Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masikini

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      Rev. Kishoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : USA
      Posts : 4,352
      Rep Power : 2558
      Likes Received
      243
      Likes Given
      185

      Default Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masikini

      Leo hii nimesoma habari inayosema kuwa Tanzania imeshindwa kupunguza vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano ambao wanatoka kwenye familia masikini na fukara.

      Nimejiuliza, tumeweka juhudi kubwa kama Taifa kujenga mfumo wa maisha ya anasa na hata katika kampeni hizi za uchaguzi, tunaahidiwa vitamanisha macho, viwanja vya ndege, meli, simu, majumba na ahadi zingine lukuki, lakin sijasikia ahadi hasa kutoka Chama tawala au kuona utekelezaji kwa ufanisi kupunguza umasikin wa lile kundi la watu ambao ni mafukara.

      Sijasikia leo CCM katika kujisifu na utawala wao bora uliowaletea neema Watanzania kuwa wameweka juhudi za kulinda uhai wa Mtanzania ambaye hana uwezo wa kujitegemea na ni fukara. Leo Mtanzania huyu, atapewa kadi ya chama, kofia na fulana akipigie chama kura kwa kuwa kimeliongoza Tanzania kwa miaka 50 na Rais wetu kamleta Rais wa Marekani lakin chama hikihiki, hakiwezi mhakikishia Mtanzania huyu uhakika wa uhai wake dhidi ya magonjwa na lishe kwake na kwa watoto wake!

      Natumaini habari hii vyama vya upinzani vitaziona na kuzifanyia kazi.


      Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto maskini


      na Andrew Chale

      TANZANIA imeelezwa ni miongoni mwa nchi ambazo imeshindwa kutekeleza kupunguza vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano kwa familia maskini na fukara kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita.
      Katika ripoti mpya iliyotolewa na Shirika la Save the Children linaloshughulikia misaada ya kibinadamu kwa watoto duniani, kwa vyombo vya habari jana, ilieleza Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zilizopoteza watoto 2,800,000 katika kipindi cha miaka kumi kutokana na kutokuwa na usawa.
      Mkurugenzi wa shirika hilo hapa nchini, Rachel Pounds, alisema kuwa kama kutakuwa na usawa kwa jamii, ikiwemo kusaidia familia maskini kupata huduma muhimu za afya na kupunguza gharama za matibabu na dawa kunaweza kupunguza tatizo hilo kwa familia masikini na fukara.
      “Ni kwa kulenga suala la usawa tu serikali ikiwemo ile ya Tanzania zitaweza kupunguza vifo vya watoto miongoni mwa makundi yote katika jamii. Kila mtoto ana haki ya kuishi na kila serikali ina wajibu wa kuwalinda,” alisema Rachel.
      Katika ripoti yake hiyo maalumu, inayojulikana kama ‘Fursa Sawa Katika Maisha’ imebainisha kuwa juhudi sawa za kupunguza vifo vya watoto miongoni mwa matajiri na maskini zinamaanisha mafanikio ya haraka ya kufikia lengo namba nne la maendeleo ya milenia.

      Amani Iwe Nanyi,

      Camerlengo

      Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

      "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

      'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      KIWAVI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2010
      Posts : 349
      Rep Power : 545
      Likes Received
      33
      Likes Given
      60

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      we are going to have our own dubai pale kigoma na viwanja vya ndege lukuki pamoja na kwamba tuna ndege moja

      hayo ya akina mama ntakuja na ahadi mpya baada ya uchaguzi
      Rev. Mzito K. = Kamera Tobwe!

    4. #3
      PatPending's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2007
      Location : Maghorofani
      Posts : 486
      Rep Power : 698
      Likes Received
      65
      Likes Given
      146

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Kuna neno moja muhimu ambalo Rev umelisahau katika bandiko lako hili, "vinavyoepukika". Tumeshindwa kupunguza vifo vinavyoepukika vya watoto walio chini ya miaka mitano ambao wanatoka kwenye familia masikini na fukara. Wanaweza kukuambia kuwa kila kifo ni mapenzi ya mungu hata pale ambapo watoto wanakufa au kupata vilema vya kudumu kutokana na kukosa chanjo muhimu.

