Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 49
    1. #1
      Izack Mwanahapa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 319
      Rep Power : 476
      Likes Received
      129
      Likes Given
      97

      Default Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Ndugu wadau dalili zinaonyesha kuwa CCM wanajipanga kumuongezea Rais Kikwete muda wa miaka miwili kwa kisingizio cha kuandaa mazingira mazuri kwaajili ya katiba mpya. Moja ya wabunge wa CCM aliyeshangiliwa sana leo Bungeni wakati wa kuchangia mjadala wa mabadiliko ya katiba ni Livingston Joseph Lusinde (Mtera).

      Ambaye amesema kuwa serikali inakabiliwa na matumizi makubwa ya fedha katika kipindi hiki yakiwemo yale ya chaguzi za serikali za Mitaa hivyo amependekeza Rais aongezewe miaka miwili ili katiba nzuri iandaliwe lakini pia akibeza baraza la katiba na wanaharakati akisema ni vibaraka wa wafadhili.

      Wabunge wa ccm wameonyesha kufurahishwa sana na hoja hii maana ameshangiliwa kupita kiasi, si ajabu amepangwa.


    2. #2
      Kaduguda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2008
      Posts : 262
      Rep Power : 607
      Likes Received
      33
      Likes Given
      5

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By Izack mwanahapa View Post
      Ndugu wadau dalili zinaonyesha kuwa CCM wanajipanga kumuongezea Rais Kikwete muda wa miaka miwili kwa kisingizio cha kuandaa mazingira mazuri kwaajili ya katiba mpya. Moja ya wabunge wa CCM aliyeshangiliwa sana leo Bungeni wakati wa kuchangia mjadala wa mabadiliko ya katiba ni Livingston Joseph Lusinde (Mtera), Ambaye amesema kuwa serikali inakabiliwa na matumizi makubwa ya fedha katika kipindi hiki yakiwemo yale ya chaguzi za serikali za Mitaa hivyo amependekeza Rais aongezewe miaka miwili ili katiba nzuri iandaliwe lakini pia akibeza baraza la katiba na wanaharakati akisema ni vibaraka wa wafadhili.

      Wabunge wa ccm wameonyesha kufurahishwa sana na hoja hii maana ameshangiliwa kupita kiasi, si ajabu amepangwa.
      Huyu ndhani ni miongoni mwa wabunge vilaza ambao sijapata kuwaona!
      He walked on water; he turned water to wine; Healed the sick, Raised the dead and now he wants to be your candidate for president.

    3. #3
      mchambuzixx's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 241
      Rep Power : 432
      Likes Received
      181
      Likes Given
      2

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      ila watu mnapenda mipasho bado tu mnatazama bunge labda kama mtu ushamaliza kazi zako halafu unataka kusikia mipasho hapo sawa

    4. #4
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,384
      Rep Power : 2663
      Likes Received
      3053
      Likes Given
      13989

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By Izack mwanahapa View Post
      Ndugu wadau dalili zinaonyesha kuwa CCM wanajipanga kumuongezea Rais Kikwete muda wa miaka miwili kwa kisingizio cha kuandaa mazingira mazuri kwaajili ya katiba mpya. Moja ya wabunge wa CCM aliyeshangiliwa sana leo Bungeni wakati wa kuchangia mjadala wa mabadiliko ya katiba ni Livingston Joseph Lusinde (Mtera), Ambaye amesema kuwa serikali inakabiliwa na matumizi makubwa ya fedha katika kipindi hiki yakiwemo yale ya chaguzi za serikali za Mitaa hivyo amependekeza Rais aongezewe miaka miwili ili katiba nzuri iandaliwe lakini pia akibeza baraza la katiba na wanaharakati akisema ni vibaraka wa wafadhili.

      Wabunge wa ccm wameonyesha kufurahishwa sana na hoja hii maana ameshangiliwa kupita kiasi, si ajabu amepangwa.

      Kwa kweli hii kauli ya mbunge huyu wa CCM sio ya kupuuzwa. Hii kauli inadhihirisha kuwa ccm wanapambania mamlaka makubwa ya rais ili rais azidishe muda wa kukaa madarakani kama madikteta wengine wanavyofanya. Naamini Lusinde kaagizwa kunena maneno aliyoyanena na hii itakua ni moja ya agenda ya vikao vyao vya CCM.

      Jamani CCM wamelewa madaraka kiasi cha kutaka kujiongezea muda wa kukaa madarakani kwa kuhofia ushindani kutoka kwa wapinzani watakaopata 2015.

      Tusimame kwa pamoja tumshinde mlevi huyu wa madaraka.

