Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 39
    1. #1
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,762
      Rep Power : 1220
      Likes Received
      429
      Likes Given
      804

      Unhappy Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

      Ndugu wanaJF

      Katika kuelekea uchaguzi october 2010 nimeona hili niliweke wazi, Baba wetu wa taifa ameanza kuchafuliwa katika media mbalimbali ikiwemo jf na TAHASISI YAKE CHINI YA BUTIKU INAANDAMWA NA CCM KILA KUKICHA, inawezakana alifanya mabaya lakini kumchafua mtu ambaye ameishachukuliwa na Mungu sio haki.

      Hii inaweza kuwa mbinu ya JK na sirikali yake kujitakatisha kuelekea uchaguzi.

      JK baba wa Taifa kafanya mengi muache apumzike otherwise Mizimu yake itakuibukia siku za mbeleni

      Ni hayo tu

      WanaJF mnasemaje??
      Last edited by King of Kings; 1st June 2010 at 08:13.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,614
      Rep Power : 2890
      Likes Received
      3831
      Likes Given
      12211

      Default Re: SIRIKALI YA JK INATAKa KUMCHAFUA NYERERE??

      Alijaribu Che Nkapa kufuta "legacy ya Nyerere' hakufanikiwa ije iwe huyu wa leo?

    4. #3
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: SIRIKALI YA JK INATAKa KUMCHAFUA NYERERE??

      ungetoa hiyo article inayo mchafua ili tuone na kupima unacho kisema. hata ikiwa heading tu za hizo thread., kama zipo nyingi.

    5. #4
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,618
      Rep Power : 5715
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      2464

      Default Re: SIRIKALI YA JK INATAKa KUMCHAFUA NYERERE??

      Nadhani Baba wa Taifa alikuwa Nyerere tu. Wengine waliofuatia ni maraisi.
      Semper fi!

    6. #5
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1921
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: SIRIKALI YA JK INATAKa KUMCHAFUA NYERERE??

      Kwani anachafuliwa au anajadiliwa kama wanasiasa wengine duniani ambao ni marehemu? Who is Nyerere after all?

      Kosa kubwa alilolifanya - kwa maoni yangu -- ni kutuharibia dhana nzima ya demokrasia ya vyama vingi - pale aliposapoti CCM na kuifanyia kampeni badala ya kukaa neutral na kuitikia kilio cha kuwa Baba wa Taifa halisi.

      Angekaa neutral sasa hivi tungekuwa na uwiano wa vyama -- yaani upande wa serikali na upinzani unaoleta maana -- kama vile ilivyo huko Kenya na Zambia, kwa mfano.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person


  • #6
    Zak Malang's Avatarstyle="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="images/icons/icon1.png" alt="Default" /> Re: SIRIKALI YA JK INATAKa KUMCHAFUA NYERERE??
    Kwani anachafuliwa au anajadiliwa kama wanasiasa wengine duniani ambao ni marehemu? Who is Nyerere after all?

    Kosa kubwa alilolifanya - kwa maoni yangu -- ni kutuharibia dhana nzima ya demokrasia ya vyama vingi - pale aliposapoti CCM na kuifanyia kampeni badala ya kukaa neutral na kuitikia kilio cha kuwa Baba wa Taifa halisi.

    Angekaa neutral sasa hivi tungekuwa na uwiano wa vyama -- yaani upande wa serikali na upinzani unaoleta maana -- kama vile ilivyo huko Kenya na Zambia, kwa mfano.
    Alisapoti CCm kwa sababu alimuogopa Mrema ambaye kama angeshinda alihofu kuwa angemshughulikia kwa madhambi yake. Naamini kabisa sababu ni hiyo tu -- na siyo kujenga demokrasia nzuri nchini mwake. Naamini kabisa Mrema ange-move against him!
    Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

  • #7
    Abdulhalim's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 20th July 2007
    Location : Taipei 101
    Posts : 15,740
    Rep Power : 3770
    Likes Received
    1200
    Likes Given
    559

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Ulieanzisha thread nadhani ulikuwa na mawazo kama yangu..

    I am sorry lakini niseme sixth sense yangu inaniambieje..


    This is how I see it..

    Kuna hawa ma-kampenist Malaria Sugu et al, kuna A' Nuur, kuna mitandao yenye muelekeo ya ki- al Qaeda kama Mzalendo etc , and then unaeza kuona juhudi za hizi institutions na individuals zinavoipigia CCM chapuo..

