Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,965
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1128
      Likes Given
      408

      Default Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Yote tumeona yaliyotokea.

      Historia imeandikwa.

      Kumbe uwepo wa CUF,UDP,NCCR,TLP,na vipanya vingine ulikuwa mchezo wa CCM kuidanganya dunia kuwa kuna demokrasia ya vyama vingi. Ukweli tumeujua. Utitiri wote wa vyama hivi ni matawi ya CCM. Kwa ajili ya kupotosha umma.

      Lakini katika upotoshaji huohuo, hasa upande wa CUF wapo waliodhani ni kweli. Wakaapa kuwa wao ni CUF. Wengine hata walipoteza maisha (rejea ya Zanzibar). Leo hii viongozi wao wanawasaliti. Wanaungana na chama chenye serikali iliyoamrisha polisi wawafyatulie risasi za moto ndugu zao.

      Swali langu ni kwa hawa wana-CUF watiifu kwa chama chao. Wametapeliwa. Wamehadaiwa.

      Wana msimamo gani?

      Au waliyajua haya?

      Nawasilisha.
      Last edited by Ng'wanangwa; 29th November 2010 at 11:31. Reason: CCM, siyo CUF iliyodanganya dunia. hapo kwenye red
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mfamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2007
      Posts : 2,857
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      276
      Likes Given
      154

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Quote By Ng'wanangwa
      Yote tumeona yaliyotokea.



      Swali langu ni kwa hawa wana-CUF watiifu kwa chama chao. Wametapeliwa. Wamehadaiwa.



      Wana msimamo gani?


      Au waliyajua haya?

      Nawasilisha.
      Wataanzaisha chama kipya.

    4. #3
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,965
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1128
      Likes Given
      408

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Quote By Mfamaji
      Wataanzaisha chama kipya.
      unatoa wazo au ndiyo mkakati walio nao?
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    5. #4
      MrFroasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2009
      Posts : 544
      Rep Power : 612
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Quote By Ng'wanangwa
      Yote tumeona yaliyotokea.

      Historia imeandikwa.

      Kumbe uwepo wa CUF,UDP,NCCR,TLP,na vipanya vingine ulikuwa mchezo wa CUF kuidanganya dunia kuwa kuna demokrasia ya vyama vingi. Ukweli tumeujua. Utitiri wote wa vyama hivi ni matawi ya CCM. Kwa ajili ya kupotosha umma.

      Lakini katika upotoshaji huohuo, hasa upande wa CUF wapo waliodhani ni kweli. Wakaapa kuwa wao ni CUF. Wengine hata walipoteza maisha (rejea ya Zanzibar). Leo hii viongozi wao wanawasaliti. Wanaungana na chama chenye serikali iliyoamrisha polisi wawafyatulie risasi za moto ndugu zao.

      Swali langu ni kwa hawa wana-CUF watiifu kwa chama chao. Wametapeliwa. Wamehadaiwa.

      Wana msimamo gani?

      Au waliyajua haya?

      Nawasilisha.
      CHADEMA haipo katika orodha, hio ni typo au ndio lengo ?
      Anyways, mie ni mmoja ya wananchi waliounga mkono jitihada za CUF kwa upande wa visiwani.Hadi sasa naunga mkono harakati zao.Sioni tatizo lipo wapi kwa CHADEMA kususa bungeni au kususa kuwatenga CUF katika kambi ya upinzani.

      Kwa ufupi, chaguzi zote za Zanzibar ya mwaka huu ndio afadhali wananchi wasio na hatia wamepumzika na usumbufu.Nadhani wengi wenu munasikia tuu fujo za kisiasa hamujawahi kuziona wala kupata uzoefu nazo.Waliofanya maamuzi ya GNU si CUF, hili suala limepigiwa kura ya maoni.Kwa maana nyengine tulio smart hatusemi ni maamuzi ya CUF, bali ni maamuzi ya wananchi.

      Sasa hebu tujiulize Chadema wanapiga kelele za kuibiwa uchaguzi, naomba nipatiwe ushahidi au nyaraka zinazoonesha uchaguzi jinsi ulivyokusanywa na mawakala wa Chadema upande wa Tanganyika.....Then we take the discussion from there.
      MZALENDO.NET-Zanzibar na Zama za ukweli na uwazi...

    6. #5
      mfarisayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Location : tanganyika
      Posts : 3,123
      Rep Power : 1059
      Likes Received
      457
      Likes Given
      1100

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      If you think you're free ( CUF) , there's no escape possible. ~Ram Dass

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,965
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1128
      Likes Given
      408

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Quote By MrFroasty
      CHADEMA haipo katika orodha, hio ni typo au ndio lengo ?
      Anyways, mie ni mmoja ya wananchi waliounga mkono jitihada za CUF kwa upande wa visiwani.Hadi sasa naunga mkono harakati zao.Sioni tatizo lipo wapi kwa CHADEMA kususa bungeni au kususa kuwatenga CUF katika kambi ya upinzani.

