Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mchango wa John Okello [che Guevara wa East Africa] umefutwaje?

    Report Post
    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 167
    1. #1
      Phillemon Mikael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2006
      Location : mwanza,/uk/santa clara
      Posts : 4,722
      Rep Power : 1594
      Likes Received
      912
      Likes Given
      29

      Default Mchango wa John Okello [che Guevara wa East Africa] umefutwaje?

      Mwka 1964 siku thelathini baada ya uhuru wa bandia wa Zanzibar, wanamapinduzi kumi na nne wakiongozwa na mpigania uhuru John Okello aliwaongoza kwenye mapinduzi ya Zanzibar yaliyokuwa na umwagaji mkubwa wa damu.

      Baada ya mapinduzi kufanikiwa John Okello [kiongozi wa mapinduzi] alichukua jukumu la kutangaza mapinduzi kwenye radio Zanzibar, ikumbukwe pia wakati mapambano yakiendelea ..aliyekuja kuwa rais wa Zanzibar mzee Karume na Babu walikuwa mafichoni na hawakushika wala bisibisi kwenye mapinduzi na hata ukiangalia ile picha ya wanamapinduzi ya kwanza John Okello amevalia kipolisi na amekaa kama kiongozi rasmi.

      Baada ya hali kutulia Okello anamtangaza Karume rais na Abdulrahman Babu kuwa Waziri mkuu. Na ndie aliyeenda kumpokea Karume kutoka alikokuwa amejificha kwa siku kadhaa.

      Baada ya siku chache mzee Karume akamfukuza Zanzibar kama mbwa John Okello [Field Marshal] na bila kujali mchango wake anatokomea kusikojulikana na historiaa ya mapinduzi ikafutwa na nafasi ya Okello ikaja kuwa mkwezi, mpiga tofali ambaye alibahatika kupiga picha [akiwa amekaa kitini katikati tu kwa sababu ya kuwa na kipaji cha kuongea - (kumbuka kuwa hata kiswahili chake kilikuwa 0kibovu)]

      Naomba kuchokoza mada kuhusu nafasi ya John Okello kwenye mapinduzi, kwa nini historia ilifunikwa?

      Je aliishia wapi,..wapenda historia ya kweli wameshatamani hata kujua lilipo kaburi lake..kumbukeni wenzetu Kenya baada ya kugundua hila wanahaha kutafuta kaburi la Field Marshal Dedan Kimathi...mbona wapenda hitoria Zanzibar na Tanganyika kwa jumla hamumtendei haki JOHN OKELLO [FIELDMASHAL]?

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,618
      Rep Power : 2891
      Likes Received
      3837
      Likes Given
      12224

      Default

      pm,
      Nilishawahi kuuliza katika mwanzo wa mada hii: nini ilikuwa role ya Karume? Sasa naongezea: kwa nini Karume anastahili kuheshimiwa kwa mapinduzi ya Zanzibar il hali hatujui akuliwa na role gani?

    4. #22
      Bonnie1974's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Posts : 406
      Rep Power : 652
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Field Marshal John Okello CV

      Nafadhali wana JF.
      Kwa yule mwenye kuifahamu CV ya huyu mtu muhimu kwenye historia ya nchi yetu atuwekee hapa.

      Na vile vile ningeomba ile picha ya kwanza ya Baraza la Mapinduzi ambayo mkuu huyu alikaa katikati huku akiwa amezungukwa na wanamapinduzi wengine.
      ‘Pride goes before fall and fools rush where angels fear to tread’.

    5. #23
      Mtanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2006
      Location : UK
      Posts : 5,280
      Rep Power : 5567
      Likes Received
      288
      Likes Given
      77

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      Huyu Field Marshal John Okello ndiye alifanya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 bila hata Karume kujua. Najua wapambe wa Karume watatudanganya kwamba Karume ndiye aliyeongoza hayo mapinduzi.

      Karume alikuja kujua baadaye.

      Baadaye kwa kushirikiana na Nyerere wakaamua kumtema jamaa na kumfukuzia Uganda/Kenya.

      Uchunguzi wangu wote kuhusu mapinduzi ya Zanzibar unaonyesha Okello ndiye aliyeongoza hayo mapinduzi. Hivyo siasa tunayofundishwa madarasani inaweza kuwa ni uongo mtupu.

