Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Edward Lowassa vs Edward Hosea

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,991
      Rep Power : 1647
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      417

      Default Edward Lowassa vs Edward Hosea

      hawa ni watu ambao kila mtu amelikoroga kivyake.

      hata hivyo, mmasai ana nidhamu kidogo. alipoona limebumbuluka, yeye alijiengua kwenye reli.

      lakini hiki kichwa kinaitwa hosea kila nikifikiria ninashindwa kupata majibu. hosea amekoroga mambo mengi; kama kiongozi muadilifu alipaswa kuwa amejiuzulu siku mingi sana:

      -kusafisha richmond
      -kusafisha chenge na kashfa ya rada
      -wikiliki

      lakini jamaa (hosea) bado ana dunda tu.

      hii ni zarau au?
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      kayumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Posts : 632
      Rep Power : 565
      Likes Received
      63
      Likes Given
      418

      Default re: Edward Lowassa vs Edward Hosea

      Quote By Ng'wanangwa
      hawa ni watu ambao kila mtu amelikoroga kivyake.

      hata hivyo, mmasai ana nidhamu kidogo. alipoona limebumbuluka, yeye alijiengua kwenye reli.

      lakini hiki kichwa kinaitwa hosea kila nikifikiria ninashindwa kupata majibu. hosea amekoroga mambo mengi; kama kiongozi muadilifu alipaswa kuwa amejiuzulu siku mingi sana:

      -kusafisha richmond
      -kusafisha chenge na kashfa ya rada
      -wikiliki

      lakini jamaa (hosea) bado ana dunda tu.

      hii ni zarau au?
      Huyu ashakuwa sugu kwenye shutuma za kutakiwa ajiuzulu. Kipindi kile cha Richmond si naye alisema wamuulize bosi wake kwani yeye bado ana endelea na nafasi yake!

      Labda mkuu wa kaya aamue kumfukuza, manake yeye alishasema hawezi kujiuzulu tokea zamani.



      You can't change the past, but you can influence the future

    4. #3
      Gad ONEYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 2,548
      Rep Power : 948
      Likes Received
      122
      Likes Given
      565

      Default re: Edward Lowassa vs Edward Hosea

      He who can no longer pause to wonder and stand rapt in awe, is as good as dead; his eyes are closed. Despite of becoming one of wikileaks star from TZ, Edward Hosea doesn't show any sign to abate! moyoni anajua kinachoendelea!

    5. #4
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,745
      Rep Power : 1163
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2515

      Default re: Edward Lowassa vs Edward Hosea

      ana mafaili yao wote hao, mengine unaweza kukuta kaya hifadhi nje ya nchi.

    6. #5
      gangsterone2010's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 346
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default re: Edward Lowassa vs Edward Hosea

      Sijui Ngw'anangwa ungekuwa wewe kwenye ile nafasi halafu kwa taarifa za vyombo vya habari tu kama ungejiuzulu...kwa mantiki hiyo kesho baba yako akitolewa "First heading" kwenye gazeti la KIU au IJUMAA (udaku) kwamba kafanya jambo fulani utamtaka ajiuzulu...!!!There should be proven grounds with no doubts kwamba fulani katenda jambo fulani na sio udaku wa vyombo vya habari vimfanye ajiuzulu...kwa mtindo huu kila mtu anayeandikwa na Media atakuwa anajiuzulu...

    7. Miaka 50

    8. #6
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,953
      Rep Power : 754
      Likes Received
      281
      Likes Given
      147

      Default

      Quote By August
      ana mafaili yao wote hao, mengine unaweza kukuta kaya hifadhi nje ya nchi.
      flash disk tu inatosha kuhifadhi si lazima nje ya nchi?

    9. #7
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 443
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default re: Edward Lowassa vs Edward Hosea

      Quote By gangsterone2010
      Sijui Ngw'anangwa ungekuwa wewe kwenye ile nafasi halafu kwa taarifa za vyombo vya habari tu kama ungejiuzulu...kwa mantiki hiyo kesho baba yako akitolewa "First heading" kwenye gazeti la KIU au IJUMAA (udaku) kwamba kafanya jambo fulani utamtaka ajiuzulu...!!!There should be proven grounds with no doubts kwamba fulani katenda jambo fulani na sio udaku wa vyombo vya habari vimfanye ajiuzulu...kwa mtindo huu kila mtu anayeandikwa na Media atakuwa anajiuzulu...
      Inasikitisha unapoleta SIPMLE REASONING kwenye SERIOUS MATTER kama hii. kwa uwezo wangu mdogo wa kung'amua mambo, nahisi wewe ndo Hosea mwenyewe au mwanae au ndugu wa karibu. Hivi kweli jambo la rushwa kwenye hii serikali ya ccm unaweza ukalifananisha na habari za udaku??? YOU MUST BE A BENEFICIARY OF THIS THING, or YOU ARE OUT OF YOUR MIND. nakushauri ukatafute mzembe wa kufikiria kama wewe ndo um-hadithie hizo cheap thoughts zako.

