Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

    Report Post
    Page 10 of 10 FirstFirst ... 8910
    Results 181 to 197 of 197
    1. #1
      Mpaka Kieleweke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Posts : 2,793
      Rep Power : 1196
      Likes Received
      724
      Likes Given
      11

      Default Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      JK amteua pinda kuwa waziri mkuu na wabunge wanashangilia sana uteuzi huo.


    2. #181
      Pundit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2007
      Posts : 3,941
      Rep Power : 2644
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Breaking News: Pinda Waziri mkuu!

      Quote By jmushi1 View Post
      Kwa maoni yangu..ninaweza kusema kuwa kuna sababu mbili ambazo zinaweza kuwa zilitumika na Kikwete kumteua Pinda;
      Moja ni uzoefu wake kwenye masuala ya kisheria..hii itamsaidia kuwaleta mafisadi mbele ya sheria bila kuvunja sheria!Hapo wananchi tuko upande wake!
      Sababu ya pili inatia shaka..Huyu Mh Pinda kwanza kabisa ni mjamaa..then usalama wa taifa!Hizo sifa zinamfanya kuwa ni mtu msiri na unayeweza kumtegemea kwenye kurudisha nidhamu na kurekebisha loop holes ambazo zilisababisha news za ufisadi na mikataba mibovu kuvuja!Huyu jamaa anajua mambo mengi sana!Ila taarifa zinadai kuwa anaonekana ana mawazo mengi sasa na kwakuwa ana sifa ya uadilifu..then anaona itakuwa mzigo mkubwa kuwashughulikia mafisadi ambao amekiri kuwa ni watu wake wa karibu..kama vile Chenge etc!Htaweza kuchukua ushauri mwingine zaidi ya ule wa Mzee Mwiru!Akiwa mjanja atachukua ushauri wa Butiku ambaye wanafahamiana vyema na walifanya kazi pamoja chini ya Mwalimu kwa muda mrefu!
      Jamani tunasema Pinda ana uzoefu na mambo ya kisheria kama vile ame practice law au aliuwa anafanya kazi za sheria, for all we know alikuwa anapanga mafaili ikulu mpaka 2000 alipokuwa mbunge.

    3. #182
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,524
      Rep Power : 2445
      Likes Received
      279
      Likes Given
      286

      Default Re: Breaking News: Pinda Waziri mkuu!

      Quote By Pundit View Post
      Jamani tunasema Pinda ana uzoefu na mambo ya kisheria kama vile ame practice law au aliuwa anafanya kazi za sheria, for all we know alikuwa anapanga mafaili ikulu mpaka 2000 alipokuwa mbunge.
      Kam mtu mwnye LLB anapanga mafaili ikulu sasa sijui wenye diplama za mzumbe IFM na vyeti vya Form six na NABOCE wanafanya nini pale Ikulu.

      Inawezekana si chaguo la wengi na shepu yake si swano kama ya Lowassa, lakini ni vema tutambue kwamba hatutajua uwezo wa mtu mpaka pale akianza kufanya vitu vyake.

    4. #183
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Wink Re: Breaking News: Pinda Waziri mkuu!

      Quote By Pundit View Post
      Jamani tunasema Pinda ana uzoefu na mambo ya kisheria kama vile ame practice law au aliuwa anafanya kazi za sheria, for all we know alikuwa anapanga mafaili ikulu mpaka 2000 alipokuwa mbunge.
      Si amesomea sheria?sasa unafikiri walikuwa hawamuulizi masuala ya kisheria wakati akiwa ofisini?Hiyo ndiyo shughuli yake professionally..so its obvious ana knowledge ya kutosha kuhusu mambo ya kisheria!Halafu kumbuka alikuwa downa low cause hiyo ndo style ya wanausalama wa taifa!They always keep it in a "low low" Na sio necessary kwamba hapendi makuu!

    5. #184
      Pundit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2007
      Posts : 3,941
      Rep Power : 2644
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Breaking News: Pinda Waziri mkuu!

      Quote By jmushi1 View Post
      Si amesomea sheria?sasa unafikiri walikuwa hawamuulizi masuala ya kisheria wakati akiwa ofisini?Hiyo ndiyo shughuli yake professionally..so its obvious ana knowledge ya kutosha kuhusu mambo ya kisheria!Halafu kumbuka alikuwa downa low cause hiyo ndo style ya wanausalama wa taifa!They always keep it in a "low low" Na sio necessary kwamba hapendi makuu!
      Unaweza kusoma sheria halafu kupelekwa ikulu kuwa clerk wa intelligence unit, kusoma reports za Reuters na kuandika briefings.