    6. #24
      Mtanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2006
      Location : UK
      Posts : 5,280
      Rep Power : 5567
      Likes Received
      288
      Likes Given
      77

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      Field Marshal Okello Biography from Wikipedia

      Youth
      John Okello was baptised at two years old (his baptised name being Gideon). From his eleventh year, he was an orphan and he grew up with other relatives. When he was fifteen, he left his house in order to search for work and he worked in several places in East Africa. He worked from 1944 as clerk, manservant, gardener and worker. He later learned the trade of bricklaying and was active as a bricklayer. He was arrested in Nairobi (Kenya) for unclear reasons (he himself stated that he was arrested for a crime of sexual nature) and stayed in prison for two years. During his incarceration he became a revolutionary.

      Speculations are abound about Okello having held residence and being trained in the communist Cuba of Fidel Castro, although this has not been confirmed by Okello himself.


      Police officer on Pemba

      In 1959 Okello left for the island of Pemba, where he tried to find work on one of the farms, but became a police officer instead. Okello joined the Afro-Shirazi Party of sheik Abeid Karume. This party opposed the domineering position of the minority Arabs on the islands of Zanzibar and Pemba.

      Revolutionary

      Okello left for Zanzibar in 1963, where he contacted the leaders of the Afro-Shirazi Youth League, the youth organisation of the Afro-Shirazi Party. The Youth League strived for a revolution in order to break the power of the Arabs. On Zanzibar, Okello was also a member of the Painters Union, being a house painter. In his free time he built up a small army of determined African nationalists. This army was required to hold themselves to the strict rules of Okello: sexual abstinence, no raw meat and no alcohol.

      The highly religious Okello was convinced he had been given orders in his dreams by God to break the powerful position of the Arabs and to found the revolutionary state on Zanzibar and Pemba. On the night before the “revolution”, Okello gave his men the order to kill all Arabs between 18 and 25 years of age, to spare pregnant and elderly women, and not to rape virgins.



      Uprising

      On January 12, 1964, with popular support from the island's oppressed native African majority, Okello and his men fought their way to the capital of Zanzibar, Stone Town, where the sultan lived. Even though they were poorly armed, Okello and his men surprised the police force of Zanzibar and they took power.

      During a speech on radio, Okello dubbed himself the "field marshal of Zanzibar and Pemba". He gave the sultan an order to kill his family and to kill himself afterwards; otherwise, Okello would do so himself. However, the sultan had already brought himself to safety later to be harboured in Britain. The prime minister and other ministers also managed to escape.


      The coup led to the poorly-known massacre of between 5,000 and 20,000 Arabs, whose families had been living in Zanzibar for centuries, between January 18 and 20.


      Shoved to the side

      Okello created a Revolutionary Council and named the leader of the Afro-Shirazi Party, Abeid Karume, as president and leader of the (Arabic) Umma-(Massa) Party, sheik Abdulrahman Muhammad Babu as prime minister (later: vice-president). Both Karume and Babu had not been informed of the coup. Both residing in Tanganyika, but returned to Zanzibar, where they were welcomed by Okello. However, neither Karume or Babu wanted anything to do with him. When Okello left for the African mainland they forbade him to return and he was deported both from Tanganyika and Kenya.


      Speculations concerning his death

      Okello then stayed in Kenya, in Congo-Kinshasa and in Uganda. He was incarcerated multiple times and was last seen with the Ugandan president Idi Amin in 1971 and vanished afterwards. In the book “Revolution on Zanzibar”, written by Don Petterson, it is more or less assumed that Idi Amin saw him as a threat (after Amin promoted himself Okello reportedly joked that "now Uganda has two field marshals"[citation needed]) and had arranged his assassination. This remains speculative, however.

    7. #25
      Kibunango's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2006
      Location : Tampere
      Posts : 6,803
      Rep Power : 44130
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1427

      Arrow Re: Field Marshal John Okello CV

      Quote By Bonnie1974
      Nafadhali wana JF.
      .... ningeomba ile picha ya kwanza ya Baraza la Mapinduzi ambayo mkuu huyu alikaa katikati huku akiwa amezungukwa na wanamapinduzi wengine.
      Jaribu kutembelea bandiko la "
      Tukumbuke Zamani: Historia Ya Taifa Letu Katika Picha" utakuta picha hiyo, aidha utona na zingine nyingi........
      Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problem,
      But, if you think again, neither does milk."
      Vituko Vya Zenj

    8. Miaka 50

    9. #26
      Mtanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2006
      Location : UK
      Posts : 5,280
      Rep Power : 5567
      Likes Received
      288
      Likes Given
      77

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      Hivi kweli Babu aliweza kupiga mtumbwi toka Dar mpaka Unguja?

