Je fikra zile zile zilizokifikisha CCM kwenye asilimia 61 zilizotangazwa na TUME (toka 81% za 2005) bado zinaweza kukiwezesha kushinda mwaka 2015? CCM kinahitaji fikra mbadala ili kiishi au fikra zile zile kiondoke mwaka 2015 na asilimia 41 kama mantiki inavyobashiri.

Reply With Quote


Follow Us Here