Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu...

    Report Post
    Page 4 of 11 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 218
    1. #1
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu...

      chama cha Mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu

      ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo


      ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla


      ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu


      CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu


      CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :

      rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo

      sio blue rangi ya mikosi


      karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili
      Damzi likes this.
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu..

      ikulu moja kwa moja

      sasa tunajianda jinsi ya kufanya sherehe
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    4. #62
      The Invincible's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2006
      Location : Online
      Posts : 1,947
      Rep Power : 1057
      Likes Received
      169
      Likes Given
      0

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu..

      Quote By Mtu wa Pwani
      ikulu moja kwa moja

      sasa tunajianda jinsi ya kufanya sherehe

      CCM ni kokolo. Limebeba wanajimu, washirikina, wezi, waganga njaa (Mtu wa Pwani dizain), vibwengo, misukule, na wababaishaji wengine.
      Watanzania mbumbumbu wamemchagua raisi dhaifu ajenge taifa la watu wasiojiamini, 2010/2015 - Tafakari

    5. #63
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu..

      Quote By The Invincible
      CCM ni kokolo. Limebeba wanajimu, washirikina, wezi, waganga njaa (Mtu wa Pwani dizain), vibwengo, misukule, na wababaishaji wengine.

      duh mm si mganga njaa maana hata si muajiriwa wa serikali ila ccm naikubali sana tu


      najua wengi mnaujua ukweli ila mna chuki binafsi na hilo ndio tatizo
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    6. #64
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,064
      Rep Power : 5468
      Likes Received
      3491
      Likes Given
      1913

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu..


      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    7. #65
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu..

      Quote By Rev Masanilo

      masanilo pole sana mkuu

      maana una kazi mbele kubwa, ya kujitibu kwa maumivu

      umechagua maradhi ya pressure kwa hashuolo
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    8. Miaka 50

    9. #66
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,064
      Rep Power : 5468
      Likes Received
      3491
      Likes Given
      1913

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu..

      Quote By Mtu wa Pwani
      masanilo pole sana mkuu

      maana una kazi mbele kubwa, ya kujitibu kwa maumivu

      umechagua maradhi ya pressure kwa hashuolo
      Hahaha niko shwari mkubwa ila ninapinga haya mazingaombwe nadhani umenisoma!


      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    10. #67
      Isaac's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2009
      Location : Omnipotent
      Posts : 418
      Rep Power : 612
      Likes Received
      20
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Mtu wa Pwani
      chama cha Mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu

      ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo


      ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla


      ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu


      CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu


      CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :

      rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo

      sio blue rangi ya mikosi


      karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili
      Tatizo lako ni kuwa umezoea kutafutiwa na mke wako ndo maana ukaona kuna demokrasia ccm.
      Demokrasia sio njia sahihi ya kupata viongozi bora.

    11. #68
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu..

      Quote By Rev Masanilo
      Hahaha niko shwari mkubwa ila ninapinga haya mazingaombwe nadhani umenisoma!


      hayo hayajaanza leo

      tokea hatujapata uhuru yalikuwepo

      na tumejitahidi kwa hapo alau wanalala sakafuni

      na jitihada zaidi tunaendelea kufanya kuwaletea maosha bora
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    12. #69
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,540
      Rep Power : 1805
      Likes Received
      2463
      Likes Given
      2501

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu..

      Uwe mkweli kwa nafsi yako ndugu yangu - unaipenda CCM au unampenda Kikwete ? Utaipendaje CCM na hapo hapo unakubali iwe mikononi mwa mtu kama Kikwete. Sema tu unamhusudu Kikwete, tutakuelewa !
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    13. #70
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu..

      Quote By Mag3
      Uwe mkweli kwa nafsi yako ndugu yangu - unaipenda CCM au unampenda Kikwete ? Utaipendaje CCM na hapo hapo unakubali iwe mikononi mwa mtu kama Kikwete. Sema tu unamhusudu Kikwete, tutakuelewa !

      hapana si kikwete tu nnaipenda CCM maana ndio inayoilinda historia nchi yetu na kikwete anatekeleza sera za chama chetu, atapita na atakuja mwengine na CCM itabaki Kidumu CCM
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    14. #71
      JOYCE PAUL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2010
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 970
      Rep Power : 674
      Likes Received
      65
      Likes Given
      18

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu...

