Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete: In Black And White

    Report Post
    Page 7 of 11 FirstFirst ... 56789 ... LastLast
    Results 121 to 140 of 203
    1. #1
      Kasana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2007
      Posts : 552
      Rep Power : 731
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Kikwete: In Black And White

      Nilikuwa napia pita mtaani (kwenye internet) nikavutiwa na wasihi wa Muungwana, sijachukua taarifa yote.

      JAKAYA MRISHO KIKWETE:

      He received his primary education at Msoga Primary School between 1958 and 1961 and his middle school education at Lugoba School from 1962 to 1965. He then moved from Lugoba School to Kibaha Secondary School for O-level education between 1966 to 1969. The following year he joined Tanga Secondary School for advanced level education. Kikwete attended the University of Dar es Salaam from 1972 to 1975, where he earned a degree in Economics.

      His leadership talents emerged at early stages in life. He was a student leader both in middle and secondary schools and at the University of Dar es Salaam. He was elected Chairman of the Students Council at Kibaha Secondary School and Deputy Head Prefect at Tanga Secondary School. He became very active in student politics at University. He was eventually elected Vice President of the Dar es Salaam University Students Organisation and de-facto President of the student government at the Main Campus in 1973/74.

      As a student leader, he spearheaded efforts to fight for student's rights and welfare. He was in the forefront in bringing about awareness and activism in liberation and anti-apartheid politics in the campus and the University community at large. He represented the Dar es Salaam University students and the students and youths of the African continent in several international conferences. Among such meetings were the International Youth Population Conference in 1974 in Bucharest, Romania.

      Graduating with a degree in economics in 1975, he opted for a low-paying job as an executive functionary/officer of the ruling Party (TANU later CCM). This gave him the opportunity to work at the grassroots in rural regions and districts of Tanzania.

      President Kikwete throve in the military and grassroots party political organisation, mobilisation and administration until 1988 when he was appointed to join the Central Government. The then President Ally Hassan Mwinyi appointed him Member of Parliament and, simultaneously, Deputy Minister for Energy and Minerals on November 7, 1988. In 1990 he was promoted to full Minister responsible for the Ministry of Water, Energy and Minerals. Later the same year he successfully contested for a parliamentary seat in his home constituency of Bagamoyo. He was reappointed Minister for Water, Energy and Minerals in the government formed after the elections.

      In 1994, at 44, he became one of the youngest Finance Ministers in the history of Tanzania. At the Treasury, he established discipline in public finance management and accountability and, until today, he is still remembered for establishing cash budget system and revamping of revenue collection structures, methods and institutions, including preparations for the formation and eventual establishment of the Tanzania Revenue Authority.

      President Kikwete’s governing philosophy and political views are influenced by those of Mwalimu Julius Nyerere whom the President was privileged to be close to. So far Kikwete's government has received accolades across the country and in the donor community for fighting corruption, investing in people, particularly in education, and push for new investiments.

      In the past two years of Kikwete's presidency, a remarkable 1,500 new secondary schools have been built, and a new 40,000-student science university is being built in Dodoma, central Tanzania.

      These successes have led the United States government to grant Tanzania US $698 million under the the Millenium Challenge Account assistance program, the UK government US $500 million for education, and the New York based Africa-America Institute (AAI) to award Tanzania the Africa National Achievement Award in September 2007 in New York.
      'Facts' in the past. 'Options' in the present. 'Possibilities' in the future.
      The future can not be 'predicted' but can be 'created'.

    2. RukaaJuu Final

    3. #121
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1379
      Likes Given
      1180

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Mchili
      Akiwa waziri wa fedha aliunda tume ya kuchunguza matumizi mabaya aliyokuwa amefanya Kigoma Malima, enzi hizo za Mzee Rksa KM alikuwa haambiliki lakini JK alitoa findings za tume yake na kumfukuzisha kazi Malima. Inasemekana hata fedha za Malima zilizokuwa nje alizifreez na ikawa chanzo cha kifo chake. Hicho peke yake ndio kilichompa umaarufu kwa Watanzania.

      Sijui kwa nini alishindwa kukamata za kina Chenge na za Epa.
      Mkuu, hii ya Malima unaweza kutupatia data zaidi?

    4. #122
      Plato's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 371
      Rep Power : 517
      Likes Received
      58
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete: In Black And White

      Mmeamua kumpamba au kuna vitisho.litania za sifa kama hizi hazitegemewi hapa.

