Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      Ngambo Ngali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2009
      Posts : 2,575
      Rep Power : 1030
      Likes Received
      534
      Likes Given
      400

      Default Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Taarifa kwa vyombo vya Habari

      Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inafuatilia kwa ukaribu taarifa kuhusu uamuzi wa Mahakama ya Southwark mjini London, Uingereza kuiamuru Kampuni ya BAE Systems ya Uingereza kulipa faini ya Paundi za kiingereza laki tano 500,000 kwa kushindwa kuweka kumbukumbu sahihi za kihasibu kuhusu fedha zilizolipwa na kampuni ya BAE Systems kwa Mfanyabiashara Shailesh Vithlani wa Tanzania miaka mitano iliyopita.

      Serikali ya Tanzania,kupitia Ubalozi wetu nchini Uingereza imeomba taarifa rasmi kutoka Serikali ya Uingereza kuhusu uamuzi huo. Serikali inasubiri kwa hamu kubwa kurejeshwa kwa bakaa ya Dola Milioni 30 za Kimarekani kama ilivyokuwa katika makubaliano kati ya Idara ya Serious Fraud (SFO) na Kampuni ya BAE Systems baada ya kuondoa faini ya kiasi cha Paundi Laki tano za Kiingereza ambazo kampuni ya BAE Systems imeamuriwa kuilipa Mahakama ya Southwark mjini London.

      Mara baada ya kupata taarifa rasmi, Serikali ta Tanzania itachukua hatua muafaka ikiwa ni pamoja ni pamoja na urejeshwaji wa kiasi cha fedha kinachotakiwa kurejeshwa Tanzania kulingana na makubaliano kati ya SFO na Kampuni ya BAE Systems.

      Imetolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

      22 Desemba, 2010

      Source: issamichuzi.blogspot.com

      Taarifa ya foreign affairs kuhusu chenji ya radar, nimependa hapo kwenye red, swali wanasuburi kwa hamu kwa nia njema na manufaa ya walalahoi au zitarudi tena kulekule???????

      Mbona mambo ya ndani wako kimya kuhusu hili pamoja na kuwa BAE wamekiri kosa la Rushwa lilikuwa merinated kutoka kosa la rushwa na kwenda mwenye kosa la kutoweka kumbukumbu sahihi huku kwetu wahusika mustakabali wao unakuwaje????
      Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Akili Kichwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Location : In da Skull
      Posts : 1,498
      Rep Power : 776
      Likes Received
      150
      Likes Given
      80

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      mkuu, hiyo chenji inarudi kwenye mzunguko wa ufisadi mwingine , si unajua tena 2015 siyo mbali?.......................
      IF YOU HAVE NOTHING TO DO, DONT DO IT HERE!!!!

    4. #3
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,795
      Rep Power : 3279
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2800

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      grrrrrr...sometimes hili linchi bana... miviongozi inatupayukia kuhusu rejesho la hela, hali wengi wetu usongo wetu ni kuona wahusika wa huu uhujumu uchumi wanaozea jela!!

      Sijui, labda tusubirie tamko la wizara ya mambo ya ndani na la polisi wetu... ukiachilia huyo Vithlani aliyekimbia, lazima kuna viongozi waliohusika...

    5. #4
      Gurudumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2008
      Posts : 2,338
      Rep Power : 1056
      Likes Received
      223
      Likes Given
      104

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      We jamaa yangu wee, hivi unataka serikali yetu ichukue hatua gani tena zaidi ya kutoa tamko kwa vyombo vya habari, na wakubwa kukaa mkao wa kula?

    6. #5
      Ngambo Ngali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2009
      Posts : 2,575
      Rep Power : 1030
      Likes Received
      534
      Likes Given
      400

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Quote By Gurudumu
      We jamaa yangu wee, hivi unataka serikali yetu ichukue hatua gani tena zaidi ya kutoa tamko kwa vyombo vya habari, na wakubwa kukaa mkao wa kula?
      Kwa hiyo baada ya tamko basi " The End"
      Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1776
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      hahahahha yaaaaani hawa watu eti inafuatilia kwa karibu.
      Karibu si wanaye chenge mbona wameshamsafisha.

