Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waislamu wazindua Jukwaa la KATIBA

    Report Post
    Page 3 of 9 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 164
    1. #1
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Waislamu wazindua Jukwaa la KATIBA

      • Kukutana Diamond Ijumaa
      • Mikoa Yote Nchini Kushiriki
      • Abas Syskes, Masheikh Kuunguruma

      Gazeti la LULU la leo Jumanne - 03 Januari 2012 linaripoti:

      Kongamano la Kitaifa la Uzinduzi wa Jukwaa la Katiba la Waislamu nchini linatarajiwa kufanyika Ijumaa ya wiki hii katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

      Habari za kuaminikia ..... zinafahamisha kuwa, kongamano hilo la siku moja linaloelezwa kuwa la kihistoria litafunguliwa na Abbas Syskes ambaye amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini, ...

      Pia wanasheria, masheikh mbalimbali wa jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake, pamoja na ujumbe kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara na visiwani watashiriki.

      Akithibistihs habari hizo, ...., Sheikh Ponda Issa Ponda, alisema hatua zote za maandalizi ya shughuli hiyo zimekamilika. ...

      Akizungumzia maudhui ya kongamano hilo, Sheikh Ponda alisema kuwa ni pamoja na kuzindua rasmi chombo kitakachojishughulisha na utoaji elimu ya katiba kwa jamii ya Waislamu nchini.

      "Chombo hicho ambacho tumekubaliana kitaitwa Jukwaa la Katiba la Waislamu, kitakuwa na jukumu la kuhakikisha Waislamu kote nchini wanakuwa na kauli moja juu ya masuala yanayohusu dini na maisha yao amabayo wangependa yawemo kwenye katiba mpya", alisema.

      Akifafanua namna Jukwaa hilo litakavyofanya kazi hiyo, Sheikh Ponda alisema kuwa, kabla ya kutazama yanayohitajika kuwemo kwenye katiba mpya, watatangulia kutoa elimu juu ya katiba ya sasa ...

      "Baada ya hapo ndipo Jukwaa litaketi na kutafakari kwa kina mahitajio ya waislamu tunayodhani ni muhimu yakaainishwa ndani ya katiba ya nchi", alizungumza Sheikh Ponda.

      ...


      Wakuu kwa muhtasari ni hayo - full stori, tafadhali pata nakala yako ya LULU.
      alyasau likes this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      NgomaNgumu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 192
      Rep Power : 473
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By shizukan
      Safi sana, mawazo mazuri. Nimekubali kila ulichosema na nitakuja kwenye kongamano. Ila kinachonitatiza ni kuwa, hawa waandaaji wamesoma kweli ile sheria ya mabadiliko ya katiba au ndio hakuna hata mmoja anayejua kusoma MAANDISHI DUNIA? Mule si imekatazwa kwa taasisi za aina yeyote ile kuandaa makongamano?

      Kuhusu mazingira maalum ya kuuwa watu, hebu niambie ni yepi maana mimi nisije nikajikuta ktk mazingira hayo nikafa bure. Je yanamhusu na yule Sulleiman Rushdie?

      Je kwenye kongamano, ubwabwa na nyama halal vitakuwepo?
      jaribu kua serious mazingira ya kuua ukitaka kuyajua angalia alivyonyongwa Saddam na alivyouwawa Gaddafi

    4. #42
      Tango73's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2008
      Posts : 1,041
      Rep Power : 740
      Likes Received
      290
      Likes Given
      2

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      serikali ya Iran hiyo na uchochezi wao wa kidini! selikali kwa nini hautaki kuufunga ubalozi huo?

    5. #43
      Boko haram's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 578
      Rep Power : 0
      Likes Received
      156
      Likes Given
      332

