Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Watoto wa vigogo BoT

    Report Post
    Page 1 of 16 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 312
    1. #1
      izihaka's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th January 2008
      Posts : 17
      Rep Power : 581
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Watoto wa vigogo BoT

      Mtawala wa forum hii na wote kwa ujumla napenda kuwapa mada hii iwe kama ni ushahidi mojawapo wa sakata la BoT. Hili swala la watoto wa vigogo kuajiriwa Bot si la uongo kwani

      1. Rogers Sumaye alipata ajira hata kabla hajamaliza shule Uk kwani kuna watu walianza kufanya interview za kumsindikiza.
      2. Kigoda naye the same
      3. Lowasa's the same
      4. And many others who have brothers there or relatives

      Ishu hapa sio kuwa na sifa za kufanya kazi Bot bali je walipitia usahili na taratibu za ajira serikalini?

      Je ni watu wangapi wenye sifa walifanya interview na kushinda na bado wakapigwa chini?

      Inasikitisha kuona kuwa hata Gavana mpya anatetea maovu akiwa ofisini hata mwezi haujaisha ni SHIDA hii

      May 30, 2008:
      Quote By Fidel80
      UCHUNGUZI uliofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuhusu ajira za upendeleo kwa watoto, ndugu na jamaa za wakubwa ndani ya Benki Kuu (BoT), umekamilika.

      Kukamilika kwa uchunguzi huo kulitangazwa mbele ya waandishi wa habari jana na Gavana wa BoT, Profesa Benno Ndulu.

      Ingawa hakuwa tayari kusema kile kilichomo ndani ya taarifa hiyo kwa maelezo kuwa TAKUKURU ni taasisi inayojitegemea, Gavana Ndulu alisema, tayari BoT imeshaanzisha uchunguzi wake mwingine kufuatilia suala hilo hilo la ajira.

      Gavana Ndulu alisema kuwa katika uchunguzi wake, TAKUKURU ilikuwa ikichunguza ajira za watu 14 wanaohusishwa na viongozi waandamizi kulingana na maelezo waliyopewa na ngazi husika.

      Alisema baada ya kupata taarifa hiyo ya TAKUKURU, BoT nayo ikaamua kuanzisha uchunguzi wa ajira za wafanyakazi wake wote, ili kuepusha malalamiko kutoka upande fulani pamoja na kuepuka kupelekwa mahakamani.

      “Wale TAKUKURU walifanya uchunguzi wa ajira za watoto wa vigogo kulingana na maelezo waliyopewa, lakini sisi tunataka kufanya uchunguzi wa ajira za wafanyakzi wote,” alisema Ndulu.

      Alisema kuwa ndani ya BoT kila mfanyakazi ni sawa, awe mtoto wa kigogo au wa mkulima, ndiyo maana wameamua kuwashirikisha wafanyakazi wote kwenye uchunguzi huo.

      “Unajua leo hii ukifanya uchunguzi wa ajira za watoto wa vigogo pekee, kesho unaweza kujikuta hata hao watoto wa wakulima nao walipata ajira kwa njia zisizokubalika,” alisema Ndulu.

      Aidha, alisema uchunguzi wao utakuwa tofauti zaidi, kwani wao watafuata sheria ya mwaka 2004 (iliyobadilika), wakati TAKUKURU walitumia sheria ya mwaka 2000.

      Ndulu hakuwa tayari kufafanua utofauti wa sheria hizo, lakini alidai kuwa katika uchunguzi huo, TAKUKURU haikutumia sheria iliyotumika kuwaajiri watoto hao.

      “Hapa kunaweza kutokea tofauti ya kutokuelewana na jamii ikachukulia vibaya mambo haya, kwani sheria zilizotumika kufanya uchunguzi zilishabadilishwa, sasa sijui itakuwaje,” alisema Ndullu.

      Aidha, alisema ni vizuri jamii ikavuta subira ya kupata matokeo ya uchunguzi wa BoT kuhusiana na ajira za wafanyakzi wake na asingependa kutoa matarajio ya kazi hiyo mapema.

      “Jamani nisingependa kuwaahidi nyinyi au wananchi wengine hivi sasa matarajio ya uchunguzi wetu, bali ninawaomba tungoje hayo matokeo,” alisema.

