Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Hivi hawa wanatupiga changa la macho au Ni kwamba sisi wajinga hatuoni au wanalofanya ni sawa...??

      Ni kwamba hawa watu wanatumia kipengele cha kampuni mpya kupewa Miaka Mitano ya Kutokulipa Kodi sasa wao wanachofanya ni kuuza kampuni kila baada ya Five Years Hivi wanasheria Humu Jamvini ni Vipi tunaweza wabana hawa mafisadi


    2. #2
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3110
      Likes Given
      4232

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Hata ------ hajui hili. kazi yake kusema kuna mafanikio mengi sana kama kuleta kocha wa netball!
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    3. #3
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Nina hasira sana kufanywa kama zuzu..... Tunafurahia ohh Zain gharama nafuu...... wakati wanacost millions of cash Arrghhhh

    4. #4
      Jayfour_King's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2009
      Location : Tanzania
      Posts : 1,150
      Rep Power : 718
      Likes Received
      84
      Likes Given
      186

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Quote By VoiceOfReason View Post
      Hivi hawa wanatupiga changa la macho au Ni kwamba sisi wajinga hatuoni au wanalofanya ni sawa...??

      Ni kwamba hawa watu wanatumia kipengele cha kampuni mpya kupewa Miaka Mitano ya Kutokulipa Kodi sasa wao wanachofanya ni kuuza kampuni kila baada ya Five Years Hivi wanasheria Humu Jamvini ni Vipi tunaweza wabana hawa mafisadi
      Na alikuwepo wakati wa uzinduzi wa jina hili anacheka tu kama kawaida yake.
      Wrong is a mirror for the rights

    5. #5
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3110
      Likes Given
      4232

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Quote By Jayfour_King View Post
      Na alikuwepo wakati wa uzinduzi wa jina hili anacheka tu kama kawaida yake.
      yeye hajui ni nini kinaendelea huku duniani. Namkumbuka mwalimu wangu wa sayansi kimu, tulikuwa tunasema hivi huyu anajua zaidi ya ugali, samaki, maziwa na mayai?
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF


    6. #6
      Ntemi Kazwile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Location : Bongo salidalam
      Posts : 1,876
      Rep Power : 837
      Likes Received
      136
      Likes Given
      454

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Sidhani kwamba kuna ukwepaji wa kodi wowote hapa. Waliobadirika hapa ni shareholders na jina la biashara na hii haimanishi mabadiriko katika mikataba ya awali.

      Lazima tukubali kuwa watu wote matajiri kwenye corporate world waliuza hisa zao baada ya kuyaanzisha makampuni yakafanikiwa, ni wengi mfano Bill Gates, Warren Buffet, etc,
      “If people are not laughing at your dreams at least once a week, you are aiming too low.” Robin Sharma.

    7. #7
      Mtoto wa Kishua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2009
      Posts : 755
      Rep Power : 644
      Likes Received
      56
      Likes Given
      23

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      WAnasema sheria imebadilishwa, hakuna tena cha tax holiday ya 5 years, nilisikia kitu kama hicho.

    8. #8
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Quote By Ntemi Kazwile View Post
      Sidhani kwamba kuna ukwepaji wa kodi wowote hapa. Waliobadirika hapa ni shareholders na jina la biashara na hii haimanishi mabadiriko katika mikataba ya awali.

      Lazima tukubali kuwa watu wote matajiri kwenye corporate world waliuza hisa zao baada ya kuyaanzisha makampuni yakafanikiwa, ni wengi mfano Bill Gates, Warren Buffet, etc,
      Swali ni Kwamba Je wanalipa Kodi au Hawalipi That's all

    9. #9
      Misterdennis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2007
      Posts : 1,078
      Rep Power : 831
      Likes Received
      75
      Likes Given
      267

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Quote By Ntemi Kazwile View Post
      Sidhani kwamba kuna ukwepaji wa kodi wowote hapa. Waliobadirika hapa ni shareholders na jina la biashara na hii haimanishi mabadiriko katika mikataba ya awali.

      ,
      Hii ni kweli.
      Kilichotokea ni shareholders wamebadilika na wamebadilisha jina la kampuni basi.

      Kuhusu kama wanalipa kodi au hawalipi, hilo wanaweza kutujuza waliopo TRA, au unaweza kutafuta kama wapo kwenye ile category ya large tax payers wa TZ.

    10. #10
      Madcheda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2009
      Posts : 363
      Rep Power : 599
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      jamani tusiwe tunakurupuka kusema vitu ambavyo hata hatuna uhakika navyo jamani,tax holiday ipo ndio,ila zain africa ima change jina kila sehemu saiv nipo sierra leone zain imekua airtel tangu juzi,so si kwamba imebadilika tanzania tu,what happend ni kwamba wahindi wa airtel wameinunua zain toka kwa waarabu,so si kwamba imebadilika tz peke yake kwajili ya tax holiday

    11. #11
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 6,023
      Rep Power : 1657
      Likes Received
      1144
      Likes Given
      419

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Quote By VoiceOfReason View Post
      Hivi hawa wanatupiga changa la macho au Ni kwamba sisi wajinga hatuoni au wanalofanya ni sawa...??

      Ni kwamba hawa watu wanatumia kipengele cha kampuni mpya kupewa Miaka Mitano ya Kutokulipa Kodi sasa wao wanachofanya ni kuuza kampuni kila baada ya Five Years Hivi wanasheria Humu Jamvini ni Vipi tunaweza wabana hawa mafisadi
      Kuna watu walitoa pesa kugharamia mabango ya Kikwete kwa ahadi ya kuruhusiwa kukwepa kodi.