      Zanzibar Revolution

    10. #27
      Bonnie1974's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Posts : 406
      Rep Power : 652
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      Quote By kibunango
      Jaribu kutembelea bandiko la "
      Tukumbuke Zamani: Historia Ya Taifa Letu Katika Picha" utakuta picha hiyo, aidha utona na zingine nyingi........
      Mkuu unatazama mpaka spelling...hujatulia.Haya basi "TAFADHALI"
      ‘Pride goes before fall and fools rush where angels fear to tread’.

    11. #28
      Bonnie1974's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Posts : 406
      Rep Power : 652
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      Quote By Mtanzania
      Hivi kweli Babu aliweza kupiga mtumbwi toka Dar mpaka Unguja?

      Zanzibar Revolution
      That is what they say.But since tumelichokoza hili info zitakuja tu.Tulia mkuu.
      ‘Pride goes before fall and fools rush where angels fear to tread’.

    12. #29
      Bonnie1974's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Posts : 406
      Rep Power : 652
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      Quote By Mtanzania
      Speculations concerning his death
      Okello then stayed in Kenya, in Congo-Kinshasa and in Uganda. He was incarcerated multiple times and was last seen with the Ugandan president Idi Amin in 1971 and vanished afterwards. In the book “Revolution on Zanzibar”, written by Don Petterson, it is more or less assumed that Idi Amin saw him as a threat (after Amin promoted himself Okello reportedly joked that "now Uganda has two field marshals"[citation needed]) and had arranged his assassination. This remains speculative, however.
      Nimelichokoza hili makusudi ili tupate kujua ni kwa jinsi gani,tutamkumbuka huyu Comrade?

      Nashauri tutoe angalau mtaa au hata kujenga mnara au sanamu.

      Huyu ni mmoja wa watu wachache AMBAO WALIWEZA KUTHUBUTU.
      Kwa kazi yake ile,Leo tunakula KUKU.

      NAFIKIRI ANASTAHILI KUKUMBUKWA , kama tunawakumbuka akina Mzee Aziz Ally,Mzee Tambaza,Mzee Malapa basi WHY NOT FIELD MARSHAL JOHN OKELLO?

      I get sad feeling kwamba kesho watoto wetu utakapowauliza WHO IS OKELLO,HAWATOMJUA na wala HAWATATAKA KUMJUA.

      Kuna mtahalo ulifanyika pale UDSM wa kumkumbuka A.M.Babu, nikapata nafasi ya kuudhuria,nikiwa nazungukazunguka nikakutana na msomi mmoja na katika maongezi yetu nikajikuta namweleza habari za A.M.Babu....alinitupia swali ambalo sitokuja kulisahau maishani mwangu na pengine hiyo ni moja na sababu ya kuanzisha thread kama hii.

      Naomba niwashirikishe swali lake:WHO IS BABU?

      Sasa kama A.M.BABU hajulikani!!!

      ITAKUWAJE KWA MHESHIMIWA FIEL MARSHAL JOHN OKELLO.

      KAMA MZEE HUYU AMEFARIKI.BASI MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI.
      ‘Pride goes before fall and fools rush where angels fear to tread’.

    13. #30
      Mtanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2006
      Location : UK
      Posts : 5,280
      Rep Power : 5567
      Likes Received
      288
      Likes Given
      77

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      Niliwahi kusoma kitabu chake Field Marshal John Okello, ilikuwa inasikitsha sana. Ni muda na sikumbuki jina la kitabu, lakini alikuwa anajiuliza amefanya nini kwa mungu mpaka astahili adhabu ya kutimuliwa kama jambazi.

      Huyo msomi ambaye hakujua Babu ni nani, inabidi aanze kusoma upya historia ya nchi yetu.

      Ukisoma vitabu vya Babu utaelewa histora ya Afrika vizuri. Nakumbuka maandishi ya Babu ya the three Seke Toures, nilipenda kweli kweli hayo maandishi.