    For starters hii sio coincidence..GO and Figure.
    Moola's the motive

  • #8
    nguvumali's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 3rd September 2009
    Location : nimerudi Mwanza
    Posts : 3,691
    Rep Power : 1232
    Likes Received
    536
    Likes Given
    146

    Default Re: SIRIKALI YA JK INATAKa KUMCHAFUA NYERERE??

    Quote By Zak Malang
    Alisapoti CCm kwa sababu alimuogopa Mrema ambaye kama angeshinda alihofu kuwa angemshughulikia kwa madhambi yake. Naamini kabisa sababu ni hiyo tu -- na siyo kujenga demokrasia nzuri nchini mwake. Naamini kabisa Mrema ange-move against him!
    huyu Mgonjwa wa akili huyu, alimtisha Nyerere ? u cant be serious.
    Nyerere alipima ubongo wa jamaa na kuona kua ni mwehu kidogo, kuna kamtindio kaubongo kidogo, sasa alichohofia ni ikiwa wendawazimu wake ungelipukia akiwa Ikulu.
    The most potent weapon of the oppressor is the mind of the oppressed

  • #9
    Junius's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 11th March 2009
    Posts : 3,117
    Rep Power : 1142
    Likes Received
    47
    Likes Given
    12

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    basi kama kila aliemaliza uharibifu wake aachwe apumzike kwa amani ya nini kupiga makelele ya kutaka akina Mkapa, Lowassa n.k washitakiwe kwa makosa waliyofanya si kila siku wanasemw JF humu wakati wameshajipumzikia, wacha watu wamjadili Nyerere on his other side ambayo inafichwa makusudi, calling people names can't stop them express their views...never!
    HAKI SAWA KWA WOTE

    If you don't up set at least one person, you are not doing it right (whatever "it" might be).

    [email protected]

  • #10
    Sinkala's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 22nd December 2008
    Location : Your office's next door
    Posts : 1,346
    Rep Power : 800
    Likes Received
    161
    Likes Given
    45

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Quote By Abdulhalim
    ...Kuna hawa ma-kampenist Malaria Sugu et al, kuna A' Nuur, kuna mitandao yenye muelekeo ya ki- al Qaeda kama Mzalendo etc , and then unaeza kuona juhudi za hizi institutions na individuals zinavoipigia CCM chapuo..
    .
    Daah, wakati mwingine mawazo huwa yanafanana ila tu mmoja anaanza kuyaweka hadharani! I was thinking the same!
    Annuntio vobis gaudium magnum; habemus Papam: Eminentissimum ac Reverendissimum Dominum, Dominum Georgium Marium Sanctae Romanae Ecclesiae Cardinalem Bergoglio qui sibi nomen imposuit Franciscum

  • #11
    Abdulhalim's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 20th July 2007
    Location : Taipei 101
    Posts : 15,740
    Rep Power : 3770
    Likes Received
    1200
    Likes Given
    559

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Quote By Sinkala
    Daah, wakati mwingine mawazo huwa yanafanana ila tu mmoja anaanza kuyaweka hadharani! I was thinking the same!
    Khe khe khe .. Ufisadi mtamu watu hawataki kubanduka kwene nyonyo..
    Moola's the motive

  • #12
    Mzee Mwanakijiji's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 10th March 2006
    Location : Kijijini
    Posts : 29,498
    Rep Power : 46709
    Likes Received
    16345
    Likes Given
    8416

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Mimi nafurahi wanavyoandika kwani hatimaye historia yetu itaanza kuandikwa kwa ukweli kuliko hii ambayo watu wananong'onezana mafichioni. Of course, toka kaburini bado Nyerere ni tishio kwao kwani wananchi wakiamka na kuanza kumkumbatia Nyerere na Falsafa yake ya "maendeleo ni maendeleo ya watu siyo vitu" na mambo yale ya usawa na haki hawa watu hawataweza kusimama. Lakini vile vile ijulikane hakuna chama chochote cha siasa nchini leo hii ambacho kimetamka wazi na pasipokutetema kuwa kinamuunga mkono Nyerere isipokuwa CCJ na kuwa kitarudisha baadhi ya mambo ya misingi ya taifa letu.

    Hili linawatisha. Sitoshangaa muda si mrefu viongozi wa juu wa CCM wataaanza kumpuuzia Nyerere hadharani.

