Best Quote: "Hata ingekuwa JM ningemtosa" - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 7th February 2008, 07:06 PM   #1
Best Quote: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is online now 7th February 2008, 07:06 PM

Nadhani hii itabakia kuwa ni kauli ya kijasiri zaidi na ambayo imeonesha uzito mkubwa. Hongera mama Malecela kwa kuweka maslahi ya TAifa mbele.

Mama Malecela aliyasema hayo akidai kuwa hakuna mtu aliyeoonewa na hawa wote ni marafiki zake lakini kwenye Taifa hana urafiki.
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"

 
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji
JF Premium Member
Points: 12,987,839, Level: 100 Points: 12,987,839, Level: 100 Points: 12,987,839, Level: 100
Activity: 94% Activity: 94% Activity: 94%
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,477
Thanks: 8,503
Thanked 4,689 Times in 1,320 Posts
Views: 6596
Reply With Quote
  #2  
Old 7th February 2008, 07:09 PM
Mafuchila Mafuchila is offline
Mafuchila a creator, not a reactor.
JF Senior Expert Member
Points: 316,028, Level: 100 Points: 316,028, Level: 100 Points: 316,028, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Sat Apr 2006
Posts: 850
Thanks: 3
Thanked 30 Times in 18 Posts
Rep Power: 25
Mafuchila will become famous soon enoughMafuchila will become famous soon enoughMafuchila will become famous soon enoughMafuchila will become famous soon enoughMafuchila will become famous soon enoughMafuchila will become famous soon enoughMafuchila will become famous soon enoughMafuchila will become famous soon enough
Default Re: Best Qu: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

Big up iron lady...
Reply With Quote
  #3  
Old 7th February 2008, 07:20 PM
Saharavoice Saharavoice is offline
Saharavoice has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 106,740, Level: 100 Points: 106,740, Level: 100 Points: 106,740, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Thu Aug 2007
Posts: 448
Thanks: 2
Thanked 20 Times in 12 Posts
Rep Power: 23
Saharavoice will become famous soon enoughSaharavoice will become famous soon enoughSaharavoice will become famous soon enoughSaharavoice will become famous soon enoughSaharavoice will become famous soon enoughSaharavoice will become famous soon enoughSaharavoice will become famous soon enoughSaharavoice will become famous soon enough
Default Re: Best Qu: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

Pengine naye anaitafuta umaarufu kupitia kwa PM mwathirika, Siasa bwana !!!!!
Reply With Quote
  #4  
Old 7th February 2008, 07:24 PM
Steve Dii's Avatar
Steve Dii Steve Dii is offline
Steve Dii got far too many trumpcards..!!
JF Premium Member
Points: 1,712,998, Level: 100 Points: 1,712,998, Level: 100 Points: 1,712,998, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Mon Jun 2007
Location: Kihesa - Iringa
Posts: 4,997
Thanks: 662
Thanked 391 Times in 203 Posts
Rep Power: 152
Steve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to behold
Send a message via ICQ to Steve Dii Send a message via AIM to Steve Dii Send a message via MSN to Steve Dii Send a message via Yahoo to Steve Dii Send a message via Skype™ to Steve Dii
Default Re: Best Qu: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

Quote:
View Post
Pengine naye anaitafuta umaarufu kupitia kwa PM mwathirika, Siasa bwana !!!!!
True true true, You never know katika siasa, si uliona aliyosema Mzindakaya "BoT safi"....., but I hope not for huyu mama, ameonesha msimamo mzuri sana mpaka hivi sasa! She simply rocks!

SteveD.
__________________

Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.