      How much legal experience does one get from that? Injabidi tujue alifanya kitu gani!

    6. #185
      Ukweliii's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th February 2008
      Posts : 58
      Rep Power : 591
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Breaking News: Pinda Waziri mkuu!

      Quote By mpaka kieleweke View Post
      JK amteua pinda kuwa waziri mkuu na wabunge wanashangilia sana uteuzi huo.
      Je, Kwa kumteua Mizengo Pinda, JK Kaua hoja ya Ukaskazini kwenye uongozi wa TZ??


    7. #186
      Pundit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2007
      Posts : 3,941
      Rep Power : 2644
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Breaking News: Pinda Waziri mkuu!

      Quote By Ukweliii View Post
      Je, Kwa kumteua Mizengo Pinda, JK Kaua hoja ya Ukaskazini kwenye uongozi wa TZ??
      Hoja ya ukaskazini imetoka wapi? Kawawa mkaskazini? Mwinyi Mkaskazini? Salim Mkaskazini? Malecela Mkaskazini? Kikwete Mkaskazini? Mkapa Mkaskazini?

    8. #187
      Mbalamwezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2007
      Posts : 707
      Rep Power : 744
      Likes Received
      76
      Likes Given
      139

      Default Re: Breaking News: Pinda Waziri mkuu!

      Quote By Pundit View Post
      Unaweza kusoma sheria halafu kupelekwa ikulu kuwa clerk wa intelligence unit, kusoma reports za Reuters na kuandika briefings.

      How much legal experience does one get from that? Injabidi tujue alifanya kitu gani!
      Mkuu Pundit,

      Heshima mbele mkuu!

      Lakini inaonekana MP alipractice sheria kwa AG kabla ya Ikulu. have you considered that too? Na Intelligence alifanya kwa 4 yrs tu, inavyoonekana kwenye records.

    9. #188
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,915
      Rep Power : 2990
      Likes Received
      2548
      Likes Given
      3634

      Default Re: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      ..tuna Raisi Mchumi nakini haja-practice ktk taaluma yake.

      ..huyu naye ni Mwanasheria lakini inaelekea ame-practice kwa miaka 2/3 tu.

      ..tulikuwa na Waziri Mkuu bwana shamba, aliye-practice na hata akiwa waziri mkuu aliendelea kulima. Hatukuridhika.

      ..nafikiri haitofika mahali tutaridhika na yeyote. after all huyu ni Waziri Mkuu siyo Mwanasheria Mkuu.

    10. #189
      Moshe Dayan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2008
      Location : haifa-israel
      Posts : 726
      Rep Power : 725
      Likes Received
      340
      Likes Given
      35

      Default Re: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      kwa masekeseke yanayoendelea, am sure atajitahidi kuwa mchapakazi hodari

    11. #190
      Rev. Kishoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : USA
      Posts : 4,352
      Rep Power : 2562
      Likes Received
      243
      Likes Given
      185

      Default Re: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      Jamani mlimzushia Pinda eti hana mke, mkewe ni R.I.P. Mbona tumeona picha za Bi. Tunu Pinda?
      Amani Iwe Nanyi,

      Camerlengo

      Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

      "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

      'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

    12. #191
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,053
      Rep Power : 14671
      Likes Received
      2955
      Likes Given
      2099

      Default Re: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      Siku hawa viongozi waliopo madarakani in this case pamoja na muheshimiwa Pinda, watapo kubali ukweli kuwa, nyerere ndie alyeifisadi hii nchi kwa maamuzi yake mabovu, yote kwa muono wangu, kwani sijaliona jema hata moja la nyerere. Hapo ndipo kutakuwa na mabadiliko ya kweli. Haya masalia ya warithi wa nyerere ndio yanayozidisha matatizo kwenye nchi hii, kwani ikiwa kiongozi yeyote ataetuongoza anamuona nyerere hakuifisadi nchi hii, ingawa alituwacha tu masikini wakutupwa, basi sijui, sijui kiongozi kama huyo anajuwa ufisadi ni nini! Simply, kinachotakiwa ni viongozi wenye muono tofauti na itikadi za kinyerere. Za kumfanya kila mmoja awe masikini, masikini wa kutupwa.

