Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 66
    1. #1
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22551

      Default New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Wanabodi,
      Bado niko hapa mjini Dodoma, nikijivinjari katika viwanja vya Bunge kwa haya na yale.

      Japo mpaka sasa kitendawili cha Waziri Mkuu bado hakijatenguliwa, nimeonelea niwatajie baadhi ya majina mapya kwenye new cabinet.

      1. Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka.
      Huyu ndie mbunge mwenye highest profile. Asipokuwa PM then atapewa foreign. Sababu pekee ya kumrudisha Pinda inaweza kuwa ni ile ile iliyomrudisha Sumaye, cost implication na sio performance.

      List inaendelea, unaweza kuongeza listi kwa mtazamo wako ila lazima utoe sababu sio kutaja taja tuu majina.


    2. #2
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,378
      Rep Power : 1251
      Likes Received
      349
      Likes Given
      73

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      January Makamba kwa kazi nzuri ya kumlinda Kikwete inayofanywa na baba yake-fadhila!!


      Nchimbi, Ni prote'ge mkubwa wa Kikwete tangu uchaguzi wa 2005, alikuwa naibu sasa atampa wizara kamili.

      Ghasia na Mwantumu Mahiza, hawa ni maswahiba wa Salma Kikwete na Jakaya hawezi kupuuza ushauri wake kama alivyoonyesha kumshukuru kwa kumsaidia kampeni; mmoja atapata uwaziri na mwingine kuteuliwa ubunge na unaibu!!

      Ngeleja ataendelea kwa kuwa kibaraka wa Rostam ; ataendelea kutumiwa kubaka uchumi wetu kama alivyofanya kipindi kilichopita.

    3. #3
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,421
      Rep Power : 1823
      Likes Received
      1415
      Likes Given
      1216

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Pasco, u already know that there are lot of allegations that Mafisadi they are behind restoration of this government right from Election Process and now Speaker. Anna may not know, but that is a fact behind the scene.

      That being the case people like Masha; Batilda; January will come back.

      Of highest interest ni kuona Lowassa atapewa nini? Kama kweli anayo dream ya kugombea 2015, lazima atafute the stepping stone. JK cannot say no to what EL wants. That we know 100%.

    4. #4
      smwansasu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 13
      Rep Power : 503
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      What matters to me is the size of the cabinet. An overbloated cabinet is very expensive. We do need some experienced people among them but not an enviromentally friendly cabinet with a lot of recycled ministers from Nyerere/Mwinyi era. Wape vijana wachache wachape kazi

    5. #5
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22551

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Mwingine ni Samia Suluhu Hassan.
      Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.


    6. #6
      Elinasi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : arusha
      Posts : 59
      Rep Power : 457
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      samweli sitta,lazima apoozwe kwa hila za kumtosa kwenye uspika,likely akapewa wizara ya ulinzi,baada ya masha kuangukia pua
      Pamoja tutafika tu!

    7. #7
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 581
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Engineer Christopher chiza anaweza kurudiswa kama uwiano wa mikoa utazingatiwa hasa kigoma ambako NCCR Wametawala
      Prof mwandosya
      John magufuli kwa uchapaji kazi uliotukuka

    8. #8
      Kasheshe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Location : Bububu
      Posts : 3,630
      Rep Power : 1351
      Likes Received
      196
      Likes Given
      344

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      The next PM is hon. Samuel Pitta (MP)

    9. #9
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22551

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Kuna vichwa vingine viwili navyo ni Gregory Teu, Mbunge wa Kongwa, huyu alikuwa naibu wa CAG, Ludovick Utouh, kutokana na kazi nzuri ya CAG, huyu jamaa atapewa deputy wa MoF.

    10. #10
      DoubleOSeven's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2008
      Posts : 442
      Rep Power : 651
      Likes Received
      29
      Likes Given
      37

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Quote By Superman View Post
      Pasco, u already know that there are lot of allegations that Mafisadi they are behind restoration of this government right from Election Process and now Speaker. Anna may not know, but that is a fact behind the scene.

      That being the case people like Masha; Batilda; January will come back.

      Of highest interest ni kuona Lowassa atapewa nini? Kama kweli anayo dream ya kugombea 2015, lazima atafute the stepping stone. JK cannot say no to what EL wants. That we know 100%.
      ............. RA wants EL for Primiership. As of the day b4 yesterday, Mr Six refused to be deputy PM under EL!!!
      By the way, members, did Anna Makinda just ... and I mean just... woke up n decided to give speakership a shot??? nay, nay nay!! Three fisadis, RA, EL and that TICTS guy are very well entrenched in the process. the lady happens to be developing a real estate somewhere, that thing we call apartments, and as already alleged, she is in debt. Guess who came in dangling that carrot to rid of her financial burden??? Need I name. No and didnt think so. Whereas the lady had no intention to vie for that office at the beginning, she did a turncoat, went on to challenge Mr Six! her apartments would be completed minus a nagging bank loan, huge one at that.