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By Omulangi

      Si tu kuwa serkali inaweza kuwanyamazia bali inawezekana kabisa hayo ndiyo makubaliano yao na JK kuhusu mahakama ya kadhi kuwa waunde force ya kitaifa ili serkali ijafanye kuwa imelemewa na kusalimu amri. Lakini tangu awali hilo ndilo lengo. Mi nafikiri kila taasisi na hasa wakristo watumie fursa hii pia kuanzisha majukwaa yao ili la waislamu likiachiwa kupita na mengine yapitie mlango huo huo. Ni muhimu sana wakrsito kuwa macho na mipango mbali mbali ya kuwahujumu inayobuniwa ili iwe abborted kablla ya kuzaliwa. Vinginevyo wito wa shehe Ilunga pale diamond Jubillee Okt 2011 kuwa lazima kutafuta namna nzuuuri na kuwashughulikia wakristo katika nchi hii. Nasikitika mpaka leo hatujasikia kauli ya serkali wala ya viongozi wa wakristo juu ya MOU. Vinginevyo tukubaliane na hoja ya waislamu kuwa MOU ni ukandamizaji wa waisalmu. Hautasikia kauli ya serkali wala ya viongozi wa dini juu ya vita ya jihad ilikwishatakangazwa dhidi ya wakristo na taasisi za kikristo. Jihad ilitangazwa wazi wazi huku ushahidi wa sehemu ambazo hatua za kuua na kuharibu mali za wakristo zikitajwa kama kielelezo cha ushujaa mf mchungaji wa mto wa mbu aliyeuawa, makanisa ya Mwanza yaliyochomwa, n.k n.k Haya nayo yangepaswa kuundiwa jukuwaa ili yathibitiwe ili katiba mpya itoe haki kwa watu wa dini zote kuabudu au kuacha kuabudu kama wapendavyo. Nimeona baadhi ya waislamu waliotaka kuacha uislamu wakisakamwa na kutishiwa maisha na wengine kupotezwa katika nchi hii. Wakati huo huo waislamu hao hao wanafurahia watu wa dini zingine wanaamua kubadili na kuingia uislamu. Katiba lazima iwe strict and very clear juu ya uhuru wa kuabudu na maana yake, Hilo haliwezi kutetewa na waisalmu kwa sababu katika uislamu hakuna uhuru wa kuabudu.

      hivi naomba niulize wakati Edward lowasa anasaini mkataba wa MOU wananchi au waislamu walipata nafasi ya kuulizwa kuhusu hayo makubaliano?na kama hawakupata nafasi ya kujadili kwanini wao wakipnga mambo yao munapinga?

    6. #44
      Cha Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 937
      Rep Power : 586
      Likes Received
      131
      Likes Given
      247

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Ni haki yao kufanya hivi,
      Hata makundi mengine nayo yakiomba yaruhusiwe, km vile Hindu, Budha, Wakatoliki, Protestant, wanawake, walemavu, manesi, mgambo, sungusungu, wajita, wanyakyusa nk.
      Ila hakuna kulia .............................. .......................!!!!
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri”

    7. #45
      Losomich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Posts : 370
      Rep Power : 455
      Likes Received
      69
      Likes Given
      45

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Kikubwa ninachokiona ni kwamba hilo jukwaa linaundwa kwa shinikizo la CCM na serikali yake. Lengo hasa waislam wote waiunge mkono propaganda za CCM kuhusu uundwaji wa katiba mpya. Inasadikika pia kwamba mkutana huo unagharamiwa na CCM kuanzia A to Z. Hivyo huu ni mkakati wa CCM kwa wasiyojua huo ndiyo ukweli wenyewe. Sisi waislamu tunanunulika kiurahisi sana. Rai yangu kwa wanaharakati wote ni kwamba agenda zote sizizo na maslahi kwa Wtz wote zitakazoletwa baada ya kongamano hilo tusikubali. Ccm go to hell with your foolish propaganda!!!

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      ZionTZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Posts : 897
      Rep Power : 669
      Likes Received
      128
      Likes Given
      133

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      mi najua hawatafanikiwa sababu ni moja tu...hawapo organized. makanisa yote yana viongozi wao wa juu na ambao wanaheshimika wanapotoa kauli na mara nyingi kauli zao hua ni majumuisho ya critical thinkers wa kanisa na mara nyingi kila baada ya tamko la hawa wakanisa hufatwa na la waislaam, maana yake ni nini?? maana yake ni kwamba wakristo ndio huibua hoja au hoja watoazo wao ndio hua mwiba mchungu kwao.

      my suggestion: wajipange kwanza kiuongozi na wawe wanaheshim viongozi wao. sio makundi kila sehemu....wakristo huwa hawafanyi hii kitu wenyewe huwaachia maaskofu, na baraza lao hua lina watu 10 au 15 lakini hoja na mapendekezo yatokayo hapo hua ni nzito na zenye mantik.
      Kintiku and Bob Lee Swagger like this.

