Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: On a Serious Note: Waziri wa Sheria anapokuwa hajui Katiba!

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 52
    1. #1
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22279

      Default Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Kwa mlio na access,
      Watch TBC sasa, Waziri wa Sheria na Katiba, Mhe. Selina Kombani yuko live hewani, akiutetea Muswada wa Kuunda Tume ya Kukusanya Maoni ya katiba mpya!.

      Ameutetea kwa nguvu zake zote huo muswada jinsi ulivyo, ila pia amekubali, kuyapokeo maoni na mapendekezo yote yanayotolewa, ndio maana wametoa nafasi kwa wananchi kutoa maoni.

      Update:
      Wanabodi,

      Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.

      Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine zaidi ya 5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli!.

      Mhe. Kombani wakati akizungumzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho zaidi ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.

      Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo hiyo katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho zaidi ya mara 5!. Marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.

      Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5!, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli!. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba!.

      Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uundwaji wa katiba mpya!.

      Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli!.

      Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba!.

      Wasalaam.

      Pasco.
      Last edited by Pasco; 19th March 2012 at 03:09.

    2. RukaaJuu Final

    3. Iza
      #21
      Iza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2009
      Location : palipo na Internet
      Posts : 1,639
      Rep Power : 856
      Likes Received
      233
      Likes Given
      368

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Quote By LAT
      mkuu... hivi ccm wanafanya makusudi au ni nini...? hivi hakuna mtu mwingine anayeweza kuwakilisha ccm katika masuala muhimu ya taifa pasipo Tambwe Hiza .... huu ni mzaha na dharau katika kuleta maendeleo ya nchi yetu
      Hawajali kitu na ni dharau kubwa waliyonayo kwa watanzania ndo maana hawaoni umuhimu wa kuleta mtu makini,hatahivyo hao 'watu makini' ndio haohao walitengeneza huo muswada unapasua vichwa sasa..
      Pasco likes this.
      Fikiria kwa u-makini...!

    4. #22
      Gurudumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2008
      Posts : 2,338
      Rep Power : 1056
      Likes Received
      223
      Likes Given
      104

      Default Re: On a Serious Note: Waziri wa Sheria Anapokuwa Hajui Katiba!.

      Kuna mwelekeo wa kupanga kuhusisha ukosoaji wa mswada huu na Chadema. Serikali na ccm wanatumia mbinu hii kukwepa hoja zinazokosoa mswada huo.

      Jana mkuu wa mkoa wa Dodoma alidai waliozuiwa nje ya bunge walikuwa ni wanafunzi wa udom ambao waliletwa na Chadema. Lakini siyo wote walikuwa wanafunzi na wanachama wa Chadema. Tambwe hiza alizomewa Karimjee wakadai ni Chadema. Lakini hata ccm walimzomea!

      Kama nia ya serikali na ccm ni kuupitisha huo mswada ulivyo basi watatumia kisingizio hicho cha kijinga kuupitisha, wakidhani wanakomoa Chadema. Wakifanya hivyo watahatarisha Amani.

      Kwanaza ni kweli kwamba huo mswada umekaa vibaya na mapungufu mengi mno. Pili, ni dharau kubwa sana kwa watz ambao siyo Chadema kuwaona kwamba hawana akili ya kuona yaliyomo kwenye huu mswada.

      Tatu, basi hata kama mko sahihi kwamba ni wanachama wa Chadema pekee wenye akili na uwezo wa kuchambua uzuri na ubaya wa huu mswada, wao pia ni watz hivyo wana haki ya kusikilizwa.

      Nne, kukataa hoja kwa sababu humpendi mtoa hoja ni kusokota sayansi mantiki. Shuhulikia hoja usimshuhulikie mtoa hoja!
      Pasco likes this.

    5. #23
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2720
      Likes Received
      1587
      Likes Given
      1145

      Default Re: On a Serious Note: Waziri wa Sheria Anapokuwa Hajui Katiba!.

      Quote By Gurudumu
      Kuna mwelekeo wa kupanga kuhusisha ukosoaji wa mswada huu na Chadema. Serikali na ccm wanatumia mbinu hii kukwepa hoja zinazokosoa mswada huo.