      Hizi sanaa nyingine zinatia kinyaa.
      Na vipi kuhusu Ule UFISADI wa jengo na Ubalozi wa Italy

    9. #7
      Kinyamana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2008
      Posts : 772
      Rep Power : 720
      Likes Received
      108
      Likes Given
      291

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      hivi jamani kuna mtu anajua makadirio ya ujenzi wa daraja la kigamboni? Badala ya serikali kupitisha bakuli kwanini isipeleke pesa hiyo yote either kwenye ujenzi wa daraja la kigamboni au hata kutatua tatizo la umeme Kigoma au pengine pesa hiyo ikatumika kuweka mtandao wa maji toka kimbiji kuja temeke,kitunda,pugu na maeneo mengine ambayo yana uhaba mkubwa wa maji safi na salama?

    10. #8
      BONGOLALA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,891
      Rep Power : 1475
      Likes Received
      1012
      Likes Given
      128

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      wizara iseme pia Watanzani waliosababisha aibu hiyo watachukuliwa hatua gani?

    11. #9
      Kiraka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Location : ILOGANZALA
      Posts : 1,352
      Rep Power : 743
      Likes Received
      258
      Likes Given
      438

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Quote By Kinyamana
      hivi jamani kuna mtu anajua makadirio ya ujenzi wa daraja la kigamboni? Badala ya serikali kupitisha bakuli kwanini isipeleke pesa hiyo yote either kwenye ujenzi wa daraja la kigamboni au hata kutatua tatizo la umeme Kigoma au pengine pesa hiyo ikatumika kuweka mtandao wa maji toka kimbiji kuja temeke,kitunda,pugu na maeneo mengine ambayo yana uhaba mkubwa wa maji safi na salama?
      Utaambiwa hizi pesa zilishapelekwa kwenye mfuko maalumu tumboni kwa mtu...hakuna mtu/kiongozi mwenye mawazo kama yako...
      sometime nikifikiria hii nchi...ni kama mwanamke kahaba ambaye amekataa tamaa na yeye haangalii nani analala naye na wala hadai pesa wala chochote....
      Form is temporary, Class is permanent...

    12. #10
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,343
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Quote By Ngambo Ngali
      Taarifa kwa vyombo vya Habari

      Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inafuatilia kwa ukaribu taarifa kuhusu uamuzi wa Mahakama ya Southwark mjini London, Uingereza kuiamuru Kampuni ya BAE Systems ya Uingereza kulipa faini ya Paundi za kiingereza laki tano 500,000 kwa kushindwa kuweka kumbukumbu sahihi za kihasibu kuhusu fedha zilizolipwa na kampuni ya BAE Systems kwa Mfanyabiashara Shailesh Vithlani wa Tanzania miaka mitano iliyopita.

      Serikali ya Tanzania,kupitia Ubalozi wetu nchini Uingereza imeomba taarifa rasmi kutoka Serikali ya Uingereza kuhusu uamuzi huo. Serikali inasubiri kwa hamu kubwa kurejeshwa kwa bakaa ya Dola Milioni 30 za Kimarekani kama ilivyokuwa katika makubaliano kati ya Idara ya Serious Fraud (SFO) na Kampuni ya BAE Systems baada ya kuondoa faini ya kiasi cha Paundi Laki tano za Kiingereza ambazo kampuni ya BAE Systems imeamuriwa kuilipa Mahakama ya Southwark mjini London.

      Mara baada ya kupata taarifa rasmi, Serikali ta Tanzania itachukua hatua muafaka ikiwa ni pamoja ni pamoja na urejeshwaji wa kiasi cha fedha kinachotakiwa kurejeshwa Tanzania kulingana na makubaliano kati ya SFO na Kampuni ya BAE Systems.

      Imetolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

      22 Desemba, 2010

      Source: issamichuzi.blogspot.com

      Taarifa ya foreign affairs kuhusu chenji ya radar, nimependa hapo kwenye red, swali wanasuburi kwa hamu kwa nia njema na manufaa ya walalahoi au zitarudi tena kulekule???????

      Mbona mambo ya ndani wako kimya kuhusu hili pamoja na kuwa BAE wamekiri kosa la Rushwa lilikuwa merinated kutoka kosa la rushwa na kwenda mwenye kosa la kutoweka kumbukumbu sahihi huku kwetu wahusika mustakabali wao unakuwaje????
      Sisi tunstaka waliohusika huku kwetu wanashughulikiwa ipasavyo si issue ya kudai fidia.

    13. #11
      TzPride's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Location : Downhole
      Posts : 1,650
      Rep Power : 973
      Likes Received
      174
      Likes Given
      70

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Kweli nchi ya majuha!
      " Counting down on CCM downfall.

    14. #12
      Chief's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2006
      Posts : 955
      Rep Power : 855
      Likes Received
      96
      Likes Given
      229

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Quote By TzPride
      Kweli nchi ya majuha!
      Wa kupitiliza.

    15. #13
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1922
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Kweli nchi hii ina majuha wa kupitiliza. Hivi serikali ya CCM wan akimbilia hizo pesa huku kuna kesi dhidi ya Chenge na wengine ambayo upelelezi wake uliisha na kungojea tu kufika mahakamani kama inavyoeleza dokezo la Wikileaks hapa chini akinukuliwa si mwingione bali Hosea mwenyewe?

      Mimi naona serikali ya UK iweke sharti kwamba isilipe fidia hiyo hadi watuhumiwa wa rada hapa TZ wafikishwe mahakamani na kuhukumiwa, kama vile serikali ya UK ilivyofanya kwa BAE (mtuhumiwa waliotoa rushwa) -- walifikishwa mahakamani na kutozwa faini. Ni lazima serikali yetu huku nayo ionekana inalishughulikia suala hili la radar. Kweli JK na timu yake hawafai kuongoza nchi hii ki-uadilifu.





      PCB: Ready to Prosecute the BAE Radar Deal
      ------------------------------------------
      ¶2. (C) Edward Hoseah, Director General of the Prevention of
      Corruption Bureau (PCB) told the DCM that the PCB was almost
      finished with its investigation of the U.K.- Tanzanian BAE
      radar deal and that it intended to prosecute the case. “We
      are focused on the 31 percent commission paid to BAE. We
      understand that businessmen need commissions but the question
      is whether 31 percent is lawful or not,” Hoseah said. He
      called the deal “dirty” and said it involved officials from
      the Ministry of Defence and at least one or two senior level
      military officers.

      ¶3. (C) Hoseah said that the two primary suspects, XXXXXXXXXXXX and Shailesh Vithlani, CEO of
      Merlin International, were currently out of the country but
      that when they returned the GOT would begin to prosecute. “I
      have obtained President Kikwete’s support to prosecute the
      culprits once they return to Tanzania,” he said, stressing
      that prosecution of the case would mark an important
      milestone in the PCB’s struggle. “The real signal of the
      GOT’s political commitment will be when we take this radar
      case to court,” Hoseah said.

      ¶4. (C) Note: Shailesh Vithlani is a British citizen who
      reportedly grew up in Tanzania. He heads Merlin
      International, a Dar es Salaam based company. Merlin
      International has been implicated as the agent for Britain’s
      BAE Systems which sold a USD 40 million military radar system
      to the GOT in 2002. Beyond the BAE radar deal, Merlin has
      been linked in the media to a range of other high profile
      government deals including the sale of a Gulfstream
      presidential jet to former President Benjamin Mkapa.
      According to a July 13 report in This Day, a local newspaper,
      at the time of the BAE deal, Vithlani’s local partner was
      Tanil Somaiya of Shivacom Tanzania Ltd.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    16. #14
      Ba Martha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2010
      Location : Nyarugusu
      Posts : 296
      Rep Power : 505
      Likes Received
      27
      Likes Given
      34

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Quote By Zak Malang
      Kweli nchi hii ina majuha wa kupitiliza. Hivi serikali ya CCM wan akimbilia hizo pesa huku kuna kesi dhidi ya Chenge na wengine ambayo upelelezi wake uliisha na kungojea tu kufika mahakamani kama inavyoeleza dokezo la Wikileaks hapa chini akinukuliwa si mwingione bali Hosea mwenyewe?