    10. #47
      Losomich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Posts : 370
      Rep Power : 455
      Likes Received
      69
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By shizukan
      Unataka kusema hii ni siasa?
      Mwenye macho haambiwi Tazama.

    11. #48
      M-mbabe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2009
      Location : here n' there
      Posts : 1,297
      Rep Power : 746
      Likes Received
      326
      Likes Given
      352

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By dudus
      • Kukutana Diamond Ijumaa
      • Mikoa Yote Nchini Kushiriki
      • Abas Syskes, Masheikh Kuunguruma

      Gazeti la LULU la leo Jumanne - 03 Januari 2012 linaripoti:

      Kongamano la Kitaifa la Uzinduzi wa Jukwaa la Katiba la Waislamu nchini linatarajiwa kufanyika Ijumaa ya wiki hii katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

      Habari za kuaminikia ..... zinafahamisha kuwa, kongamano hilo la siku moja linaloelezwa kuwa la kihistoria litafunguliwa na Abbas Syskes ambaye amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini, ...

      Pia wanasheria, masheikh mbalimbali wa jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake, pamoja na ujumbe kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara na visiwani watashiriki.

      Akithibistihs habari hizo, ...., Sheikh Ponda Issa Ponda, alisema hatua zote za maandalizi ya shughuli hiyo zimekamilika. ...

      Akizungumzia maudhui ya kongamano hilo, Sheikh Ponda alisema kuwa ni pamoja na kuzindua rasmi chombo kitakachojishughulisha na utoaji elimu ya katiba kwa jamii ya Waislamu nchini.

      "Chombo hicho ambacho tumekubaliana kitaitwa Jukwaa la Katiba la Waislamu, kitakuwa na jukumu la kuhakikisha Waislamu kote nchini wanakuwa na kauli moja juu ya masuala yanayohusu dini na maisha yao amabayo wangependa yawemo kwenye katiba mpya", alisema.

      Akifafanua namna Jukwaa hilo litakavyofanya kazi hiyo, Sheikh Ponda alisema kuwa, kabla ya kutazama yanayohitajika kuwemo kwenye katiba mpya, watatangulia kutoa elimu juu ya katiba ya sasa ...

      "Baada ya hapo ndipo Jukwaa litaketi na kutafakari kwa kina mahitajio ya waislamu tunayodhani ni muhimu yakaainishwa ndani ya katiba ya nchi", alizungumza Sheikh Ponda.

      ...


      Wakuu kwa muhtasari ni hayo - full stori, tafadhali pata nakala yako ya LULU.
      good move ndugu zangu waislamu (mimi mkristo though......but no hard feelings kwa vile ninaamini huku ndiko kushiriki kikamalifu tunakokulilia na pia kunakotakiwa kuigwa na jamii zetu nyingine).
      If you're not ready to die for it, put the word 'freedom' out of your vocabulary (Malcolm X)

    12. #49
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By shizukan
      Ubongo wako na hiyo avatar yako vinshabihiana sana. Kuna uhusiano gani wa CDM na Kanisa kama sio mtindio wa kutumiwa. CDM ni jukuiko la wanaharakati bila kujali dini wa makabila yao. Shida iko hapa: CDM wengi ni wasomi na waelewa. Sasa kwa itikadi zenu, mtu yeyote akisoma na kuendelea basi ni mkristo. Kiasi fulani kuna ukweli na ndio maana waislamu waliosoma na kuelimika huwezi kuona wakishiriki mambo ya kienyeji kama kudai mahakama ya ndoa kwani once ukishakuwa civilized hutakuwa na akili ya kurundika wake na watoto kibao.

      Someni jamani, acheni mambo ya ajabu. Mnaandaa kitu gani kinachopinga mashangilio yenu ya jana tu?! Ina maana hao viongozi wenu hata kusoma kiswahili tu hawajui.
      Kwa hiyo hata Profesa Shevji na Beregu ni wajinga hawakusoma sio?..
      Exploration of reality

    13. #50
      M-mbabe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2009
      Location : here n' there
      Posts : 1,297
      Rep Power : 746
      Likes Received
      326
      Likes Given
      352

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By Mkandara
      Sijasema Yesu sio Nabii hata kidogo...Na pengine nifahamishe wewe Mungu anapotaka kufufuka utabiri unafanywa na nani?..Yaaani wewe unaweza kumtabiria Mungu? Mkuu tuyaache haya wewe amini unachoamini na niache mimi niamini nachoamini... Mikwaruzano ya nini?