      Taifa kwanza, chama baadae.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    5. #5
      Sordo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : Siringet Olemuta
      Posts : 397
      Rep Power : 467
      Likes Received
      119
      Likes Given
      108

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Minne ilibakia sidhani kama atamaliza sasa akiongezewa miwili si ndio itakuwa balaa? hawamtakii mema


    6. #6
      rombo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 47
      Rep Power : 424
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      nyie ndo vilaza humu ndani,hamjui wakati gani mtu anaongea jambo akiwa serious na wakati gani anatania.

    7. #7
      Chilli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2011
      Location : Nowhere
      Posts : 1,358
      Rep Power : 7604
      Likes Received
      587
      Likes Given
      175

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      These are just afternoon dreams.

    8. #8
      Izack Mwanahapa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 319
      Rep Power : 476
      Likes Received
      129
      Likes Given
      97

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By mchambuzixx View Post
      ila watu mnapenda mipasho bado tu mnatazama bunge labda kama mtu ushamaliza kazi zako halafu unataka kusikia mipasho hapo sawa
      Pamoja na mapungufu yaliyopo Kuna umuhimu wa kuangalia kinachoendelea, ili tuweze kupanga mikakati ya kuliokoa taifa hili.

    9. #9
      Mr. Clean's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Posts : 232
      Rep Power : 705
      Likes Received
      32
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By rombo View Post
      nyie ndo vilaza humu ndani,hamjui wakati gani mtu anaongea jambo akiwa serious na wakati gani anatania.

      Nnawasiwasi kama weye mrombo kweli, huko ambako nasikia sukari kilo sasa ni tsh 4500 kipindi hiki miaka 50 ya uhuru, yaani kama enzi zile za ujima kununua sukari na unga wa yanga maduka ya ushirika! nakama niwahuko basi weye ni fisadi mramba. WASHABIKIA NINI HAPO?

      kwa hiyo watuaminisha Shoga lusinde alikuwa anatania ndani ya 15minutes za kutumia muda huu muhimu kuchangia mjadala! si akakutanie mkiwa kitandani mnapumuliana! shiit!

      WANAFORUMS,
      Tukumbuke enzi za utawala wa mwisho wa Mkapa pia ziliibuka hoja za uchokonozi ili aongezewe mda, zikapingwa ndanikwandani!
      Katika kipindi hiki cha Jk naona ndo dalili zimenza hivyo!
      Nakumbuka hata juzi wakati wa kuchangia sheria ya manunuzi huyu bwabwa lusinde alisema Jk aongezewe mda,
      kwahiyo wamejipanga na sio UTANI!

      The Time Will Tell
      "U Can't Change The Nature"

    10. #10
      SURUMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 1,572
      Rep Power : 732
      Likes Received
      382
      Likes Given
      482

      Default

      Quote By mchambuzixx View Post
      ila watu mnapenda mipasho bado tu mnatazama bunge labda kama mtu ushamaliza kazi zako halafu unataka kusikia mipasho hapo sawa
      Ki ukweli wewe umeipunguza makali! Ukikumbuka hao wacheza maigizo ya kipuuzi tunawalipa sisi walipa kodi unapata kichefuchefu na kuipiga mateke TV siyo jambo linalokuwa mbali katika kichwa chako ukiPOTEZA MUDA KUANGALIA wajiitao WAHESHIMIWA bungeni!

      Wangelipwa kwa hela ya halmashauri na kuwekewa targets za kutimiza (kama project manager) labda wangeacha upuuzi wanaotufanyia WALIPA KODI TUNAOWALIPA HELA MNAYOITUMIA KUJIFANYA MIUNGU WATU

    11. #11
      Puppy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 1,502
      Rep Power : 689
      Likes Received
      363
      Likes Given
      53

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Aongezewe??? Kwani hii aliyo nayo ataimaliza?
      MERCIFUL likes this.

    12. #12
      Ehud's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2011
      Posts : 477
      Rep Power : 800
      Likes Received
      101
      Likes Given
      188

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Hata haishangazi ni Mbunge wa Mtera moja ya majimbo masikini hohehahe hapa Tanzania. Wananchi wake hawajitambui kama vile yeye mwenyewe asivyojitambua. Ni heri hii nchi igawanywe ili majimbo kama Mtera yawe nchi yajitegemee na kukaa na ujinga wao wenyewe maana wamezoea ujinga
      Njowepo and Daudi Mchambuzi like this.
      I was Born Intelligent. But, Education Ruined Me!


      In God We Trust. The Rest Must Pay Cash

    13. #13
      Manji's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 18
      Rep Power : 387
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Lazima aongezewe. Binafsi bado ninawadai hela za kampeni nilizowakopa tangu 2005, akiongezewa nadhani wataweza kulipa deni.

    14. #14
      mpalu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : MZINGIZINGI
      Posts : 1,608
      Rep Power : 765
      Likes Received
      429
      Likes Given
      387

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      wammwongezee tu! alafu tutaona!

