Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 34
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16346
      Likes Given
      8417

      Default Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      PENDEKEZO LA 1:TANGA, MAFIA, BAGAMOYO NA PANGANI ZIWE SEHEMU YA ZANZIBAR!

      Na. M. M. Mwanakijiji

      Hili ni pendekezo la kwanza kati ya mapendekezo kadhaa ambayo nitayatoa katika kusaidia kuleta fikra mpya katika mijadala mbalimbali ya kitaifa ambayo lengo lake ni kutupa uwanja mkubwa zaidi wa kuweza kufanyia maamuzi. Miaka 46 imepita tangu Muungano pekee wa nchi mbili za Kiafrika uasisiwe na hivyo kujenga katika bara la Afrika nchi pekee ambayo mipaka yake haikurithishwa na wakoloni! Tanzania tunayoishi leo hii ni tunda na zao la Watanzania wenyewe.

      Pamoja na matatizo yote yaliyopo Muungano wetu unapaswa kutetewa, kulindwa na kudumishwa si kwa sababu ya woga, si kwa sababu hauwezi kuvunjika, na si kwa sababu hautakuwa na matatizo huko mbeleni. Tunapaswa kuulinda, kuudumisha na kuuboresha kwa sababu moja tunaupenda kwani ndio nchi pekee tuliyoijenga kwa ajili yetu sisi na watoto wetu.

      Ninaamini kabisa kuwa siku watawala wetu watatoka kwenye ufinyu wa fikra wanaouonesha siku kwa siku wataweza hatimaye kuja na mapendekezo ya kuuboresha Muungano wetu na kuufanya uwe kwa faida ya kila Mtanzania na kuondoa manung’uniko yasiyo ya lazima na ambayo utatuzi wake unahitaji dakika chache tu za fikara. Pendekezo hili, halijawahi kutolewa na mtawala yeyote, hawawezi kulitoa kwani hawana uwezo wa kifalsafa kulitetea! Hawawezi kulikumbatia kwa uharaka kwa sababu wamefungwa na siasa zao za utengano hadi wanatia aibu. Hili hata hivyo, haliwezi kuwazuia Watanzania wengine kutoa mawazo yao na kuyasogeza mbele kama pendekezo ili kila Mtanzania ajue kuwa hatuhitaji wazungu watuletee mapendekezo yao ili tuyakumbatie kama yameletwa na wajumbe wa Mungu! Hili ni pendekezo la kuthubutu, la nguvu, la mkakati, la kisiasa, la kiutu, na la kiumoja kuliko mapendekezo mengine yote yaliyowahi kutolewa kuhusu kudumisha Muungano au kuondoa “kero za Muungano”.

      READ AT YOUR OWN INTELLECTUAL PERIL!
      PENDEKEZO LA 1.doc
      Last edited by Mzee Mwanakijiji; 29th April 2010 at 20:18.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. Miaka 50

    3. #2
      Rev. Kishoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : USA
      Posts : 4,352
      Rep Power : 2558
      Likes Received
      243
      Likes Given
      185

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Tawire Mzee, ndivyo tutakavyoimarisha Muungano wetu!
      Amani Iwe Nanyi,

      Camerlengo

      Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

      "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

      'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

    4. #3
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16346
      Likes Given
      8417

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Mchungaji; kizazi kipya hakina budi kuja na mapendekezo yake yenyewe nje ya siasa za utengano! NI lazima tufikirie nje ya kijisanduku kidogo walichotuachia na kuanza kufikiria na kwenda kule ambako hakuna aliyewahi kwenda!
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    5. #4
      magee's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2009
      Posts : 110
      Rep Power : 533
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      tanga, mafia, bagamoyo na pangani ziwe sehemu ya zanzibar!

      mmh.....tunatengeneza bomu sasa......likilipuka...mzee mwanakijiji mimi simo!!!!
      kufanya hivi ni kuuvunja kwa style yake pasipo makali,hawa watu pamoja...balaaah

    6. #5
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16346
      Likes Given
      8417

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Quote By magee
      mmh.....tunatengeneza bomu sasa......likilipuka...mzee mwanakijiji mimi simo!!!!
      kufanya hivi ni kuuvunja kwa style yake pasipo makali,hawa watu pamoja...balaaah
      hebu fafanua kwanini?
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Regia Mtema's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 21st November 2009
      Posts : 2,988
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      763
      Likes Given
      397

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Mmh Tanga tena,midebeedo tupu,why not Dar and Pwani?
      Kilombero For Change(K4C)-Mfuko wa Maendeleo Kilombero

    9. #7
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Ni mawazo mazuri MMKJ. Hongera kwa kufikiria hilo maana vinginevyo tutabaki tunauzunguka mbuyu tu kila siku, wakati kuna mtu alituasa kimbembe ni kujaribu kuukumbatia.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    10. #8
      Ubungoubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th July 2008
      Posts : 2,020
      Rep Power : 956
      Likes Received
      333
      Likes Given
      33

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      PENDEKEZO LA 1:TANGA, MAFIA, BAGAMOYO NA PANGANI ZIWE SEHEMU YA ZANZIBAR!

