Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 49
    1. #1
      Izack Mwanahapa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 314
      Rep Power : 472
      Likes Received
      129
      Likes Given
      96

      Default Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Ndugu wadau dalili zinaonyesha kuwa CCM wanajipanga kumuongezea Rais Kikwete muda wa miaka miwili kwa kisingizio cha kuandaa mazingira mazuri kwaajili ya katiba mpya. Moja ya wabunge wa CCM aliyeshangiliwa sana leo Bungeni wakati wa kuchangia mjadala wa mabadiliko ya katiba ni Livingston Joseph Lusinde (Mtera).

      Ambaye amesema kuwa serikali inakabiliwa na matumizi makubwa ya fedha katika kipindi hiki yakiwemo yale ya chaguzi za serikali za Mitaa hivyo amependekeza Rais aongezewe miaka miwili ili katiba nzuri iandaliwe lakini pia akibeza baraza la katiba na wanaharakati akisema ni vibaraka wa wafadhili.

      Wabunge wa ccm wameonyesha kufurahishwa sana na hoja hii maana ameshangiliwa kupita kiasi, si ajabu amepangwa.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Kamakabuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2007
      Posts : 1,066
      Rep Power : 799
      Likes Received
      143
      Likes Given
      258

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Kama tunahitaji kipindi cha mpito basi kianze 2013, kama mnataka kianze 2015 then rais awe Dr,salim na waziri mkuu Warioba

    4. #22
      Washawasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : jo'burg
      Posts : 4,004
      Rep Power : 1455
      Likes Received
      456
      Likes Given
      891

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      kumbe hawa wanaharakati na wao pia wanaangalia matumbo yao pia na kutuingiza mkenge ngoja niangalia upya na kuzitafakari shughuli zao kabla ya kuingizwa choo cha kike.Nalog off

      shuka halina mfuko



    5. #23
      Shenkalwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Posts : 398
      Rep Power : 487
      Likes Received
      82
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By Manji
      Lazima aongezewe. Binafsi bado ninawadai hela za kampeni nilizowakopa tangu 2005, akiongezewa nadhani wataweza kulipa deni.
      Kama uliwakopesha hela za kampeni wakati wa uchaguzi imekula kwako. Na wao kama agenda yao ndiyo hiyo wanataka muda zaidi waweze kulipa madeni pia imekula kwao. Mmezoea kujikombakomba kwa watawala kwa ajili ya kulinda ufisadi wenu na kuiibia nchi hii. Sasa umekula hasara. Sasa hivi hata udai kwa machozi hutaambulia kitu kwa sababu serikali yenyewe mufilisi wanaishi kwa kukopa kwenye mabenki

    6. #24
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,243
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1087
      Likes Given
      7

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Ndio faida ya mbunge aliyeatoka kupiga nyeto afu anakurupuka kutoa hoja bungeni.........
      Last edited by Mzito Kabwela; 17th November 2011 at 13:51.

    7. #25
      MERCIFUL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 251
      Rep Power : 434
      Likes Received
      104
      Likes Given
      204

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Mie nimependa yule aliyeuliza "aongezewe muda kwani huu atamaliza?" Lakini hapo hapo nimekuwa nikijiuliza...kwa jinsi ambavyo CCM imepasuka vipande vipande, ni aibu kuwa mpaka sasa (MIMI) sijaona mtu aliye (STAND OUT) na kunifanya niamini kuwa huyo ndiye atakayempokea kijiti ****** ukiachia huyo Edoo ambaye ndio anavuma kila kona...Labda hao walioko kwenye Matibabu!


    8. #26
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Naona kuna haja ya kuweka minimum requirement ya mtu kuwa Mbunge maana mtu kama huyu inanifanya nianze kumfuatilia hasa elimu yake.
      Waache wamuongezee iyo 2 years akiwafia njiani watajua jamaa kweli kachoka kuongoza nchi yenye kila aina ya shida
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    9. #27
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5677
      Likes Given
      12666

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Alfu Lela u Lena elfu Mia na moja

    10. #28
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,729
      Rep Power : 752
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Hivi bunge limeishaanza nilikuwa naangalia taarabu.....TBC 1 Anna makinda alikuwa anaimba na kina lucinde wanacheza
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    11. #29
      Adrian Stepp's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Posts : 1,573
      Rep Power : 714
      Likes Received
      438
      Likes Given
      2560

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Hanipi shida Livingstone Lusinde ni kijana wa mtaani ameshinda sana kawe ukwamani akifanya shughuli zake kama MC ni mjinga wa kupindukia yeye na kijana mmoja hivi anaitwa azimio ni sifuri hao

    12. #30
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1675
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By rombo
      nyie ndo vilaza humu ndani,hamjui wakati gani mtu anaongea jambo akiwa serious na wakati gani anatania.
      Bungeni kumbe kuna utani eeeeh MAGAMBA BWANA MNAENDA BUNGENI KWA UTANI!?
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    13. #31
      Chatumkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : DOM
      Posts : 1,384
      Rep Power : 975
      Likes Received
      184
      Likes Given
      166

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By TTOZI BWEKA
      Ndio faida ya mbunge aliyeatoka kupiga nyeto afu anakurupuka kutoa hoja bungeni.........
      Kuna wakati alikuja na hoja ya wabunge wapimwe akili,leo kaja na ----- mwingine tena!Inawezekana ni huyuhuyu aliyedai siku moja bungeni milango ifungwe wachapane makonde!