      Hivi karibuni, vyombo mbalimbali vya habari vilitoa taarifa na kutaja majina ya watoto wa vigogo ambao wanafanya kazi BoT, wakisadikiwa kuwa walipata kazi hizo kutokana na ushawishi au nafasi za ndugu zao.

      Taarifa hizo pia zilinukuu viongozi wa TAKUKURU wakidai wanachunguza ajira za watoto hao wa vigogo kuona kama walipata ajira BoT bila kufuata taratibu zilizotakiwa.

      Juhudi za Tanzania Daima kumtafuta Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Edward Hosea, kuthibitisha kukamilika kwa uchunguzi wa ajira za watoto wa vigogo hao ziligonga mwamba baada ya simu yake kutokuwa na majibu.

      Taarifa kwamba kulikuwa na ajira za upendeleo ndani ya BoT kwa mara ya kwanza zilisambazwa katika mtandao wa intaneti kabla vyombo kadhaa vya hapa nchini kuripoti taarifa hizo.


      CHANZO:
      Tanzania Daima
      =======
      Baadae: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...asafishwa.html
      =======

      Oktoba 07, 2012
      Quote By babalao 2
      Ona nchi yetu ilivyo

      1. FILBART SUMAYE,
      2. PAMELA LOWASA,
      3. ZARIA KAWAWA,
      4. HERIETH LUMBANGA,
      5. SALAMA MWINYI,
      6. RECHAL MUGANDA,
      7. SALMA MAHITA,
      8. JUSTINA MUNGAI,
      9. KENETH NCHIMBI,
      10. BLASIA W. MKAPA,
      11. VAOLETH LUHANJO,
      12. LIKU KATE KAMBA,
      13. THOMAS MONGELA na
      14. JABIRI KIGODA.

      HIYO NI TIMU YA WATOTO WA VIGOGO WALIOAJIRIWA BOT BADO KATIKA BALOZI ZETU NJE YA NCHI. NCHI YETU INAFISADIWA NANI WA KUTUOKOA WENGI WAO WAMEGHUSHI ELIMU ZAO

      SASA SIJUI KWAMBA NI KUJIVUNIA VIONGOZI WETU KUTUONYESHA KUWA ELIMU NI MSINGI WA MAISHA KWA KUWAPA WATOTO WAO ELIMU BORA AU NI WANANCHI KUONA HUKO NI KUPENDELEANA KATIKA AJIRA ZENYE MASLAHI MAZURI AU NI WIVU WA WATANZANIA TU?
      Oktoba 23, 2012
      Quote By Ngwanakilala
      Gazeti la Jamuhuri la October 23, 2012 Limewataja vijana wafuatao kuwa ni watoto wa vigogo waliojazana BOT: Kweli Tanzania ina wenyewe

      Salama Ali Hassan Mwinyi
      Filbert Tluway Sumaye
      Zaria Rashid Kawawa
      Blasia William Mkapa
      Herriet Marten Lumbanga
      Pamela Edward Lowassa
      Rachel Muganda
      Salma Omary Mahita
      Justine Mungai
      Kenneth Nchimbi
      Violet Philemon Luhanjo
      Liku Kate Kamba
      Thomas Mongela
      Jabir Abdallah Kigoda
      Richard likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Mwakilishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2007
      Posts : 521
      Rep Power : 733
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT

      Weka wazi hayo maovu anayotetea gavana mpya basi, hapa ni JF mkuu, where we dare talk openly...toa dukuduku lako.

      To borrow from the old mikingamo radio show "tuambie nani yuko wapi na anafanya nini kulihujumu taifa"
      Chelian likes this.

    4. #3
      Fisadi Mtoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 604
      Rep Power : 701
      Likes Received
      59
      Likes Given
      0

