Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi CUF itasimamisha Mgombea Urais Zanzibar 2015?

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Maishamapya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : Dar, Tanzania
      Posts : 899
      Rep Power : 612
      Likes Received
      214
      Likes Given
      262

      Default Hivi CUF itasimamisha Mgombea Urais Zanzibar 2015?

      Nimekuwa nifuatilia sana mijadala ya baadhi ya wanaJF kuhusu hatima ya Chadema na upinzani kwa ujumla. Wako ambao wamekuwa wakiona kuwa CDM itaanguka na hasa baada ya kukataa kuwashirikisha Cuf na vyama vingine.

      Kwa kutafakari yote haya imebidi nijiulize: Hivi sasa hivi Znz kuna kambi ya upinzani? Si cuf ni sehemu ya serikali ya sasa? Watawezaje kuinyooshea kidole CCM juu ya mapooza yake wakati wao pia ni sehemu ya serikali hiyo? Hivi mwaka 2015, Cuf watasimamisha mgombea huko visiwani? Je, atakuwa mgombea wa cuf au ...? Ni lipi jipya ambalo mgomea wa cuf atawaambia wanzanzibari kuwa atalifanya ambalo serikali aliyoshiriki haikulifanya? Je, atathubutu kusema ni kwa vile haikuwa cuf?

      Nionavyo mimi Cuf si chama cha upinzani kwa sasa bali ni sehemu ya utawala wa CCM. Tunachosubiri sasa ni kuona muunganiko wa sera za vyama hivi viwili. Na ninapata shida sana kufikiri namna gani wanaweza kusimamisha mgombea 2015. Chama pekee cha upinzani kilichobaki Tanzania ni CHADEMA.

      Nipeni hoja zenu wanaJF

    2. Miaka 50

    3. #2
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,443
      Rep Power : 9877
      Likes Received
      609
      Likes Given
      444

      Default re: Hivi CUF itasimamisha Mgombea Urais Zanzibar 2015?

      Maybe wata simamisha. Akishindwa ana pewa umakamu wa raisi.

    4. #3
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,967
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default re: Hivi CUF itasimamisha Mgombea Urais Zanzibar 2015?

      Quote By Maishamapya
      Nimekuwa nifuatilia sana mijadala ya baadhi ya wanaJF kuhusu hatima ya Chadema na upinzani kwa ujumla. Wako ambao wamekuwa wakiona kuwa CDM itaanguka na hasa baada ya kukataa kuwashirikisha Cuf na vyama vingine.

      Kwa kutafakari yote haya imebidi nijiulize: Hivi sasa hivi Znz kuna kambi ya upinzani? Si cuf ni sehemu ya serikali ya sasa? Watawezaje kuinyooshea kidole CCM juu ya mapooza yake wakati wao pia ni sehemu ya serikali hiyo? Hivi mwaka 2015, Cuf watasimamisha mgombea huko visiwani? Je, atakuwa mgombea wa cuf au ...? Ni lipi jipya ambalo mgomea wa cuf atawaambia wanzanzibari kuwa atalifanya ambalo serikali aliyoshiriki haikulifanya? Je, atathubutu kusema ni kwa vile haikuwa cuf?

      Nionavyo mimi Cuf si chama cha upinzani kwa sasa bali ni sehemu ya utawala wa CCM. Tunachosubiri sasa ni kuona muunganiko wa sera za vyama hivi viwili. Na ninapata shida sana kufikiri namna gani wanaweza kusimamisha mgombea 2015. Chama pekee cha upinzani kilichobaki Tanzania ni CHADEMA.

      Nipeni hoja zenu wanaJF
      hv Hamad rashid naye ni memba wa jF?
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    5. #4
      Gad ONEYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 2,543
      Rep Power : 946
      Likes Received
      122
      Likes Given
      559

      Default re: Hivi CUF itasimamisha Mgombea Urais Zanzibar 2015?

      ?????????????????????

    6. #5
      Babkey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 1,987
      Rep Power : 913
      Likes Received
      398
      Likes Given
      162

      Default re: Hivi CUF itasimamisha Mgombea Urais Zanzibar 2015?

      'Aaah, mmmh! Tutasimamisha mgombea wetu makini, tutasema wenzetu walituburuza na hawakutaka kusikiliza mipango yetu. Sawa sawa!?
      Pili tulipokuwa ndani ya serikali tumegundua uzembe mwingi mno, Sawa sawa?
      Tupeni nafasi ya kuwa juu yao tuwaonyesheni kazi, ila mkipenda warudisheni hao hao, twatawala wote na..........

    7. Study Abroad

      FemaTV & Radio

    Similar Topics

    1. Replies: 29
      Last Post: 6th January 2013, 22:40
    2. Replies: 3
      Last Post: 4th November 2011, 16:02

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...