      Quote By mtu wa pwani
      chama cha mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu

      ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo


      ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla


      ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu


      ccm imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu


      ccm ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :

      Rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ict connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo

      sio blue rangi ya mikosi


      karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili
      nakuunga mkono na mguu

    15. #72
      nmaduhu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Posts : 52
      Rep Power : 596
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu...

      hiyo ni historia ya CCM ya wakati huo, itabakia kwenye vitabu, sasa sio tena chama cha mapinduzi, limebakia jina tu,
      sawa na wewe kubaki unaitwa mapande kong'wanzoka wakati baba yako kong'wanzoka keshafariki....

    16. #73
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu...

      CCM ni chama kilichopita kwenye majaribu mengi lkn kwa uimara wa viongozi na wanachama wake ndio maana tukaendelea kupeta

      ss ndio magwiji wa siasa Tanzania na Afrika

      kwetu ndio chuo cha siasa kwa viongozi karibu wote wa vyama vya siasa Tanzania
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    17. #74
      tracy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2010
      Location : tz
      Posts : 454
      Rep Power : 605
      Likes Received
      42
      Likes Given
      8

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu.....

      Quote By Dingswayo
      Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 1976 wakati nilipokuwa JKT, tuliambiwa tuchague jina la chama kipya kitakachotokana na muungano kati ya ASP na TANU. Vikao kama vile vilifanyika na baada ya hapo tukaambiwa kuwa jina la chama litakuwa Chama Cha Mapinduzi, na mboni zake ni jembe na nyundo kuashiria kinawakilisha wakulima na wafanyakazi. Tuliamini sana chama hicho na wengine tulikuwa tayari kufa kupigania sera na maadili ya chama hicho, maadili ambayo tulikuzwa nayo na yalitekelezwa kwa vitendo.

      Kwa bahati mbaya sana, nasikitika kusema, kile chama ambacho kilitulea, ambacho kilikuza na kuumba fikra zetu (ambazo ndizo zinazonifanya niandike haya,) chama hicho kimegeuzwa na watu wachache wapendao uchu wa madaraka, wanaojilimbikizia mali na kukuza usultani. Chama hicho kimegeuka kuwa jini subiani ambalo limeenda kinyume na muelekeo wa kile chama tulichokuwa tunakijua na kuanza kunyonya damu ya Watanzania. ccm (sikukosea spelling), imekuwa kama cancer itokanayo na chembechembe nzuri za mwili wa binadamu, na kugeuka chembechembe mbaya ambayo inakula mwili huo huo. Matokeo yake ni cancer ambayo tusipoiondoa mapema, hakika itatuangamiza sote.

      Najua kuwa wote ambao mnaotetea cancer hii mnafaidika nayo kwa njia moja au nyingine, hamna uchungu na mamilioni ya wananchi wanaosota na kutokuwa na matumaini ya siku za mbele, kwani wao wanaishi tu bora siku ipite...wanaishi maisha kama ya wanyama. Lakini wananchi wa Tanzania sio wanyama, ni binadamu wenye akili. Kuna siku, na siku hiyo inakuja, watatwaambua wabaya wao na kuwatoa madarakani. Wabaya hao sio tu kwamba watatolewa madatakani, bali pia watawajibishwa kwa matendo yao maovu waliyowafanyia Watanzania kwa kisingizio cha CHAMA CHA MAPINDUZI kilichoanzishwa mwaka 1977.

      Sijui unaishi kwa hisia za rangi, lakini kila mtu ana rangi aipendayo, au katika jamii yake, rangi hiyo inaashiria nini. Binafsi, baada ya kuona unafiki unaofanywa na ccm dhidi ya Watanzania, kila nikiona hiyo rangi ya kijani nasikia kichefuchefu. Nikifungua tovuti nikiziona hizo rangi walizovaa wakinadi uongo kwenye majukwaa, nafunga tovuto hizo haraka.

