One minute I admire kuwa yuko shambani kwake na anatonyesha mfano
Next minute naangalia kwa makini kumbe kavaa nguo ya kutangaza Pombe
Makes you wonder hii vita ya madiwani dhidi ya utititri wa unregulated Bars mitaani kwetu itakuwa ngumu sana. Huu si mfano mzuri kwa watoto wetu. Its ok watu wanywe lakini pia PM lazima naye ajue madhara makubwa ambayo pombe inaleta kwenye jamii.
Why not wear T SHIRT ya JWTZ au something promoting Kilimo kwanza?
tazama picha hii hapa:
MICHUZI

Reply With Quote

Follow Us Here