power : 851
      Likes Received
      177
      Likes Given
      148

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Quote By Kimox Kimokole
      MziziMkavu kuna watu wa Zanzibar wanasema Wazanzibar wanataka "KUPUMUA" na hawataki Muungano. Lakini kwa maoni mengi yanayotolewa wanataka muundo wa sasa uendelee wa serikali mbili, na wengine wanataka Muungano wa mkataba, hapo ndipo nina wasiwasi...
      yaani huko zanzibar ndo uswahilini kwelikweli! Wanataka "kupumua" = kupumzika kidogo kutoka kwenye kibano cha "ndoa" na tanganyika! Je, baada ya kupumua watarudi tena kwenye "ndoa" au wanataka "kupumua" kimoja? Mi naona hata misamiati mingine haina maana kutumika kwenye mambo mazito kama haya. Au mi ndo sijui kiswahili!?
      Kimox Kimokole likes this.
      God writes straight with crooked lines.

    15. #13
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,851
      Rep Power : 1157
      Likes Received
      509
      Likes Given
      0

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Kwa twakimu hizi ni dhahiri Zanzibar wanataka muungano wa mkataba na siyo wa kikatiba. Hoja siyo kuwepo au kutokuwepo muungano bali ni aina ya muungano. Muungano wa mkataba ni msamiati mpya umejipenyeza katika mijadala karibuni labda wataalam wangetujuza zaidi juu ya muungano wa mkataba vis a vis muungano wa katiba.
      Kimox Kimokole likes this.

    16. #14
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Quote By MziziMkavu
      Mkuu Kimox Kimokole Kwa Ufupi

      WaZanzibar Wameshachoka na huo Muungano wetu Wanacho taka hawa Wa Zanzibar kuwa huru hawaoni Faida ya huo

      Muungano, Tangu Uanzishwe huo Muungano yafika sasa ni Miaka 48 hakuna faida yoyote ile kwa hao Wa Zanzibar .

      Kwa hiyo Wa Zanzibar Wamesha choka na Kero la Muungano hata kama wewe ulikuwa na Mke umemuowa miaka 48

      Mukaishi muda wote itafiki wakati iedha atakuchoka wewe huyo mke wako au wewe utamchoka mke wako kila kitu kina

      Mwanzo wake na Mwisho wake Mkuu nionavyo mimi hata kama kukiwa na kura ya Maoni Wa Zanzibar wote karibu asilimia

      99 hawautaki huo Muungano Mkuu nionavyo mimi mkuu na kwa mawazo yangu hayo.
      Faida unazozizungumzia wewe ni zipi hasa ziweke wazi, maana tumekua tukisikia hizi kelele wengine hatujui mnazungumzia faida zipi..kama mnataka kuvunja mahusiano sababu ya mafuta..

      Who gave you 100% guarantee kuwa mtanufaika na hayo mafuta?? hamuoni kua ni kamtego ka wachache..Oneni kinachoendelea Nigeria..Wana mafuta lakini mafuta yote yanamilikiwa na makampuni ya nje..hapo Zanzibar kuna mzawa hata mmoja mwenye uwezo wa kuchimba hayo mafuta??

      Kama sio wageni ni nani mwingine zaidi..Jueni kua Bara pia kumegundulika Gesi asilia..na Kuna uwezekano mkubwa pia wa mafuta kufuata..Ok tuwaachie mafuta halafu?? mtakuja lia bure huko mbeleni...

    17. #15
      cheichei2010's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Posts : 544
      Rep Power : 549
      Likes Received
      182
      Likes Given
      42

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Quote By stroke
      Faida unazozizungumzia wewe ni zipi hasa ziweke wazi, maana tumekua tukisikia hizi kelele wengine hatujui mnazungumzia faida zipi..kama mnataka kuvunja mahusiano sababu ya mafuta..Who gave you 100% guarantee kuwa mtanufaika na hayo mafuta?? hamuoni kua ni kamtego ka wachache..Oneni kinachoendelea Nigeria..Wana mafuta lakini mafuta yote yanamilikiwa na makampuni ya nje..hapo Zanzibar kuna mzawa hata mmoja mwenye uwezo wa kuchimba hayo mafuta?? kama sio wageni ni nani mwingine zaidi..Jueni kua Bara pia kumegundulika Gesi asilia..na Kuna uwezekano mkubwa pia wa mafuta kufuata..Ok tuwaachie mafuta halafu?? mtakuja lia bure huko mbeleni...

      Mie nafikiri hawa watu ni wa kupigwa chini tu.Tuna vijana wengi sana hawana kazi huku bara na wao wanatuzibia.Unajua watu wenye tamaa utawajua tu,akipewa kidogo,anatataka tena,na tena,natena, mpaka ataona kila kitu ni haki yake.Lakini kuna kitu hapa lazima tukijue,kwanini hawa watu wanasikilizwa sana?na huu Muungano uanatetewa kwa maslahi ya nani?Mie sipendi kabisa hizi kelele zao kwa kweli.Tupige serikali tatu, au vinginevyo kila mtu akae kwake.I don't like these noise Neighbours.
      JokaKuu and Kimox Kimokole like this.

    18. #16
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      Quote By simplemind
      Kwa twakimu hizi ni dhahiri Zanzibar wanataka muungano wa mkataba na siyo wa kikatiba. Hoja siyo kuwepo au kutokuwepo muungano bali ni aina ya muungano. Muungano wa mkataba ni msamiati mpya umejipenyeza katika mijadala karibuni labda wataalam wangetujuza zaidi juu ya muungano wa mkataba vis a vis muungano wa katiba.
      Swali langu linaloniumiza kichwa ni Huo Muungano wa mkataba ukoje ukoje hasa?
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    19. #17
      Ibnu Mussa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 19
      Rep Power : 511
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      We kimox na wenzako msiichukulie zanzibar kama kijiji tu,ngoja maoni yakusanywe ktk mikoa yote ya zanzibar na sio kuchukua maoni ya shehia tatu tu. We vipi! Hebu kuwa mkomavu kisiasa. Acha kukurupuka dogo. Kumbe hata hujui nini muungano wa mkataba!

    20. #18
      bin rasshid's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th August 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 346
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      nashukur kujiunga katika jf ilinami nichangie kwani ww uamsho wanakuhusu nini

    21. #19
      bin rasshid's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th August 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 346
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      waswahili wanasema uji mmoto hupembwa kwa ncha ya ulimi

    22. #20
      bin rasshid's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th August 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 346
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

      ahsante kwakumjibu vizur pengine huenda akaelewa ikiwa ataacha mawazo yake na kuchanganyana wenzake

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...