      Kwa ufupi, chaguzi zote za Zanzibar ya mwaka huu ndio afadhali wananchi wasio na hatia wamepumzika na usumbufu.Nadhani wengi wenu munasikia tuu fujo za kisiasa hamujawahi kuziona wala kupata uzoefu nazo.Waliofanya maamuzi ya GNU si CUF, hili suala limepigiwa kura ya maoni.Kwa maana nyengine tulio smart hatusemi ni maamuzi ya CUF, bali ni maamuzi ya wananchi.

      Sasa hebu tujiulize Chadema wanapiga kelele za kuibiwa uchaguzi, naomba nipatiwe ushahidi au nyaraka zinazoonesha uchaguzi jinsi ulivyokusanywa na mawakala wa Chadema upande wa Tanganyika.....Then we take the discussion from there.
      Fiksi.

      Wale watu wa CUF walioenda jengo la ZEC na kuanza kuangua vilio kushinikiza matokeo kutangazwa munawaambia nini?

      Mumehadaa watu wenu.

      Sema ukweli.

      Zamani CUF walikuwa wakichukua jimbo moja tu unguja-mji mkongwe.

      mwaka huu wamechukua si chini ya ma4.

      hii ni kuonesha hata unguja watu walianza kuchoka na porojo za ccm.

      ingefika mahali cuf ina viti 30 vya ubunge, ccm 20, lakini Rais ameshinda wa CCM.

      kuepusha shari, ccm wakawanunua maalim seif, hamad rashid na lipumba.

      wananchi wakauzwa. wafuasi watiifu wa cuf wameuzwa.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    9. #7
      Bikirembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2008
      Location : Gingingi
      Posts : 257
      Rep Power : 631
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Kukukua kisiasa kwa CUF ndio kulikowafanya waweze kuinunua Amani kwa gharama ya kusamehe ushindi Zanzibar. Kama wasingalifikiria maisha na roho za watu zitazopotea basi wasingalikuwa tafauti na CCM.
      It is easy to open a shop, but hard to keep it open

    10. #8
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,965
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1128
      Likes Given
      408

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Quote By Bikirembwe
      Kukukua kisiasa kwa CUF ndio kulikowafanya waweze kuinunua Amani kwa gharama ya kusamehe ushindi Zanzibar. Kama wasingalifikiria maisha na roho za watu zitazopotea basi wasingalikuwa tafauti na CCM.
      kwa hiyo unataka kusema kuwa CCM ina haki miliki ya kuongoza nchi hii milele?

      vyama vingine hapana?

      kwamba CCM ikishindwa lazima roho za watu ziangamie?

      hoja yako inazua maswali badala ya majibu.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    11. #9
      Ngalikihinja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2009
      Posts : 4,348
      Rep Power : 1431
      Likes Received
      960
      Likes Given
      96

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Hi CUF ni chama tawala au upinzani...??? Au ndo yale yale ya popo.......??

    12. #10
      sbilingi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 145
      Rep Power : 457
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Quote By Ng'wanangwa
      Yote tumeona yaliyotokea.

      Historia imeandikwa.

      Kumbe uwepo wa CUF,UDP,NCCR,TLP,na vipanya vingine ulikuwa mchezo wa CUF kuidanganya dunia kuwa kuna demokrasia ya vyama vingi. Ukweli tumeujua. Utitiri wote wa vyama hivi ni matawi ya CCM. Kwa ajili ya kupotosha umma.

      Lakini katika upotoshaji huohuo, hasa upande wa CUF wapo waliodhani ni kweli. Wakaapa kuwa wao ni CUF. Wengine hata walipoteza maisha (rejea ya Zanzibar). Leo hii viongozi wao wanawasaliti. Wanaungana na chama chenye serikali iliyoamrisha polisi wawafyatulie risasi za moto ndugu zao.

      Swali langu ni kwa hawa wana-CUF watiifu kwa chama chao. Wametapeliwa. Wamehadaiwa.

      Wana msimamo gani?

      Au waliyajua haya?

      Nawasilisha.
      Inaonekana ulikuwa unafuraji sana kuona binadamu wakiuwana kule visiwani enhee, acha ushabiki wa kijinga. ubinafsi wa chadema ndio sababu wa yote. pilipili ishamba we yakuwashiani?