      Na. M. M. Mwanakijiji

      Hili ni pendekezo la kwanza kati ya mapendekezo kadhaa ambayo nitayatoa katika kusaidia kuleta fikra mpya katika mijadala mbalimbali ya kitaifa ambayo lengo lake ni kutupa uwanja mkubwa zaidi wa kuweza kufanyia maamuzi. Miaka 46 imepita tangu Muungano pekee wa nchi mbili za Kiafrika uasisiwe na hivyo kujenga katika bara la Afrika nchi pekee ambayo mipaka yake haikurithishwa na wakoloni! Tanzania tunayoishi leo hii ni tunda na zao la Watanzania wenyewe.

      Pamoja na matatizo yote yaliyopo Muungano wetu unapaswa kutetewa, kulindwa na kudumishwa si kwa sababu ya woga, si kwa sababu hauwezi kuvunjika, na si kwa sababu hautakuwa na matatizo huko mbeleni. Tunapaswa kuulinda, kuudumisha na kuuboresha kwa sababu moja tunaupenda kwani ndio nchi pekee tuliyoijenga kwa ajili yetu sisi na watoto wetu.

      Ninaamini kabisa kuwa siku watawala wetu watatoka kwenye ufinyu wa fikra wanaouonesha siku kwa siku wataweza hatimaye kuja na mapendekezo ya kuuboresha Muungano wetu na kuufanya uwe kwa faida ya kila Mtanzania na kuondoa manung’uniko yasiyo ya lazima na ambayo utatuzi wake unahitaji dakika chache tu za fikara. Pendekezo hili, halijawahi kutolewa na mtawala yeyote, hawawezi kulitoa kwani hawana uwezo wa kifalsafa kulitetea! Hawawezi kulikumbatia kwa uharaka kwa sababu wamefungwa na siasa zao za utengano hadi wanatia aibu. Hili hata hivyo, haliwezi kuwazuia Watanzania wengine kutoa mawazo yao na kuyasogeza mbele kama pendekezo ili kila Mtanzania ajue kuwa hatuhitaji wazungu watuletee mapendekezo yao ili tuyakumbatie kama yameletwa na wajumbe wa Mungu! Hili ni pendekezo la kuthubutu, la nguvu, la mkakati, la kisiasa, la kiutu, na la kiumoja kuliko mapendekezo mengine yote yaliyowahi kutolewa kuhusu kudumisha Muungano au kuondoa “kero za Muungano”.

      READ AT YOUR OWN INTELLECTUAL PERIL!
      PENDEKEZO LA 1.doc
      mzee mwanakijiji naona kilimo kimekuvuruga akili sasa, unahitaji kupumzika utulize akili kwanza kabla ya kutoa mapendekezo yako.

    11. #9
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16346
      Likes Given
      8417

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Quote By Ubungoubungo
      mzee mwanakijiji naona kilimo kimekuvuruga akili sasa, unahitaji kupumzika utulize akili kwanza kabla ya kutoa mapendekezo yako.
      unatakiwa utoe sababu kwanini pendekezo hili ni baya, halina msingi, halifai au ni pendekezo la mwendawazimu.. so far hakuna ambaye anaweza kuonesha kuwa ni pendekezo baya! I dare say NONE! Kama yupo na amesoma nilichoandika na anyoshe kidole atoe sababu zake. Kama wewe unaweza thubutu tu.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    12. #10
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16346
      Likes Given
      8417

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Quote By Gender Sensitive
      Mmh Tanga tena,midebeedo tupu,why not Dar and Pwani?

      well... ni kuamua tu.. haya ni mapendekezo kama hayafai mnatakiwa kusema kwanini hayafai.. kuseema "why not dar or pwani" sijui kama kunaunga mkono haya au kunapinga..
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    13. #11
      Oxlade-Chamberlain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : dodoma
      Posts : 7,611
      Rep Power : 4420
      Likes Received
      786
      Likes Given
      751

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Vikishaungana viwe chini ya uongozi wa nani? Itakuwa vile vile tu "shamba la bwana kheri na mbuzi wa bwana kheri".
      "Nobody has enough talent to live on talent alone. Even when you have talent, a life without work goes nowhere". A. Wenger

    14. #12
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,752
      Rep Power : 6503
      Likes Received
      954
      Likes Given
      1105

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Mwanakijiji kwa Wazanzibari hili sio pendekezo geni - Ukanda wa Maili 10 katika Pwani ya Tanzania Bara ilikuwa ni sehemu ya Zanzibar!