    5. #4
      kisoti's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th August 2009
      Posts : 74
      Rep Power : 511
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      One of the very potential and valuable resources one could ever dare to lose is children.

      God bless Tanzania, God bless Africa. Amen!

      Quote By Rev. Kishoka
      Leo hii nimesoma habari inayosema kuwa Tanzania imeshindwa kupunguza vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano ambao wanatoka kwenye familia masikini na fukara.

      Nimejiuliza, tumeweka juhudi kubwa kama Taifa kujenga mfumo wa maisha ya anasa na hata katika kampeni hizi za uchaguzi, tunaahidiwa vitamanisha macho, viwanja vya ndege, meli, simu, majumba na ahadi zingine lukuki, lakin sijasikia ahadi hasa kutoka Chama tawala au kuona utekelezaji kwa ufanisi kupunguza umasikin wa lile kundi la watu ambao ni mafukara.

      Sijasikia leo CCM katika kujisifu na utawala wao bora uliowaletea neema Watanzania kuwa wameweka juhudi za kulinda uhai wa Mtanzania ambaye hana uwezo wa kujitegemea na ni fukara. Leo Mtanzania huyu, atapewa kadi ya chama, kofia na fulana akipigie chama kura kwa kuwa kimeliongoza Tanzania kwa miaka 50 na Rais wetu kamleta Rais wa Marekani lakin chama hikihiki, hakiwezi mhakikishia Mtanzania huyu uhakika wa uhai wake dhidi ya magonjwa na lishe kwake na kwa watoto wake!

      Natumaini habari hii vyama vya upinzani vitaziona na kuzifanyia kazi.

    6. #5
      MawazoMatatu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2008
      Posts : 505
      Rep Power : 647
      Likes Received
      41
      Likes Given
      41

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Quote By Rev. Kishoka

      Natumaini habari hii vyama vya upinzani vitaziona na kuzifanyia kazi.
      Mimi ningesema natumai wananchi wataiona na kufanya chaguo lililo sahihi kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Kwasababu hilo sio geni kwa vyama vya upinzani linapigiwa kelele kila uchao.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      68
      Likes Given
      82

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Quote By MawazoMatatu
      Mimi ningesema natumai wananchi wataiona na kufanya chaguo lililo sahihi kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Kwasababu hilo sio geni kwa vyama vya upinzani linapigiwa kelele kila uchao.
      yep hilo lingekuwa jema zaidi hata mimi naunga mkono hoja
      ........................HAKUNA TIBA YA KIFO............
      HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU

    9. #7
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,639
      Rep Power : 16776
      Likes Received
      2515
      Likes Given
      1937

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Quote By MawazoMatatu
      Mimi ningesema natumai wananchi wataiona na kufanya chaguo lililo sahihi kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Kwasababu hilo sio geni kwa vyama vya upinzani linapigiwa kelele kila uchao.
      Tatizo wananchi ambao ndio tungetegemea walione hili na kufanya uchaguzi sahihi ndio wanaorubuniwa na kofia na t-shirt. Zaidi ni wapinzani kuendelea kulipigia kelele suala hili mpaka hapo watu watakapoelewa kuwa maisha bora si kumiliki simu, magari n.k!

    10. #8
      pmwasyoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,457
      Rep Power : 972
      Likes Received
      320
      Likes Given
      423

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Labda Bajaj zilizoahidiwa zitapunguza tatizo hili jamani - zitatumika pia kuwawahisha watoto hospitali.

