Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 45
    1. #1
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3353
      Likes Received
      240
      Likes Given
      0

      Default Waziri Mkuu anapotangaza Pombe



      One minute I admire kuwa yuko shambani kwake na anatonyesha mfano

      Next minute naangalia kwa makini kumbe kavaa nguo ya kutangaza Pombe

      Makes you wonder hii vita ya madiwani dhidi ya utititri wa unregulated Bars mitaani kwetu itakuwa ngumu sana. Huu si mfano mzuri kwa watoto wetu. Its ok watu wanywe lakini pia PM lazima naye ajue madhara makubwa ambayo pombe inaleta kwenye jamii.

      Why not wear T SHIRT ya JWTZ au something promoting Kilimo kwanza?

      tazama picha hii hapa:

      MICHUZI
      Attached Thumbnails  
      IPECACUANHA and Sam Seaborn like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Shaycas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2009
      Location : Arusha
      Posts : 654
      Rep Power : 654
      Likes Received
      26
      Likes Given
      2

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      inatosha kuona walau yupo shamba na anawajibika sawa sawa.
      Kuvaa tshirt hiyo anaonesha ni namna gani alivyo mtoto wa mkulima,kwamba anapewa zawadi kama rushwa ya tshirt,kanga na kofia za CCM kwa walalahoi na kwakuwa hawana namna nyingine inabidi iwe hivyo tena,xmass,mikutano mbalimbali vazi ndio hilo.
      BTW Pinda anawajibika shambani na kuvaaa tshirt hiyo huko shambani inaonesha kuichukulia ya kawaida sana na sio kwa lengo la kutangaza biashara.

    4. #3
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,638
      Rep Power : 2009
      Likes Received
      1656
      Likes Given
      1634

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Wakuu kama inawezekana ibandikeni hiyo picha humu kuliko kuweka link inayotutoa hadi kwenye hiyo blog.
      Wengine tunatumia browsers za simu.

    5. #4
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,992
      Rep Power : 1648
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      417

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Quote By SLIDINGROOF
      One minute I admire kuwa yuko shambani kwake na anatonyesha mfano

      Next minute naangalia kwa makini kumbe kavaa nguo ya kutangaza Pombe

      Makes you wonder hii vita ya madiwani dhidi ya utititri wa unregulated Bars mitaani kwetu itakuwa ngumu sana. Huu si mfano mzuri kwa watoto wetu. Its ok watu wanywe lakini pia PM lazima naye ajue madhara makubwa ambayo pombe inaleta kwenye jamii.

      Why not wear T SHIRT ya JWTZ au something promoting Kilimo kwanza?

      tazama picha hii hapa:

      MICHUZI
      avae T-shirt ya JWTZ? kwani inji iko vitani?
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    6. #5
      The Dreamer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2009
      Location : Sky
      Posts : 1,282
      Rep Power : 781
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Mtoto wa Mkulima. Mimi naamini ana haki ya kutangaza pombe. Kwani ameslim lini mpaka pombe iwe haram kwake?
      Attached Thumbnails    
      No society can surely be flourishing and happy, of which the far greater part of the members are poor and miserable-ADAM SMITH (A pioneer Political economist)


    7. #6
      Kibunango's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2006
      Location : Tampere
      Posts : 6,805
      Rep Power : 44131
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1430

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Mimi hapa nasoma bandiko hili nikiwa na bia pembeni..bariiidi!
      Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problem,
      But, if you think again, neither does milk."
      Vituko Vya Zenj

    8. #7
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,739
      Rep Power : 22531
      Likes Received
      6393
      Likes Given
      2861

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    9. #8
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,739
      Rep Power : 22531
      Likes Received
      6393
      Likes Given
      2861

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    10. #9
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,992
      Rep Power : 1648
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      417

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Quote By The Dreamer
      Mtoto wa Mkulima. Mimi naamini ana haki ya kutangaza pombe. Kwani ameslim lini mpaka pombe iwe haram kwake?

      The Dreamer wacha zako.............

      Wanengua show wengi ni Muslims na hawanengui mpaka ama wachape maji au watafune kubeli
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    11. #10
      The Dreamer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2009
      Location : Sky
      Posts : 1,282
      Rep Power : 781
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Quote By Ng'wanangwa
      The Dreamer wacha zako.............

      Wanengua show wengi ni Muslims na hawanengui mpaka ama wachape maji au watafune kubeli
      Hahahahahahahahah! Wabheja!
      No society can surely be flourishing and happy, of which the far greater part of the members are poor and miserable-ADAM SMITH (A pioneer Political economist)

    12. #11
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Naona pinda nauza apo
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    13. #12
      Yetuwote's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd July 2010
      Posts : 190
      Rep Power : 487
      Likes Received
      41
      Likes Given
      28

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Wakuu PM anadhihirisha kuwa ni mtoto wa mkulima ingawa siyo sifa. Kama PM sioni sababu ya kusema yeye ni mtoto wa mkulima kwani > 80% ya waTZ ni wakulima au wametoka huko huko.