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT

      Quote By izihaka
      Mtawala wa forum hii na wote kwa ujumla napenda kuwapa mada hii iwe kama ni ushahidi mojawapo wa sakata la BoT. Hili swala la watoto wa vigogo kuajiriwa Bot si la uongo kwani
      1. Rogers Sumaye alipata ajira hata kabla hajamaliza shule Uk kwani kuna watu walianza kufanya interview za kumsindikiza.
      2. Kigoda naye the same
      3. Lowasa's the same
      4. And many others who have brothers there or relatives
      Ishu hapa sio kuwa na sifa za kufanya kazi Bot bali je walipitia usahili na taratibu za ajira serikalini?
      Je ni watu wangapi wenye sifa walifanya interview na kushinda na bado wakapigwa chini?
      Inasikitisha kuona kuwa hata Gavana mpya anatetea maovu akiwa ofisini hata mwezi haujaisha ni SHIDA hii
      KAKA ACHA MAPEPE,UNAJITUNGIA HABARI TU HAPA,KAMA HUNA KIPYA KAA PEMBENI.KWANZA SUMAYE HANA MTOTO ANAEITWA ROGERS,BALI ANA WATOTO WAWILI AMBAO NI FILBERT NA FRANK,PILI FILBERT ALIRUDI NCHINI BAADA YA KUMALIZA MASTERS YAKE YA COMPUTER SCIENCE.NA ALIPORUDI ALIKAA MIEZI NANE AKIFANYA KAZI KTK KAMPUNI BINAFSI NDIO AKAAJILIWA.HUO UZUSHI UMETOA WAPI KAKA?ATA UKIULIZA WATU ALIOSOMA NAO TOSAMAGANGA F 5&6 WATAKWAMBIA JINSI ALIVYO MTU SIMPLE NA WAKUJITUMA.KAZINI KWAKE WANAMTEGEMEA MTAFUTE BOSI WAKE MZEE MASAWE ATAKWAMBIA.PIA WAPO WENYE CPA NA
      NK.WIVUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU U MBAYA JAMANI

    5. #4
      BabaH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2008
      Location : Ikulu-Magogoni
      Posts : 694
      Rep Power : 716
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT

      Nyie teteaneni, mkizani hiyo nchi Mungu aliwapa nyie na babazenu hao mafisadi, ila patageuka siku moja hapo mtatafuta pa kujificha mtakosa, maana manyumba, migari yenu watu watachoma, msione kam nyie ndo mmebarikiwa kumbe wezi wakubwa na baba zenu, iko siku tu, itafika, sijui utayazungumza haya??
      Hongera sana kwa kuwa mtoto wa Fisadi, Umebarikiwa sana
      IKO SIKU BUBU WATASEMA, VIZIWI WATASIKIA NA MOTO UTAWAKA

    6. #5
      DMussa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2007
      Location : Dar es salaam
      Posts : 931
      Rep Power : 782
      Likes Received
      27
      Likes Given
      19

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT

      Nimekuwa nikizifuatilia kwa karibu hizi mada zinazohusiana na watoto wa vigogo kupata ajira BOT ila kuna wakati inafikia wachangiaji aidha wanachukua haya masuala kuwa personal. Nadhani hii yote ni kutokana na kukosekana kwa vidhibiti vya kutosha kuhusiana na hii ishu kwa ujumla.

      Mimi binafsi natambua wazi kwamba hakuna ambae angependa mtoto wake apate shida katika dunia hii wakati yeye kama mzazi anao uwezo mkubwa tu wa kumsaidia > Huu ni ubinafsi ambao upo katika kila binadamu (inherent) kinachogomba hapa nadhani ni procedures na appropriateness ya ajira za hawa watoto wa vigogo kuingia BOT kwa wingi kama inavyoonekana. Na je ni kwa nini walimwagwa BOT pekee kwa sababu nina uhakika hii sio bahati mbaya!?

      Kuna mchangiaji mmoja aliwahi kuomba kama kuna mtu anazo data (CV na Position wanazohold BOT) juu ya hawa watu azimwage hapa JF lakini sina uhakika kama kuna mtu alirespond may be hakuna aliyekuwa na access ya hizo data.

      Kwa jinsi hii ninavyoona hapa sidhani kama hii mada itaweza kuadd value kama hakuna Evidence ya kutosha kuthibitisha kinachosemekana. Tutakuwa kila siku tukiona watu wakirushiana maneno kwa kuhisi kwamba waanzisha mada wanasumbuliwa na wivu na sio kutaka uadilifu uwepo ktk serikali na vyombo vyake vyote.

      Let anyone with these data bring them forward for us to scrutinize!

