| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 4587
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
SAWA!!! Na anaapishwa..hata ITV wanarusha..!!
|
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Tumejifunza nini toka mfumo wa Popular vote kumchagua rais wa nchi?... KIBAKI ni ushahidi tosha wa mbinu chafu (loopholes) za kisiasa - Hazijengi ila kubomoa Taifa!
__________________
Exploration of reality |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
__________________
"Our cherished rights of liberty and equality depend on the active participation of an awakened electorate.", Barack H. Obama. Presidential Announcement Speech, Springfield, Ill, Feb 10, 2007. |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Yebo Yebo,
Kishaapishwa. Nimeandika kidogo kule kwenye topic ya Kenya elections. Nimeangalia live KBC channel 1. |
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Mimi nilihisi kuwa hatakubali kushindwa kiulani hivyo...Hii ndo afrika, cha kusikitisha ni kuwa kutokana na yalotokea Pakistan, macho yote yapo huko! Na huko Kenya hakuna mtu anayekujali sana katika kipindi hiki cha maomboleza na kutafuta muuaji huko Pakistani.
__________________
-------choveki |
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
A very shameful scene from state house: Swearing in ceremony at night, those in attendance except Kivuitu smiled, Mungatana wearing a white t-shirt, etc. This is not Kenya. A very very sad day for Kenya
|
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Ameapishwa chap chap ili atume askari kwenda kuua raia waliomnyima kura. Kula kuzuri bwana hakuna mwaliko kwa Jk wala M7, hata Kagame na kundi lao la MAFISADI maana hata yeye anaweza asifike kesho. Si unafahamu kuna suicide bombers siku hizi.
__________________
Dua la kuku halimpati mwewe |
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Duh! Unaapishwa haraka kiasi hicho na kushindwa kuwaalika hata majirani zako! Tuna kazi kubwa Afrika ya kupambana na mafisadi.
__________________
~*~Life is Good~*~ |
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
This is damn sh^&*t, hivi mwanaume mzima nishinde uRais halafu nikubali kuapishwa usiku? This is Africa and only Africa, wacha akaue watu wataompinga maana ndio target
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 08:55 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||