Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      Laibon's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd June 2009
      Posts : 9
      Rep Power : 506
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      Wana JF naomba kutoa hoja;
      Kama JK akishinda urais basi ni budi Lowawa awe waziri mkuu kwani alionewa kushinikizwa kujiuzulu.
      Wote mnafahamu kuwa hakuna mtu amechukuliwa hatua kwenye RICHMOOND saga- wote wako huru wamesafishwa bungeni na hata, wanapeta kwenye wakiomba kura majimboni kwao na huenda wakashinda kwa kishindo.
      Nasema hivi kwasababu ni juzi tu JK alikuwa Monduli na aliambia umma hajawahi ona mchapakazi kama Lowassa. Sasa kama rais na bunge limesafisha, JK akiingia madarakani itakuwa vyema huyu mchapakazi awepo. Lowassa ni mchapakazi,ni jasiri na mwenye maamuzi na hilo halina ubishi, tatizo kubwa ni kwamba amekula sana kuliko wenzake ndio maana hata CCM wenziwe walimkaanga bungeni, lakini si asilimia kubwa ya wana CCM na watendaji wa serikali ni walaji? Hili wote mnalikubali, sasa Lowassa ana kosa gani mbele ya wanaCCM wenzake? Eti amekula sana? Labda mikono yake ni mipana, na kinywa chake kikubwa kiasi kwamba anaweza kula chapati bila kukunja, kwanini asile sana???!
      Kama JK akipita namshauri aachane na Pinda, hana ujasiri na sio thabiti kama Lowassa.

      Kama wote ni walaji basi tumchague mlaji mchapakazi basi angalau tutaambulia kimoja!
      Natoa hoja

    2. Miaka 50

    3. #2
      imma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2009
      Posts : 421
      Rep Power : 585
      Likes Received
      15
      Likes Given
      13

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      Quote By Laibon
      Wana JF naomba kutoa hoja;
      Kama JK akishinda urais basi ni budi Lowawa awe waziri mkuu kwani alionewa kushinikizwa kujiuzulu.
      Wote mnafahamu kuwa hakuna mtu amechukuliwa hatua kwenye RICHMOOND saga- wote wako huru wamesafishwa bungeni na hata, wanapeta kwenye wakiomba kura majimboni kwao na huenda wakashinda kwa kishindo.
      Nasema hivi kwasababu ni juzi tu JK alikuwa Monduli na aliambia umma hajawahi ona mchapakazi kama Lowassa. Sasa kama rais na bunge limesafisha, JK akiingia madarakani itakuwa vyema huyu mchapakazi awepo. Lowassa ni mchapakazi,ni jasiri na mwenye maamuzi na hilo halina ubishi, tatizo kubwa ni kwamba amekula sana kuliko wenzake ndio maana hata CCM wenziwe walimkaanga bungeni, lakini si asilimia kubwa ya wana CCM na watendaji wa serikali ni walaji? Hili wote mnalikubali, sasa Lowassa ana kosa gani mbele ya wanaCCM wenzake? Eti amekula sana? Labda mikono yake ni mipana, na kinywa chake kikubwa kiasi kwamba anaweza kula chapati bila kukunja, kwanini asile sana???!
      Kama JK akipita namshauri aachane na Pinda, hana ujasiri na sio thabiti kama Lowassa.

      Kama wote ni walaji basi tumchague mlaji mchapakazi basi angalau tutaambulia kimoja!
      Natoa hoja
      Naomba hoja hii isiendelee kuchangiwa ili kulinda Heshma ya Jukwaa pamoja na Jamvi hili. Nanukuu kutoka kwa MUTU "Mpuuzi dawa yake ni Kumpuuza". N kwa taarifa yako Hakutokua na Kikwete, lowasa wala CCM hapo october. Narudia tena "Watanzania tusicheze KAMARI tarehe 31 october".

      A question that sometimes drives me hazy: am I or are the others crazy?

