Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Do not declear failure until you fail - jk

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      QUALITY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 845
      Rep Power : 612
      Likes Received
      109
      Likes Given
      344

      Default Do not declear failure until you fail - jk

      Kuna habari zimenifikia hivi punde kuwa wakati wa kikao cha kamati kuu ya CCM, taarifa za siri za Usalama wa taifa zilisema kuwa JK hata afanye nini hawezi kushinfa kwa sababu tafiti zote zimemtupa na wale waliokuwa wanatumiwa kuiba kura sasa wamegawanyika. Hivyo uwezekano wa kushinda ulikuwa hakuna! Zaidi wenzake walimshauri to withdraw kabla ya uchaguzi

      JK alikasirika sana katika kikao hich akasema "DON'T DECLEAR FAILURE UNTIL YOU FAIL". Mpaka mkurugenzi wa Tume atoe matangazo kuwa nimeshindwa ndipo "naweza" kukubali ingawaje hata hapo itakuwa ngumu! Akaongoze, mbona hao wasiotajwa kama NCCR wanaendelea na kampeni, je mimi?

      Sasa nilipopata habari hii, nikasema niilete hapa JF kuona kama
      1. kuna mwenye taarifa zaidi
      2. Kwanini anaendelea na kampeni wakati ameshauriwa aache maana anzidi kuongeza gharama kwenye chama na serikali wakati nyota ya ushindi kwake imeishafifia?
      Karibu jamvini
      HONGERENI SANA WOTE MLIOMPA KURA DR. SLAA (PhD) ILI AIKOMBOE TANZANIA. MAPAMBANO YANAENDELEA


    2. #2
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,923
      Rep Power : 832
      Likes Received
      541
      Likes Given
      8

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      Kumbuka JK ni askari tena afisa mkubwa wa jeshi kwa cheo chake angeongoza kikosi. Hakuna kusalimu amri jeshini hadi risasi ya mwisho.
      Labda nikukumbushe

      Siku anarudisha form ya urais alisema;
      " ccm ni kama jeshi liko vitani, ili kujua nguvu ya adui tutaanza kutuma platoon kwenda kupigana, tukizidiwa tutatuma section, tukizidiwa tutatuma kombania, tukizidiwa tutatuma kikosi, tukizidiwa tutatuma brigade,akaongeza hapo sasa itakuwa mashambulizi bila kusimama hadi adui atokomee na kutundika bendera ya ushindi"

      Narudi kwenye mada kuwa hatuna uhakika kwamba;
      • platoon , section, kombania na brigade ni kitu gani kwa ccm nini
      Yawezekana bado ana nguvu.Acha tumsikilize japo inaonekana kashindwa tayari

    3. #3
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,203
      Rep Power : 12279
      Likes Received
      6062
      Likes Given
      6927

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      Quote By QUALITY View Post
      Kuna habari zimenifikia hivi punde kuwa wakati wa kikao cha kamati kuu ya CCM, taarifa za siri za Usalama wa taifa zilisema kuwa JK hata afanye nini hawezi kushinfa kwa sababu tafiti zote zimemtupa na wale waliokuwa wanatumiwa kuiba kura sasa wamegawanyika. Hivyo uwezekano wa kushinda ulikuwa hakuna! Zaidi wenzake walimshauri to withdraw kabla ya uchaguzi

      JK alikasirika sana katika kikao hich akasema "DON'T DECLEAR FAILURE UNTIL YOU FAIL". Mpaka mkurugenzi wa Tume atoe matangazo kuwa nimeshindwa ndipo "naweza" kukubali ingawaje hata hapo itakuwa ngumu! Akaongoze, mbona hao wasiotajwa kama NCCR wanaendelea na kampeni, je mimi?

      Sasa nilipopata habari hii, nikasema niilete hapa JF kuona kama

      1. kuna mwenye taarifa zaidi
      2. Kwanini anaendelea na kampeni wakati ameshauriwa aache maana anzidi kuongeza gharama kwenye chama na serikali wakati nyota ya ushindi kwake imeishafifia?

      Karibu jamvini
      unaleta taarifa, halafu unaomba mwenye taarifa zaidi

      Haya ndiyo yanatakiwa ku-delete
      ....Time is the wisest counselor !!!