    14. #31
      Bonnie1974's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Posts : 406
      Rep Power : 652
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      Quote By Mtanzania
      Niliwahi kusoma kitabu chake Field Marshal John Okello, ilikuwa inasikitsha sana. Ni muda na sikumbuki jina la kitabu, lakini alikuwa anajiuliza amefanya nini kwa mungu mpaka astahili adhabu ya kutimuliwa kama jambazi.

      Huyo msomi ambaye hakujua Babu ni nani, inabidi aanze kusoma upya historia ya nchi yetu.

      Ukisoma vitabu vya Babu utaelewa histora ya Afrika vizuri. Nakumbuka maandishi ya Babu ya the three Seke Toures, nilipenda kweli kweli hayo maandishi.
      Comrade Mtanzania,
      wasomi wetu wa sasa hawajifunzi yale yaliyo nje ya kile wanachofundishwa darasani.
      Lengo ni kuchana paper,kwa kupata first class or upper second.
      Mambo mengine haya ni kupoteza muda.
      ‘Pride goes before fall and fools rush where angels fear to tread’.

    15. #32
      Bonnie1974's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Posts : 406
      Rep Power : 652
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      Quote By Mtanzania
      Niliwahi kusoma kitabu chake Field Marshal John Okello, ilikuwa inasikitsha sana. Ni muda na sikumbuki jina la kitabu, lakini alikuwa anajiuliza amefanya nini kwa mungu mpaka astahili adhabu ya kutimuliwa kama jambazi.

      Huyo msomi ambaye hakujua Babu ni nani, inabidi aanze kusoma upya historia ya nchi yetu.

      Ukisoma vitabu vya Babu utaelewa histora ya Afrika vizuri. Nakumbuka maandishi ya Babu ya the three Seke Toures, nilipenda kweli kweli hayo maandishi.
      Hilo la kutimuliwa nimeshacome across nalo na alisikitika sana that is according to literature.
      Lakini bado najiuliza WHY...

      Hili suala ni la muda mrefu na nafikiri siyo CLASSIFIED tena,tunaomba kama kuna mtu yeyote from inside anaweza kutueleza sababu , tutashukuru.

      HUYU MTU NI MTU MUHIMU SANA KATIKA HISTORIA YA NCHI HII.
      ‘Pride goes before fall and fools rush where angels fear to tread’.

    16. #33
      Mtanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2006
      Location : UK
      Posts : 5,280
      Rep Power : 5567
      Likes Received
      288
      Likes Given
      77

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      Quote By Bonnie1974
      Comrade Mtanzania,
      wasomi wetu wa sasa hawajifunzi yale yaliyo nje ya kile wanachofundishwa darasani.
      Lengo ni kuchana paper,kwa kupata first class or upper second.
      Mambo mengine haya ni kupoteza muda.
      Ndio maana sasa tuna taifa la wajinga wengi, wasio fikiri nje ya kasunduku kao.

    17. #34
      Mwikimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,543
      Rep Power : 948
      Likes Received
      346
      Likes Given
      128

      Default Re: Field Marshal John Okello CV

      badala ya kuita mitaa au shule kwa majina ya mashujaa kama hawa, shule zinaitwa majina ya mafisadi kama nazir karamagi, cyril chami nk

    18. #35
      YeshuaHaMelech's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 2,630
      Rep Power : 963
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Who is John Gideon Okello

      Hii Controversial figure imenivutia, na najaribu kupata data zake lakini inaonekana kama hazipo vile. Ni figure inayotajwa ktk mapinduzi ya Zenj. Naomba mwenye data aziweke tumfahamu huyu jamaa. Nami nikizipata nitamwaga!

      Who is this guy?
      "For the Lord himself shall descend from heaven with a shout, with the voice of the archangel, and with the trump of God: and the dead in Christ shall rise first, then we which are alive and remain shall be caught up together with them in the clouds, to meet the Lord in the air: and so shall we ever be with the Lord" (1Th 4:16-17)
      Even so, come Lord Jesus!

    19. #36
      alsaidy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd February 2009
      Posts : 239
      Rep Power : 569
      Likes Received
      17
      Likes Given
      61

      Default Re: Mchango Wa John Okello [che Guevara wa East Africa] umefutwaje?