    5. #123
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1379
      Likes Given
      1180

      Default Re: Kikwete: In Black And White

      Quote By Plato
      Mmeamua kumpamba au kuna vitisho.litania za sifa kama hizi hazitegemewi hapa.
      Mkuu maini post imeelezea wasifu wake. Kuna mazuri ambayo yanaelezwa humu na kuna mabaya pia. Black and White!

    6. #124
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,090
      Rep Power : 5474
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1928

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Mlalahoi
      Hadi jana usiku,nilikuwa sijashawishika kuchangia ninachojua katika CV ya Jakaya Kikwete.Lakini baada ya HABARI LEO "kufungulia mbwa" basi acha nasi tueleza tunachojua kumhusu mgombea urais kwa tiketi ya CCM (KIkwete).

      Mambo matatu ambayo NINA UHAKIKA NAYO ni kuwa Kikwete alikuwa na uhusiano na mwanamke mmoja Kinondoni Mtaa wa Isisi.Mwanamke huyo alikuwa mwenza wa mkandarasi mmoja maarufu anayesifika pia katika sanaa ya self defence.Hatimaye mkandarasi huyo alishtuklia uhusiano kati ya mwenza wake na Kikwete na wakaachana (lakini kwa uungwana akamwachia nyumba hapo Kinondoni anapoishi na mwanae).Jirani na mamakzi ya mwanamke huyo kuna grocery moja maarufu ambapo habari hiyo inafahamika waziwazi,na Kikwete ameshaonekana mitaa hiyo (kabla hajawa rais)

      La pili ni kwamba Kikwete amezaa na dada mmoja mtu wa Botswana.Huyo dada ni katibu muhtasi katika kampuni moja binafsi ya sheria iliyopo East London hapa Uingereza.Mmiliki wa kampuni hiyo ya sheria ni mwanadada mmoja wa Kinigeria.Jina la dada huyo aliyezaa na JK na la mwanaye nayafahamu pia.

      La tatu ni mambo ya kienyeji.Wakati wa kampeni zake za uchaguzi 2005 alikuwa anamtembelea mganga mmoja eneo la Kiberege wilayani Kilombero Mkoani Morogoro.

      HAYO NINA UHAKIKA NAYO.Tetesi nilizowahi kusikia ni kwamba ana uhusiano na binti mmoja huko Marekani,na huyo dada anatangaza waziwazi kuhusu hilo.Sina uhakika na mji anaoishi japo habari hizo zinafahamika waziwazi hapo Houston,Texas.

      Tetesi nyingine ni uhusiano wake na mwanamama mmoja aliyemteua kuwa balozi kwenye nchi flani "muhimu".Inadaiwa kuwa mume wa balozi huyo anafahamu uhusiano kati ya mkewe na JK lakini hachukui hatua yoyote kwa vile naye ni "kiwembe" (inadaiwa mume wa balozi huyo alikuwa na uhusiano na mbunge mmoja aliyekuwa nchini humo kimasomo.Mbunge huyo anatoka jimbo moja kanda ya kati).

      Kadhalika,kuna habari kuhusu dada mmoja aliyekuwa kimada wa Kikwete kabla hajapata urais.Inaelezwa kuwa dada huyo alikuwa anakaa magomeni.Sikumbuki vema jina ila nadhani ni MARY or something like that.Dada huyo kwa sasa ni marehemu na inafahamika alifariki kutokana na maambukizi ya upungufu wa kinga mwilini (ukimwi).Kifo cha binti hiyo kinatajwa kuwa miongoni mwa sababu zilizopelekea JK kudhaniwa anaumwa ugonjwa huo (na mwenyewe akakanusha-BILA KUULIZWA-huko Dodoma)

      Kuna mengine nayafanyia kazi,lakini kwa leo ni hayo tu.I repeat,NINA USHAHIDI WA HAYO MATATU YA KWANZA.

      JF Kiboko watu mnadata hadi mnatisha! Mchungaji nauliza ni yule balozi wa UK aliyehamishiwa US?

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    7. #125
      Kenge (Eng)'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th December 2006
      Posts : 364
      Rep Power : 714
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete: In Black And White

      Dar West kabla ya 2005. Unaijua list ya washikaji zake?