    4. #4
      Ally Msangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2010
      Location : mwanza
      Posts : 380
      Rep Power : 532
      Likes Received
      24
      Likes Given
      33

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      Quote By Lu-ma-ga View Post
      Siku anarudisha form ya urais alisema;
      " ccm ni kama jeshi liko vitani, ili kujua nguvu ya adui tutaanza kutuma platoon kwenda kupigana, tukizidiwa tutatuma section, tukizidiwa tutatuma kombania, tukizidiwa tutatuma kikosi, tukizidiwa tutatuma brigade,akaongeza hapo sasa itakuwa mashambulizi bila kusimama hadi adui atokomee na kutundika bendera ya ushindi"
      huyu jamaa amejiandaa ku chukua nchi kwa ubavu hata akishindwa

    5. #5
      QUALITY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 845
      Rep Power : 612
      Likes Received
      109
      Likes Given
      344

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      Quote By Acid View Post
      unaleta taarifa, halafu unaomba mwenye taarifa zaidi

      Haya ndiyo yanatakiwa ku-delete
      :jaw:Hapo hamna tatizo, hii ni tetesi. Baadhi yenu inawezekana mlikuwa katika kikao hich, mnaweza kutoa picha live. Usijali, hatugombani, kama huna taarifa, unauchuna!
      HONGERENI SANA WOTE MLIOMPA KURA DR. SLAA (PhD) ILI AIKOMBOE TANZANIA. MAPAMBANO YANAENDELEA


    6. #6
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,203
      Rep Power : 12279
      Likes Received
      6062
      Likes Given
      6927

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      Quote By QUALITY View Post
      :jaw:Hapo hamna tatizo, hii ni tetesi. Baadhi yenu inawezekana mlikuwa katika kikao hich, mnaweza kutoa picha live. Usijali, hatugombani, kama huna taarifa, unauchuna!
      nimekuelewa na tuko pamoja.. ila ujue hizi message ndio zinafanya akina kinana waamini sie tunakurupuka na wao wako sahihi
      ....Time is the wisest counselor !!!

    7. #7
      Mtende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 1,728
      Rep Power : 792
      Likes Received
      100
      Likes Given
      100

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      he is a failure japo hataki kukubali

    8. #8
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7575

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      kuna habari zimenifikia hivi punde kuwa wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm, taarifa za siri za usalama wa taifa zilisema kuwa jk hata afanye nini hawezi kushinfa kwa sababu tafiti zote zimemtupa na wale waliokuwa wanatumiwa kuiba kura sasa wamegawanyika. Hivyo uwezekano wa kushinda ulikuwa hakuna! Zaidi wenzake walimshauri to withdraw kabla ya uchaguzi
      bye-bye jk lakini karibu sana dr. Slaa na chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    9. #9
      GodfreyTajiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 563
      Rep Power : 555
      Likes Received
      80
      Likes Given
      63

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      kama hizi taarifa zina ukweli wowote
      nadhani huo ushauri haukuwa makini.
      hao washauri wangekuwa wa maana kama wangetoa
      ushauri wa kuhakikisha uchaguzi wa haki unafanyika
      na awe tayari kukubali matokeo ili hata kama akishindwa
      akumbukwe kwa kukubali kushindwa. lakini hili la kujitoa
      saa hii mmmh!
      “Unless power is legitimate there can be no social order“
      P. F. Drucker

    10. #10
      urasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 435
      Rep Power : 540
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      tunakaribia kufika safari yetu na dererva wetu slaa

    11. #11
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,216
      Rep Power : 1932
      Likes Received
      218
      Likes Given
      277

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      Tusibweteke na hizi taarifa.
      mie nimeshahamasisha sehemu kubwa ya mtaa wetu kupiga kura kinyume na ccm.
      Huku mtaani hata makada wa ccm wanaona noma kumnadi jamaa yaani wamevubaa kama wamemwagiwa maji ya barafu.
      Majuzi nilimsaka mwenyekiti wangu wa serikali ya mtaa ambaye ni ccm nikamuuliza mbona hamupigii kampeni chama bingwa? akajibu kwa ufupi "aah hicho hujipigia kura chenyewe hakihitaji watu" bado natafakari huu ujumbe wake ila ni dalili kwamba hawawezi kusimama na kutetea chaguo lao.
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    12. #12
      Mpambalyoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2010
      Posts : 753
      Rep Power : 619
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      kanyaga twende...
      No to Sultanate, No to Dictator, No to Uchakachuaji! Justice must privail!...