    4. #3
      Laibon's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd June 2009
      Posts : 9
      Rep Power : 506
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      Usiwe mtu wa kukurupuka - read between the lines, dont read lines! Usikurupuke kama Makamba

    5. #4
      pierre's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Posts : 211
      Rep Power : 484
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      Watz mkifanya kosa walillolifanya wayahudi la kutaka afunguliwe baraba na Yesu asulubishwe shauri yenu,leo hakuna amani mashariki ya kati kwa laana walizojitakia wenyewe.Mkombozi amepatikana kama mtamwua kwa kumnyima kura oct 31 ni juu yenu msimlaumu Mungu wala msitake awaondoe kwenye matatizo yatakapoanza baada ya kumnyima aliyetumwa kutukomboa.

    6. PhD
      #5
      PhD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Location : houston texas
      Posts : 2,625
      Rep Power : 1596
      Likes Received
      684
      Likes Given
      175

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      Quote By pierre
      Watz mkifanya kosa walillolifanya wayahudi la kutaka afunguliwe baraba na Yesu asulubishwe shauri yenu,leo hakuna amani mashariki ya kati kwa laana walizojitakia wenyewe.Mkombozi amepatikana kama mtamwua kwa kumnyima kura oct 31 ni juu yenu msimlaumu Mungu wala msitake awaondoe kwenye matatizo yatakapoanza baada ya kumnyima aliyetumwa kutukomboa.
      ole wao mayahudi, CCM na pilato JK.
      They wiil disqualify you for the little weaknesses you have and they will never glorify you for the great strength you have shown, Phd- Houston Texas July 23, 2012

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Penguine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2009
      Posts : 509
      Rep Power : 583
      Likes Received
      120
      Likes Given
      19

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      [QUOTE=Laibon;1093820]Wana JF naomba kutoa hoja;
      Kama JK akishinda urais basi ni budi Lowawa awe waziri mkuu kwani alionewa kushinikizwa kujiuzulu.
      Wote mnafahamu kuwa hakuna mtu amechukuliwa hatua kwenye RICHMOOND saga- wote wako huru wamesafishwa bungeni na hata, wanapeta kwenye wakiomba kura majimboni kwao na huenda wakashinda kwa kishindo.
      Nasema hivi kwasababu ni juzi tu JK alikuwa Monduli na aliambia umma hajawahi ona mchapakazi kama Lowassa. Sasa kama rais na bunge limesafisha, JK akiingia madarakani itakuwa vyema huyu mchapakazi awepo. Lowassa ni mchapakazi,ni jasiri na mwenye maamuzi na hilo halina ubishi, tatizo kubwa ni kwamba amekula sana kuliko wenzake ndio maana hata CCM wenziwe walimkaanga bungeni, lakini si asilimia kubwa ya wana CCM na watendaji wa serikali ni walaji? Hili wote mnalikubali, sasa Lowassa ana kosa gani mbele ya wanaCCM wenzake? Eti amekula sana? Labda mikono yake ni mipana, na kinywa chake kikubwa kiasi kwamba anaweza kula chapati bila kukunja, kwanini asile sana???!
      Kama JK akipita namshauri aachane na Pinda, hana ujasiri na sio thabiti kama Lowassa.

      Kama wote ni walaji basi tumchague mlaji mchapakazi basi angalau tutaambulia kimoja!
      Natoa hoja[/QUOTE

      Mtaalam nimekuelewa vizuri, uko so sarcastic kwenye hoja yako lakini naona kama kwa kufanya hivyo,
      Rais atakuwa:
      - amechakachua baraza lake la mawaziri!
      -atakuwa amechakachua wananchi wake!
      -atakuwa amechakachua heshma ya taifa kwa mataifa mengine

    9. #7
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,632
      Rep Power : 2007
      Likes Received
      1651
      Likes Given
      1622

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      Ndugu Laibon hili la Lowasa kuteuliwa PM mbona limeshazungumzwa asa humu JF na wala sio siri.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    10. #8
      minda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2009
      Location : uswazi
      Posts : 886
      Rep Power : 667
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      kama wewe ni laibon kweli, na EL ndiye mkuu wenu ktk baraza la wazee (laibon) wa kimasai linalojulikana kama malalaigwan, basi utakuwa umeingia kwenye mkenge wa ukabila ambao kwa bahati mbaya sana kwa sasa hauna nafasi nchini tanzania.
      unaipenda tanzania? sema ukweli!