    8. Miaka 50

    9. #126
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1379
      Likes Given
      1180

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Rev Masanilo
      JF Kiboko watu mnadata hadi mnatisha! Mchungaji nauliza ni yule balozi wa UK aliyehamishiwa US?
      Rev. Nchi fulani "Muhimu" ni UK na US tu? Mtafute Mlalahoi aje aweke mambo sawa.

    10. #127
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1379
      Likes Given
      1180

      Default Re: Kikwete: In Black And White

      Quote By Kenge (Eng)
      Dar West kabla ya 2005. Unaijua list ya washikaji zake?
      Kamanda, ni nafasi yako kwa mazuri na mabaya. Ili mradi tu yawe na ukweli au mazingira ya ukweli.

      Dare to talk openly . . . .

    11. #128
      Shadow's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2008
      Posts : 2,003
      Rep Power : 962
      Likes Received
      147
      Likes Given
      102

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Njowepo
      Unajua huwa najiuliza mwaka 1976 Graduate kujiunga jeshi wakati mpaka miaka ya 1990s graduate kwenda jeshini ilikuwa issue.

      Naona kuna kitu apo in between
      What are you trying to insinuate?
      Hasta ala victoria, siempré

      "Forever, Until Victory"

    12. #129
      mageuzi1992's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 1,856
      Rep Power : 834
      Likes Received
      107
      Likes Given
      67

      Default Re: Kikwete: In Black And White

      He is between Black and White!

    13. #130
      Sokomoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2008
      Location : Kijijini
      Posts : 1,912
      Rep Power : 951
      Likes Received
      95
      Likes Given
      25

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Superman
      Hebu tuweke vizuri, ni degree ipi aliyonayo JK
      Bachelor of Economics au
      Bachelor of Political Economy?
      Mimi nimepata kumsikia mtu mzima na asie na hiyana anasema alikuwa na JK mlimani and he was one of the best students academical tangu siku ile namheshimu kwa mambo mawili moja elimu yake na ni rais wa nchi yangu. Ametumiaje elimu yake kwa Taifa labda ndio swali linaloniumiza kichwa... na JK yeye kama yeye sio mtekelezaji wa uchaguzi hapa naona matatizo yapo kwa wasaidizi wake na labda chama chake I am sorry kama nitakuwa nimetumia maneno yasiyofaa.

      Kwa maswala yake binafsi kila mmoja wetu ana hulka yake. Hulka ni tabia isiyobadilishika kuna watu ukiwaona kama wanalia... hata awakiwa na furaha..kuna wengine kama wanacheka kumbe wanahuzuni. Kuna wengine wachamungu lakini wafiraji/wasagaji kuna wanaoonyesha wazi kuwa watu watotoz/wanaume kunawanaoficha kwa siri kubwa lakini mwisho wa siku ukichukua idadi ymathalani ya wanaojionyesha wameshatembea na totoz ngapi na wale wanaofanya siri unaweza kupata presha wa siri ikawa mara kumi ya wadhahiri.

      Na ushauri mdogo tu msipende maneno ya kusikikia sikia mara nyingi hukuzwa kuliko yanavyotakiwa kuwa.
      I'd rather die standing than live kneeling (Che guavara)

    14. #131
      Jafar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2006
      Location : Msoga, Chalinze
      Posts : 1,249
      Rep Power : 895
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete: In Black And White

      Yaani makala hii inaonyesha na kutoa majibu kuwa hafai kuendelea kuwa Raisi - kitaalam tunasema "he has reached a plateau and nothing new will come out of him"
      " ... wao wana pesa, sisi tuna Mungu ... " (Godbless Lema, MB)

    15. #132
      Mfumwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2008
      Posts : 1,470
      Rep Power : 841
      Likes Received
      14
      Likes Given
      1

      Default Re: Kikwete: In Black And White

      Kikwete ana watoto nane kama ifuatavyo:-

      Mke wake wa kwanza Marehemu, Mama Aziza Sabuni alikuwa na watoto wawili, Ridhiwani na Salama.

      Mke wake wa pili, Mama Salma (ambaye alimuoa baada ya mke wa kwanza kufariki) ana watoto Miraji, Ally, Khalfan, Mwanaisha na Rashid ‘Chodo’.

      Mtoto wa nane ni wa kuasili, alimchukua akiwa mdogo wakati huo pia akiwa Rais na kumfanya ni mwanae, ni mtoto yatima.