    14. #32
      Chatumkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : DOM
      Posts : 1,384
      Rep Power : 975
      Likes Received
      184
      Likes Given
      166

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By Manji
      Lazima aongezewe. Binafsi bado ninawadai hela za kampeni nilizowakopa tangu 2005, akiongezewa nadhani wataweza kulipa deni.
      Wewe za kuwakopesha ulizipata wapi mwenzetu?Au ndio zile nilisika zinaitwa sijui za APE,sijui EPA,sijui nini?

    15. #33
      anayo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th March 2011
      Posts : 19
      Rep Power : 419
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Mwanahapa Isaack,nimefurahi sana Tosa boy wangu ulivyo kuwa makini ,kwani nia yako haijaanzia hapa tangu enzi za mwapinga,Fyudo na charwe ulikuwa kipaumbele katika haki,umeonge jema kaka,mpango wa maandamano vp?upo tayari kaka au?

    16. #34
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,745
      Rep Power : 1920
      Likes Received
      1180
      Likes Given
      972

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By Izack mwanahapa
      Ndugu wadau dalili zinaonyesha kuwa CCM wanajipanga kumuongezea Rais Kikwete muda wa miaka miwili kwa kisingizio cha kuandaa mazingira mazuri kwaajili ya katiba mpya. Moja ya wabunge wa CCM aliyeshangiliwa sana leo Bungeni wakati wa kuchangia mjadala wa mabadiliko ya katiba ni Livingston Joseph Lusinde (Mtera), Ambaye amesema kuwa serikali inakabiliwa na matumizi makubwa ya fedha katika kipindi hiki yakiwemo yale ya chaguzi za serikali za Mitaa hivyo amependekeza Rais aongezewe miaka miwili ili katiba nzuri iandaliwe lakini pia akibeza baraza la katiba na wanaharakati akisema ni vibaraka wa wafadhili.

      Wabunge wa ccm wameonyesha kufurahishwa sana na hoja hii maana ameshangiliwa kupita kiasi, si ajabu amepangwa.
      Acha woga wewe. Kila kitu wasi wasi tu.

      Nchi inaongozwa na sheria sio matakwa ya watu au kikundi cha watu.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    17. #35
      Kiduku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 481
      Rep Power : 535
      Likes Received
      69
      Likes Given
      683

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Wanamaanisha uenyekiti wa ccm

      maana nasikia wanataka kummwaga 2012

      sidhani kama ni kumuongezea kipindi cha urais manake

      keshashindwa anatamani amrudishie Dr Slaa urais wake
      Adrian Stepp likes this.

    18. #36
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,207
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13672

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By Barubaru
      Acha woga wewe. Kila kitu wasi wasi tu.

      Nchi inaongozwa na sheria sio matakwa ya watu au kikundi cha watu.
      Aisee consult books sheikh.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    19. #37
      UNIQUE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Posts : 180
      Rep Power : 449
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Hutu rais wa kichinaaongezewe afnye lipi zuri

    20. #38
      Izack Mwanahapa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 314
      Rep Power : 472
      Likes Received
      129
      Likes Given
      96

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Quote By Washawasha
      kumbe hawa wanaharakati na wao pia wanaangalia matumbo yao pia na kutuingiza mkenge ngoja niangalia upya na kuzitafakari shughuli zao kabla ya kuingizwa choo cha kike.Nalog off
      Una maana gani mkuu.

    21. #39
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      JK mwenyewe hahitaji hiyo miaka ya zaidi..hana tamaa za hivyo wapambe wanajiropokea tu.

    22. #40
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,554
      Rep Power : 2090
      Likes Received
      1097
      Likes Given
      1575

      Default Re: Kikwete kuongezewa miaka miwili?

      Labda MIWILI kuanzia leo bt after 2015 wao wenyewe wanaelewa kuwa kitanuka tu!

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Miaka miwili inaisha lini?
      By Humphnicky in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 31st May 2011, 09:40
    2. Haya ya miaka miwili tu JK ameyatekeleza?
      By Mwanamayu in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 5
      Last Post: 13th September 2010, 09:59
    3. Miaka Miwili Ya Kikwete.
      By Pasco in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 19
      Last Post: 31st October 2009, 17:56
    4. Miaka miwili baadaye...
      By Mzee Mwanakijiji in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 2nd March 2008, 14:09
    5. Miaka miwili Kikwete Ikulu, tumaini lililopotea
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 16th December 2007, 22:40

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...