      1. Imani yangu inanifundisha kwamba Yesu sio Mungu wala mtoto wa Mungu na naposoma John 1 naitafsiri kuwepo kwa Mungu, neno vitu ambavyo huvioni kwa macho wala havina mwili...mtu akipandwa na shetani huwezi kumwita yeye ndiye shetani ila ana shetani, hivyo Yesu alipokuwa na NENO (kinyume cha Shetani) haiwezi kufanya hilo neno liwe yeye..bali yeye ndiye mwenye neno..

      2..Utabiri wa ujio wake umetokana na mipango ya Mungu mwenyewe kwani hata Nostradamus katabiri mengi na yametokea, hiki ni kipaji chake Mwenyezi Mungu huwapa waja wake kuelewa mambo mengi yajayo...
      mkuu mkandara, sidhani kama hawa wanaoleta cheap arguments against hii good move ya ninyi waislamu ni wakristo kweli. sidhani.

      mimi nawashauri waislamu (na sisi wakristo genuine tukienda sambamba nanyi) muendelee kuwa focused kwenye issues. hii forum mliyoianzisha waislamu mimi binafsi nimeipenda kwa kweli.
      Mkandara likes this.
      If you're not ready to die for it, put the word 'freedom' out of your vocabulary (Malcolm X)

    14. #51
      MAFILILI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 1,418
      Rep Power : 452
      Likes Received
      296
      Likes Given
      60

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By ritz
      Kwa hiyo wewe ndio msemaji wa Chadema? Wewe endelea kuhara damu..

      Ni vigumu sana kutofautisha Kanisa na Chadema..

      Ha! Ha! Ha! Ha! Hivi Wasomi wa Kikristu ndio umeifikisha Tanzania hapa ilipo? Nilikuwa sijui hongereni sana..

      Na ile mikataba ya Madini kwenye migodi ya Buzwagi na Geita, ya miaka 99 waliifanya wasomi wa Kikirstu hongerini sana..

      Mikataba ya Richmond, Bandari, Airport, wameifanya Wasomi wa Kikristu..

      Nitajie hao wasomi wako wa Kikiristu wamelisaidiaje taifa letu kama sio kufanya ufisadi tu.
      Mikataba yote inaratibiwa na ofisi ya Mwanasheria Mkuu;-
      1.Mark Bomani
      2. Joseph Warioba
      3. Damian Lubuva
      4. Johnson Mwanyika
      5. Fredrick Werema

    15. #52
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By M-mbabe
      mkuu mkandara, sidhani kama hawa wanaoleta cheap arguments against hii good move ya ninyi waislamu ni wakristo kweli. sidhani.

      mimi nawashauri waislamu (na sisi wakristo genuine tukienda sambamba nanyi) muendelee kuwa focused kwenye issues. hii forum mliyoianzisha waislamu mimi binafsi nimeipenda kwa kweli.
      Shukran sana mkuu wangu..Sisi wote hapa hatukubaliani na muundo wa sheria ya katiba na tuna asasi zenye ushauri wetu kama jumuiya (yenye mwongozo wake) na ndio maana tulitaka kwanza kabla ya kuwa sheria, wananchi tuweke mapendekezo yetu lakini tumelazimishwa kufuata sheria ilichakachuliwa. Sheria ambayo bado tunaipinga na majuzi tu Shevji kafanya kikao cha katiba sikuwasikia hawa watu wakipiga matusi...

      Leo wamefanya Waislaam imekuwa hoja kubwa kwani vikao vya katiba hakuna? mbona taasisi kibao zi -me/nakaa kila siku wakijadili katiba mpya yaani tufuate aloyataka JK ili ndio tuonekane Waislaam safi?..Tushauriane sote kwa makundi yetu ya kijamii lazima tukae pamoja kutoa mawazo yetu na kuyapanga, haiwezekani ati tume ikusanye mawazo ya watu millioni 40 pasipo makundi yao... Hii akili kweli?.. badala ya kumuuliza JK itawezekana vipi tume ikusanye mawazo ya wananchi millioni hata 20 (mtu mmoja mmoja) wenye zaidi ya umri wa miaka 18, how na ku - represent what?..
      Last edited by Mkandara; 4th January 2012 at 17:37.
      M-mbabe likes this.
      Exploration of reality

    16. #53
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,334
      Rep Power : 12591
      Likes Received
      5859
      Likes Given
      775

      Default

      Quote By MAFILILI
      Mikataba yote inaratibiwa na ofisi ya Mwanasheria Mkuu;-
      1.Mark Bomani
      2. Joseph Warioba
      3. Damian Lubuva
      4. Johnson Mwanyika
      5. Fredrick Werema
      Kudadaakee!! Aisee!!