      Jana mkuu wa mkoa wa Dodoma alidai waliozuiwa nje ya bunge walikuwa ni wanafunzi wa udom ambao waliletwa na Chadema. Lakini siyo wote walikuwa wanafunzi na wanachama wa Chadema. Tambwe hiza alizomewa Karimjee wakadai ni Chadema. Lakini hata ccm walimzomea!

      Kama nia ya serikali na ccm ni kuupitisha huo mswada ulivyo basi watatumia kisingizio hicho cha kijinga kuupitisha, wakidhani wanakomoa Chadema. Wakifanya hivyo watahatarisha Amani.

      Kwanaza ni kweli kwamba huo mswada umekaa vibaya na mapungufu mengi mno. Pili, ni dharau kubwa sana kwa watz ambao siyo Chadema kuwaona kwamba hawana akili ya kuona yaliyomo kwenye huu mswada.

      Tatu, basi hata kama mko sahihi kwamba ni wanachama wa Chadema pekee wenye akili na uwezo wa kuchambua uzuri na ubaya wa huu mswada, wao pia ni watz hivyo wana haki ya kusikilizwa.

      Nne, kukataa hoja kwa sababu humpendi mtoa hoja ni kusokota sayansi mantiki. Shuhulikia hoja usimshuhulikie mtoa hoja!
      Yaani CHADEMA wasiujadili huu muswada wakati wao ndio walioanzisha msisismko wa kudai katiba?
      Pasco likes this.
      A compliment is something like a kiss through a veil




    6. #24
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,366
      Rep Power : 26650
      Likes Received
      2661
      Likes Given
      1562

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Quote By CAMARADERIE
      Kuna lawyer jana kaniboa sana STAR TV.......ati Marekani wana katiba ya miaka 250 na hawabadili katiba iweje sisi tubadili yetu yenye miaka 34 tu?
      Fikra mgando, kwa mawazo hayo bado tuna safari ndefu inamaana kila tunachotakiwa kufanya lazima tuangalie Marekani wamefanya nini. huyo ni mwanasheria anayetegemewa kwa maoni na mchakato wa Katibu, watu kama hawa hawatakiwi kwenye maoni tena hawafai kwenye jamii yetu ya sasa
      Pasco likes this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    7. #25
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22279

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      These people really don't get IT! the are incapable of getting it, and they would never get it even if you were to hammer it with a six inches nail in their heads. It is not about them, it is not about cosmetic change; it is about the fact that the people want to exercise their sovereignty by writing a new constitution. I mean, what is so hard to understand in that?
      Mzee Mwanakijiji, kwa jinsi nilivyomuona Waziri Kombani, she was honest na genuine alipokuwa akitetea mamlaka ya rais, kwa vile ameona huo ndio uliokuwa mchakato wa marekebisho ya katiba. Amini usiamini, waziri anaamini wanachotaka Watanzania ni marekebisho na sio katiba mpya, ndio maana hata muswada wenyewe unasema mapitio. Ila pia ametoa room kuwa watazingatia maoni ya wengi hivyo naamini kuwa safari ya kuelekea kupata katiba mpya ndio imeanza.

      Kitu kimoja ambacho Waziri Kombani hajakijua, ni tofauti ya kupata katiba mpya na kufanya mapitio ya katiba iliyopo. Kwa vile kuna notion kuwa Watanzania hawaijui hata katiba iliyopo, hivyo anaamini Watanzania hawajui wanataka nini, kama hujui unachotaka, basi ni lazima utapokea chochote unachopewa!. Tumepewa hii review na serikali ina amini tutapokea tuu kama kawaida yetu!.

    8. Miaka 50

    9. #26
      nsimba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 762
      Rep Power : 590
      Likes Received
      46
      Likes Given
      0

      Default Re: On a Serious Note: Waziri wa Sheria anapokuwa hajui Katiba!

      Quote By Pasco
      Wanabodi,

      Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.

      Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli.

      Mhe. Kombani wakati akizungunzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.

      Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo katiba katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho mara 5, marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.

      Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba.

      Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uuundwaji wa katiba mpya.

      Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli.

      Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba.

      Wasalaam.