      Mimi naona serikali ya UK iweke sharti kwamba isilipe fidia hiyo hadi watuhumiwa wa rada hapa TZ wafikishwe mahakamani na kuhukumiwa, kama vile serikali ya UK ilivyofanya kwa BAE (mtuhumiwa waliotoa rushwa) -- walifikishwa mahakamani na kutozwa faini. Ni lazima serikali yetu huku nayo ionekana inalishughulikia suala hili la radar. Kweli JK na timu yake hawafai kuongoza nchi hii ki-uadilifu.





      PCB: Ready to Prosecute the BAE Radar Deal
      ------------------------------------------
      ¶2. (C) Edward Hoseah, Director General of the Prevention of
      Corruption Bureau (PCB) told the DCM that the PCB was almost
      finished with its investigation of the U.K.- Tanzanian BAE
      radar deal and that it intended to prosecute the case. “We
      are focused on the 31 percent commission paid to BAE. We
      understand that businessmen need commissions but the question
      is whether 31 percent is lawful or not,” Hoseah said. He
      called the deal “dirty” and said it involved officials from
      the Ministry of Defence and at least one or two senior level
      military officers.

      ¶3. (C) Hoseah said that the two primary suspects, XXXXXXXXXXXX and Shailesh Vithlani, CEO of
      Merlin International, were currently out of the country but
      that when they returned the GOT would begin to prosecute. “I
      have obtained President Kikwete’s support to prosecute the
      culprits once they return to Tanzania,” he said, stressing
      that prosecution of the case would mark an important
      milestone in the PCB’s struggle. “The real signal of the
      GOT’s political commitment will be when we take this radar
      case to court,” Hoseah said.

      ¶4. (C) Note: Shailesh Vithlani is a British citizen who
      reportedly grew up in Tanzania. He heads Merlin
      International, a Dar es Salaam based company. Merlin
      International has been implicated as the agent for Britain’s
      BAE Systems which sold a USD 40 million military radar system
      to the GOT in 2002. Beyond the BAE radar deal, Merlin has
      been linked in the media to a range of other high profile
      government deals including the sale of a Gulfstream
      presidential jet to former President Benjamin Mkapa.
      According to a July 13 report in This Day, a local newspaper,
      at the time of the BAE deal, Vithlani’s local partner was
      Tanil Somaiya of Shivacom Tanzania Ltd.





      Mi naona viongozi wetu wanalaaana...Ishu kama hii haiitaji mjadala....shame on them.

    17. #15
      nginda's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 455
      Rep Power : 0
      Likes Received
      31
      Likes Given
      4

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      haya mafisi na mabweha yanasubiri pesa irudi! yani hayana muda wa kuzitafuta ila wakichakarika wengine wao wanatoa macho kama manguruwe. Hawa uingereza wangeingiza hizo pesa kwenye taasisi zao za maendeleo ka ilivyo USAID- Danida Nk. kuliko kuwarudishia haya majambazi. Kwani zilizorudi BOT kwa msaada wa Dr,. Slaa kufichu wakasingizia zinapelekwa Rukwa kwa ajili ya kilimo kwanza si wamezitafuna. Tunaongozwa na mafisi. shiit.

    18. #16
      Wambugani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2007
      Posts : 1,239
      Rep Power : 832
      Likes Received
      142
      Likes Given
      169

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Quote By BONGOLALA
      wizara iseme pia Watanzani waliosababisha aibu hiyo watachukuliwa hatua gani?
      Hatua gani zaidi ichukuliwe kwenye nchi ya walaji?