    10. #8
      DALLAI LAMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 2,851
      Rep Power : 892
      Likes Received
      697
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Wamunzengo
      Inasikitisha unapoleta SIPMLE REASONING kwenye SERIOUS MATTER kama hii. kwa uwezo wangu mdogo wa kung'amua mambo, nahisi wewe ndo Hosea mwenyewe au mwanae au ndugu wa karibu. Hivi kweli jambo la rushwa kwenye hii serikali ya ccm unaweza ukalifananisha na habari za udaku??? YOU MUST BE A BENEFICIARY OF THIS THING, or YOU ARE OUT OF YOUR MIND. nakushauri ukatafute mzembe wa kufikiria kama wewe ndo um-hadithie hizo cheap thoughts zako.
      umenisaidia..kuna watzania wamesoma ila hawatusaidii..pengine ni hosea.

    11. #9
      Ngandema Bwila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2010
      Posts : 680
      Rep Power : 578
      Likes Received
      115
      Likes Given
      2

      Default Re: Edward Lowassa vs Edward Hosea

      Hosea ana roho ya jiwe, anatafuniwa kaila kitu lakini kumeza hawezi! Kila siku wala rushwa wanatajwa yy badala ya kuzifnyiwa kazi taarifa na kuwakamata watuhumiwa anajipanga kuwalinda. Wabunge walarushwa wametajwa yy anabung'a macho, 27 wanamapesa nje ya nchi, hosea anafunga tai tu, halmashauri watu wanajichotea mapesa hosea kafumba macho na masikio. Hosea anaidhalilsha TAKUKURU, Bila Hosea TAKUKURU wanaweza kazi!

    12. #10
      gangsterone2010's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 346
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Edward Lowassa vs Edward Hosea

      Quote By Wamunzengo
      Inasikitisha unapoleta SIPMLE REASONING kwenye SERIOUS MATTER kama hii. kwa uwezo wangu mdogo wa kung'amua mambo, nahisi wewe ndo Hosea mwenyewe au mwanae au ndugu wa karibu. Hivi kweli jambo la rushwa kwenye hii serikali ya ccm unaweza ukalifananisha na habari za udaku??? YOU MUST BE A BENEFICIARY OF THIS THING, or YOU ARE OUT OF YOUR MIND. nakushauri ukatafute mzembe wa kufikiria kama wewe ndo um-hadithie hizo cheap thoughts zako.
      Wamuzengo hakuna ninachokitetea hapa...ila penye ukweli tuwe tunausema, hivi kweli kazi yote ambayo naishuhudia mimi ikifanywa na TAKUKURU kupitia Media wewe huioni au huna macho, I mean unaona giza kabisa...basi inabidi uwekewe kibatari angalau uweze kuona. Ina maana hao wakubwa tena walio kwenye nafasi za uwaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi wa Taasisi na Halmashauri waliofikishwa mahakamani haikutoshi kuona angalau hawa wenzetu wanafanya kazi...!!!???
      Mimi nakuona wewe ndio unatumwa na wanaomchukia Hosea uje kutuletea majungu dhidi yake humu JF...nashauri majungu tuyaache sasa kwani hii FORUM ni kwa ajili ya kujadiliana mambo ya maendeleo na namna nzuri ya kumsaidia wananchi wenzetu kuondokana na umaskini...the one who is out of his mind is you, don't bring accusations without proven grounds...find a better source before telling us your lies...!!!
      Na unapoilaumu CCM peke yake kwani hao Chadema huwaoni walivyopelekana mjengoni kiundugu kupitia viti maalum...Baba na mwanaye, shangazi na uhusiano mwingineo tena wote kutoka Kaskazini mbona hujatujuza humu tujadiliane???Rushwa ipo kila mahali na wala sio CCM pekee funguka macho wewe, mzembe wa kufikiri na mwenye cheap thought za kudanganya watanzania ni wewe pimbiiiii...!!!