      D
      It is not the strongest species that survive, nor the most intelligent, but the ones most responsive to change - Charles Darwin

    7. Miaka 50

    8. #6
      Fisadi Mtoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 604
      Rep Power : 701
      Likes Received
      59
      Likes Given
      0

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT

      Quote By BabaH
      Nyie teteaneni, mkizani hiyo nchi Mungu aliwapa nyie na babazenu hao mafisadi, ila patageuka siku moja hapo mtatafuta pa kujificha mtakosa, maana manyumba, migari yenu watu watachoma, msione kam nyie ndo mmebarikiwa kumbe wezi wakubwa na baba zenu, iko siku tu, itafika, sijui utayazungumza haya??
      Hongera sana kwa kuwa mtoto wa Fisadi, Umebarikiwa sana
      NA HAPO NDIPO MTAKUFA NYINYI NA WAJUKUU ZENU WENGINE TUTAPAA KWENDA ZETU NG'AMBO KUENDELEA KULA MAISHA.NANI ALIEKWAMBIA VITA VYA KONY VINAMGUSA MUSEVEN NA FAMILIA YAKE?

    9. #7
      Sura-ya-Kwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2007
      Posts : 564
      Rep Power : 700
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT

      Hii kitu mbona imeshazungumziwa jamani. Mwanzishaji wa hii thread inabidi afanye kuperuzi kabla ya kumwaga hizi pumba, zimeshachambuliwa!

    10. #8
      Kinabo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th December 2006
      Location : Moshi
      Posts : 79
      Rep Power : 653
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT

      Kila mzazi angependa mtoto wake apate kazi nzuri na yenye heshima. Kinachotatanisha au kinachotakiwa ni kuwa huyu mtoto anazo sifa sinazotakiwa na anaimudu hiyo kazi?

    11. #9
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,024
      Rep Power : 9492
      Likes Received
      3149
      Likes Given
      1224

      Default Watoto wa vigogo BoT hatarini

      UCHUNGUZI uliofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuhusu ajira za upendeleo kwa watoto, ndugu na jamaa za wakubwa ndani ya Benki Kuu (BoT), umekamilika.

      Kukamilika kwa uchunguzi huo kulitangazwa mbele ya waandishi wa habari jana na Gavana wa BoT, Profesa Benno Ndulu.

      Ingawa hakuwa tayari kusema kile kilichomo ndani ya taarifa hiyo kwa maelezo kuwa TAKUKURU ni taasisi inayojitegemea, Gavana Ndulu alisema, tayari BoT imeshaanzisha uchunguzi wake mwingine kufuatilia suala hilo hilo la ajira.

      Gavana Ndulu alisema kuwa katika uchunguzi wake, TAKUKURU ilikuwa ikichunguza ajira za watu 14 wanaohusishwa na viongozi waandamizi kulingana na maelezo waliyopewa na ngazi husika.

      Alisema baada ya kupata taarifa hiyo ya TAKUKURU, BoT nayo ikaamua kuanzisha uchunguzi wa ajira za wafanyakazi wake wote, ili kuepusha malalamiko kutoka upande fulani pamoja na kuepuka kupelekwa mahakamani.

      “Wale TAKUKURU walifanya uchunguzi wa ajira za watoto wa vigogo kulingana na maelezo waliyopewa, lakini sisi tunataka kufanya uchunguzi wa ajira za wafanyakzi wote,” alisema Ndulu.

      Alisema kuwa ndani ya BoT kila mfanyakazi ni sawa, awe mtoto wa kigogo au wa mkulima, ndiyo maana wameamua kuwashirikisha wafanyakazi wote kwenye uchunguzi huo.

      “Unajua leo hii ukifanya uchunguzi wa ajira za watoto wa vigogo pekee, kesho unaweza kujikuta hata hao watoto wa wakulima nao walipata ajira kwa njia zisizokubalika,” alisema Ndulu.

      Aidha, alisema uchunguzi wao utakuwa tofauti zaidi, kwani wao watafuata sheria ya mwaka 2004 (iliyobadilika), wakati TAKUKURU walitumia sheria ya mwaka 2000.

      Ndulu hakuwa tayari kufafanua utofauti wa sheria hizo, lakini alidai kuwa katika uchunguzi huo, TAKUKURU haikutumia sheria iliyotumika kuwaajiri watoto hao.

      “Hapa kunaweza kutokea tofauti ya kutokuelewana na jamii ikachukulia vibaya mambo haya, kwani sheria zilizotumika kufanya uchunguzi zilishabadilishwa, sasa sijui itakuwaje,” alisema Ndullu.