      EL, RA, That TICTS fella, et al are having quite a laugh!

    11. #11
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,528
      Rep Power : 37789
      Likes Received
      4979
      Likes Given
      2344

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Quote By Pasco View Post
      Wanabodi,
      Bado niko hapa mjini Dodoma, nikijivinjari katika viwanja vya Bunge kwa haya na yale.

      Japo mpaka sasa kitendawili cha Waziri Mkuu bado hakijatenguliwa, nimeonelea niwatajie baadhi ya majina mapya kwenye new cabinet.

      1. Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka.
      Huyu ndie mbunge mwenye highest profile. Asipokuwa
      PM then atapewa foreign. Sababu pekee ya kumrudisha
      Pinda inaweza kuwa ni ile ile iliyomrudisha Sumaye,
      cost implication na sio performance.

      list inaendelea, unaweza kuongeza listi kwa mtazamo wako ila lazima utoe sababu sio kutaja taja tuu majina.

      Mark James Mwandosya, huyu bwana ni msomi mwelewa, na siyo fisadi.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    12. #12
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22551

      Default

      Quote By Elinasi View Post
      samweli sitta,lazima apoozwe kwa hila za kumtosa kwenye uspika,likely akapewa wizara ya ulinzi,baada ya masha kuangukia pua
      Elinasi, kama Sitta amechinjiwa baharini kwenye uspika kwa tuhuma an sababu zozote na ile statement ya upendeleo kwa wanawake ni kisingizio tuu, basi Sitta hapewi chochote, atabakia Mbunge tuu.

    13. #13
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,292
      Rep Power : 1270
      Likes Received
      388
      Likes Given
      54

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Mizengo Pinda:PM

      J.P.Magufuli:
      Atapewa Mambo ya ndani iliyokuwa ya Masha.

      Aggrey Mwanri:
      Atapewa uwaziri kamili wa TAMISEMI

      Kigwangala:
      Naibu Afya


      S.Sita :
      Viwanda na biashara

      Mama Tibaijuka:
      Nyumba na makazi.

      .

    14. #14
      Gurtu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2010
      Posts : 893
      Rep Power : 644
      Likes Received
      152
      Likes Given
      6

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Katika serikali ya CCM chochote chaweza kutokea. Baraza la mawaziri siyo chochote kwa sababu wanaoongoza nchi siyo hao. Wanaochaguliwa na kuteuliwa ni vivuli tu vya wanaoongoza nchi. Niwataje viongozi wachache kwa majina na kwenye mabano nimewaweka wale ambao ni vivuli:
      1. Rais wa nchi:Rostam Aziz ( Jk)
      2. Waziri Mkuu:Edward Lowasa(Pinda)
      3. Spika: Andrew Chenge (Anne Makinda)
      kwa uchache hao wawili wanatosha.

      Nani asiyejua katika nchi hii kuwa Jk hawezi kusema kitu mbele ya Rostam na Lowasa? Ni nani asiyeweza kujua kuwa Andrew Chenge hakuwa na nia ya kugombea nafasi ya uspika bali lengo lake ni kumharibia Sitta ili wampenyeze mwakilishi wa mafisadi? Andrew aliwezaje kusafishwa na TAKUKURU wakati angombea uspika lakini Uingereza wanaendelea kumbana kwamba bado suala lake halijaisha? TAKUKURU ni chombo kilicho chini ya ofisi ya Rais kwa hiyo wanayoyatamka yana baraka zake na kwa hiyo ni uamuzi wa mafisadi. JK atajitenga vipi na mafisadi wake?

      Kwa hiyo tusiwaze mno baraza la mawaziri la serikali ya CCM bali tutegemee ni mafisadi wepi wataingia, wana unafuu gani katika ufisadi au ni wawakilishi wepi wa mafisadi wataingia.

    15. #15
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,421
      Rep Power : 1823
      Likes Received
      1415
      Likes Given
      1216

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Quote By DoubleOSeven View Post
      ............. RA wants EL for Primiership. As of the day b4 yesterday, Mr Six refused to be deputy PM under EL!!!
      By the way, members, did Anna Makinda just ... and I mean just... woke up n decided to give speakership a shot??? nay, nay nay!! Three fisadis, RA, EL and that TICTS guy are very well entrenched in the process. the lady happens to be developing a real estate somewhere, that thing we call apartments, and as already alleged, she is in debt. Guess who came in dangling that carrot to rid of her financial burden??? Need I name. No and didnt think so. Whereas the lady had no intention to vie for that office at the beginning, she did a turncoat, went on to challenge Mr Six! her apartments would be completed minus a nagging bank loan, huge one at that.

      EL, RA, That TICTS fella, et al are having quite a laugh!
      Mkuu hizi ndo facts tunazitakaa.

      TICTS fella is Nazir Karamagi right?