    16. #133
      Mfumwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2008
      Posts : 1,470
      Rep Power : 841
      Likes Received
      14
      Likes Given
      1

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Bongolander
      Yote haya si kweli UDOM ni MKAPA
      BRT ni awamu ya tatu
      Daraja la Kigamboni awamu ya tatu
      MPASUKO WA ZANZIBAR wameuziba wenyewe, kwa kuwa wanaogopa moto wa CUF
      CCM haina demokrasia ya kweli, Muulize Mangula, Bashe, na wengine wengi,
      Sheria ya madini bado iko ovyo
      Unajua ni kwanini wanawake wengi wameongezwa kwenye nafasi za uongozi? kweli wana uwezo wa kuongozwa, mbona wenye uwezo wa kuongoza wako pembeni?
      Mkuu mbona TAKUKURU iko ovyo na wote tunajua, inaweza kwenda kumkamata RA, EL au Chenge?
      Uhuru wa habari wa magazeti ya shigongo si uhuru, au wa FM stations si uhuru


      Mkuu JF si ya watoto tunaangalia nchi yetu inavyokwenda.
      Bongolander, unapoufanya ukweli kuwa uwongo kwa kulazimisha, ni jamii ndio inakuhukumu kwa uwongo wako. Huwezi kudanganya watu wote kwa wakati wote. Chuo Kikuu cha Dodoma kimeanzishwa na JK, na ilikuwa haipo katika Ilani ya Uchaguzi wa CCM. Lakini alitoa ahadi, pindi akiwa Rais ataanzisha Chuo Kikuu cha Dodoma kwa kuanzia na majengo ya Chimwaga. Hivyo hili lilikuwa ni wazo la JK alilitangaza, na pia kulitimiza.

      Sasa kusema UDOM ilianzishwa wakati wa Mkapa ni UONGO uliokubuhu, na hauna faida yoyote manake kumbukumbu zipo, kudanganya hakusaidii chochote manake wewe unayedanganya ndio unajiweka katika ujinga uliokubuhu.

    17. #134
      Mfumwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2008
      Posts : 1,470
      Rep Power : 841
      Likes Received
      14
      Likes Given
      1

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Superman
      Mkuu, hii ya Malima unaweza kutupatia data zaidi?
      Kikwete aliunda tume, na tume ilipomaliza kazi yake Kikwete aliwafukuza kazi wale walioonekana wana makosa katika hiyo tume. Tume pia ilimuona Marehemu Kighoma Malima kuwa ana kosa. Kikwete akasema kuwa amewachukulia sheria wale walio ndani ya uwezo wake, lakini kuhusu Malima hana uwezo naye na anamwachia Rais.

    18. #135
      Bongolander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Location : Tandale
      Posts : 4,034
      Rep Power : 1417
      Likes Received
      610
      Likes Given
      44

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Mfumwa
      Bongolander, unapoufanya ukweli kuwa uwongo kwa kulazimisha, ni jamii ndio inakuhukumu kwa uwongo wako. Huwezi kudanganya watu wote kwa wakati wote. Chuo Kikuu cha Dodoma kimeanzishwa na JK, na ilikuwa haipo katika Ilani ya Uchaguzi wa CCM. Lakini alitoa ahadi, pindi akiwa Rais ataanzisha Chuo Kikuu cha Dodoma kwa kuanzia na majengo ya Chimwaga. Hivyo hili lilikuwa ni wazo la JK alilitangaza, na pia kulitimiza.

      Sasa kusema UDOM ilianzishwa wakati wa Mkapa ni UONGO uliokubuhu, na hauna faida yoyote manake kumbukumbu zipo, kudanganya hakusaidii chochote manake wewe unayedanganya ndio unajiweka katika ujinga uliokubuhu.
      Nakupata mkuu. Inawezekana kuna tatizo la kuelewa au sijaeleza kwa undani, au sifahamu ukweli. Ninachofahamu ni kuwa architects wa mpango wote wa kujenga chuo Dodoma ni awamu ya tatu, si awamu ya nne. Awamu ya nne walitekeleza tu yaliyopangwa na awamu ya tatu.

      Kuna baadhi ya wenzetu wanaona kufunguliwa chuo na awamu ya nne maana yake wao ndio wamejenga chuo. Kama lilikuwa ni wazo la JK hakuna ubaya nadhani kwa hilo anastahili sifa, lakini hayo mengine hamna kitu.