      Aidha, alisema ni vizuri jamii ikavuta subira ya kupata matokeo ya uchunguzi wa BoT kuhusiana na ajira za wafanyakzi wake na asingependa kutoa matarajio ya kazi hiyo mapema.

      “Jamani nisingependa kuwaahidi nyinyi au wananchi wengine hivi sasa matarajio ya uchunguzi wetu, bali ninawaomba tungoje hayo matokeo,” alisema.

      Hivi karibuni, vyombo mbalimbali vya habari vilitoa taarifa na kutaja majina ya watoto wa vigogo ambao wanafanya kazi BoT, wakisadikiwa kuwa walipata kazi hizo kutokana na ushawishi au nafasi za ndugu zao.

      Taarifa hizo pia zilinukuu viongozi wa TAKUKURU wakidai wanachunguza ajira za watoto hao wa vigogo kuona kama walipata ajira BoT bila kufuata taratibu zilizotakiwa.

      Juhudi za Tanzania Daima kumtafuta Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Edward Hosea, kuthibitisha kukamilika kwa uchunguzi wa ajira za watoto wa vigogo hao ziligonga mwamba baada ya simu yake kutokuwa na majibu.

      Taarifa kwamba kulikuwa na ajira za upendeleo ndani ya BoT kwa mara ya kwanza zilisambazwa katika mtandao wa intaneti kabla vyombo kadhaa vya hapa nchini kuripoti taarifa hizo.


      CHANZO:
      Tanzania Daima

    12. #10
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,024
      Rep Power : 9492
      Likes Received
      3149
      Likes Given
      1224

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT hatarini

      Jamani tukumbushane majina ya watoto wa vigogo hapo kwenye hekaru la pesa BoT...

    13. #11
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT hatarini

      tanzani ni nchi ya maajabu! kila leo kunafanywa chunguzi za kila aina, lakini matokeo ya chunguzi hizo yanawekwa kapuni! then whats the point of having uchunguzi ina the first place?
      Chelian likes this.

    14. #12
      NG'WALU's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2008
      Posts : 21
      Rep Power : 565
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT hatarini

      This is idiot!I have never seen a state like tz in my life!

    15. #13
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,174
      Rep Power : 5034
      Likes Received
      2416
      Likes Given
      2224

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT hatarini

      Lini mtajifunza kuandika habari iliyokamilika, majina ya watu 14 ndio nini? Kama huna majina hayo basi huna habari.

      Msilazimishe biashara ya magazeti!
      "To greed, all nature is insufficient"

    16. #14
      Mwikimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,543
      Rep Power : 948
      Likes Received
      346
      Likes Given
      128

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT hatarini

      [watu wnazungumza kuwa eti wana sifa? sawa, lakini je taratibu zilifuatwa? je walipambanishwa na wenye sifa wengine kwa njia ya usaili? kwa kuwa kuwa na sifa ni kitu kingine na kushinda usaili ni kitu kingine, na kwa nini watoto wa akina mwinyi, mkapa, mramba etc peke yao ndo wana sifa? hivyo vyuo wamesoma peke yao?

      la msingi.

      10 wale wote walioajiriwa bila kufanyiwa usaili wasimamishwe mara moja, iitwe kampuni kama price water house au yenye kuheshimika, nafasi zao zitangazwe upya, wafanyiwe usaili na kama kwa kushindanishwa na wengine wtashinda, MIYE SANA NOMA

      2 WALE wengine ambao itabainika kuwa wameajiriwa kwa vimemo, na kuwa hawnan sifa, wafukuzwe na kuchuliwa hatua. waLE wote waliohusika katika kufanikisha mpango huu haramu wa ajira za upendeleo, wakiwemo maafisa utumishi, nk, yaani watimuliwe bila haya na hatua kali dhidi yao.SIJAONA MAHALI GANI KATIKA HILI KUNAHITAJI UCHUNGUZI, KAMA NI MAFAILI YA INTERVIEW YAPO HAPO OFISINI, KAMA NI CV ZIPO, UCHUNGUZI WA NINI?