      Kalaghabaho!
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    12. #12
      Sir Leem's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Posts : 437
      Rep Power : 662
      Likes Received
      42
      Likes Given
      0

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Quote By madcheda View Post
      jamani tusiwe tunakurupuka kusema vitu ambavyo hata hatuna uhakika navyo jamani,tax holiday ipo ndio,ila zain africa ima change jina kila sehemu saiv nipo sierra leone zain imekua airtel tangu juzi,so si kwamba imebadilika tanzania tu,what happend ni kwamba wahindi wa airtel wameinunua zain toka kwa waarabu,so si kwamba imebadilika tz peke yake kwajili ya tax holiday
      Mie nashindwa kuwaelewa watu wa hapa JF! kwani airtel wamenunua zain Tanzania tu?

    13. #13
      Jamco_Za's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2007
      Posts : 1,239
      Rep Power : 857
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Jamani tusipende kukariri kuwa ukibadilisha jina basi unakwepa kodi, ili usilipe kodi kuna masharti ambayo lazima yatimie hacheni uvivu nendeni Tanzania Investment Center msome halafu mrudi kuja kujadili na kuona kama zain watafall kwenye category ya kusamehewa kodi

      Sio kila jina likibadilika basi na kodi inakwepwa

    14. #14
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 6,023
      Rep Power : 1657
      Likes Received
      1144
      Likes Given
      419

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Quote By Sir Leem View Post
      Mie nashindwa kuwaelewa watu wa hapa JF! kwani airtel wamenunua zain Tanzania tu?
      Tuambie wamenunua nini na wapi kwingineko na taratibu gani zilifuatwa?
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    15. #15
      Batale's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 186
      Rep Power : 472
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Hii kampuni ya simu itakuwa ya mafisadi wa tanzania wana jf tuwe makini tuichunguze na mwenye taarifa nzuri za kampuni hii atujuze, wakwepa kodi wakubwa hawa, kiongozi naye ni kushangilia tu.

    16. #16
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Jamani tusiconfuse mambo hapa kwa habari za uhakika nilizonazo ni kwamba zain haijawahi kulipa kodi..... Je kuna anayepinga hili

    17. #17
      Mporipori's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 45
      Rep Power : 444
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Wajumbe kuhusu tax paying; data hizi hapa….
      Between July 2007 and June this year, mobile phone firms in the large taxpayers' category -- among them Vodacom Tanzania, Tigo, Zain and Zantel -- had paid excise duty to the government amounting to Tsh40.2 billion ($36.2 million) whereas the TRA target was to collect Tsh39.2 billion ($37.3 million), a performance of 102 per cent.
      Kwa hiyo jamaa inaonesha kodi huwa wanalipa

      From; Cellphone Firms Under Scrutiny Over Tax Planning in Tanzania | balancingact-africa.com
      YOU ARE ALWAYS INVOLVED IN POLITICS WHETHER YOU LIKE IT OR NOT; SHAPE IT BEFORE IT SHAPES YOU...! - Mak_the fighter

    18. #18
      Msengapavi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2008
      Posts : 574
      Rep Power : 657
      Likes Received
      52
      Likes Given
      2

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      oga, (madcheda) sasa naelewa kitu, thanks!

    19. #19
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Quote By Mporipori View Post
      Wajumbe kuhusu tax paying; data hizi hapa….
      Between July 2007 and June this year, mobile phone firms in the large taxpayers' category -- among them Vodacom Tanzania, Tigo, Zain and Zantel -- had paid excise duty to the government amounting to Tsh40.2 billion ($36.2 million) whereas the TRA target was to collect Tsh39.2 billion ($37.3 million), a performance of 102 per cent.
      Kwa hiyo jamaa inaonesha kodi huwa wanalipa

      From; Cellphone Firms Under Scrutiny Over Tax Planning in Tanzania | balancingact-africa.com
      Please nijuze zaidi kwahiyo tax heaven ipo au haipo na kama ipo je inainvolve taz ya aina gani sababu hapa nimeona wamelipa excise duty

    20. PPM is online now
      PPM
      #20
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 406
      Rep Power : 479
      Likes Received
      65
      Likes Given
      39

      Default Re: Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)

      Quote By VoiceOfReason View Post
      Hivi hawa wanatupiga changa la macho au Ni kwamba sisi wajinga hatuoni au wanalofanya ni sawa...??

      Ni kwamba hawa watu wanatumia kipengele cha kampuni mpya kupewa Miaka Mitano ya Kutokulipa Kodi sasa wao wanachofanya ni kuuza kampuni kila baada ya Five Years Hivi wanasheria Humu Jamvini ni Vipi tunaweza wabana hawa mafisadi
      Kama haujui ni bora ukauliza kwanza. Kampuni za simu hazipo kwenye makampuni yanasosamehewa kodi. Kwa tahari vocher ya simu unayoweka ili kupata credit inajumuisha na makato ya TRA

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 24
      Last Post: 10th December 2011, 21:10
    2. Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa
      By Godwine in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 45
      Last Post: 23rd August 2011, 13:19
    3. Replies: 3
      Last Post: 25th May 2011, 12:46
    4. CELTEL- ZAIN now AIRTEL . SHERATON now MOVE N PICK HOTEL. tafrani!!!!
      By Robbinhood in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 26th November 2010, 19:56
    5. Hawa ni wakwepa kodi wakubwa?
      By TandaleOne in forum Business & Economic Forum
      Replies: 5
      Last Post: 2nd October 2010, 21:56

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...