Reply With Quote
  #5  
Old 7th February 2008, 07:31 PM
Ogah Ogah is offline
Ogah is Omnipotent
JF Premium Member
Points: 5,281,031, Level: 100 Points: 5,281,031, Level: 100 Points: 5,281,031, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Posts: 3,412
Thanks: 1,394
Thanked 383 Times in 211 Posts
Rep Power: 2031
Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!
Default Re: Best Qu: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

Huyu mama kwa kweli nampongeza kwa kauli zake za hivi karibuni

...hongera sana Mama

Hivi Mkuu Kitila Mkumbo yuko wapiii??,........nazi-miss analysis zake za upande wa pili hasa ikifikia kwenye matukio ndani ya siasa
Reply With Quote
  #6  
Old 7th February 2008, 08:02 PM
Koba Koba is offline
Koba has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 279,454, Level: 100 Points: 279,454, Level: 100 Points: 279,454, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Location: Pasadena California
Posts: 3,262
Thanks: 87
Thanked 100 Times in 68 Posts
Rep Power: 29
Koba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enough
Default Re: Best Qu: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

Huyo mama nimemfuatilia kwa muda kidogo na mpaka sasa i can count on her lakini isije ikawa big talk and do nothing,time will tell!
Reply With Quote
  #7  
Old 7th February 2008, 08:20 PM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is online now
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,987,839, Level: 100 Points: 12,987,839, Level: 100 Points: 12,987,839, Level: 100
Activity: 94% Activity: 94% Activity: 94%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,477
Thanks: 8,503
Thanked 4,689 Times in 1,320 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default Re: Best Qu: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

Jamani angalieni nukuu mbalimbali kufuatana na sakata hili ili tuweze kuziweka hapa kama kumbukumbu.

Leo hii vijana wa chuo kikuu waliandamana kidogo wakifurahia kujiuzulu kwa wakubwa hawa!

Kijana mmoja amenipa msemo ambao sikuwahi kuusikia:

Alisema: "Ncha ya mkuki haipigwi konzi" na akaongeza kusema "Nyuki hakutambatiwi"...

Nilifurahia...
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Reply With Quote
  #8  
Old 7th February 2008, 11:37 PM
Rufiji Rufiji is offline
Rufiji has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 142,994, Level: 100 Points: 142,994, Level: 100 Points: 142,994, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sun Jun 2006
Posts: 877
Thanks: 22
Thanked 111 Times in 55 Posts
Rep Power: 25
Rufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enough
Default Re: Best Qu: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

Mwanakijiji,

Vipi kuhusu ile line ya Spika kwa Karamagi. Manake Karamagi alisema watakuja hapa kushangilia , spika akamjibu kushangilia Tanzania sio kosa !

Mimi nimemkubali huyu Mama kwani kweli Amemkoma Nyani Giladi , ameweza kusimama na kuzungumza mambo kwa ufasaha mkubwa na zaidi aliweza kujenga hoja zilizoenda shule ! Nilipenda pale aliposema hawa watu sio wa hawajaonewa na huku akionyesha kopi nne za barua toka kwa waziri mkuu kwenda kwa Karamagi kumongoza nini cha kufanya kuhusu hilo deal la Richmond
Reply With Quote
  #9  
Old 7th February 2008, 11:43 PM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is online now
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,987,839, Level: 100 Points: 12,987,839, Level: 100 Points: 12,987,839, Level: 100
Activity: 94% Activity: 94% Activity: 94%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,477
Thanks: 8,503
Thanked 4,689 Times in 1,320 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default Re: Best Qu: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

Rufiji sikuisikia hiyo.. but that is one of the best line..
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Reply With Quote
  #10  
Old 8th February 2008, 12:00 AM
Mwafrika wa Kike Mwafrika wa Kike is offline
Mwafrika wa Kike oun dut schmoutchk
JF Premium Member
Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jul 2007
Posts: 5,840
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Rep Power: 34
Mwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enough
Default Re: Best Qu: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

Quote:
View Post
Nadhani hii itabakia kuwa ni kauli ya kijasiri zaidi na ambayo imeonesha uzito mkubwa. Hongera mama Malecela kwa kuweka maslahi ya TAifa mbele.

Mama Malecela aliyasema hayo akidai kuwa hakuna mtu aliyeoonewa na hawa wote ni marafiki zake lakini kwenye Taifa hana urafiki.
Hongera mama Malecela!
__________________
Well Behaved Women Never Make History

Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Ingekuwa ni wewe, ungemshauri nini Raisi? Mbu Jukwaa la Siasa 17 18th August 2007 06:02 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:55 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com