    17. #15
      Single D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Location : Duniani
      Posts : 467
      Rep Power : 719
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT hatarini

      Quote By fidel80
      Jamani tukumbushane majina ya watoto wa vigogo hapo kwenye hekaru la pesa BoT...
      Mbona hili watoto wa vigogo BOT liilishaletwa hapa jamvini likachambuliwa sana wakati suala wizi wa pesa BOT lilipofumuka kama unavyoona ishu ya balali kuvuta kamba ilivyo zungumzwa hapa kwa wiki kadhaa sasa na kuacha maswali mengi hayana majibu sahihi.Labda wairudishe tujiridhishe tena.
      'Without unity, there is no future for Africa' J.K.Nyerere,1997,Accra Ghana.

    18. #16
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,174
      Rep Power : 5034
      Likes Received
      2416
      Likes Given
      2224

      Default Re: Watoto wa vigogo BoT hatarini

      Quote By mwikimbi
      [watu wnazungumza kuwa eti wana sifa? sawa, lakini je taratibu zilifuatwa? je walipambanishwa na wenye sifa wengine kwa njia ya usaili? kwa kuwa kuwa na sifa ni kitu kingine na kushinda usaili ni kitu kingine, na kwa nini watoto wa akina mwinyi, mkapa, mramba etc peke yao ndo wana sifa? hivyo vyuo wamesoma peke yao?

      la msingi.

      10 wale wote walioajiriwa bila kufanyiwa usaili wasimamishwe mara moja, iitwe kampuni kama price water house au yenye kuheshimika, nafasi zao zitangazwe upya, wafanyiwe usaili na kama kwa kushindanishwa na wengine wtashinda, MIYE SANA NOMA

      2 WALE wengine ambao itabainika kuwa wameajiriwa kwa vimemo, na kuwa hawnan sifa, wafukuzwe na kuchuliwa hatua. waLE wote waliohusika katika kufanikisha mpango huu haramu wa ajira za upendeleo, wakiwemo maafisa utumishi, nk, yaani watimuliwe bila haya na hatua kali dhidi yao.SIJAONA MAHALI GANI KATIKA HILI KUNAHITAJI UCHUNGUZI, KAMA NI MAFAILI YA INTERVIEW YAPO HAPO OFISINI, KAMA NI CV ZIPO, UCHUNGUZI WA NINI?
      Tutafute vigezo vingine vya kuwashughulikia lakini sio usaili kwa sababu wote hao wamefanya usaili.

      Pale BoT kuna usanii sana, ngoja nikupe mfano huu.

      Kuna jamaa mmoja mhandisi alienda kuomba kazi iliyotangazwa na BoT. Alipofika pale siku ya usaili akaambiwa usaili siku hiyo umeahirishwa mpaka utakapotangazwa tena. Baadae akapata taarifa kuwa usaili siku ile ulifanyika na kila mtu aliyekuwepo kwenye usaili aliajiriwa kwa sababu walikuja watu 11 na waliohitajika ni 11 !!! Ukweli ni kwamba sehemu competitive kama BoT idadi ya walioomba kazi haiwezi kuwa eactly the same na idadi ya wanaohitajika.

      Tatizo lingine Tanzania ni kwamba watu hawaitumii mahakama ipasavyo, swala kama hili nilitarajia kuwe na kesi kibao mahakamani za wale wanaoamini kuwa hawajatendewa haki katika mchakato wa kuomba kazi BoT na mashirika mengine, lakini hakuna kesi! kila mtu anaishia kulalamika mitaani tu.

      Ukiona haujatendewa haki nenda mahakamani mara moja.
      "To greed, all nature is insufficient"

    19. #17
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,283
      Rep Power : 3442
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      855

      Default Watoto Wa Vigogo Na Bot Company Ltd

      BANK of Tanzania governor’s office has confirmed that it is currently reviewing employment details of some of the political and bureaucratic elites employed at the central bank.

      Several names of sons, daughters and kin and kith of government and ruling party elites are currently working with the central bank where acts of massive embezzlement and corrupt deeds have been made under former governor, the late Daudi Ballali.

      An audit report by Massawe Ernst & Young on Bank of Tanzania (BoT)’s external arrears payment account earlier this year caused shock waves when it was revealed that 22 shell companies were paid over 133bn/- in 2005/6 fiscal year.

      A list of shame that circulated in cyberspace for sometime earlier this year, named several names of former prime ministers, presidents, cabinet ministers ruling party secretary general and chief secretaries whose sons, daughters or close relatives are on BoT’s payroll.