    Tayari wameendelea kuinyanyasa taasisi ya Mwalimu Nyerere na kuinyima kibali cha kujenga ghorofa sita pale na kuna uwezekano kabisa wanataka kuona wale waasisi waliokuwepo pale wote wanatoka ili waweze kupandikiza watu wao. NI mojawapo ya migogoro ambayo inaendelea chini kwa chini.
    [email protected]
    Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

  • #13
    jmushi1's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 2nd November 2007
    Posts : 14,376
    Rep Power : 16492
    Likes Received
    4299
    Likes Given
    5491

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Lets wait and see!
    "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

  • #14
    Buchanan's Avatar
    Super Moderator Array
    Join Date : 19th May 2009
    Location : Somewhere!
    Posts : 9,251
    Rep Power : 8971
    Likes Received
    801
    Likes Given
    340

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Nyerere ni vigumu sana kumwondoa kwenye mioyo ya watu, he was really a man of people! Vilevile kupitia utunzi wake wa vitabu, wanafunzi wanasoma na kupenda machapisho yake! Hotuba zake hazichuji, hazichoshi kusikiliza! Waliosoma na kupata matibabu "enzi za Mwalimu" walipewa huduma bure! Alijenga viwanda: Nguo, Zana za Kilimo (UFI), Mbolea, Saruji, Tanganyika Pakers, Mabwawa ya kufua umeme, just to mention few! Alipambana na rushwa kwa vitendo! Sasa hivi, esp wakati wa JK, kama huna vijisenti, sahau fomu ya kugombea uongozi ndugu, utaaibika! Atakayesahau legacy ya Mwalimu au kuipuuza ana lake jambo, aogopwe kama ukoma!
    "Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).

  • #15
    Mzee Mwanakijiji's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 10th March 2006
    Location : Kijijini
    Posts : 29,498
    Rep Power : 46709
    Likes Received
    16345
    Likes Given
    8416

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Hivi ni mtumishi gani au ofisa gani wa ngazi zajuu anayeheshimika kimataifa na kitaifa ambaye ni zao la uongozi wa Mwinyi, Mkapa au Kikwete?
    [email protected]
    Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

  • #16
    Mpeni sifa Yesu's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 23rd May 2010
    Location : Dar es Salaam
    Posts : 472
    Rep Power : 551
    Likes Received
    18
    Likes Given
    1

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    sio kumchafua nyerere tu, kazi yao ni kuwapunguza wale wanaofanya kazi kwa bidii na kupata credit kwa wananchi kama kina magufuli etc....anataka sifa zote yeye ndo achukue, hadi mazuri ya mkapa atayafunika wakati yeye hajafanya chochote zaidi ya kutembelea nchi kadhaa duniani kukinga bakuli bila mafanikio.
    Hakuna lisilowezekana kwa Mungu, anaponya, anaokoa. kwa ushauri na maombi, tuwasiliane ([email protected]). karibu kwa Yesu.

  • #17
    Sonara's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 2nd October 2008
    Posts : 623
    Rep Power : 666
    Likes Received
    23
    Likes Given
    1

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Quote By King of Kings
    Ndugu wanaJF

    Katika kuelekea uchaguzi october 2010 nimeona hili niliweke wazi, Baba wetu wa taifa ameanza kuchafuliwa katika media mbalimbali ikiwemo jf, inawezakana alifanya mabaya lakini kumchafua mtu ambaye ameishachukuliwa na Mungu sio haki.

    Hii inaweza kuwa mbinu ya JK na sirikali yake kujitakatisha kuelekea uchaguzi.

    JK baba wa Taifa kafanya mengi muache apumzike otherwise Mizimu yake itakuibukia siku za mbeleni

    Ni hayo tu

    WanaJF mnasemaje??
    Hivi nyinyi lini mtakuwa na shukurani kwa huyu Jk ?amekufanyieni mengi katika kipindi chake cha miaka mitano ya mwanzo leo nchi inatambulika lika pembe wawekezaji wanapiga hodi kila siku maisha ya Binadamu wa nchi hii hajawahi kuwa maisha ya kuvutia kama yalivyo katika kipindi chake amekupeni fursa za kwenda mahali popote pale ikiwa unauwezo amejenga miji leo hii ndio mnayojivunia kuwa Tz tambarare wacheni Kumsakama Kiongozi kiasi hicho kuweni na shukurani ,hivi leo kila mtu amekuwa mrembo wakati wa amu hiyo mnaitaja ya Kambarage tulikuwa tunakogea masabuni ya kuosheya punda tuklivaa sare kama watioto wa shule, hakukuwepo na ruhusa ya kufanya lolote lile ,mpeni sifa nzuri kwa mazuri aliyoyafanya Jk na sio katika hali hii manyo muongelea ( nakumbuka mwali aliwahi kusema kumwambia marehemu karume kuwa hataki watu wake wawe na Tv kwani watafuta mambo ya nje )leo angalie watu wake wnayafanya yale ambayo hakutaka wayafanye kuiga maiha ya west.,lakini hamlitaki kuliongea hilo ni chungu kiasi kama shubiri.