      Kuhusu hiyo T shirt, sioni ubaya. Kwanza si kweli kwamba anatangaza pombe, kinacho onekana ni neno TUSKER tu, Hakuna alama ya Chupa, Umejuaje kuwa hilo ni tangazo la TUSKER Beer? Nimemuuliza kijana wanga maana ya neno TUSKER akasema is an elephant bearing tusks.

    14. #13
      Geza Ulole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2009
      Posts : 3,793
      Rep Power : 1336
      Likes Received
      766
      Likes Given
      139

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Quote By SLIDINGROOF
      One minute I admire kuwa yuko shambani kwake na anatonyesha mfano

      Next minute naangalia kwa makini kumbe kavaa nguo ya kutangaza Pombe

      Makes you wonder hii vita ya madiwani dhidi ya utititri wa unregulated Bars mitaani kwetu itakuwa ngumu sana. Huu si mfano mzuri kwa watoto wetu. Its ok watu wanywe lakini pia PM lazima naye ajue madhara makubwa ambayo pombe inaleta kwenye jamii.

      Why not wear T SHIRT ya JWTZ au something promoting Kilimo kwanza?

      tazama picha hii hapa:

      MICHUZI
      wewe acha u-radical...BTW tukiacha hiyo T-shirt naona kama tukio zima ni public stunt? haijakaa vizuri kwangu mie

    15. #14
      NewDawnTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Location : Matejoo
      Posts : 1,677
      Rep Power : 785
      Likes Received
      345
      Likes Given
      163

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Mbona kwanza aliyovaa ni Jersey zile wakati wa Michuano ya Tusker?? Si unaona hiyo nembo ya Uhlisport ambayo ni kampuni ya kutengeneza vifaa vya michezo.

      Hii ni katika kusherehekea ushindi wa Stars.

      Mbona hii poa kuliko nyie mnaomvaa Shakira mtafikiri mnamjua
      What is gained by argument is gained forever

    16. #15
      Gosbertgoodluck's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 2,863
      Rep Power : 1149
      Likes Received
      334
      Likes Given
      4

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Mtoto wa mkulima hajui atendalo.

    17. #16
      Supa.engineer's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 47
      Rep Power : 441
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Quote By Yetuwote
      Wakuu PM anadhihirisha kuwa ni mtoto wa mkulima ingawa siyo sifa. Kama PM sioni sababu ya kusema yeye ni mtoto wa mkulima kwani > 80% ya waTZ ni wakulima au wametoka huko huko.

      Kuhusu hiyo T shirt, sioni ubaya. Kwanza si kweli kwamba anatangaza pombe, kinacho onekana ni neno TUSKER tu, Hakuna alama ya Chupa, Umejuaje kuwa hilo ni tangazo la TUSKER Beer? Nimemuuliza kijana wanga maana ya neno TUSKER akasema is an elephant bearing tusks.
      sioni kama anafanya chochote cha kumsaidia mkulima wa tanzania. only nyerere and sokoine succeded, the rest ulaji mtupu.
      “Engineers like to solve problems. If there are no problems handily available, they will create their own problems.”

    18. #17
      smati's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 149
      Rep Power : 456
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe


      hapo tumboni kaweka nini?????

    19. #18
      Fenento's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 106
      Rep Power : 457
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      Nimeipenda sana ! Huyu nikiongozi mzuri kati ya wachache ambao wamo kwenye serikali ya CCM lakini ameshindwa kuibadili system ya serikali yake ambayo ni uoso mtupu.

    20. #19
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3353
      Likes Received
      240
      Likes Given
      0

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      For some reason I kinda admire the man.

      Hiyo picha speaks a thousand words. Tatizo ni hiyo Tshirt lakini nimetonywa kuwa mimi na yeye we have one thing in common: sote sie ni KANDAMBILI

      lakini pamoja na hayo. Angevaa tshirt ya Suma JKT

    21. #20
      Shomari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 991
      Rep Power : 771
      Likes Received
      170
      Likes Given
      624

      Default Re: Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

      huyu babu ana stunt! ataendaje kulima akiwa kavaa mawani? wee babu wewee! tena siku ya krismasi siku zote ulikuwa wapi?

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 6
      Last Post: 3rd October 2011, 15:09
    2. Replies: 5
      Last Post: 14th March 2011, 01:09
    3. Replies: 2
      Last Post: 8th December 2010, 21:45
    4. Ingekuwaje kama Mhe. Pombe Magufuli angekuwa ndio Waziri Mkuu?
      By Inviolata in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 18
      Last Post: 2nd October 2009, 17:37
    5. Waziri Cha Pombe
      By Cynic in forum Celebrities Forum
      Replies: 10
      Last Post: 19th February 2009, 07:58

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...