      Soon after the list of shame started circulating, the opposition pressed parliament to select a probe team which would look into various irregularities at the central bank including loss of billions of shillings not only from the external arrears payment account but also links to employment of high profile public officials’ kin and kith

      Reports says actually most of these controversial employees of the central bank have neither the requisite qualifications to fit into jobs which they currently serve. Others are currently attending classes at the Institute of Finance Management, Mzumbe University and other foreign universities with presence in the country.

      It looks like the employment criteria at the central bank favours people related to former presidents, prime ministers, ministers, some chief secretaries and so on and so forth, any explanation?

      I don’t really think that these sons and daughters of political and bureaucratic heavy weights both current and past, have no right or are ill qualified to work at the central bank, but my concern is why is BoT looking like a favourite place for them to work?

      It’s a fact that most of these sons, daughters and relatives of political and bureaucratic elites are well qualified, with academic credentials like degrees of course, because most of them either study abroad or the best schools right here at home.

      But having a degree from Harvard or Cambridge Universities is one thing and competence is a completely different matter. The fact that the man who was in charge of employment at the central bank has been relieved of his duties shows that all is not well.

      Normal thinking convinces me that in as far as some of the modern thieving Tanzanian politicians and bureaucrats are, their children and relatives got employed at the BoT strictly on know who and not how. I am not saying all of them, no. But I am sure a good number of them.

      It’s no coincidence that names of politicians and bureaucrats who have already made newspaper headlines for their role in corrupt or thieving deals while in public office, are featuring prominently on the BoT big shots� list of children and relatives.

      I won’t be amazed to find out that some of the na�ve children and relatives of the political and bureaucratic elites who are occupying positions at the central bank, lack both qualifications and experience required to fill their jobs.

      This is what central bank Governor, Professor Benno Ndullu and his new team of administrators and managers should start with. Cleansing the central bank is more than sacking Ballali, shuffling several BoT officers and calling a press conference to defend the astronomical price of BoT twin towers.

    20. #18
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,283
      Rep Power : 3442
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      855

      Default Re: Watoto Wa Vigogo Na Bot Company Ltd

      Inaonekana Kuna Kamchezo Cha Kubinafsisha Bot Kwa Watoto Wa Vigogo Hivi Karibuni Kuna Vingast 3 Vya Wakubwa Vimeingia Muda Si Mrefu!!!natumaini Si Watoto Tu Hivi Sasa Hata Wanawake Za Vigogo Wanpewa Pande Kwa Nini Wasiite Bot Company Ltd Kuliko Kuwahadaa Watanzania?????????

    21. #19
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,283
      Rep Power : 3442
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      855

      Default Re: Watoto Wa Vigogo Na Bot Company Ltd

      Ndan Ya Hivyo Kuna Kamoja Nasikittika Kalikuwa Kanashea Na Babake Bila Kujua Cha Kushangaza Bbake Ameshindwa Umdumbikiza Uuko Wanaingizwa Vingast Mi Sijui Nifanyeje Tanzania Jamani Kukimbia Si Tatizo Kusema Tum,esema Mpaka Wengine Wanachoka Anyway!!!!!!!!

    22. #20
      WomanOfSubstance's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2008
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1682
      Likes Received
      707
      Likes Given
      721

      Default Re: Watoto Wa Vigogo Na Bot Company Ltd

      Quote By Pdidy
      Ndan Ya Hivyo Kuna Kamoja Nasikittika Kalikuwa Kanashea Na Babake Bila Kujua Cha Kushangaza Bbake Ameshindwa Umdumbikiza Uuko Wanaingizwa Vingast Mi Sijui Nifanyeje Tanzania Jamani Kukimbia Si Tatizo Kusema Tum,esema Mpaka Wengine Wanachoka Anyway!!!!!!!!
      Pdidy Usikate tamaa,
      Endelea kupambana.. tena wewe utafanikiwa zaidi kuliko hao wanaobebwa.
      Educating the mind without educating the heart is no education at all.... Aristotle



    Page 1 of 16 12311 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Watoto wa vigogo BoT wasafishwa
      By Ochu in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 80
      Last Post: 28th October 2008, 21:56
    2. Watoto wa Vigogo/Mafisadi wakianza kutekwa!
      By Mzee Mwanakijiji in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 44
      Last Post: 28th July 2008, 03:46

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...