Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: waziri na Katibu Mkuu wa Wizara nani mwenye mamlaka na madaraka katika uamuzi na uten

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      terabojo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd August 2010
      Posts : 162
      Rep Power : 478
      Likes Received
      19
      Likes Given
      86

      Default waziri na Katibu Mkuu wa Wizara nani mwenye mamlaka na madaraka katika uamuzi na uten

      Wana JF nisaidieni n iweze kuelewa nani kati ya hao anao uwezo wa lutuletee neema kiutendaji na kufanikisha malengo ya wizara husika?? Binafsi ninadhani Katibu Mkuu ndio hasa "engine" ya wizara na kwa umoja wao serikali. Waziri anakuja na kuondoka - wizara ya mabo ya ndani ni kigezo. Je, wewe mwana JF unasemaje?

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1690
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Re: waziri na Katibu Mkuu wa Wizara nani mwenye mamlaka na madaraka katika uamuzi na

      Katibu ni muhimu sana,anaweza kufanya mambo yakaenda haraka pale wizarani.mara nyingi yeye ndiye professional anayejua utendaji kuliko waziri but hatuwezi kusahau umuhimu wa waziri kwani yeye anaweza kuamuru kitu kifanyike,kipi kiwe priority n .k

    4. #3
      Bob_Dash's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 91
      Rep Power : 452
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: waziri na Katibu Mkuu wa Wizara nani mwenye mamlaka na madaraka katika uamuzi na

      Kwa ufupi tu, waziri ana madaraka ya juu kuliko Katibu mkuu wa wizara, mambo yanaenda hivi, katibu mkuu ana riporti utendaji kazi kwa waziri na waziri anaripoti kwa Rais, Lakini katika majukumu ya kiutendaji yaliyokwisha amuliwa ama kupendekezwa na waziri katibu mkuu huwa ana madaraka ya kuamua jambo kisha kupeleka ripoti kwa bosi wake ambaye ni waziri
      “Don’t regret anything, because at some point in time, it was exactly what you wanted.”

    5. #4
      Taso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2010
      Posts : 1,174
      Rep Power : 794
      Likes Received
      308
      Likes Given
      121

      Default Re: waziri na Katibu Mkuu wa Wizara nani mwenye mamlaka na madaraka katika uamuzi na

      Quote By Bob_Dash
      Kwa ufupi tu, waziri ana madaraka ya juu kuliko Katibu mkuu wa wizara, mambo yanaenda hivi, katibu mkuu ana riporti utendaji kazi kwa waziri na waziri anaripoti kwa Rais, Lakini katika majukumu ya kiutendaji yaliyokwisha amuliwa ama kupendekezwa na waziri katibu mkuu huwa ana madaraka ya kuamua jambo kisha kupeleka ripoti kwa bosi wake ambaye ni waziri
      unasema katibu mkuu anaripoti kwa waziri, waziri kwa rais

      waziri mkuu yuko wapi hapo(mkubwa wa mawaziri), pamoja na katibu mkuu kiongozi (mkubwa wa makatibu wakuu)?

      kumbuka katibu mkuu wa Masha alivyokuwa anaripoti kwa katibu mkuu kiongozi, Masha akalalamika kwa waziri mkuu

    6. #5
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,045
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      3439

      Default Re: waziri na Katibu Mkuu wa Wizara nani mwenye mamlaka na madaraka katika uamuzi na

      Quote By Taso
      unasema katibu mkuu anaripoti kwa waziri, waziri kwa rais

      waziri mkuu yuko wapi hapo(mkubwa wa mawaziri), pamoja na katibu mkuu kiongozi (mkubwa wa makatibu wakuu)?

      kumbuka katibu mkuu wa Masha alivyokuwa anaripoti kwa katibu mkuu kiongozi, Masha akalalamika kwa waziri mkuu
      Jamaa alimuona Kilaza nini akaamua awe anamruka...
      Do Something......

    7. Miaka 50

    8. #6
      Newvision's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Posts : 443
      Rep Power : 520
      Likes Received
      27
      Likes Given
      0

      Default Re: waziri na Katibu Mkuu wa Wizara nani mwenye mamlaka na madaraka katika uamuzi na

      Naam wengine wamesema nami naongeza. Katibu Mkuu ni mtendaji Mkuu wizarani. Mawaziri wengine hawapati makatibu walio watendaji yaani wachapa kazi maana wapo makatibu wakuu VILAZA pia hawa wanatakiwa wajue vipau mbele vya wizara zao wapi na namna gani watapata resources kwa ajili ya kuimplement vipau mbele hivyo etc etc na anatakiwa ampe Waziri wake malengo hayo. Waziri makini atachukua ya katibu Mkuu wake atayafanyia kazi pamoja na ya ziada toka kichwani mwake. Ukipata waziri Kilaza na katibu Mkuu kilaza pia basi kwa kifupi Wizara yote IMEKUFA.

    9. #7
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: waziri na Katibu Mkuu wa Wizara nani mwenye mamlaka na madaraka katika uamuzi na

      Nadhani waziri kazi yake ni WHAT should be done =Sera
      Katibu mkuu yeye kazi yake ni HOW and WHO= Utekelezaji

      Kisheria resources za wizarai ziko chini ya katibu MkuuKatibu Mkuu ndo mwenye wajibu wa ya Ku hire na ku fire .

      Kwam tazamo wangu Ki

      • Ki structure ya Utendaji katibu mkuu yuko juu


      • Ki structure ya Kisiasa Waziri yuko juu

      Tatizo naloliona mimi wote hawa ni Presdential appointment. Ingekuwa vizuri hata kama wanakuwa appointed na ofisi ya rais makatibu mkuu wa wizara wakawa apointed after job applicationand interview. Itawafanya makatibu wa wizara kuwa more professional
      Last edited by Mtazamaji; 2nd December 2010 at 17:11.

    Similar Topics

    1. Replies: 157
      Last Post: 9th February 2012, 13:53
    2. Katibu mkuu wizara ya ardhi ahukumiwa!
      By Mtumishi Mkuu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 10
      Last Post: 6th September 2011, 11:52
    3. Mh Pinda na Mh Luhanjo nani mwenye mamlaka zaidi?
      By Pdidy in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 27
      Last Post: 28th July 2011, 23:26
    4. Je huyu ni katibu mkuu wa wizara gani?
      By othorong'ong'o in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 6
      Last Post: 29th March 2011, 23:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...