      Pasco.

      NB.(Somo la Katiba, ndio somo la kwanza kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria, anapufundishwa 'What is Law?').
      Mkuu umenena! waziri-hana taaluma ya sheria, na katibu mkuu wake mwalimu!-piga picha!!!
      Pasco likes this.

    10. #27
      HisiaZAkweli's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 37
      Rep Power : 441
      Likes Received
      8
      Likes Given
      4

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Wakati wakitumia NGUVU zao zote kupitisha ujinga wao...wananchi walio wengi walikua wakitumia NGUVU zao zote kuhakikisha hawaelewi na wanapoteza nafasi zao next election....The harder they r pushin it,the easy we understand hw much garbage is contained in the BILL
      Pasco likes this.

    11. #28
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,201
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4197
      Likes Given
      638

      Default

      Quote By LAT
      yaani acha tuu...hata Robert Manumba aliulizwa kwamba katiba ya tanzania inasemaje kuhusu madaraka ya jeshi la polisi ..akajibu kuwa yeye sio mtaalam wa katiba .... najiuliza katiba hii nani anatakiwa aijue...?
      khaaa!
      Inabidi kuwe na somo la katiba kuanzia form one.
      Pasco likes this.

    12. #29
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,647
      Rep Power : 5722
      Likes Received
      1092
      Likes Given
      2531

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      These people really don't get IT! the are incapable of getting it, and they would never get it even if you were to hammer it with a six inches nail in their heads. It is not about them, it is not about cosmetic change; it is about the fact that the people want to exercise their sovereignty by writing a new constitution. I mean, what is so hard to understand in that?
      I am of the same opinion as you. These people are not seeing and putting things in perspective. I dare say that their perspective is very myopic and self-destructive. This is what I had posted earlier:

      http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...saa-100-a.html
      Pasco likes this.
      Semper fi!

    13. #30
      drgeorge's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd June 2009
      Posts : 99
      Rep Power : 524
      Likes Received
      21
      Likes Given
      4

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      angekuwa ni mama yangu, ningemsihi ajiuzulu, na ningeweza hata kugoma kula mpaka ajiuzulu, si kwa sababu namchukuia ila kwa sababu nawapenda watanzania.
      Pasco likes this.

    14. Ame
      #31
      Ame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Location : Global Citizen
      Posts : 1,513
      Rep Power : 1184
      Likes Received
      650
      Likes Given
      2615

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Quote By Pasco
      Mhe Kombani, amekiri ni kweli rais amepewa madaraka makubwa sana kwenye muswada huo, lakini akasema madaraka hayo, yametokana na katiba yetu ya Tanzania ya mwaka 1977.
      Nashindwa kuamini macho yangu yanayosoma haya; anakiri alafu anafanya the opposite kwenye jambo analotakiwa kulifanya sasa tumsaidieje? Tumsaidie kulia kwasababu yuko helpless ama?
      Pasco likes this.

    15. Ame
      #32
      Ame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Location : Global Citizen
      Posts : 1,513
      Rep Power : 1184
      Likes Received
      650
      Likes Given
      2615

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Quote By Pasco
      Mzee Mwanakijiji, kwa jinsi nilivyomuona Waziri Kombani, she was honest na genuine alipokuwa akitetea mamlaka ya rais, kwa vile ameona huo ndio uliokuwa mchakato wa marekebisho ya katiba. Amini usiamini, waziri anaamini wanachotaka Watanzania ni marekebisho na sio katiba mpya, ndio maana hata muswada wenyewe unasema mapitio. Ila pia ametoa room kuwa watazingatia maoni ya wengi hivyo naamini kuwa safari ya kuelekea kupata katiba mpya ndio imeanza.