      Tell us more about Anna Makinda estate projects, financing scandal and Loan issue and how the Fisadis were involved.

      Kule Arusha I was there last week nilionyeshwa kijana moja wa karibu na vigogo wa CCM nyumba ambazo EL anamiliki ambazo alizininua AICC kwa njia za michoro . . . . Na sasa kazipangisha. Ni nyingi.

    16. #16
      Kasheshe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Location : Bububu
      Posts : 3,630
      Rep Power : 1351
      Likes Received
      196
      Likes Given
      344

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Quote By Mungi View Post
      Mark James Mwandosya, huyu bwana ni msomi mwelewa, na siyo fisadi.
      Ni kweli bwana mtoto wake alivyo-someshwa that time... yeye sio fisadi kwa sababu hayuko kwenye kambi ya JK... double standard.

      Kuna watu wameitwa mafisadi bila kuwa na issue yoyote... hii ya Mark it was clear... lakini du! it depend unapendwa au hupendwi... ukipendwa lolote lile sawa.

    17. #17
      DoubleOSeven's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2008
      Posts : 442
      Rep Power : 651
      Likes Received
      29
      Likes Given
      37

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Quote By Gurtu View Post
      Katika serikali ya CCM chochote chaweza kutokea. Baraza la mawaziri siyo chochote kwa sababu wanaoongoza nchi siyo hao. Wanaochaguliwa na kuteuliwa ni vivuli tu vya wanaoongoza nchi. Niwataje viongozi wachache kwa majina na kwenye mabano nimewaweka wale ambao ni vivuli:
      1. Rais wa nchi:Rostam Aziz ( Jk)
      2. Waziri Mkuu:Edward Lowasa(Pinda)
      3. Spika: Andrew Chenge (Anne Makinda)
      kwa uchache hao wawili wanatosha.

      Nani asiyejua katika nchi hii kuwa Jk hawezi kusema kitu mbele ya Rostam na Lowasa? Ni nani asiyeweza kujua kuwa Andrew Chenge hakuwa na nia ya kugombea nafasi ya uspika bali lengo lake ni kumharibia Sitta ili wampenyeze mwakilishi wa mafisadi? Andrew aliwezaje kusafishwa na TAKUKURU wakati angombea uspika lakini Uingereza wanaendelea kumbana kwamba bado suala lake halijaisha? TAKUKURU ni chombo kilicho chini ya ofisi ya Rais kwa hiyo wanayoyatamka yana baraka zake na kwa hiyo ni uamuzi wa mafisadi. JK atajitenga vipi na mafisadi wake?

      Kwa hiyo tusiwaze mno baraza la mawaziri la serikali ya CCM bali tutegemee ni mafisadi wepi wataingia, wana unafuu gani katika ufisadi au ni wawakilishi wepi wa mafisadi wataingia.
      ... interesting. What about the proxy for Tanzania, meaning, Tanzania (RA).

    18. #18
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22551

      Default

      Quote By Mungi View Post
      Mark James Mwandosya, huyu bwana ni msomi mwelewa, na siyo fisadi.
      Mungi, ni kweli Prof. Mwandosya na Magufuli ni wachapa kazi hodari. Kwa vile uchaguzi wa Makinda ndio turufu ya kwanza kuelekea 2015. Katika kuzichanga karata, Prof. Mwandosya na Magufuli, wanaweza kuonekana threat na kiwingu cha njia nyeupe kwa mgombea wa timu ya mafisadi.

    19. #19
      Shomoro's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd August 2010
      Posts : 111
      Rep Power : 470
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Nahisi Prof P. Msolla atapewa ile wizara inayodili na kilimo na maswala ya mifugo. Jamaa ni product ya SUA hivyo ataendeleza ile dhana ya Kilimo Kwanza ya mheshimiwa rais.
      Prof Tibaijuka ningependa apewe wizara inayohusiana na elimu ili aturudishie viwango kwenye elimu yetu.
      Sitashangaa kama mtangazaji Juma Nkamia ataukwaa hata unaibu wa maswala ya michezo. Who knows bana.
      AN INJURY TO ONE IS AN INJURY TO ALL

    20. #20
      FarLeftist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Posts : 364
      Rep Power : 520
      Likes Received
      11
      Likes Given
      5

      Default Re: New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

      Magufuli,Mwandosya...

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Majina ya tcu haya hapa na mikopo waliyopata
      By ketwas in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 51
      Last Post: 20th September 2012, 07:46
    2. Majina yoote ya waliochaguliwa TCU haya hapa
      By saggy in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 17
      Last Post: 14th August 2012, 11:12
    3. Majina ya waliochaguliwa na TCU second round haya hapa
      By chazignat in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 15
      Last Post: 23rd September 2011, 06:30
    4. Majina ya majimbo mapya haya hapa
      By MziziMkavu in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 0
      Last Post: 22nd May 2010, 07:30

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...