    19. #136
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1379
      Likes Given
      1180

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Mfumwa
      Kikwete aliunda tume, na tume ilipomaliza kazi yake Kikwete aliwafukuza kazi wale walioonekana wana makosa katika hiyo tume. Tume pia ilimuona Marehemu Kighoma Malima kuwa ana kosa. Kikwete akasema kuwa amewachukulia sheria wale walio ndani ya uwezo wake, lakini kuhusu Malima hana uwezo naye na anamwachia Rais.
      This is very interesting . . . aliwachukulie hatua walkiokuwa ndani ya uwezo wake. Nje ya hapo alimwachia Rais . . . .

      Sasa hivi anao uwezo kama Rais, Kuna maoni gani kuhusiana na tume mbalimbali zilizoundwa na zikawatia hatiani watu au kuwatuhumu lakini hatua hazijachukuliwa? (Of course kuna few cases kama za Bilali, n.k.)

    20. #137
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1379
      Likes Given
      1180

      Default Re: Kikwete: In Black And White

      Quote By Mfumwa
      Kikwete ana watoto nane kama ifuatavyo:-

      Mke wake wa kwanza Marehemu, Mama Aziza Sabuni alikuwa na watoto wawili, Ridhiwani na Salama.

      Mke wake wa pili, Mama Salma (ambaye alimuoa baada ya mke wa kwanza kufariki) ana watoto Miraji, Ally, Khalfan, Mwanaisha na Rashid ‘Chodo’.

      Mtoto wa nane ni wa kuasili, alimchukua akiwa mdogo wakati huo pia akiwa Rais na kumfanya ni mwanae, ni mtoto yatima.
      Mkuu asante sana. Wengi sasa umetufumbua macho.

      Je, kuna chochote unachofahamu juu ya watoto wanaodaiwa JK alizaa na wanawake wengine kama baadhi ya post zinavyojieleza?

    21. #138
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1379
      Likes Given
      1180

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Mfumwa
      Bongolander, unapoufanya ukweli kuwa uwongo kwa kulazimisha, ni jamii ndio inakuhukumu kwa uwongo wako. Huwezi kudanganya watu wote kwa wakati wote. Chuo Kikuu cha Dodoma kimeanzishwa na JK, na ilikuwa haipo katika Ilani ya Uchaguzi wa CCM. Lakini alitoa ahadi, pindi akiwa Rais ataanzisha Chuo Kikuu cha Dodoma kwa kuanzia na majengo ya Chimwaga. Hivyo hili lilikuwa ni wazo la JK alilitangaza, na pia kulitimiza.

      Sasa kusema UDOM ilianzishwa wakati wa Mkapa ni UONGO uliokubuhu, na hauna faida yoyote manake kumbukumbu zipo, kudanganya hakusaidii chochote manake wewe unayedanganya ndio unajiweka katika ujinga uliokubuhu.
      Thanks. Hii ndiyo Midahalo tunayotaka pia. In Black & White!

    22. #139
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1379
      Likes Given
      1180

      Default Re: KIKWETE: In Black And White

      Quote By Bongolander
      Nakupata mkuu. Inawezekana kuna tatizo la kuelewa au sijaeleza kwa undani, au sifahamu ukweli. Ninachofahamu ni kuwa architects wa mpango wote wa kujenga chuo Dodoma ni awamu ya tatu, si awamu ya nne. Awamu ya nne walitekeleza tu yaliyopangwa na awamu ya tatu. Kuna baadhi ya wenzetu wanaona kufunguliwa chuo na awamu ya nne maana yake wao ndio wamejenga chuo. Kama lilikuwa ni wazo la JK hakuna ubaya nadhani kwa hilo anastahili sifa, lakini hayo mengine hamna kitu.
      BL umenikumbusha hadithi la Biblia za Hekalu na Daudi / Suleimani. Aliyechora mwingine na kujenga mengine.

      Sambamba na hilo, bado Uwanja wa Taifa both BM na JK walihusika.

    23. #140
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1379
      Likes Given
      1180

      Default Re: Kikwete: In Black And White

      Quote By Jafar
      Yaani makala hii inaonyesha na kutoa majibu kuwa hafai kuendelea kuwa Raisi - kitaalam tunasema "he has reached a plateau and nothing new will come out of him"
      Kwa hoja zipi hasa za msingi? In black and white please.

    Page 7 of 11 FirstFirst ... 56789 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Black and White
      By Humphnicky in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 4
      Last Post: 17th June 2011, 15:50
    2. Tetesi: Black and White
      By SMU in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 8
      Last Post: 1st August 2009, 14:26

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...