Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      friendsofjeykey's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 144
      Rep Power : 477
      Likes Received
      11
      Likes Given
      19

      Default NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      PPF wamefanya AGM yao huko Arusha na kwa mbwembwe na mikogo ya kufa mtu na a day before hajamaliza wakatangaza kuwa mafao yamepanda from 21,000 to 50,000.....na watu walishangilia mle ndani utafkiri Tanzania imeshinda World Cup kuwa mambo si ndio hayo


      NSSF kumbe nao on the same day wakatangaza kupanda kwa mafao from 50,000 to 80,000 sasa kwa nini serikali haitaki sisi wachangiaji kuhama mifuko kama hii ya PPF kwenda NSSF ambako pensio ni kubwa?



      Unless bwana URIO wa PPF ana good reason ya kunizuia nisihame maana huu upuuzi kulipwa 50,000 wakati kuna sehemu unalipwa 80,000
      Last edited by friendsofjeykey; 23rd September 2010 at 08:04.


    2. #2
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,264
      Rep Power : 1497
      Likes Received
      171
      Likes Given
      168

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      LAPF vipi wao hawajapandisha?
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    3. #3
      adobe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Posts : 533
      Rep Power : 621
      Likes Received
      38
      Likes Given
      3

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      Wa Tz kumbuka hata Mwalimu alitoa mfano kuwa Mtu anaweza akwa na almsi halisi akikutana na mtu na kumwambia hio sio almasi akambadilishia na kumpa kipande cha chupa anafurahi na kuondoka kama zuzu, Hivyo ndivyo tulivyo na tusipoiondoa CCm madarakani tutabakia kam ZUZUUUUUUU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!11

    4. #4
      Rayase's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Posts : 81
      Rep Power : 526
      Likes Received
      1
      Likes Given
      159

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      Mhe JK alipokuwa akijibu hoja za TUCTA alituambia suala la Pension litapata suluhu september 30, 2010. This is sept tusubiri tuone pengine tutapata majibu au mwenye taarifu kuhusiana na The social security (regulatory Authority) act atupatie data. Maana kuna tetesi kuwa mpaka sasa hakuna management ya the authority.

    5. #5
      mikela's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2010
      Posts : 1,853
      Rep Power : 845
      Likes Received
      329
      Likes Given
      83

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      Wamepunguza
      Quote By Mtu wa Pwani View Post
      LAPF vipi wao hawajapandisha?
      Mtanzania Halisi


    6. #6
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,264
      Rep Power : 1497
      Likes Received
      171
      Likes Given
      168

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      Quote By mikela View Post
      Wamepunguza
      duh tumeumia
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    7. #7
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 6,016
      Rep Power : 1656
      Likes Received
      1138
      Likes Given
      419

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      Quote By Rayase View Post
      Mhe JK alipokuwa akijibu hoja za TUCTA alituambia suala la Pension litapata suluhu september 30, 2010. This is sept tusubiri tuone pengine tutapata majibu..............

      Alishasahau na hana wa kumkumbusha
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    8. #8
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3357
      Likes Received
      245
      Likes Given
      0

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      nani kasema huwezi kuhama pension fund moja kwenda nyingine?

    9. #9
      immak's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th July 2007
      Posts : 6
      Rep Power : 611
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      Ndugu zangu upandaji wa vima vya chini vya pensheni katika Mifuko hii ya Pensheni unaangalia mambo mengi sana. Unazingatia mchakato wa actuarial analysis ya Mifuko ikiangalia ina akiba kiasi gani, ziada kiasi gani na uwezo wa kulipa kwa muda gani wa mbele katika mazingira yoyote yale.

      Ukiangalia in isolation unaweza kuona kuwa kupanda kwa pensheni kwa NSSF kutoka Sh. 50,000/= kwenda shs. 80,000/= kunaweza kukawa na bearing kubwa sana lakini ni vizuri wananchi wakafahamu kuwa NSSF ina jumla ya wastaafu (pensioners) 1,200 tu wakati PPF wana wastaafu (pensioners) 21,000.

      Kama mtafanya utafiti overall pensheni ya NSSF imeshushwa kwa kuwa kima cha chini kimepandishwa kwa kiasi hicho lakini rates za pensheni zingine za juu ya hapo ama zimebaki hivyo hivyo au zimepunguzwa kwa sababu ya ulinganifu wa formula inayokokoyoa pensheni hizo.

      Kwa idadi ndogo ya wastaafu walionao NSSF (1,200) walipaswa kulipa kiwango cha juu zaidi na in real sense kwa idadi ya wastaafu waliopo PPF (21,000) pensheni inayolipwa mwisho wa siku PPF inalipa pensheni kubwa zaidi kwa jumuia ya wastaafu.

