Mpaka sasa waziri wa sheria mh mathias chikawe anasema tume imeshatumia bil 7,
inawezekana kweli?
Mpaka sasa waziri wa sheria mh mathias chikawe anasema tume imeshatumia bil 7,
inawezekana kweli?
Kaka kwa Tz inawezekana.....wewe ulitegemea katika maisha yako kuwa TWIGA angeliweza kusafirishwa kwa siri kutoka mbuga za wanyama hadi kufikishwa KIA na kusafirishwa kwa siri kwenye ndege akiwa kwenye siti????? ONLY IN TZ.
HERI UKIMWI KULIKO CCM....BUT THE END IS ON THE WAY.....
Follow Us Here