Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,645
      Rep Power : 10161
      Likes Received
      5647
      Likes Given
      12664

      Default Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      04/11/2010

      Kamanda wa kanda maalumu ya kipolisi ya mkoa wa Dar Es Salaam, Suleiman Kova amesema jeshi la polisi limepokea habari za siri kuwa kuna makundi ya watu wanaohamasisha wananchi kwa malipo ili wafanye maandamamo ya shari kufuatia matokeo ya uchaguzi yanayoendelea kutangazwa.

      Kufuatia hali hiyo, Kova amewataka wananchi kujiepusha na mikusanyiko hiyo, vinginevyo jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wote watakao shiriki vitendo hivyo.


      source : TBC
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,645
      Rep Power : 10161
      Likes Received
      5647
      Likes Given
      12664

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      Jeshi +tbc+kova+=CCM
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    4. #3
      mmaroroi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2008
      Posts : 2,181
      Rep Power : 999
      Likes Received
      104
      Likes Given
      79

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      Kova angalia sana Jk na shemeji yake(mwema) watakuponza,wewe zuia fujo na kamwe usijaribu kuzuia Watanzania kudai haki yao.

    5. #4
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,045
      Rep Power : 917
      Likes Received
      570
      Likes Given
      157

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      Quote By mmaroroi
      Kova angalia sana Jk na shemeji yake(mwema) watakuponza,wewe zuia fujo na kamwe usijaribu kuzuia Watanzania kudai haki yao.
      ataangaliaje na wewe...! UNAVYOONA ANA MACHO YA KUONA KWANI..? mtizame vizuri..! anachoona ni SISIEM TUUU...!
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    6. #5
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,596
      Rep Power : 22054
      Likes Received
      992
      Likes Given
      771

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      Ivi mikusanyiko Tz hata kama ina kibali hailuruhusiwi?
      Kova vip bwanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
      Kama watakuwa wameruhusiwa kazi yako ni kuwalinda I guess
      Alafu maandamano gani hayo watu wanalipwa?
      Yangu macho
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,296
      Rep Power : 1233
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2244

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      Huyu kova hana akili na yeye vile vile.yeye na hao CCM wote Was***ge tu...Eti watachukua hatu mbona sijawahi kuona hata siku moja CCM wakiandamana hawachukui sheria???Jaribuni kufanya hiyo kitu na sisi tupo tayari kumwaga damu...Haki yetu bado mnatudhulimu kama noma na iwe noma tu tumeshachoka tayari,Kama askari mnazidi milioni moja tanzania nzima haya basi tutaona tu......Bora nchi ichafuke tu..........Na tupo tayari kufanya hivyo!!!

    9. #7
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,296
      Rep Power : 1233
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2244

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      Etii jeshi lipo tayari what the ----???Watu tunauchungu ndio maana inabidi tuandike hivi.....

    10. #8
      dwight's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 286
      Rep Power : 490
      Likes Received
      20
      Likes Given
      3

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      Sisi wa APPT tunataka warudie kuhesabu kura!

    11. #9
      Vica's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th May 2008
      Posts : 81
      Rep Power : 576
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      kwani kuandamana tatizo? sioni kama ni vibaya as long as watu wameomba ruhusa,sasa mtu anapotkea kuwatisha watu inaonekana kuna jambo linafichwa hapo...duh..

    12. #10
      MKUNGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2009
      Location : SIRTE
      Posts : 424
      Rep Power : 564
      Likes Received
      52
      Likes Given
      21

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      Quote By vica
      kwani kuandamana tatizo? Sioni kama ni vibaya as long as watu wameomba ruhusa,sasa mtu anapotkea kuwatisha watu inaonekana kuna jambo linafichwa hapo...duh..
      tuache jazba, tutapigwa virungu na mabom ya machozi...
      Hakika wanaokula mali ya mayatima kwa dhuluma, bila shaka wanakula moto matumboni mwao na wataungua katika huo moto.
      The Holy Quran 4:10

    13. #11
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,572
      Rep Power : 16763
      Likes Received
      2480
      Likes Given
      1844

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      Quote By MKUNGA
      tuache jazba, tutapigwa virungu na mabom ya machozi...
      Kama unaogopa virungu na mabomu usishiriki!!!

    14. #12
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,296
      Rep Power : 1233
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2244

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      Quote By Katavi
      Kama unaogopa virungu na mabomu usishiriki!!!

      Nimemshangaa sana huyu jamaa....watu wanapigania nchi yeye anasema anaogopa sijui bado ni mtoto au vipi!!

    15. #13
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6248
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Kova/Jeshi la polisi laonya wanaoandaa Maandamano

      For the First Time In My Life Leo Nimeona SMG Brand new wamebeba Police Yaelekea Kuna Silaha zimeandaliwa Mahususi kwa Watakao kuwa na fujo

    Similar Topics

    1. Replies: 2
      Last Post: 22nd December 2011, 15:55
    2. Replies: 17
      Last Post: 4th March 2011, 10:11
    3. Replies: 2
      Last Post: 19th January 2011, 14:05
    4. Pongezi kwa jeshi la polisi na Kamanda Kova
      By Magezi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 25th August 2009, 09:58

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...