| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||
|
||||
|
Views: 2164
|
||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Mkuu,
Hawa vijana inaweza kuwa njaa zaidi ya mapenzi yao. Inatakiwa vyama vya siasa visiwatumie wanafunzi kwenye mapambano yao. Wanafunzi wanajua CCM wameshika mpini na wao makali, kweli hapo kuna cha mapenzi tena? Nafikiri ni makosa kwa JK na yeye kuingia kwenye politics za namna hiyo. |
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
je wanawakilisha mawazo ya wanafunzi au wamechukuliwa kama propaganda?
hawa ni makada wa chama tu,nijuavyo mie..Mzumbe na sua ni tawi kubwa la watu wa sisiemu.. |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Hao nao njaa.Ila CCM wanafanya uharamia kuwawekea wanafunzi maisha magumu kwanza halafu baadae waone njia pekee ya kujiokoa ni kujiunga na CCM kupata mlo.Damn and shame! Hao wasomi nao uchwara yaani hawajaona nchi inavyooza kwa uongozi huu mbovu wa Vasco Da'Gama na hicho chama kokoro?
Ndio maana hata huyo mwakilishi wa wananchi amesisitiza kuhusu maswala yaq mkopo.CCM haina nchi inatakiwa iongoze kwa kufuata kanuni na sheria.Sasa Kuikwete asije akatumia suala Mikopo kwa ajili ya Maslahi ya CCm na kuwahujumu wanafunzi.Hata bila kujiunga na CCM ni wajibu wao kutoa mikopo kwa wanafunzi wote aidha wako upinzani ama laa. Hii inatia kinyaa,Hao wanafunzi nao wanashindwa kufikiria yaani wasomi ambao tulitegemea wataichallenge govt kuhusu Ufisadi,utawala usio na madili ya kazi,rushwa nk ndio wamekua vinara wa kujikomba. Najua ni haki ya kila mtu kuingia katika chama chochote cha siasa but sio kama hawa walivyofanya.WAMELISALITI TAIFA LETU.Damn! |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Wasomi kwa sasa hawana msaada wowote katika kudai haki za wanyonge msiwategemee!!
Angalieni mitaala yao huko vyuoni ni siasa ya kulinda mafisadi nina uhakika wanayoyasema si kweli bali ni kujikomba tu ndoto zao ni siku moja wawe nao mafisadi kama hao wanowapomgeza nchi hii iko mbioni kukombolewa na wanyonge wenyewe wala si hao wanaojiita wasomi Mungu akise ndiyo hakuna kiumbe chini ya mbingu kitasema hapana Mungu ibariki Tanzania. |
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Kama ni kweli alishindwaje kuwasaidia wanafunzi waliokuwa Ukraine tayari na walianza kusoma baada ya mwaka moja akawatelekeza. AIBU HIYO JK, WEWE ULISOMESHWA KWA PESA YA WALIPA KODI.
__________________
Dua la kuku halimpati mwewe |
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
yale yale maigizo wanafunzi 20 kuwakilisha wenzao 1000!!!
-kwani pesa za mikopo ni za CCM ama ni kodi zetu? ama ndo yale yale ya Amani na utulivu kuwa ni sera ya CCM Tumechoka mbadala lazima miaka zaidi ya 40 umasikini tuuuu kisa UFISADI unao endekezwa na CCM, hata muigize kwamba wamejiunga wasomi laki saba na nusu .. kita eleweka tu! |
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Thats too cheap!!! Yale yale alofanya Mathayo kwa wanafunzi wa SUA 1998..Wanafunzi hao wanatumika bila wao kujua. Tatizo ninaloliona hapo ni mtu kushindwa kujua haki zake za msingi..hata kama huna chama ni wajibu wa serikali kusomesha na kutoa mikopo kwa wanafunzi wanafikia viwango. Sasa jamani JK ameamua kujizolea sifa za ubwete kwa hao wanafunzi 20 wakiwakilisha wenzao 1000 !!! Kali kweli kweli...
Jamani mwenye CV ya Makamba naomba anirushie huyo mzee sijui anaujuzi gani zaidi ya kuwa mfundisha siasa jeshini na kubebwa bebwa mpaka sasa... mzee anaweka usanii hata kwenye mambo ya msingi...I love you Makamba teh teh teh
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous
E-mail: masanilo@jamiiforums.com |
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Hekaya zilezile za Abunuwasi
|
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Wangekuwa wamehamia upinzani hapo ingekuwa news au?
Anyway, wanafunzi wa vyuo vikuu huwa sielewi kabisa mambo yao. Walivaa kijani na njano Diamond baada ya kufatwa na magari kutoka vyuoni, wakachukua kadi za ccm kibao, wiki iliyofuata walewale wakaandamana kwenda jangwani na kashfa kibao dhidi ya serikali kwa kushindwa kutekeleza habari yao ya mikopo. Leo tena wanasifia na hapohapo anapouliza mtu asiyeridhishwa na mwenendo wa mikopo anashangiliwa, hiyo inatoa picha gani? Na wao wameamua kuleta ushkaji na serikali ya kishkaji?
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 05:09 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||