      Mbali ya hayo PPF pia inatoa mikopo ya nyumba za gharama nafuu ambazo zinauzwa "at cost" na pia zinatoa mikopo kwa vyama vya kuweka na kukopa SACCOS.

      PPF ni Mfuko pekee nchini unaolipa mafao ya elimu ambapo mwanachama anapofariki PPF inawalipia mpaka watoto wanne wa marehemu elimu mpaka kidato cha NNE.

      PPF pia ndiyo Mfuko pekee nchini ambao wewe mwanachama unaweza kupata taarifa mbali mbali za uanachama wako kwa kutuma SMS na pia kupitia kwenye internet.

    10. #10
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 14,404
      Rep Power : 16603
      Likes Received
      7401
      Likes Given
      5738

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      Asante sana kwa taarifa
      KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

    11. #11
      Mtu wa Mungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Posts : 426
      Rep Power : 522
      Likes Received
      14
      Likes Given
      1

      Default Re: NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      Quote By friendsofjeykey View Post
      PPF wamefanya AGM yao huko Arusha na kwa mbwembwe na mikogo ya kufa mtu na a day before hajamaliza wakatangaza kuwa mafao yamepanda from 21,000 to 50,000.....na watu walishangilia mle ndani utafkiri Tanzania imeshinda World Cup kuwa mambo si ndio hayo


      NSSF kumbe nao on the same day wakatangaza kupanda kwa mafao from 50,000 to 80,000 sasa kwa nini serikali haitaki sisi wachangiaji kuhama mifuko kama hii ya PPF kwenda NSSF ambako pensio ni kubwa?



      Unless bwana URIO wa PPF ana good reason ya kunizuia nisihame maana huu upuuzi kulipwa 50,000 wakati kuna sehemu unalipwa 80,000
      Hizi ni propaganda!!!!!!!! Mawazo ya mgando kuhusu mafao ya wastaafu hapa nchini itachukua miaka mingi ijayo-kwa sehemu yanayotangazwa ni hula baloo za kisiasa zaidi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Wanafanya zaidi show-off; kwani wanachokusanya kwa wanachama kulinganisha na kile wanacholipa havina uwiano-kwa sehemu kubwa fedha zinazokusanywa ni kwa manufaa ya vigogo wa sisiemu kuchota kama wakati mmoja alivyochota sumaye-wakati ule milioni 200??? Mwanachama anaambulia tshs 50,000 kwa mwezi!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    12. #12
      Kimla's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th June 2008
      Posts : 119
      Rep Power : 586
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      ndugu zangu wale walioko mifuko ya Pspf na LAPF ndo wanafaidi lakini sisi private sector tulio NSSF au PPF ni watu wakuumia tu.Lampsum yao au monthly pensio ya NSSF na pPF ni ndogo sana

    13. #13
      Sigma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,445
      Rep Power : 1374
      Likes Received
      987
      Likes Given
      658

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      Kusubiri mafao ndo kitu cha mwisho nitakachofanya.
      Mla mla leo!
      ...------------------------------------------------.---------------------------------------------------------------------..Rather Kill a FRIEND than Risk Missing an ENEMY

    14. #14
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,882
      Rep Power : 2170
      Likes Received
      1258
      Likes Given
      560

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      Quote By Kimla View Post
      ndugu zangu wale walioko mifuko ya Pspf na LAPF ndo wanafaidi lakini sisi private sector tulio NSSF au PPF ni watu wakuumia tu.Lampsum yao au monthly pensio ya NSSF na pPF ni ndogo sana
      Kiongozi Soon formula itakuwa moja ya kukokotoa pensheni so usihofu wala nini NSSF lkn wezi kweli kweli

    15. #15
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 640
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      GEPF nafikiri kwa sasa ndio wazuri kuliko wote..wabaya kuliko wote n NSSF..

    16. #16
      Pota's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th April 2011
      Posts : 1,255
      Rep Power : 675
      Likes Received
      186
      Likes Given
      128

      Default Re: Mafao ya NSSF walivyo wazidi kete PPF in their own game

      nssf=ccm

    Similar Topics

    1. Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!
      By allydou in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 500
      Last Post: 29th July 2012, 06:45
    2. mafao ya nssf
      By Raia Fulani in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 6th November 2011, 17:20
    3. SHERIA INaSEMAJE JUU YA NSSF,PPF NA MAFAO MENGINE KWA MAHOUSEGIRL NA WALINZI MAJUMBAN
      By AMARIDONG in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 17th January 2011, 09:12
    4. Mama azimia akifuatilia mafao yake NSSF Kinondoni Regional office
      By Mchekechoni in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 14th January 2011, 16:20
    5. Replies: 7
      Last Post: 3rd February 2009, 14:43

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...