      Leo Tanzania, miaka karibu hamsini baada ya uhuru, ukitazama huduma za afya unatamani kulia na wenyewe wenye nchi hata mafuwa wanakwenda kujitibu nje ya nchi, wote kuanzia nyerere mwenyewe mpaka leo. Maji, wakati nyerere anapewa hii nchi, tulikuwa tukinywa maji ya bombani bila kuchemsha, leo inawezekana hilo? Elimu, hatari tupu tunaona ni hao watoto wa wenye nchi ndio wanapelekwa kusoma nje ya nchi, kwa nini? elimu yetu ni duni na wanajuwa hilo. Aaah alimradi kila kitu hohehahe, kuanzia uongozi mpaka huduma zote, nyerere kaziacha nyang'a nyang'a na bado tunaimba kila siku "baba wa taifa" mimi nasema tuimbe "baba wa ufisadi". Pinda anatokea huko-huko, hakuna jipya ataloleta. Labda akubali kuwa nyerere ndie alikuwa muasisi wa ufisadi na fisadi mkuu wa kwanza aliyeitia nchi hii kwenye lindi la ufukara na umasikini na uomba-omba na ufisadi wa kina. Akilijuwa na kukiri hilo, hapo kweli tutaona mabadiliko.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    13. #192
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,768
      Rep Power : 7665
      Likes Received
      4931
      Likes Given
      4509

      Default Re: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      Zomba,
      . Hapo ndipo kutakuwa na mabadiliko ya kweli. Haya masalia ya warithi wa nyerere ndio yanayozidisha matatizo kwenye nchi hii, kwani ikiwa kiongozi yeyote ataetuongoza anamuona nyerere hakuifisadi nchi hii, ingawa alituwacha tu masikini wakutupwa, basi sijui, sijui kiongozi kama huyo anajuwa ufisadi ni nini! Simply, kinachotakiwa ni viongozi wenye muono tofauti na itikadi za kinyerere. Za kumfanya kila mmoja awe masikini, masikini wa kutupwa.
      Katika kundi la mafisadi, nakuomba nitajie mtu hata mmoja wa Nyerere kama sio creation ya JK..
      Je, Sio nyie mlokuja na ari nguvu na kasi mpya?.. mkisema Nyerere alituchelewesha sasa leo mnawahi na mbio za marathon kwa kasi ya mita 100, tatizo limekuwa Nyerere....
      Walopiga kura na kumsifia Lowassa, Karamagi, Msabah, na wengineo kina nani?.. Je umesahau mzee spika Pius Msekwa alivyotolewa si nyie mlosema hana kitu na kumsifia Sitta - kwani Nyerere hakumwona?.
      Ndugu yangu tatizo sio watu ni direction tuliyochukua...
      Exploration of reality

    14. #193
      MMASAI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th February 2008
      Posts : 30
      Rep Power : 586
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      Quote By Mkandara View Post
      Zomba,

      Katika kundi la mafisadi, nakuomba nitajie mtu hata mmoja wa Nyerere kama sio creation ya JK..
      Je umemsahau Msuya, Mungai, Mkapa, Lowassa,Kinana...hawa wote ni kapu la Nyerere wamefugwa sasa wamekomaa..ask Ngombale hataki kabisa sura mpya ktk CCM.

    15. #194
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,768
      Rep Power : 7665
      Likes Received
      4931
      Likes Given
      4509

      Default Re: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      MMASAI,

      Tunachozungumzia hapa ni kipi haswa?......watu tuliokuwa serikalini toka wakati wa Nyerere ama kipi maanake hata huyo Freeman. Dr.Slaa, Zitto wote ni wajukuu wa Nyerere...hata huyu Waziri mkuu mpya ni mtoto wa Nyerere hivyo uzazi hautengenezi akili ya mtoto. Nyerere aliwakunja wakingali wadogo mkawatoa ktk dini, haramu ikiwa halali .. sasa wamejua tamu ya sukari, usenge sii haramu tena lakini lawama ni za Nyerere mzazi!..
      List yote uliyoitaja ni matunda ya kile tulichopanda sisi wenyewe...hawakuwa na chochote hadi mwezi wa 10,1999..