    17. #54
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 843
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By Mkandara
      Shukran sana mkuu wangu..Sisi wote hapa hatukubaliani na muundo wa sheria ya katiba na tuna asasi zenye ushauri wetu kama jumuiya (yenye mwongozo wake) na ndio maana tulitaka kwanza kabla ya kuwa sheria, wananchi tuweke mapendekezo yetu lakini tumelazimishwa kufuata sheria ilichakachuliwa. Sheria ambayo bado tunaipinga na majuzi tu Shevji kafanya kikao cha katiba sikuwasikia hawa watu wakipiga matusi...

      Leo wamefanya Waislaam imekuwa hoja kubwa kwani vikao vya katiba hakuna? mbona taasisi kibao zi -me/nakaa kila siku wakijadili katiba mpya yaani tufuate aloyataka JK ili ndio tuonekane Waislaam safi?..Tushauriane sote kwa makundi yetu ya kijamii lazima tukae pamoja kutoa mawazo yetu na kuyapanga, haiwezekani ati tume ikusanye mawazo ya watu millioni 40 pasipo makundi yao... Hii akili kweli?.. badala ya kumuuliza JK itawezekana vipi tume ikusanye mawazo ya wananchi millioni hata 20 (mtu mmoja mmoja) wenye zaidi ya umri wa miaka 18, how na ku - represent what?..
      Makongamano yalifanyika kabla hamjasherehekea kusaini kwa sheria. Sasa hivi ni kiatu tu. Mlichoshangilia kitawadhuru hata nyinyi. Kwani leo ndio mnaona kuwa haiwezekani kukusanya maoni ya watu 40mil?
      Mkandara likes this.
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa

    18. #55
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 843
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By ritz
      Kwa hiyo wewe ndio msemaji wa Chadema? Wewe endelea kuhara damu..

      Ni vigumu sana kutofautisha Kanisa na Chadema..

      Ha! Ha! Ha! Ha! Hivi Wasomi wa Kikristu ndio umeifikisha Tanzania hapa ilipo? Nilikuwa sijui hongereni sana..

      Na ile mikataba ya Madini kwenye migodi ya Buzwagi na Geita, ya miaka 99 waliifanya wasomi wa Kikirstu hongerini sana..

      Mikataba ya Richmond, Bandari, Airport, wameifanya Wasomi wa Kikristu..

      Nitajie hao wasomi wako wa Kikiristu wamelisaidiaje taifa letu kama sio kufanya ufisadi tu.
      Ni akili zenu za ki- CUF CUF ndio zinawafanya muamini kuwa chama hakiwezi kusimama bila dini nyuma yake. Na ni kwa sababu hii mmekuwa mkitumiwa kwa maslahi ya wezi kila leo. Hao unaowaita wasomi wa kikristo mimi kwangu siwaoni kama unavyowaona wewe. Mimi nawaona ni wanachama wa CCM ambao nguvu yao inatokana na nyinyi na dini yenu na udini wenu. Igunga ni mfano mmoja mzuri ya jinsi mnavyoweza kutumika kisiasa kwa kuahidiwa mahakama tu, ambayo ukitumia akili tu utagundua kuwa si jambo la maana yeyote kwa wasio waislamu kwa hiyo halina sbb ya kugharimiwa na watu.

      Jiandaeni kutumika tena manake uchaguzi wa 2015 kampeni zake zimeshaanza ndani ya CCM na utakapofika mtatumiwa na vyama. Si rahisi kumfunga binadamu nira ya ng'ombe na ndio maana huwezi kumtumia mkristo kisiasa, kwa hiyo kimbilio la wanasiasa wasio na sera ni kuwatumia waislamu.
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa

    19. #56
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,334
      Rep Power : 12591
      Likes Received
      5859
      Likes Given
      775

      Default

      Quote By shizukan
      Makongamano yalifanyika kabla hamjasherehekea kusaini kwa sheria. Sasa hivi ni kiatu tu. Mlichoshangilia kitawadhuru hata nyinyi. Kwani leo ndio mnaona kuwa haiwezekani kukusanya maoni ya watu 40mil?
      JF, sio sehemu porojo makongamano na mijadala ya katiba inaendelea, wewe huifahamu hiyo sheria..