      Kitu kimoja ambacho Waziri Kombani hajakijua, ni tofauti ya kupata katiba mpya na kufanya mapitio ya katiba iliyopo. Kwa vile kuna notion kuwa Watanzania hawaijui hata katiba iliyopo, hivyo anaamini Watanzania hawajui wanataka nini, kama hujui unachotaka, basi ni lazima utapokea chochote unachopewa!. Tumepewa hii review na serikali ina amini tutapokea tuu kama kawaida yetu!.
      Kila siku ya dunia ni mpya haijawahi kutokea moja ikafanana na nyingine na hata sura ya mwanadamu hubadilika kila saa japo slowly to be seen with visible eyes kinacho ni shangaza ni upofu wa serikali ya CCM kwenye vitu so obvious kama hivi. What I can read is si kwamba hawafahamu no ila mslahi yao ni mazito kuliko ukweli wanaouona ndiyo maana wana fight to the last drop. Na sisi tunasema this time no way out kama mbaya na acha iwe!
      Pasco likes this.

    16. Ame
      #33
      Ame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Location : Global Citizen
      Posts : 1,513
      Rep Power : 1184
      Likes Received
      650
      Likes Given
      2615

      Default Re: On a Serious Note: Waziri wa Sheria Anapokuwa Hajui Katiba!.

      Quote By CAMARADERIE
      Huyu mama aombe kubadilishwa wizara........hii haiwezi.......I wish Sitta was in place
      Hatuna huo uungwana ndugu sisi huwa ni all knowing omnipresent and omniscience kama Miungu vile na kukosolewa kwetu ni dharau na si uungwana. Lakini hata kama mtu hajui sheria si anaowataalamu wakutosha tu hapo wizarani? Amefanya home work yake kweli kabla ya kuja public au aliona hahitaji ushauri wa kitaalamu? Ndiyo kawaida yetu sisi na wanasiasa wetu wanataka kuwa wanasiasa, watawala, wataalamu na vilevile walaji wa kila jema katika nchi ya watu milioni 40 na ushehe. Vyakula vingine sumu hilo hawajui; ulafi pia unamadhara yake.
      Pasco likes this.

    17. #34
      Ntemi Kazwile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Location : Bongo salidalam
      Posts : 1,873
      Rep Power : 833
      Likes Received
      135
      Likes Given
      449

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Quote By CAMARADERIE
      Kuna lawyer jana kaniboa sana STAR TV.......ati Marekani wana katiba ya miaka 250 na hawabadili katiba iweje sisi tubadili yetu yenye miaka 34 tu?
      Unaongelea hawa ma-lawyer wanaouza rasilimali zetu kwa kutengeneza mikataba ya kizushi? Give a break pls!
      Pasco likes this.
      “If people are not laughing at your dreams at least once a week, you are aiming too low.” Robin Sharma.

    18. #35
      gmosha48's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 805
      Rep Power : 597
      Likes Received
      245
      Likes Given
      474

      Default Re: On a Serious Note: Waziri wa Sheria anapokuwa hajui Katiba!

      Quote By Pasco
      Wanabodi,

      Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.

      Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli.

      Mhe. Kombani wakati akizungunzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.

      Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo katiba katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho mara 5, marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.

      Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba.

      Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uuundwaji wa katiba mpya.

      Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli.

      Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba.

      Wasalaam.

      Pasco.

      NB.(Somo la Katiba, ndio somo la kwanza kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria, anapufundishwa 'What is Law?').

      Ni dhahir kwamba hii post anayotumikia huyu mama ni kubwa kuliko uwezo wake. Wanawake tunaweza, lakini kwa hili tukubali kwamba huyu mama kachemsha!
      Pasco likes this.

    19. #36
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,636
      Rep Power : 961
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Quote By CAMARADERIE
      Kuna lawyer jana kaniboa sana STAR TV.......ati Marekani wana katiba ya miaka 250 na hawabadili katiba iweje sisi tubadili yetu yenye miaka 34 tu?
      Pole ndugu,

      Huyu mwanasheria pengine ni mgonjwa, mwache. Yaani anajaribu kufananisha katiba ya USA na ya Tz, basi si haba hajui mavi hunuka!
      Pasco likes this.

    20. #37
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,636
      Rep Power : 961
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default Re: On a Serious Note: Waziri wa Sheria anapokuwa hajui Katiba!

      Huyo Kombani, kapwaya sana katika hiyo Wizara. Unashindwa kubaini ni vigezo gani huyo Kikwete alitumia kuwaweka watu kama hao katika wizara nyeti hivyo. Ndio maana wenye akili wanaposema Kikwete ni zero hawakosei
      Pasco likes this.

