Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      Kiherehere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,074
      Rep Power : 648
      Likes Received
      71
      Likes Given
      132

      Default Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      Majimbo ya uchaguzi yaliyofanya uchaguzi wa marudio j2 trh 14/11/2010 ni SABA.

      Kati ya hayo saba CCM-3,CUF-3 na CHADEMA-1.

      Gazeti la MWANANCHI leo, nanukuu "UPINZANI WAZOA MAJIMBO MANNE"

      Mi sikubaliani na hili, hapa ni kwamba "UPINZANIA UMEZOA JIMBO MOJA" kwa kuwa Chama
      Cha wananchi CUF, zanzibar ni chama Tawala (isitoshe majimbo iliyochukua CUF yoote ni kutoka Z'BAR), kwa kuwa nacho kinaunda serikali, so CUF sio wapinzania tena kwa nini wanatujumuisha na CUF?? Naomba waandishi waliangalie hili.

      Kwenu wanajamii

    2. Miaka 50

    3. #2
      NewDawnTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Location : Matejoo
      Posts : 1,677
      Rep Power : 785
      Likes Received
      345
      Likes Given
      163

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      Umenifanya nimejikuta laptop yangu nimeibeba kichwani. Uko right, wsaichoweza CUF ni kuvunja chama na kurudi CCM maana wanajua chama kina wenyewe na hawataambulia hata ukiranja wa kitongoji achilia mbali udiwani. Me nawashauri wavunje tu chama wajiunge na CCM kama alivyofanya mwenzao Dovutwa (kwangu mimi ni sawa na kuvunja chama unapokuwa upinzani na kuwaambia wanachama wako wampigie kura mgombea wa chama tawala). Hawa wote na Dovutwa me nawaona kama mamluki kwenye siasi wasiojua ni nini wanataka kufanya achi9lia mbali nini wanatakiwa kufanya. ME NATAMANI KUWA........
      What is gained by argument is gained forever

    4. #3
      marshal's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : Africa
      Posts : 194
      Rep Power : 472
      Likes Received
      31
      Likes Given
      25

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      Quote By kiherehere
      Majimbo ya uchaguzi yaliyofanya uchaguzi wa marudio j2 trh 14/11/2010 ni SABA.

      Kati ya hayo saba CCM-3,CUF-3 na CHADEMA-1.

      Gazeti la MWANANCHI leo, nanukuu "UPINZANI WAZOA MAJIMBO MANNE"

      Mi sikubaliani na hili, hapa ni kwamba "UPINZANIA UMEZOA JIMBO MOJA" kwa kuwa Chama
      Cha wananchi CUF, zanzibar ni chama Tawala (isitoshe majimbo iliyochukua CUF yoote ni kutoka Z'BAR), kwa kuwa nacho kinaunda serikali, so CUF sio wapinzania tena kwa nini wanatujumuisha na CUF?? Naomba waandishi waliangalie hili.

      Kwenu wanajamii
      Upo sawa mjumbe ila Hupo sawa!
      Kuunda Serikali ya Shirikisho Haikifanyi CUF kuwa ni Chama Tawala.Raisi wa Zanzibar ana Mamlaka yote kikatiba kuteua maofisa wote wa serikali ya mapinduzi bila kushirikiana na Makamu wa Rais (1st+ 2nd).
      Refer Serikali ya Umoja wa kitaifa Kenya!This is more of political than the raelity,so CUF bado wanabaki kuwa wapinzani kwa mantiki kuwa upinzani si kupingana bali upinzani ni Chama kinachokuwa kikitafuta ridhaa ya wanachi kuongoza Dola kwa kuwa na sera Mbadala zinazokipa changamoto chama kinachoongoza Serikali.Mathalani Kenya,Raila Odinga yupo serikalini lakini huwa anasimama na kuingana na Rais wake hata kama wapo kwenye serikali moja!Seif hajawa Makamu wa Rais ili kusudi azibwe mdomo,bado anaweza kukemea utendaji wa serikali na ki ukweli bado Rais wa Zanzibar ana nguvu sana kikatiba.
      MTazamo wangu naona CUF bado ni wapinzani (ingawa wanaweza wasiwe pro/re - active kama mwanzo) na Mwanachi wapo Sahihi kwa title yao!