    11. #9
      Sumbalawinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2009
      Posts : 1,285
      Rep Power : 753
      Likes Received
      168
      Likes Given
      22

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      Lowassa ana laana.
      Nyerere alimkataa kwa sababu ya uchafu aliokuwa nao.
      Na kuthibitisha kuwa lowassa ni casted person , hakudumu kwenye uwaziri mkuu.
      Akiteuliwa tena sasa, atakumbwa na aibu kubwa kuliko ile ya mwanzoni.

    12. #10
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,086
      Rep Power : 12252
      Likes Received
      6015
      Likes Given
      6851

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      Quote By Laibon
      Wana JF naomba kutoa hoja;
      Kama JK akishinda urais basi ni budi Lowawa awe waziri mkuu kwani alionewa kushinikizwa kujiuzulu.
      Wote mnafahamu kuwa hakuna mtu amechukuliwa hatua kwenye RICHMOOND saga- wote wako huru wamesafishwa bungeni na hata, wanapeta kwenye wakiomba kura majimboni kwao na huenda wakashinda kwa kishindo.
      Nasema hivi kwasababu ni juzi tu JK alikuwa Monduli na aliambia umma hajawahi ona mchapakazi kama Lowassa. Sasa kama rais na bunge limesafisha, JK akiingia madarakani itakuwa vyema huyu mchapakazi awepo. Lowassa ni mchapakazi,ni jasiri na mwenye maamuzi na hilo halina ubishi, tatizo kubwa ni kwamba amekula sana kuliko wenzake ndio maana hata CCM wenziwe walimkaanga bungeni, lakini si asilimia kubwa ya wana CCM na watendaji wa serikali ni walaji? Hili wote mnalikubali, sasa Lowassa ana kosa gani mbele ya wanaCCM wenzake? Eti amekula sana? Labda mikono yake ni mipana, na kinywa chake kikubwa kiasi kwamba anaweza kula chapati bila kukunja, kwanini asile sana???!
      Kama JK akipita namshauri aachane na Pinda, hana ujasiri na sio thabiti kama Lowassa.

      Kama wote ni walaji basi tumchague mlaji mchapakazi basi angalau tutaambulia kimoja!
      Natoa hoja
      ipeleke kwenye jukwaa la utani... saizi watu wako sirias zaidi
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    13. #11
      Laibon's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd June 2009
      Posts : 9
      Rep Power : 506
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      bwana au bibi minda- ukabila unatoka wapi hapo? Inaonekana wewe ni mkabila ndio maana reaction yako imekupelekea mawazo ya ukabila

    14. #12
      minda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2009
      Location : uswazi
      Posts : 886
      Rep Power : 667
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

      Quote By Laibon
      bwana au bibi minda- ukabila unatoka wapi hapo? Inaonekana wewe ni mkabila ndio maana reaction yako imekupelekea mawazo ya ukabila



      ipeleke kwenye jukwaa la utani... saizi watu wako sirias zaidi (naungana na Acid).
      unaipenda tanzania? sema ukweli!

    Similar Topics

    1. Nini tufanye kama JK atamteua e lowassa kuwa waziri mkuu?
      By Kagalala in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 87
      Last Post: 16th November 2010, 14:33
    2. Tetesi: lowasa kuwa spika wa bunge lijalo
      By fungafunga in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 24
      Last Post: 3rd November 2010, 21:12
    3. Ngawaiya kuhama nchi akishinda Dr laa
      By realtz7 in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 12
      Last Post: 27th October 2010, 11:27

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...