    13. #11
      Deus F Mallya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th July 2011
      Posts : 467
      Rep Power : 489
      Likes Received
      321
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Ng'wanangwa
      hawa ni watu ambao kila mtu amelikoroga kivyake.

      hata hivyo, mmasai ana nidhamu kidogo. alipoona limebumbuluka, yeye alijiengua kwenye reli.

      lakini hiki kichwa kinaitwa hosea kila nikifikiria ninashindwa kupata majibu. hosea amekoroga mambo mengi; kama kiongozi muadilifu alipaswa kuwa amejiuzulu siku mingi sana:

      -kusafisha richmond
      -kusafisha chenge na kashfa ya rada
      -wikiliki

      lakini jamaa (hosea) bado ana dunda tu.

      hii ni zarau au?
      Mtanzania hata umchukulie mkewe atanyamaza tu 'Kwa kulinda Amani'

    14. #12
      gangsterone2010's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 346
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Edward Lowassa vs Edward Hosea

      Quote By Ngandema Bwila
      Hosea ana roho ya jiwe, anatafuniwa kaila kitu lakini kumeza hawezi! Kila siku wala rushwa wanatajwa yy badala ya kuzifnyiwa kazi taarifa na kuwakamata watuhumiwa anajipanga kuwalinda. Wabunge walarushwa wametajwa yy anabung'a macho, 27 wanamapesa nje ya nchi, hosea anafunga tai tu, halmashauri watu wanajichotea mapesa hosea kafumba macho na masikio. Hosea anaidhalilsha TAKUKURU, Bila Hosea TAKUKURU wanaweza kazi!
      Ngandema Bwila inasikitisha kuwa na watanzania ambao bado mpaka sasa they don't understand the rule of Law lakini wanatumia mitandao mikubwa kama hii JF...not all allegations might be true, siamini kama chombo chetu nyeti kama TAKUKURU waone taarifa kwa njia yoyote ile halafu wakae kimya...bali niaminivyo zinaweza kuwa hazina ukweli...lakini nimemsikia bosi wa TAKUKURU akisema anazifanyia kazi hivyo tumpe muda...nasi kama watanzania tujitume kumpatia taarifa zaidi ili atekeleze majukumu yake ipasavyo na sio kumlaumu tu...!!!
      Mbona tumeshuhudia mheshimiwa mbunge wa BAHI akikamatwa kwa rushwa kwenye vyombo vya habari...hii inathibitisha jamaa hamuogopi mtu, ninachokiona hapa, hawa jamaa wanahitaji muda wa kukusanya ma-ukweli ili pilato apelekewe watu wanaomstahili...!!!

    15. #13
      Kankwale's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 376
      Likes Received
      13
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By gangsterone2010
      Wamuzengo hakuna ninachokitetea hapa...ila penye ukweli tuwe tunausema, hivi kweli kazi yote ambayo naishuhudia mimi ikifanywa na TAKUKURU kupitia Media wewe huioni au huna macho, I mean unaona giza kabisa...basi inabidi uwekewe kibatari angalau uweze kuona. Ina maana hao wakubwa tena walio kwenye nafasi za uwaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi wa Taasisi na Halmashauri waliofikishwa mahakamani haikutoshi kuona angalau hawa wenzetu wanafanya kazi...!!!???
      Mimi nakuona wewe ndio unatumwa na wanaomchukia Hosea uje kutuletea majungu dhidi yake humu JF...nashauri majungu tuyaache sasa kwani hii FORUM ni kwa ajili ya kujadiliana mambo ya maendeleo na namna nzuri ya kumsaidia wananchi wenzetu kuondokana na umaskini...the one who is out of his mind is you, don't bring accusations without proven grounds...find a better source before telling us your lies...!!!
      Na unapoilaumu CCM peke yake kwani hao Chadema huwaoni walivyopelekana mjengoni kiundugu kupitia viti maalum...Baba na mwanaye, shangazi na uhusiano mwingineo tena wote kutoka Kaskazini mbona hujatujuza humu tujadiliane???Rushwa ipo kila mahali na wala sio CCM pekee funguka macho wewe, mzembe wa kufikiri na mwenye cheap thought za kudanganya watanzania ni wewe pimbiiiii...!!!
      utakuwa unatetea mambo usiyojua endelea kuwadanganya wenzio wenye uelewa mfinyu.

    16. #14
      gangsterone2010's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 346
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Edward Lowassa vs Edward Hosea

      Quote By Kankwale
      utakuwa unatetea mambo usiyojua endelea kuwadanganya wenzio wenye uelewa mfinyu.
      Kankwale acha kudandia treni kwa mbele naamini unayajua madhara yake...tulikuwa tunajadiliana na wamuzengo sasa kilichokutoa uvunguni sielewi ni kitu gani...haya lakini karibu...!!!

    Similar Topics

    1. Edward hosea live on itv
      By notmar in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 18th August 2012, 13:48
    2. All about Edward Hosea, Mwanyika
      By Masanilo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 226
      Last Post: 22nd December 2010, 16:16
    3. Edward Hosea awashambulia wabunge
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 16
      Last Post: 4th April 2009, 18:31
    4. Ph. D za Wabongo na Dr. Edward Gamanya Hosea pamoja na Lugha ya Kiwahili
      By KakindoMaster in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 3
      Last Post: 4th December 2007, 20:40
    5. Edward Hosea Aunguruma
      By Mzee Mwanakijiji in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 47
      Last Post: 7th November 2007, 13:35

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...