    13. #11
      Who Cares?'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2008
      Location : JUPITER PLANET
      Posts : 1,333
      Rep Power : 824
      Likes Received
      525
      Likes Given
      255

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      cuf=mission complished...ujue cuf ni chama kilijoanzishwa kuleta mabadiliko zanzibar... walijiandaa kukomboa nchi yenye watu laki 4 na sasa hivi wamefikia 1million...sioni nafasi yao kuleta mabadiliko bara nchi yenye watu million 40 na zaidi..wamefanikiwa kuingizwa serikalini na kuunda mseto na ccm then they are partners in zanzibar for zanzibarians....

      huku bara watuache na CHADEMA tulete mabadiliko ya kweli na tukianza na katiba mpya na huru na ikifuatiwa na tume huru ya uchaguzi na mwisho ni kuwanufaisha watanzania na mapato ya maliasili na rasilimali zao... ndiooo... mbona cuf walililia mafuta yasiwepo katika muungano ili yainufaishe zanzibar.. naamini nimeeleweka
      if we die the next generation will fight them too..and the one after them untill the victory is on our side

    14. #12
      Sokomoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2008
      Location : Kijijini
      Posts : 1,912
      Rep Power : 951
      Likes Received
      95
      Likes Given
      25

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Quote By Ng'wanangwa
      Yote tumeona yaliyotokea.

      Historia imeandikwa.

      Kumbe uwepo wa CUF,UDP,NCCR,TLP,na vipanya vingine ulikuwa mchezo wa CUF kuidanganya dunia kuwa kuna demokrasia ya vyama vingi. Ukweli tumeujua. Utitiri wote wa vyama hivi ni matawi ya CCM. Kwa ajili ya kupotosha umma.

      Lakini katika upotoshaji huohuo, hasa upande wa CUF wapo waliodhani ni kweli. Wakaapa kuwa wao ni CUF. Wengine hata walipoteza maisha (rejea ya Zanzibar). Leo hii viongozi wao wanawasaliti. Wanaungana na chama chenye serikali iliyoamrisha polisi wawafyatulie risasi za moto ndugu zao.

      Swali langu ni kwa hawa wana-CUF watiifu kwa chama chao. Wametapeliwa. Wamehadaiwa.

      Wana msimamo gani?

      Au waliyajua haya?

      Nawasilisha.
      BAADA YA mKUMBO KUPEWA JUKUMU LA KUTEUA WANAWAKE WA VITI MAALUM ULIMWENGU PIA UMEJUA HAKUNA DEMOKRASIA NDANI YA CHADEMA NA KUWA VITI MAALUMU NI KWA WATU MAALUM DADA, NDUGU WA KARIBU NA WATOTO WATOTO WA VIONGOZI NDANI YA CHAMA BILA KUSAHAU WAKE NA WALIOZAA NA VIONGOZI NDANI YA CHAMA
      I'd rather die standing than live kneeling (Che guavara)

    15. #13
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,965
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1128
      Likes Given
      408

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Quote By sbilingi
      Inaonekana ulikuwa unafuraji sana kuona binadamu wakiuwana kule visiwani enhee, acha ushabiki wa kijinga. ubinafsi wa chadema ndio sababu wa yote. pilipili ishamba we yakuwashiani?
      hakuna anayefurahia watu kufa.

      hakuna.

      ila ninachokiona CUF mumeamua kutumia vifo vya watu kuhalalisha kuua demokrasia ya vyama vingi nchini.

      viongozi wenu njaa kali. wamekula rushwa. watu wapo. hakuna siri ya watu wawili. ipo siku siri itafichuka.

      nilimsakia bwana hamad akizungumzia kuuwawa kwa wazanzibari kama hoja ya msingi inayo-determine ubora wa cuf dhidi ya chadema. pumba.

      alidhihirisha kuwa njaa inamsumbua alipoanza kuimba wimbo wa pesa sh. 100 000 000 za kambi ya pinzani
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    16. #14
      SHUPAZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2009
      Posts : 519
      Rep Power : 601
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Kwisha kazi wote chakaza!!!!!!!! Chadema juu juu juu zaidi
      "you will permit me to put on my spectacles, for I have not only grown gray but almost blind in the service of my country."--President Geogre Washington

    17. #15
      MrFroasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2009
      Posts : 544
      Rep Power : 612
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      CUF tayari wametupatia data zao za mawakala kwa uchaguzi wa Zanzibar...Tunataka kuona za Chadema.Hivyo iko wazi Dr.Shein hakushinda, lakini wazanzibari hawakujadili hilo akiwemo M.Seif.Kama wewe ni mzanzibari ungelifahamu vizuri maamuzi aliyofanya Seif yamelenga wapi, na sote tunamuunga mkono kwa maamuzi yake ya busara.

      Kwa kukurahisishia, Zanzibar kabla ya uchaguzi wa aina yoyote ile tunashushiwa JWTZ kuja kudumisha Mapinduzi.Na uchaguzi wa mwaka huu haukuwa na tofauti yoyote ile, hata kama ZEC wangelimtangaza Seif inabidi Mapinduzi yalindwe na chama chake cha Mapinduzi......I think you get the logic, dont you ?