    19. #17
      ngoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 569
      Rep Power : 550
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Quote By Ngambo Ngali
      Serikali inasubiri kwa hamu kubwa kurejeshwa kwa bakaa ya Dola Milioni 30 za Kimarekani
      Kwa mwendo huu jamaa wanajipongeza na kujiona wajanja, pesa uweke mfukoni, halafu wazungu wanakulipa tena kama zawadi ya matendo yako machafu!!!, hizi dili chafu hazitaisha inji hii.

    20. #18
      Drifter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2010
      Posts : 634
      Rep Power : 603
      Likes Received
      93
      Likes Given
      63

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Quote By Kinyamana
      hivi jamani kuna mtu anajua makadirio ya ujenzi wa daraja la kigamboni? Badala ya serikali kupitisha bakuli kwanini isipeleke pesa hiyo yote either kwenye ujenzi wa daraja la kigamboni au hata kutatua tatizo la umeme Kigoma au pengine pesa hiyo ikatumika kuweka mtandao wa maji toka kimbiji kuja temeke,kitunda,pugu na maeneo mengine ambayo yana uhaba mkubwa wa maji safi na salama?
      Good idea! Lakini serikali ikubali waingereza wenyewe ndio watekeleze na kuisimamia miradi hiyo nchini mwetu kwa kutumia wananchi wetu wanaowaamini. Nisiulizwe kuhusu sovereignty au kama nao (waingereza) hawatakula. Hadi hapo tumeshapoteza uhuru wa kusimamia maslahi yetu na hata kama wakijimegea kiasi sio tatizo; kwani sie tulidai tumeibiwa? Kuna chochote tulichotegemea zaidi ya kuwatetemekea na kuwaenzi wezi wetu?
      The sources of our fears reside within our depths

    21. #19
      Drifter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2010
      Posts : 634
      Rep Power : 603
      Likes Received
      93
      Likes Given
      63

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Quote By Ngambo Ngali
      [B]Taarifa kwa vyombo vya Habari

      ... Serikali inasubiri kwa hamu kubwa kurejeshwa kwa bakaa ya Dola Milioni 30 za Kimarekani kama ilivyokuwa katika makubaliano kati ya Idara ya Serious Fraud (SFO) na Kampuni ya BAE Systems baada ya kuondoa faini ya kiasi cha Paundi Laki tano za Kiingereza ambazo kampuni ya BAE Systems imeamuriwa kuilipa Mahakama ya Southwark mjini London.

      Mara baada ya kupata taarifa rasmi, Serikali ta Tanzania itachukua hatua muafaka ikiwa ni pamoja ni pamoja na urejeshwaji wa kiasi cha fedha kinachotakiwa kurejeshwa Tanzania kulingana na makubaliano kati ya SFO na Kampuni ya BAE Systems. ...

      [/SIZE]
      Bila shaka kuwa kiongozi serikalini inabidi usiwe na soni wala haya!
      The sources of our fears reside within our depths

    22. #20
      LoyalTzCitizen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Lashkar Gah, Helmand
      Posts : 1,539
      Rep Power : 763
      Likes Received
      157
      Likes Given
      147

      Default Re: Tamko la Foreign Affairs kuhusu kesi ya Radar

      Nimechoka na hili linchi! tuandamane!!
      "A government that robs Peter to pay Paul can always depend on the support of Paul.." (GB Shaw)


    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Prof. Saitoti: A new Foreign Affairs minister
      By Invisible in forum Kenyan Politics
      Replies: 15
      Last Post: 11th June 2012, 03:36
    2. Ministry of Farce Affairs aka Foreign Afairs
      By Game Theory in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 40
      Last Post: 31st August 2011, 02:51
    3. Replies: 4
      Last Post: 30th June 2011, 17:18
    4. Replies: 40
      Last Post: 16th February 2011, 10:25
    5. Rwanda Foreign Affairs summons S.A envoy
      By babukijana in forum International Forum
      Replies: 11
      Last Post: 9th July 2010, 14:35

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...