Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je, mwenyekiti tume ya katiba, Jaji Warioba, amechemka!?

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Mwanamayu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Location : Manzese
      Posts : 3,049
      Rep Power : 1068
      Likes Received
      240
      Likes Given
      112

      Angry Je, mwenyekiti tume ya katiba, Jaji Warioba, amechemka!?

      Huyu mzee vipi jamani! Eti anawataka wananchi wasing'ang'anie kujadili madaraka ya Rais sasa uhuru wa maoni huko wapi? Wananchi wanataka kusawazisha eneo muhimu la taasisi ya Urais yeye anazuia kwa nini?! Hivi hadidu rejea ndio zinamtaka aongee hivi?

      Source: Mtanzania 4 July 2012

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Je, mwenyekiti tume ya katiba, Jaji Warioba, amechemka!?

      Hiyo tume ni JOKA LA KIBISA. Watu walioona mbali wanachua kuwa mchakato mzima huu ni ZE KOMEDI, Subirini 2014 kama tutapata katiba mpya au ya maana.

    4. #3
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2266
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Je, mwenyekiti tume ya katiba, Jaji Warioba, amechemka!?

      Piga kura hapa tuwape tume changamoto kuhusu muungano: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...ba-ifuate.html
      Simple life is healthier than egoism.

    5. #4
      Songoro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2009
      Posts : 2,220
      Rep Power : 0
      Likes Received
      487
      Likes Given
      21

      Default Re: Je, mwenyekiti tume ya katiba, Jaji Warioba, amechemka!?

      Kikwete kawapa hii tume wale watu mliokuwa mnawapamba eti wazalendo,wajasiri na weledi sasa tulieni mnyolewe!

    6. #5
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,716
      Rep Power : 720
      Likes Received
      289
      Likes Given
      260

      Default Re: Je, mwenyekiti tume ya katiba, Jaji Warioba, amechemka!?

      Hata kama angechaguliwa Pof. Paramagamba na Shvji bado watu wangelalmika tu!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Kaa la Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Bristol
      Posts : 6,829
      Rep Power : 1944
      Likes Received
      431
      Likes Given
      4207

      Default Re: Je, mwenyekiti tume ya katiba, Jaji Warioba, amechemka!?

      Nilishaishitukia hii tume siku nyingi tu
      wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.

      ....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...