    13. #13
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,464
      Rep Power : 24251
      Likes Received
      5099
      Likes Given
      2738

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      Quote By Lu-ma-ga View Post
      Kumbuka JK ni askari tena afisa mkubwa wa jeshi kwa cheo chake angeongoza kikosi. Hakuna kusalimu amri jeshini hadi risasi ya mwisho.
      Labda nikukumbushe

      Siku anarudisha form ya urais alisema;
      " ccm ni kama jeshi liko vitani, ili kujua nguvu ya adui tutaanza kutuma platoon kwenda kupigana, tukizidiwa tutatuma section, tukizidiwa tutatuma kombania, tukizidiwa tutatuma kikosi, tukizidiwa tutatuma brigade,akaongeza hapo sasa itakuwa mashambulizi bila kusimama hadi adui atokomee na kutundika bendera ya ushindi"

      Narudi kwenye mada kuwa hatuna uhakika kwamba;
      • platoon , section, kombania na brigade ni kitu gani kwa ccm nini
      Yawezekana bado ana nguvu.Acha tumsikilize japo inaonekana kashindwa tayari
      Kwa picha hi sijui


      Zogolo Dangu Dawika Miye!


    14. #14
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,398
      Rep Power : 9005
      Likes Received
      852
      Likes Given
      340

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      Do not declear failure until you fail - jk
      Declear au declare?
      "Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).

    15. #15
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,699
      Rep Power : 2911
      Likes Received
      3891
      Likes Given
      12466

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      Huyu itabidi asindikizwe kutoka Ikulu kwa mtutu. Kama kweli amesema hata kama akishindwa itakuwa ngumu kukubali, itabidi atafutiwe waungwana wamsindikize taratibu.

    16. #16
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,857
      Rep Power : 3280
      Likes Received
      1342
      Likes Given
      930

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      Quote By QUALITY View Post
      Kuna habari zimenifikia hivi punde kuwa wakati wa kikao cha kamati kuu ya CCM, taarifa za siri za Usalama wa taifa zilisema kuwa JK hata afanye nini hawezi kushinfa kwa sababu tafiti zote zimemtupa na wale waliokuwa wanatumiwa kuiba kura sasa wamegawanyika. Hivyo uwezekano wa kushinda ulikuwa hakuna! Zaidi wenzake walimshauri to withdraw kabla ya uchaguzi

      JK alikasirika sana katika kikao hich akasema "DON'T DECLEAR FAILURE UNTIL YOU FAIL". Mpaka mkurugenzi wa Tume atoe matangazo kuwa nimeshindwa ndipo "naweza" kukubali ingawaje hata hapo itakuwa ngumu! Akaongoze, mbona hao wasiotajwa kama NCCR wanaendelea na kampeni, je mimi?

      Sasa nilipopata habari hii, nikasema niilete hapa JF kuona kama

      1. kuna mwenye taarifa zaidi
      2. Kwanini anaendelea na kampeni wakati ameshauriwa aache maana anzidi kuongeza gharama kwenye chama na serikali wakati nyota ya ushindi kwake imeishafifia?

      Karibu jamvini
      Sina haja ya jina la aliyekuambia lakini nigefurahi ukituambia uliwezaje kupata habari za kikao hicho cha siri hasa kulingana na signecha yako.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    17. #17
      Ujengelele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2008
      Posts : 1,240
      Rep Power : 832
      Likes Received
      10
      Likes Given
      3

      Default Re: Do not declear failure until you fail - jk

      The end is just around the corner

    Similar Topics

    1. Replies: 27
      Last Post: 5th November 2011, 14:42
    2. Fashion Fail!
      By Ilulu in forum Jamii Photos
      Replies: 5
      Last Post: 12th April 2011, 13:59
    3. fail to install OS
      By Kampton in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 7
      Last Post: 8th April 2009, 10:22
    4. Jindal defends those who want Obama to fail
      By Janejo in forum International Forum
      Replies: 10
      Last Post: 26th March 2009, 06:28
    5. DVD ya FMES =FAIL?
      By Game Theory in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 36
      Last Post: 7th June 2008, 20:38

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...