      Kuamini kwetu kwamba Ujamaa na hadithi zote za Kujitegemea ni dhana ambayo haiwezi kufanya kazi ktk dunia ya leo..Sasa imefanya kazi mnarudi nyuma kumtazama mzazi ambaye hakuwaambia kuweni mafisadi...
      Swala la Lowassa linatokana na mfumo mbovu wa CCM mpya hii ya kina mtandao na Azimio la Zanzibar. Viongozi wote sii chama CCM wala chama cha mtaani, fedha mbele na tumejenga imani kuwa fedha ndio msingi wa maendeleo....
      We all think that way! lakini sio malezi ya mwalimu.
      Exploration of reality

    16. #195
      Mtanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2006
      Location : UK
      Posts : 5,300
      Rep Power : 5575
      Likes Received
      294
      Likes Given
      79

      Default Re: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      Ushauri wa bure kwa mheshimiwa Pinda, waziri mkuu wa TZ. Jitahidi sana na usiruhusu mfanyabiashara Mhindi yeyote akakukaribia karibu. Fuata nyayo za mwalimu ambaye pamoja na kutokuwa mbaguzi lakini hakuwapa nafasi ya kumsogelea ukiondoe wafanyakazi wa serikali.

      Nimekuwa nikifuatilia viongozi wetu tokea enzi za Mwinyi mpaka sasa, Wahindi wamehusika sana katika kuwaingiza viongozi wetu kwenye deals za ajabu ajabu na kuwaonyesha pesa.

      Labda kinga kubwa kuliko zote ni kuhakikisha unakaa mbali na watu kama hao maana itaondoa hata perception iliyopo kwamba viongozi wetu wananunuliwa na Wahindi.

      Watajifanya wanachangia maendeleo ya Mpanda, wanachangia CCM nk, lakini mbona hawakuwa tayari kuchangia wilaya ya Mpanda wakati hukuwa waziri mkuu? Kwanini hawachangii shule na kimya kimya na badala yake wanachia pale tu anapokuwepo rais, waziri mkuu au kiongozi mwingine wa juu?

      Usipokuwa makini na hawa wafanyabiashara wa Kihindi, utajikuta unaishia kule kule kwa akina Lowassa ambaye pamoja na uchapa kazi wake, tamaa imemuangusha na sasa ataishia kuwa PM ambaye alikuwa fired kwasababu ya UFISADI.

    17. #196
      bokassa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2007
      Location : iloganzala
      Posts : 454
      Rep Power : 708
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      Quote By Mkandara View Post
      Zomba, Katika kundi la mafisadi, nakuomba nitajie mtu hata mmoja wa Nyerere kama sio creation ya JK.....
      mkuu, Mkandara majina umepewa, mbona unaleta ulalamishi tena???


      kinachotakiwa ni viongozi wenye muono tofauti na itikadi za kinyerere. Za kumfanya kila mmoja awe masikini, masikini wa kutupwa. Zomba hii imetulia saana, tena weka msisitizo kuwa UMASIKINI SI KIGEZO CHA USAFI BALI UPUNGUFU!!!!!
      Nakumbuka makaLa ya Johnson Mbako ktk raia mwema wiki hii aliposema KAMA ILIVYOKUWA NGUMU KUPATA WASIO DHAMBI 50 KTK MJI WA SODOMA, SOTE TUMEOZA KIMAADILI. KWA HAKIKA KWA NAMNA FULANI, WENGI WETU NI MAFISADI. TUNATOFAUTIANA TU KWA VIWANGO!!!!
      We must generate courage equal to the size of the difficulties we face-Dalai Lama

    18. #197
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,478
      Rep Power : 9889
      Likes Received
      618
      Likes Given
      456

      Default Re: Mizengo Pinda Waziri mkuu!

      Tuji kumbushe...

    Page 10 of 10 FirstFirst ... 8910

    Similar Topics

    1. Barua ya wazi kwa mhe. Waziri mkuu Mizengo Pinda
      By Wanafunzirudn in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1
      Last Post: 20th June 2011, 07:30
    2. Barua ya wazi kwa mhe. Waziri mkuu mizengo pinda
      By Wanafunzirudn in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 0
      Last Post: 20th June 2011, 06:28
    3. Replies: 5
      Last Post: 14th March 2011, 01:09
    4. Mizengo Pinda atangazwa kuwa Waziri Mkuu tena
      By NINAHASIRA in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 519
      Last Post: 17th November 2010, 14:13
    5. Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika matukio
      By Invisible in forum Jamii Photos
      Replies: 21
      Last Post: 6th July 2009, 21:13

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...