      Wiki mbili zilizopita baada ya JK kusaini hiyo sheria tumeona makongamano na mijadala inaendelea tumewaona kina Issa Shivji, John Mnyika, ITV wanajadili Katiba na hawakukamatwa!

      Sasa wewe unaleta maneno ya vijiweni JF, omba ufahamishwe hiyo sheria ilivyo.

    20. #57
      Omulangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 726
      Rep Power : 721
      Likes Received
      132
      Likes Given
      8

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By Boko haram
      hivi naomba niulize wakati Edward lowasa anasaini mkataba wa MOU wananchi au waislamu walipata nafasi ya kuulizwa kuhusu hayo makubaliano?na kama hawakupata nafasi ya kujadili kwanini wao wakipnga mambo yao munapinga?
      Hivi wakati MOU inasainiwa nani alikuwa rais vile? Inawezekana EL alifanya hivyo behind his back? Basi kama hakujua akane. Mambo mengi wala si tu la MOU yanayofanywa na serkali yankuwa bila kuuliza mawazo ya watu. Unaweza kunieleza wakati JK akisaini muswada wa sheria ya katiba ameuliza maoni kina nani? Nchi hii imeendeshwa bila maoni ya watu katika mambo mengi. Sasa hili la Mou ndilo limekuwa dhambi pekee?

    21. #58
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1255
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default

      Quote By Mkandara
      Kwa hiyo hata Profesa Shevji na Beregu ni wajinga hawakusoma sio?..
      Prof Shivji na Baregu wameipinga hii sheria tangia mwanzo na ndiyo maana walionyesha hata ujasiri wa kuipinga live kwenye tv. Hawa mashehe nao waliipinga hiyo sheria? Laiti ungeona zile kanzu, baraghashia na hijabu zilivyokuwa zinashangilia JK alipokutana na wazee wa dar. Mimi binafsi zaidi ya wewe sijaona muislam mwingine akiipinga hii sheria kandamizi. Ndiyo maana watu wanahoji busara ya hawa viongozi wenu wa dini iko wapi maana wanataka kuvunja sheria waliyoishangilia .

    22. #59
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By shizukan
      Makongamano yalifanyika kabla hamjasherehekea kusaini kwa sheria. Sasa hivi ni kiatu tu. Mlichoshangilia kitawadhuru hata nyinyi. Kwani leo ndio mnaona kuwa haiwezekani kukusanya maoni ya watu 40mil?
      Unazungumza vitu gani? waislaam walishangilia lini? mbona mchuro wewe wapi na siku gani waislaam walishangilia kusainiwa kwa Sheria!..Na sii Mnyika aliyekwnda kusaidi yale makubaliano kuhusu muswada na kwamba marekebisho yafanyike kwenye sheria?.. Acheni ujinga makosa yamefanyika na viongozi wetu na sii kwa sababu wao wakristu bali wanaChadema na walikwenda pale wote mchanganyiko wa dini tofauti. Profesa Safari alikuwepo na Mbowe sasa tuseme ilikuwa swala la wakristu?..Nani anawalisha sumu hii mimi nadhani nyie sio Chadema bali ni mapandikizi ya CCM kuja kuipakaza Chadema kionekane chama cha Wakristu..Na hamtaweza... endeleeni mkapalilia Lowassa na MoU yenu.
      Exploration of reality

    23. #60
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Waislamu Kuzindua Jukwaa la KATIBA

      Quote By MAFILILI
      Mikataba yote inaratibiwa na ofisi ya Mwanasheria Mkuu;-
      1.Mark Bomani
      2. Joseph Warioba
      3. Damian Lubuva
      4. Johnson Mwanyika
      5. Fredrick Werema
      Hivi wamesomea kuifisadi nchi au wamemomea nini?? kudadeki

      Wote ni WaG halafu mikataba feki ndio chanzo chake
      "Mbowe for Presidency 2015""

    Page 3 of 9 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...