    15. #15
      utantambua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 1,284
      Rep Power : 655
      Likes Received
      273
      Likes Given
      777

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Bangi mbaya jamani hasa za asubuhi,

    16. #16
      Vitalino mlelwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd October 2011
      Posts : 94
      Rep Power : 405
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Hao kushangilia vitu vya kipumbavu kawaida ila nachowapenda huwa wanajadili vitu wasivowezakuvitekeleza kwa mfano:iv sasa wanajadili huo mswada bila upinzani utaniambia matokeo yake kifupi hawana uwezo wakufikili kabisa yani ukiwachukua wabunge hamsini wa CCM wakikaa kufikiri na kujadili jambo kwa mwezi moja ni sawa na TUNDULISU akiongea kitu peke yake kwa kufikiria kwa dakika kumi yani kunautofauti sana na kinachosababisha ni elimu zao za kuforge .

    17. #17
      Sniper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,339
      Rep Power : 843
      Likes Received
      398
      Likes Given
      429

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By Izack mwanahapa View Post
      Ndugu wadau dalili zinaonyesha kuwa CCM wanajipanga kumuongezea Rais Kikwete muda wa miaka miwili kwa kisingizio cha kuandaa mazingira mazuri kwaajili ya katiba mpya. Moja ya wabunge wa CCM aliyeshangiliwa sana leo Bungeni wakati wa kuchangia mjadala wa mabadiliko ya katiba ni Livingston Joseph Lusinde (Mtera), Ambaye amesema kuwa serikali inakabiliwa na matumizi makubwa ya fedha katika kipindi hiki yakiwemo yale ya chaguzi za serikali za Mitaa hivyo amependekeza Rais aongezewe miaka miwili ili katiba nzuri iandaliwe lakini pia akibeza baraza la katiba na wanaharakati akisema ni vibaraka wa wafadhili.

      Wabunge wa ccm wameonyesha kufurahishwa sana na hoja hii maana ameshangiliwa kupita kiasi, si ajabu amepangwa.
      Hawajamshangilia kwa hoja makini bali kwa kutoa hoja ya kipuuzi kuliko zote zilizowahi kutolewa, sio kila anayekukenulia anakuchekea, wengine wanakucheka!
      Kama kuoga ni usafi kwanini taulo linachafuka?

    18. #18
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,582
      Rep Power : 5181
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      237

      Default

      Quote By Mr. Clean View Post

      Nnawasiwasi kama weye mrombo kweli, huko ambako nasikia sukari kilo sasa ni tsh 4500 kipindi hiki miaka 50 ya uhuru, yaani kama enzi zile za ujima kununua sukari na unga wa yanga maduka ya ushirika! nakama niwahuko basi weye ni fisadi mramba. WASHABIKIA NINI HAPO?

      kwa hiyo watuaminisha Shoga lusinde alikuwa anatania ndani ya 15minutes za kutumia muda huu muhimu kuchangia mjadala! si akakutanie mkiwa kitandani mnapumuliana! shiit!

      WANAFORUMS,
      Tukumbuke enzi za utawala wa mwisho wa Mkapa pia ziliibuka hoja za uchokonozi ili aongezewe mda, zikapingwa ndanikwandani!
      Katika kipindi hiki cha Jk naona ndo dalili zimenza hivyo!
      Nakumbuka hata juzi wakati wa kuchangia sheria ya manunuzi huyu bwabwa lusinde alisema Jk aongezewe mda,
      kwahiyo wamejipanga na sio UTANI!

      The Time Will Tell
      mmhh kweli itabidi jamaa ajipange msamehe bure atajua ni anatakiwa kufanya hapo baadae..

    19. #19
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,180
      Rep Power : 980
      Likes Received
      931
      Likes Given
      2307

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      hawa majuha wanafikiri tz ya leo ni ya mwaka 1965...
      “Even the smallest person can change the course of the future.”-Galadriel


    20. #20
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6320
      Likes Given
      2418

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      hv baadhi ya wabunge walichaguliwaje?

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Miaka miwili Kikwete Ikulu, tumaini lililopotea
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 3
      Last Post: 26th May 2013, 09:38
    2. Miaka miwili inaisha lini?
      By Humphnicky in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 31st May 2011, 09:40
    3. Haya ya miaka miwili tu JK ameyatekeleza?
      By Mwanamayu in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 5
      Last Post: 13th September 2010, 09:59
    4. Miaka Miwili Ya Kikwete.
      By Pasco in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 19
      Last Post: 31st October 2009, 17:56
    5. Miaka miwili baadaye...
      By Mzee Mwanakijiji in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 2nd March 2008, 14:09

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...