      Kama una hata chembe moja ya utu, utaacha kuishabikia ccm na kuiondoa madarakani, kabla haijakuangamiza hata wewe mwenyewe!
      well said......................'he who knows not and knows not that he knows not is a fool'.......ckumbki the author

    18. #75
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu.....

      Quote By tracy
      well said......................'he who knows not and knows not that he knows not is a fool'.......ckumbki the author

      jiunge kwenye watu walioenda shule uwe smart
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    19. #76
      ELNIN0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Posts : 2,526
      Rep Power : 987
      Likes Received
      248
      Likes Given
      50

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu...

      Attached Thumbnails    

    20. #77
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu...

      Quote By ELNIN0

      unakusudia nn?

      kama matatizo hayo hayahusiani na CCM

      kwa kupitia CCM tunatibu maradhi ya moyo ndani ya nchi badala kupeleka wagonjwa nje kama zamani
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    21. #78
      Zasasule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2009
      Posts : 961
      Rep Power : 930
      Likes Received
      76
      Likes Given
      48

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu...

      Quote By Mtu wa Pwani
      chama cha Mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu

      ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo


      ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla


      ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu


      CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu


      CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :

      rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo

      sio blue rangi ya mikosi


      karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili

      kuuliza c ujinga.kwani uhuru uliletwa na ccm au TAnu?Je uliletwa na Chama au Wananchi?

      A runner must run with dreams in his heart, not money in his pocket

    22. #79
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default Re: Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu..

      Quote By Mtu wa Pwani
      hayo hayajaanza leo

      tokea hatujapata uhuru yalikuwepo

      na tumejitahidi kwa hapo alau wanalala sakafuni

      na jitihada zaidi tunaendelea kufanya kuwaletea maosha bora
      Kwahiyo miaka hiyo 50 tumeendelea kinyume-nyume! Hiyo kauli mbiu ya maisha bora mbaona sijaiona kwenye mam bango ya mwaka huu? CCM wanaona aibu kuitumia mwaka huu maana watu wana hasira
      ''UBAYA UTASHAMIRI NA KUPATA NGUVU ZAIDI IWAPO WATU WEMA WAMEAMUA KUKAA KIMYA '', Edmond Burke
      " What we believe, inevitably affects how we live," Howard Marshall

    23. #80
      KIBURUDISHO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th March 2011
      Posts : 684
      Rep Power : 549
      Likes Received
      101
      Likes Given
      8

      Default Naipenda saaana CCM ila!!!!!!!!!!!!

      Jamani najua nitabezwa ila naongea nionavyo mimi.Naipenda sana CCM ila ninavujwa moyo na kukatishwa kabisa tamaa na baadhi ya mambo yafuatayo ambayo kila kukicha viongozi wakuu wa chama hicho wamekuwa wamwagiliaji wakuu wa maji na wawekaji wakubwa wa mbolea ili kuendelea kuustawisha mfumo huu.
      1,Wananchi tukiwa kwenye wakati mgumu wa mfumuko wa bei na gharama za maisha kupanda wao hawana muda na sisi wako bize na nani atakuwa rais 2015.
      2,Wanachaguana matajiri wakubwa kuwa viongozi wa chama
      3,Wana maneno matamu sana majukwaani kumbe ndani ya mioyo yao wao wenyewe wanajua
      Mishahara mikubwa na wanayojipangia huku watumishi wengine maisha yao yakiwa duni sana na mengine meeeengi yanayonitia uchungu sana kila ninapo yakumbuka.

    Page 4 of 11 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Naipenda Tanzania
      By fungafunga in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 17th November 2011, 11:06
    2. Replies: 12
      Last Post: 9th July 2011, 18:09
    3. Mi naipenda tuu...
      By vkeisy2006 in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 42
      Last Post: 13th April 2010, 22:07

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...