    5. #4
      furahi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 447
      Rep Power : 527
      Likes Received
      32
      Likes Given
      158

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      NIMEIPENDA HIYO. Nipe gwara basi.......

    6. #5
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,342
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      Ni kweli lakini mwanachi tupo nao pamoja ni mwandishi wa hiyo habari alijisahau kidogo tumsamehe.

      peoples power

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      kaburunye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Location : pandagisiza sogwinaminzi
      Posts : 679
      Rep Power : 599
      Likes Received
      57
      Likes Given
      13

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      Zanzibar CUF sio chama cha upinzani. Na hata huku bara wanajiita chama cha upinzani lakini si kweli

    9. #7
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,636
      Rep Power : 2008
      Likes Received
      1653
      Likes Given
      1630

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      Mazoea yana tabu.
      hata CCM ikipigwa chini huku watu watajisahau tu.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    10. #8
      NewDawnTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Location : Matejoo
      Posts : 1,677
      Rep Power : 785
      Likes Received
      345
      Likes Given
      163

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      Quote By marshal
      Upo sawa mjumbe ila Hupo sawa!
      Kuunda Serikali ya Shirikisho Haikifanyi CUF kuwa ni Chama Tawala.Raisi wa Zanzibar ana Mamlaka yote kikatiba kuteua maofisa wote wa serikali ya mapinduzi bila kushirikiana na Makamu wa Rais (1st+ 2nd).
      Refer Serikali ya Umoja wa kitaifa Kenya!This is more of political than the raelity,so CUF bado wanabaki kuwa wapinzani kwa mantiki kuwa upinzani si kupingana bali upinzani ni Chama kinachokuwa kikitafuta ridhaa ya wanachi kuongoza Dola kwa kuwa na sera Mbadala zinazokipa changamoto chama kinachoongoza Serikali.Mathalani Kenya,Raila Odinga yupo serikalini lakini huwa anasimama na kuingana na Rais wake hata kama wapo kwenye serikali moja!Seif hajawa Makamu wa Rais ili kusudi azibwe mdomo,bado anaweza kukemea utendaji wa serikali na ki ukweli bado Rais wa Zanzibar ana nguvu sana kikatiba.
      MTazamo wangu naona CUF bado ni wapinzani (ingawa wanaweza wasiwe pro/re - active kama mwanzo) na Mwanachi wapo Sahihi kwa title yao!
      Kwa sehemu nakuunga mkono ila Odinga is next level bana kuweza kuhimili kubakia mpinzani ndani ya serikali (japo wakati mwingine huonekana kunogewa na kupitiwa). Tofauti ni kwamba je Seif (labda na Lipumba) anaweza kumaintain standards ndani ya viyoyozi vya Ikulu?? Siku moja tena si mbali tutapata majibu ya maswali haya
      What is gained by argument is gained forever

    11. #9
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,428
      Rep Power : 1383
      Likes Received
      594
      Likes Given
      405

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      hivi kafu bado kinajiita chama at all chama cha upinzani? huo upinzani wao ni kati ya nani na nani? maana chadema si chama tawala!
      nimehoji kama bado wanajiita ni chama kwa sababu hawajui hata chama cha upinzani kinapaswa kupinzana na nani, uwezo wao wa kufikiri kwa sasa ni ziro kabisa. I wonder what has happened to Hamad Rashid.

      Naomba ufafanuzi: Chama cha upinzani ni kile kinachopingana na chama kilicho madarakani sasa ikitokea chama kinachojiita cha upinzani kama cuf ambayo katika serikali ya muungano haiko madarakani (yaani technically ni cha upinzani) kikaanza kukukipinga chama cha upinzani hiki chama (cuf kwa mfano) kinakuwa katika kundi lipi?...au chama kanjanja?
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    12. #10
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,372
      Rep Power : 2115
      Likes Received
      1732
      Likes Given
      676

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      Mh!wewe mbona mtata sana!!

