Wanajf kipindi cha utawala wa mzee LUKSA baba alikata ukimya na kusema WATANZANIA hatuwezi ongozwa toka kitandani, Je,haya ya mzee MWANGUKAJI angekuwepo mzee,baba wa hili taifa sijui angesema nn maana tunaona sijui tanzania inataka iongozwe na mji wa KIKWETE au siujui imekaaje wazee?IJUMAA NJEMA

Reply With Quote
Follow Us Here