    11. #9
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,256
      Rep Power : 31392
      Likes Received
      9624
      Likes Given
      685

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Watu walioamini kuletwa hayo maisha bora wananishangaza sana!!!!
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    12. #10
      TandaleOne's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th September 2010
      Location : SF Kiosk Tandale Sokoni
      Posts : 1,151
      Rep Power : 672
      Likes Received
      176
      Likes Given
      61

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Quote By Rev. Kishoka
      Leo hii nimesoma habari inayosema kuwa Tanzania imeshindwa kupunguza vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano ambao wanatoka kwenye familia masikini na fukara.

      Nimejiuliza, tumeweka juhudi kubwa kama Taifa kujenga mfumo wa maisha ya anasa na hata katika kampeni hizi za uchaguzi, tunaahidiwa vitamanisha macho, viwanja vya ndege, meli, simu, majumba na ahadi zingine lukuki, lakin sijasikia ahadi hasa kutoka Chama tawala au kuona utekelezaji kwa ufanisi kupunguza umasikin wa lile kundi la watu ambao ni mafukara.

      Sijasikia leo CCM katika kujisifu na utawala wao bora uliowaletea neema Watanzania kuwa wameweka juhudi za kulinda uhai wa Mtanzania ambaye hana uwezo wa kujitegemea na ni fukara. Leo Mtanzania huyu, atapewa kadi ya chama, kofia na fulana akipigie chama kura kwa kuwa kimeliongoza Tanzania kwa miaka 50 na Rais wetu kamleta Rais wa Marekani lakin chama hikihiki, hakiwezi mhakikishia Mtanzania huyu uhakika wa uhai wake dhidi ya magonjwa na lishe kwake na kwa watoto wake!

      Natumaini habari hii vyama vya upinzani vitaziona na kuzifanyia kazi.
      Hivi una uhakika na hicho chanzo cha habari?????Go to WHO and see how we are rated!!!Doh!!JF kuna waokota mambo hapa.Tunabomoa.
      (i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
      mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.

      http://www.cms.ccmtz.org/doc/ilani.pdf
      Hatred is gained as much by good works as by evil.
      Niccolo Machiavelli

    13. #11
      Rev. Kishoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : USA
      Posts : 4,352
      Rep Power : 2558
      Likes Received
      243
      Likes Given
      185

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Quote By TandaleOne
      Hivi una uhakika na hicho chanzo cha habari?????Go to WHO and see how we are rated!!!Doh!!JF kuna waokota mambo hapa.Tunabomoa.
      (i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
      mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.

      http://www.cms.ccmtz.org/doc/ilani.pdf

      Ni heri wala usingeleta hilo la Ilani ya CCM maana kila kilichoandikwa humo kina urembo wa uongo. Kama jinsi usivyoamini vyanzo vingine, ndivyo nasi tusivyoamini vyanzo vyako vya habari, Ilani ya CCM!
      Amani Iwe Nanyi,

      Camerlengo

      Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

      "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

      'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

    14. #12
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,127
      Rep Power : 14289
      Likes Received
      4015
      Likes Given
      3273

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Quote By KIWAVI
      we are going to have our own dubai pale kigoma na viwanja vya ndege lukuki pamoja na kwamba tuna ndege moja

      hayo ya akina mama ntakuja na ahadi mpya baada ya uchaguzi
      Mimi nafikilia alipaswa apigwe manati wakati akiyasema hayo....unatuambia uwanja wa ndege wakati usafiri wa walala hoi ni treni, badala uboreshe ndiyo kwanza shirika la reli limekuwa la majaribio...asilimia ngapi ya watu kigoma wana uwezo wa kupanda hiyo ndege kama si kuwa tukana watu wa kigoma, je huo uwanja ndege yake kifisadi itaweza kutua au inaweza kutua USA na UK....CCM acheni kutufanya watanzania wote wajinga
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    15. #13
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,127
      Rep Power : 14289
      Likes Received
      4015
      Likes Given
      3273

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Quote By TandaleOne
      Hivi una uhakika na hicho chanzo cha habari?????Go to WHO and see how we are rated!!!Doh!!JF kuna waokota mambo hapa.Tunabomoa.
      (i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
      mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.