  • #18
    omarilyas's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th January 2007
    Location : Morogoro
    Posts : 2,494
    Rep Power : 1132
    Likes Received
    67
    Likes Given
    4

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Quote By Mpeni sifa Yesu
    sio kumchafua nyerere tu, kazi yao ni kuwapunguza wale wanaofanya kazi kwa bidii na kupata credit kwa wananchi kama kina magufuli etc....anataka sifa zote yeye ndo achukue, hadi mazuri ya mkapa atayafunika wakati yeye hajafanya chochote zaidi ya kutembelea nchi kadhaa duniani kukinga bakuli bila mafanikio.
    Una uhakika kinachokuuma hapa ni SIFA BORA ZA NYERERE ama kwako wewe unadhani kinachoendelea ni UDINI wa hao wa upande mwengine ambao ukweli yawezekana hawana tofauti na udini wa upande wako?

    Ukweli ni kuwa kuna juhudi za makusudi za kuchafua na kuzika kabisa legacy ya Nyerere lakini sio wote wafanyao hivyo wanasukumwa na hulka zao za udini na sio JK wala serikali ya JK. Suala hili lipo juu zaidi ya watu ama serikali ya fulani. Hili ni suala la kiitikadi ambapo wale wapiga chepuo wakuu wa kila wakiitacho MFUMO WA SOKO HURIA wakikwepa kuita ni UBEPARI wanaona kila kitu kinachohusu UNYERERE ni kama unaa ama kizingiti kwa maslahi ya ajenda zao. Pia vita hii inaendeshwa na hata wakuu wangine wa kidunia ambao wengine ni wakristu wazuri tu. Hivyo ni busara kuangalia suala hili kwa umakini na upana wake na sio hizi emotions zilizogubikwa na mwashawasha wa udini uanozidi kujikita katika fikira zetu za kisiasa na kijamii.

    Omarilyas
    Pasipo na IMANI kuna Uovu, Pasipo na MISINGI kuna Ufedhuli, Pasipo na ITIKADI kuna Ujanjaujanja...Yote haya ni mazalia ya UFISADI

  • BAK
    #19
    BAK's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 11th February 2007
    Location : Mfaranyaki
    Posts : 26,569
    Rep Power : 44958
    Likes Received
    8290
    Likes Given
    8280

    Default Re: SIRIKALI YA JK INATAKa KUMCHAFUA NYERERE??

    Quote By Jasusi
    Alijaribu Che Nkapa kufuta "legacy ya Nyerere' hakufanikiwa ije iwe huyu wa leo?
    Hawawezi kumchafua Mwalimu bwana! Maana history siku zote husema kweli na bado kuna Watanzania wengi ambao wana kumbukumbu nzuri sana za Mwalimu kama kiongozi, hakuwa perfect lakini alikuwa ni kiongozi mkweli, hakuwa na makuu wala tamaa na uroho wa utajiri wa haraka haraka kama hawa wa leo, aliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wake wote na siku zote maamuzi yake yalijali zaidi ni jinsi gani ambavyo Watanzania wangeathirika na maamuzi hayo. Hivyo kamwe hawataweza kumchafua Mwalimu.

    Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

  • #20
    Kituko's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 12th January 2009
    Posts : 3,706
    Rep Power : 1286
    Likes Received
    489
    Likes Given
    173

    Default Re: Serikali ya JK inataka Kumchafua Nyerere?

    Quote By Mzee Mwanakijiji
    Hivi ni mtumishi gani au ofisa gani wa ngazi zajuu anayeheshimika kimataifa na kitaifa ambaye ni zao la uongozi wa Mwinyi, Mkapa au Kikwete?
    AshaRose Migiro, na Tibahijuka

  • Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Mwalimu Nyerere Foundation ni Taasisi ya Kuikosoa serikali?
      By BITTY NGUZO in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 3
      Last Post: 18th November 2011, 09:05
    2. Hoja za mwalimu nyerere kupinga serikali tatu
      By Gamba la Nyoka in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 6th March 2011, 09:06
    3. Serikali ya nyerere si ya kuigwa ktk kupambana na ufisadi!
      By NasDaz in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 3
      Last Post: 16th October 2010, 11:43
    4. Hivi Hii Serikali Ya Jk Na Mwenzake El Inataka Kutupeleka Wapi Tena!!!!!
      By Poorman in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 20
      Last Post: 11th January 2007, 10:58

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...