Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Idara ya Propaganda

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,833
      Rep Power : 3270
      Likes Received
      1309
      Likes Given
      914

      Default Idara ya Propaganda

      Propaganda:


      Katika mazingira ya kisasa, propaganda ni njia inayotumiwa na vyama kujipatia wafuasi kwa kuwaambia lolote linaweza kuwavuta hata kama ni uwongo.

      Je Tanzania tunahitaji idara za propaganda? Ni Vyama vingapi vya siasa vina hizo idara za propaganda??
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Kafara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2007
      Posts : 1,051
      Rep Power : 837
      Likes Received
      24
      Likes Given
      12

      Default Re: Idara ya Propaganda

      mzee mbona chama tawala kinao makada ambao
      wamesomea hii kazi. nina hakika na wale wa enzi ya vita baridi
      japokuwa sina hakika kama wanao wataalamu wengine wenye
      ujuzi wa propaganda za dunia ya sasa hususan kwa mazingara ya
      tanzania ya sasa.
      Huwezi kuacha kula samaki eti kwa sababu umpendaye alizama ziwani...

    4. #3
      Mkulima mimi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : Down the earth near heaven
      Posts : 212
      Rep Power : 522
      Likes Received
      13
      Likes Given
      16

      Default Re: Idara ya Propaganda

      Quote By Kafara
      mzee mbona chama tawala kinao makada ambao
      wamesomea hii kazi.
      unamaanisha Tambwe Hiza amesomea au John chiligati???
      I dont blame any one for my failure and i will never compliment anyone for my succsess

    5. #4
      Bongolander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Location : Tandale
      Posts : 4,032
      Rep Power : 1416
      Likes Received
      609
      Likes Given
      44

      Default Re: Idara ya Propaganda

      Quote By Mkulima mimi
      unamaanisha Tambwe Hiza amesomea au John chiligati???
      Siku hizi kuwadanganya watu si jambo rahisi. Tafsiri ya propaganda maana yake ni ku-manipulate public opinion kwa lengo la kuwafanya watu wa kubaliane na ajenda yako. Sasa hivi watanzania wengi hawadanganyiki kirahisi kama zamani. Chief propagandist wa CCM alikuwa Kingunge, his last try ended up in misery. Aliongopea watu kwa makusudi matokeo yake ameonekana hana maana tena.

    6. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Kuundwa kwa idara mpya ndani ya idara ya afya
      By Ng'wanambula in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 4
      Last Post: 13th October 2011, 19:14
    2. Propaganda
      By Dec in forum JF Chit-Chat
      Replies: 0
      Last Post: 11th September 2011, 20:35
    3. Je, CUF ni idara ya CCM?
      By Papa D in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 11
      Last Post: 18th November 2010, 10:42
    4. Ccm Na Propaganda
      By IsayaMwita in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 9
      Last Post: 28th April 2008, 17:34

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...