      http://www.cms.ccmtz.org/doc/ilani.pdf
      hapa JF huwezi kuwandaya watu, kama mjini hali mbaya kiasi hiki vipi vijijini..
      Attached Thumbnails  
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    16. #14
      TandaleOne's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th September 2010
      Location : SF Kiosk Tandale Sokoni
      Posts : 1,151
      Rep Power : 672
      Likes Received
      176
      Likes Given
      61

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Quote By Crashwise
      hapa JF huwezi kuwandaya watu, kama mjini hali mbaya kiasi hiki vipi vijijini..
      Toa takwimu.Wangapi kati ya wangapi wameathirika na hilo??????Amka
      Hatred is gained as much by good works as by evil.
      Niccolo Machiavelli

    17. #15
      Sir R's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Location : Moshi
      Posts : 1,139
      Rep Power : 714
      Likes Received
      99
      Likes Given
      24

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Maisha bora zaidi tunasubiri
      Umaskini wa Tanzania ni Matokeo ya Akili ndogo kuongoza Nchi

    18. #16
      PatPending's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2007
      Location : Maghorofani
      Posts : 486
      Rep Power : 698
      Likes Received
      65
      Likes Given
      146

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Quote By TandaleOne
      Hivi una uhakika na hicho chanzo cha habari?????Go to WHO and see how we are rated!!!Doh!!JF kuna waokota mambo hapa.Tunabomoa.
      (i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
      mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.

      http://www.cms.ccmtz.org/doc/ilani.pdf
      Mkuu ni kweli idadi ya vifo vya watoto chini ya umri wa miaka mitano imepungua kama takwimu hizo zinavyoonyesha ila hili bandiko la hapa linazungumzia vifo hivi likihusisha wazazi wenye vipato vya chini (lowest income quintile). Bandiko hili halipingi au kukinza takwimu za kushuka kwa idadi ya vifo bali linaashiria ya kwamba idadi kubwa ya kushuka kwa vifo hivi imetokea kwa wazazi ambao hali zao za kifedha si duni

    19. #17
      ELNIN0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Posts : 2,526
      Rep Power : 988
      Likes Received
      248
      Likes Given
      50

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Quote By KIWAVI
      we are going to have our own dubai pale kigoma na viwanja vya ndege lukuki pamoja na kwamba tuna ndege moja

      hayo ya akina mama ntakuja na ahadi mpya baada ya uchaguzi
      Kila mtoto wa primary kutumia Computer yake mwenyewe iliyounganiswa na mtandao BY JK - sijui mgombea huyu anajua kwamba hawa hawa watoto anaotaka watumie computer ndiyo wanaendelea kufa kwa magonjwa ambayo yanaweza kutibika?

    20. #18
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1793

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Hivi ufukara umeletwa na nini? kama si uvivu wa watanzania vijijini na kuzaa sana, kula sana na kuomba omba sana, kulewa sana, kuoa wake wengi na kuoza mabinti kwa umri mdogo kwa vibabu. hakika yule afanyaye kazi kwa bidii Mungu hatamwacha aangamie. jaribu kufany kazi uone kama utabaki maskini. ggoluck to chagas.

    21. #19
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1793

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Mkisubiri kuletewa hayo maisha bora mtayaona, yatakuja tu, mbona hat biblia imesema msisumbukie ya kesho?

    22. #20
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania: Tanzania yashindwa kupunguza vifo vya watoto Masi

      Remmy,
      Mkuu wangu kukinga maradhi na kuepuka vifo hayana kufanya kazi kwa bidii. Nakuiomba usitake kutumia imani yako ya dini kuhalalisha mabovu ya utendaji wa serikali. Hujafa hujaumbika mkuu wangu....wabantu tunasema...tema mate..
      Exploration of reality

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania: Ajifyeka Nyeti Kwa Ugumu Wa Maisha
      By Ng'wanangwa in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 3
      Last Post: 8th November 2010, 12:24

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...