      Swali: Hivi watu wanaoishi kwenye huo Ukanda wanajichukulia kuwa wao ni Wazanzibari - je, walikuwa wanajiona hivyo toka zamani?
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    15. #13
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,443
      Rep Power : 9877
      Likes Received
      609
      Likes Given
      444

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      I am from Tanga and I respectfully disagree with you mkuu. I am bias in this issue and I do not want my home region as part of Zanzibar. My great grandfather was a Tanganyikan and I would rather be that first then become a Zanzibari.
      Last edited by MwanaFalsafa1; 30th April 2010 at 06:50.

    16. #14
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16346
      Likes Given
      8417

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Quote By Companero
      Mwanakijiji kwa Wazanzibari hili sio pendekezo geni - Ukanda wa Maili 10 katika Pwani ya Tanzania Bara ilikuwa ni sehemu ya Zanzibar!

      Swali: Hivi watu wanaoishi kwenye huo Ukanda wanajichukulia kuwa wao ni Wazanzibari - je, walikuwa wanajiona hivyo toka zamani?
      Companero.. ndio my subliminal message hapa; watu wanaposema "Wazanzibari" wanataka kumaanisha nini kwa sababu historically na kwa muda mrefu "Zanzibar" Haikumaanisha Unguja na Pemba kama vile Azania haikumaanisha bara ya Afrika ya Mashariki tu. Kujiona Wazanzibari kivipi, Sultani alikuwa na makazi yake pale Pangani pia pembeni ya Mto Pangani! na alikuwa na wawakilishi hadi Bagamoyo na Tanga huko.

      Kuna mtu kauliza itakuwa chini ya uongozi wa nani; nimeandika hapo.

      Mwanafalsafa.. hata mimi niko biased sana na Tanga.. lakini ukweli ni kwamba, mji wetu utarudishiwa utukufu wake wa zamani; kumbuka sizungumzii "mkoa wa Tanga" wote.. nazungumzia Tanga mjini na Pangani.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    17. #15
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Talking about solving a problem which is not there in the first place..This is funny enough.
      Moola's the motive

    18. #16
      magee's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2009
      Posts : 110
      Rep Power : 533
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      hebu fafanua kwanini?
      wanaongea lugha moja hawa,jeshi kubwa hili la ubishi,ung'ang'anizi, sijaona,waking'anga' lao lazima liwe...........wakikaa pamoja watajitia wanaweza nawataanza kelele kuwa wanaonewa, watatpigania kuuvunja wao,mwarabu nae atawasaidia maana ni mtoto wa shangazi yao,bibi yao,mjomba wao.kasheshe itakuwa kubwa,kadhi.....oic.....tutauv unja tuu kupisha upuuzi wao.kasheshe itaanza wakishafanikiwa,kila mtu atataka kuongoza.......
      upo hapo??

    19. #17
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,959
      Rep Power : 3699
      Likes Received
      3576
      Likes Given
      5754

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Kwa nini iwe Tanga?
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    20. #18
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16346
      Likes Given
      8417

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Quote By FirstLady1
      Kwa nini iwe Tanga?
      soma hiyo document rafiki! majibu mengine yamo humo humo.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    21. #19
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,453
      Rep Power : 1979
      Likes Received
      1797
      Likes Given
      59

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      Pendekezo hili halifai kwa mazingira na wakati tulionao sasa. Nililisoma pendekezo hili kwenye TD ya juzi. Nikalirudia leo humu sijaona hoja nzito ya kunifanya nikubaliane nawe Mwanakijiji. Tukianza kutengeneza upya mipaka yetu hatutaishia hapo. Haya mambo ni sawa na kula nyama ya mtu. Najua wewe muumini mzuri wa Mwalimu. Umenielewa. Wala usije ukadhani Pemba na Unguja ni "NCHI" moja.

    22. #20
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Pendekezo la 1: Tanga, Bagamoyo, Mafia na Pangani ziwe sehemu ya Zanzibar!

      mai wasu..........!!!!!!!!

      bagamoyo iende zanzibar???

      mzee mwanakijiji hivi umepata mbole ya ruzuku mzee, kama umepata elekeza nguvu zako huko kwenye kilimo.

      hili pendekezo lako ni next to imposibo!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 13
      Last Post: 14th June 2011, 12:39
    2. Ziara za CDM - Mtwara, Lindi, Pwani, Tanga na Zanzibar
      By Gamba Jipya in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 47
      Last Post: 23rd May 2011, 19:54
    3. Replies: 2
      Last Post: 5th May 2011, 13:47
    4. Replies: 3
      Last Post: 29th March 2011, 17:44
    5. Replies: 12
      Last Post: 20th October 2010, 16:51

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...