      Wangelikufa wazanzibari wengi tuu kama Seif angetumia nguvu ya wananchi kuingia barabarani....au worst angekataa matokeo tukarudi tena kwenye migogoro ya kisiasa kama miaka iliopita.Hivyo Zanzibar tuko kwenye better position kwa maamuzi ya Seif.....Anyways, Zanzibar is a complex political entity...if you dont get it, get rid of it
      MZALENDO.NET-Zanzibar na Zama za ukweli na uwazi...

    18. #16
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,022
      Rep Power : 1720
      Likes Received
      964
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      wakati watoto wa wenzao wanakwenda Tuition, watoto wao walikuwa wanakwenda Madrasa...
      Sasa ndio hivyo wanaburuzwa bila wao kujijuwa.
      Subirini Ramadhan ifike mkaribishwe ftari ikulu.

    19. #17
      John10's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th August 2009
      Posts : 358
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7
      Likes Given
      3

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Aliyeanzisha Chadema alikuwa CCM pia. Viongozi wengi wa Chadema walikuwa CCM kwanza. Sasa hivi wamekuja kufanya kazi ya CCM ndani ya Chadema. CCM ilipoanzisha mfumo wa vyama vingi walijua jinsi gani ya kutumia mfumo huo ili waendelee kutawala milele. Chadema, CUF, NCCR nk, yote ni matawi ya CCM.

    20. #18
      Bams's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 829
      Rep Power : 600
      Likes Received
      333
      Likes Given
      9

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      CUF mainland wake up and walk on your own, do not depend on the tiny Pemba islanders! Ni aibu kubwa kwa CUF kuburuzwa na CUF ya Wapemba, la sivyo msitegemee maajabu ya CUF kuwa na nguvu katika Tanzania, kitaendelea kuwa chama cha Wazanzibari, na hasa Pemba, na wale wenye asili ya huko.

      Huo ni ushauri wa bure.

    21. #19
      Shaycas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2009
      Location : Arusha
      Posts : 654
      Rep Power : 653
      Likes Received
      26
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By John10
      Aliyeanzisha Chadema alikuwa CCM pia. Viongozi wengi wa Chadema walikuwa CCM kwanza. Sasa hivi wamekuja kufanya kazi ya CCM ndani ya Chadema. CCM ilipoanzisha mfumo wa vyama vingi walijua jinsi gani ya kutumia mfumo huo ili waendelee kutawala milele. Chadema, CUF, NCCR nk, yote ni matawi ya CCM.
      Ni kweli waanzilishi wengi wa vyama vya siasa tanzania walikuwa CCM kabla ya mfumo huo kuanza,sababu ilikuwa ni kwamba wakati flani ili uweze kuajiriwa kwenye taasisi yoyote ni lazima uwe na kadi ya TANU *CCM* Hivyo sioni logic yako kama ina mshiko.
      Wapo ambao walikuwa wanapinga maamuzi waliyoona ni mabovu tangu mwanzo na wakapata misukosuko mingi lakini walilazimika kkukaa CCM na baada ya mfumo wa vyama vingi walitoka na kuanzisha vyama vyao.e.g Mtikila na wengineo.

    22. #20
      MrFroasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2009
      Posts : 544
      Rep Power : 612
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

      Quote By Gang Chomba
      wakati watoto wa wenzao wanakwenda Tuition, watoto wao walikuwa wanakwenda Madrasa...
      Sasa ndio hivyo wanaburuzwa bila wao kujijuwa.
      Subirini Ramadhan ifike mkaribishwe ftari ikulu.
      Ukisha soma wewe tuu imetosha.....Sijuwi una elimu gani mwenzetu ya kuweza kusoma CV kutoka kwenye post iliochapwa hapa JF.....This is called stereo typing in English, which normally ignorant dudes have this tendency most of often!
      MZALENDO.NET-Zanzibar na Zama za ukweli na uwazi...

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Jeshi la Marekani linaruhusu ushoga. CCM,JK,na JWTZ, wana msimamo gani??
      By JokaKuu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 6
      Last Post: 10th November 2011, 20:29
    2. Pata picha mkeo kakuaga kuwa wana kikao kwenye kikundi chao
      By Saint Ivuga in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 37
      Last Post: 11th April 2011, 01:17
    3. Tafadhalini sana -huu ni wakati wa wana CHADEMA kuwa na mshikamano wa chama
      By nderingosha in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 6th April 2011, 16:22
    4. Ni wana CCM wangapi walikipigia Kura Chama Chao?
      By Mpui Lyazumbi in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 13th November 2010, 18:09
    5. Hivi Waganda wana matatizo gani na Kiswahili
      By Omugasi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 39
      Last Post: 26th June 2009, 11:08

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...