    13. #11
      MBWEHA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 21
      Rep Power : 437
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      CUF ni chama cha kiherehere,hawajui walitendalo mwaka huu ndo mwisho wao

    14. #12
      Ngangasyonga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2010
      Posts : 411
      Rep Power : 520
      Likes Received
      53
      Likes Given
      11

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      CUF kipolitiki ukiingalia slowly inavutwa kwenye u-CCM itafika pahala itapotea at all

    15. #13
      Catagena's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd October 2010
      Posts : 91
      Rep Power : 453
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      Quote By NewDawnTz
      Umenifanya nimejikuta laptop yangu nimeibeba kichwani. Uko right, wsaichoweza CUF ni kuvunja chama na kurudi CCM maana wanajua chama kina wenyewe na hawataambulia hata ukiranja wa kitongoji achilia mbali udiwani. Me nawashauri wavunje tu chama wajiunge na CCM kama alivyofanya mwenzao Dovutwa (kwangu mimi ni sawa na kuvunja chama unapokuwa upinzani na kuwaambia wanachama wako wampigie kura mgombea wa chama tawala). Hawa wote na Dovutwa me nawaona kama mamluki kwenye siasi wasiojua ni nini wanataka kufanya achi9lia mbali nini wanatakiwa kufanya. ME NATAMANI KUWA........
      Hiki ndicho kinafanya wananchi wengi, wavivu wakufikiri, wenye siasa za ujumla jumal hawaelewi ni kwa nini CHADEMA wameamua kutomkaribisha "mpinzani" yeyote kwenye uongozi bungeni. 1. CUF wanaunda serikali Zanzibar and it was clearly stated that they will have to implement the 201/2015 CCM electoral MANIFESTO, and none of the CUF activists came forward with an objection to that. "SILENCE MEANS YES". 2. NCCR Mageuzi, ama kwa kutmiwa na CCM au kwa uelewa wao mdogo wa hali ya siasa na mwenendo wa wapiga kura, waliomba kuchiwa jimbo la Kawe, while CHADEMA had already calculated an angle of attack, which indicated that they had a greater chance of winning..a refusal of which led into a serous commotion between NCCR_Mageuzi Chairman and CHADEMA. 3. TLP huna hata haja yakujiuliza juu ya subsumption yao katika uongozi wa upinzani, kwani mwenye kit wao, ambaye pia ni mbunge wa Vunjo ameshapoteza sanity...na kilichobaki kwake nikuwaomba CCM wamuonee huruma. 4. UDP wako sawa na TLP, kujipendekeza kwa CCM ili waonewe huruma...utakumbuka nyumba ya Mwenyekit wa chama hiki, ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi ilitaka kuuzwa..na ndipo alipoipigia magoti serikali ya CCM imnusuru..Huyu anaeza kuwa mpinzani wa kweli? na ikumbukwe, siku za mwisho wa Bunge la 9, mheshimiwa Cheyo alipiga U_TURN kwenye maanuzi yaliyofikiwa unanimously na kambi ya upinzani, tena yeye akiwa waziri kivuli...WHAT IS YOUR TAKE ON CHADEMA'S DECION NOT TO INCLUDE ANY OTHER "OPPOSTION" PARTY?

      Nawasilisha

    16. #14
      sensa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 380
      Rep Power : 510
      Likes Received
      15
      Likes Given
      51

      Default Re: Sikubaliania na gazeti la mwananchi

      Tuwaite CUF CCM au wapinzani yote sawa,lakini mwelekeo wao ushaanza kuonekana labda tuseme kuna makundi mawili ya upinzani yenye sifa tofauti na maslahi tofauti.Tulifikiri ccm ndio itakufa ya kwanza kumbe itaanza CUF

    Similar Topics

    1. Gazeti la mwananchi la leo....
      By Msanii in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 28
      Last Post: 22nd January 2013, 09:36
    2. Gazeti la Mwananchi na gamba la CCM!
      By Mzee wa Rula in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 8th May 2011, 21:42
    3. Ikulu Vs gazeti la Mwananchi!
      By AK-47 in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 34
      Last Post: 22nd September 2010, 20:43
    4. Gazeti la Mwananchi na uchaguzi
      By PayGod in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 9
      Last Post: 11th September 2010, 15:41

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...