      Awali ya yote nampongeza muanzisha mada hii kutaka hasa wale wote waliosahauliwa katika historia ya nchi yetu.

      Ama ukitaja mapinduzi machozi yananitoka "Laiti unayajuwa yaliyotendeka wakati wa Mapinduzi utabaki kujiuliza maswali tuu hakuna majibu. Naomba ufuate hii link YouTube - Arab Massacre in Zanzibar ndio utaona maana halisi ya "Mapinduzi"

      Nikirudi kwa John Okello utapata historia iliyoandikwa vizuri sana na Mtunzi wa Kitabu Harith Ghassany "Kwa Heri Ukoloni Kwa Heri Uhuru" ambapo kinapatikana bure katika website ya mwandishi Goodbye Colonialism, Goodbye Freedom! Zanzibar and the Afrabia Revolution

      Ukirejea kitabu hiki utapata mwangaza mzuru sana juu ya Mapinduzi yaliyoongozwa na John Okello na sababu za kufukuzwa mpaka kurudishwa kwao Uganda.

      Alipofika kwao Uganda aliishia Gerezenai na hapo aliandika kitabu ambacho nikitafuta sana lakini sijafanikiwa kukipata.
      "Whoever submits his whole self to Allah, and is doer of good, has grasped indeed the firmest hand-hold and to Allah shall all things return" (Luqman 31:22)

    20. #37
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,618
      Rep Power : 2891
      Likes Received
      3837
      Likes Given
      12224

      Default Re: Mchango Wa John Okello [che Guevara wa East Africa] umefutwaje?

      alsaidy,
      Samahani sana lakini Ghassany kachakachua historia. Huwezi kuandika historia based on heresay.

    21. #38
      mtu chake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : Kivu
      Posts : 2,159
      Rep Power : 1761
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      1327

      Default Re: Mchango Wa John Okello [che Guevara wa East Africa] umefutwaje?

      Wakati huo huo tusisahau kuwa wengine ambao tunalazimishwa kuwasahau ni
      Abdulwahid na Ally Sykes, Hamza Mwapachu, Tewa Said Tewa,Ali Migeyo , Suedi Kagasheki,Dossa Azizi,Abdulkarim Karimjee,Chifu Abdieli Shangali wa Machame, Kleist Sykes,Ally Sykes na Abdulwahid Sykes

      kwa uchache sasa huyo Okello alikwa ni just one in a million na at least eyey leo anazungumzwa,




      umenikumbusha mbali sana haya majina...kn wanaosema waislam ndiyo walianza harakati za kudai uhuru? nisaidieni maana kuna jamaa yangu mmoja ana udini sana hasa katika suala la historia ya uhuru..

    22. #39
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,753
      Rep Power : 6503
      Likes Received
      955
      Likes Given
      1106

      Default Re: Mchango Wa John Okello [che Guevara wa East Africa] umefutwaje?

      Quote By Phillemon Mikael
      sasa nani anayo historia inayotambulika duniani inayosema tofauti na hii .aweke hapa....
      Sauti:Mahojiano na Dr.Harith
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    23. #40
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Mchango Wa John Okello [che Guevara wa East Africa] umefutwaje?

      Quote By Jasusi
      alsaidy,
      Samahani sana lakini Ghassany kachakachua historia. Huwezi kuandika historia based on heresay.
      Japo kuwa ni simulizi lakini ni ya watu ambao wamehusika moja kwa moja sio simulizi za aina ya 'nilimsikia baba/babu yangu'

      Simulizi za aina ya "Mimi ndie niliyempakia Karume na Babu baada ya Mapinduzi kutoka Bara kwenda Zanzibar", "Mimi ndie niliyepanga kumpindua na kumuuwa Karume" ziko karibu zaidi na aina ya vitabu vya biography kama wangeandika.

      Sisemi kuwa kila kilichoandikwa ni cha kusadikika kwa asilimia mia lakini kukidharau kwa asilimia mia nayo si haki.

      Besides reference zilizotumiwa kusupport hizo simulizi ni cables na ripoti za kibalozi na mashirika mengine ya kijasusi.

    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 3
      Last Post: 29th November 2011, 18:10
    2. Replies: 3
      Last Post: 31st January 2011, 14:32
    3. Replies: 0
      Last Post: 3rd January 2011, 02:45

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...