    21. #38
      MkamaP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2007
      Posts : 4,675
      Rep Power : 1569
      Likes Received
      310
      Likes Given
      93

      Default Re: Watch TBC Live!-Mhe Kombani Hewani, Atetea Muswada ila Pia akubali ....

      Quote By Pasco
      Mzee Mwanakijiji, kwa jinsi nilivyomuona Waziri Kombani, she was honest na genuine alipokuwa akitetea mamlaka ya rais, kwa vile ameona huo ndio uliokuwa mchakato wa marekebisho ya katiba. Amini usiamini, waziri anaamini wanachotaka Watanzania ni marekebisho na sio katiba mpya, ndio maana hata muswada wenyewe unasema mapitio. Ila pia ametoa room kuwa watazingatia maoni ya wengi hivyo naamini kuwa safari ya kuelekea kupata katiba mpya ndio imeanza.

      Kitu kimoja ambacho Waziri Kombani hajakijua, ni tofauti ya kupata katiba mpya na kufanya mapitio ya katiba iliyopo. Kwa vile kuna notion kuwa Watanzania hawaijui hata katiba iliyopo, hivyo anaamini Watanzania hawajui wanataka nini, kama hujui unachotaka, basi ni lazima utapokea chochote unachopewa!. Tumepewa hii review na serikali ina amini tutapokea tuu kama kawaida yetu!.
      Mkuu;
      Japo simtetei huyo mama , nafikiri hamkuelewana kwa sababu wewe ulitaka aongelee katiba mpya wakati wao wana mswaada wa mapitio ya katiba kukuu. Nafikiri hicho wengi ndo kinawachanganya.

      Inabidi wachangiaji wachangie kwa mwelekeo wa marekebisho ya katiba.Ama wakatae kuchangia wakihitaji mswaada wa katiba mpya.Saizi unapochangia ktk mswaada uliopo inabidi ujikite na kuelekeza akili yako unachangia mswaada wa marekbisho ya katiba.
      Pasco likes this.

    22. #39
      Msarendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2011
      Location : Rich Forever.
      Posts : 2,531
      Rep Power : 927
      Likes Received
      322
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By CAMARADERIE
      Kuna lawyer jana kaniboa sana STAR TV.......ati Marekani wana katiba ya miaka 250 na hawabadili katiba iweje sisi tubadili yetu yenye miaka 34 tu?
      ebana dah! Hebu mpige konzi..ameboa vbaya.
      Pasco likes this.

    23. #40
      Shapu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2008
      Location : Citizen of the World
      Posts : 1,587
      Rep Power : 897
      Likes Received
      167
      Likes Given
      306

      Default Re: On a Serious Note: Waziri wa Sheria anapokuwa hajui Katiba!

      Quote By Pasco
      Wanabodi,

      Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.

      Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli.

      Mhe. Kombani wakati akizungunzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.

      Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo katiba katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho mara 5, marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.

      Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba.

      Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uuundwaji wa katiba mpya.

      Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli.

      Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba.

      Wasalaam.

      Pasco.

      NB.(Somo la Katiba, ndio somo la kwanza kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria, anapufundishwa 'What is Law?').
      Mkuu Pasco, umemvua huyo waziri nguo mchana kweupe! That is what at least I can say....you have undone her naked! Period

      Hatuwezi kuendelea kuwa na vilaza wa namna hii kila kukicha alafu tuvumilie....go go Pascal.
      Pasco likes this.
      "WHEN YOU REFUSE TO GIVE UP COMPETELY, THATS WHEN GOOD THINGS TEND TO HAPPEN! Never give up!" Shapu

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 312
      Last Post: 14th November 2011, 17:55
    2. Replies: 27
      Last Post: 30th October 2011, 15:27
    3. Rais, waziri mkuu na mawaziri wengine wote wanapokuwa mbumbumbu wa sheria na katiba
      By COMPLICATOR2011 in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 24th July 2011, 12:13
    4. Replies: 0
      Last Post: 8th April 2011, 12:16
    5. Replies: 0
      Last Post: 3rd January 2011, 11:26

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...