Muungano wa Tanganyika na Zanzibar; Una Faida gani na kwa manufaa ya nani?
Tumebakiza siku 12 kabla ya maadhimisho ya miaka 46 ya Muungano wa mataifa ya Tanganyika na Zanzibar yaliyozaa Tanzania hapo Jumatatu Aprili 26.
Imekuwa ni jadi na utamaduni kufurahia sikukuu hii na kuwaenzi waasisi wa Muungano wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume kwa matamasha, gwaride na shangwe kebekebe.
Lakini imekuwa ni dhambi, tena yenye sumu kali kwa mtu yeyote kuhoji au kutaka kuuchambua Muungano huu.
Lengo lango si kuuliza historia au kudadisi uhalali wa Muungano wa Tanzania bali ni faida zake na manufaa yake kutokana na mfumo wa Muungano kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, mamlaka zilizoko kama vile Mahakama, Bunge, Baraza la Wawakilishi na ni vitu gani ambavyo ni kwa ajili ya Muungano na vipi si kwa ajili ya Muungano.
Je kwa nini tuliweka vipengele fulani viwe masuala ya muungano na vingine visiwe?
Je Muungano huu una maana gani ikiwa vipengele ilivyoko vinakingana na azma kuu ya kuunda Taifa lenye nguvu na umoja?
Je Wananchi wa Tanzania, wananufaika vipi na Muungano huu na wanaathirika vipi kutokana na Muungano huu na mfumo wake?
Je kuna haja ya kuupitia Muungano na ama kupengua vipengele fulani au kuunganisha kila kitu na kuwa na sura moja bila kutofautisha ya hili la Watanganyika au Watanzania Bara na lile ni la Wazanzibari?
Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka
"Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun
'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"
Re: Mapinduzi ya umma dhidi ya Muungano yamewiva! Kura ya maoni iko njiani
Naheshimu mawazo yako. Na pengine ndoto yako. Ushauri mdogo tu kwamba hadi kufikia hapo unapopatabiri ingekuwa vizuri uendelee kuiheshimu hiyo bendera kwa sasa.Maana bado inatuwakilisha sote kimataifa.
Re: Mapinduzi ya umma dhidi ya Muungano yamewiva! Kura ya maoni iko njiani
I never knew how EXTREMISTS were before, until i stumbled upon this overwhemingly ignorant Zanzibari man! Next time use a BRAIN to do all the thinking, otherwise you'll be steering youself very wrong. If you guys withdraw then cool, good for us! Take my word, the 1st thing you guys will do is REDUCE THE CONSTITUENCIES (only two willl do u right)!
Re: Mapinduzi ya umma dhidi ya Muungano yamewiva! Kura ya maoni iko njiani
Wazanzibara? Hatari!
NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
Re: Mapinduzi ya umma dhidi ya Muungano yamewiva! Kura ya maoni iko njiani
Kumbukeni hadi vyakula mnachukua bara, so if you decide to go mtatupunguzia mzigo sisi, we got nothing to loose zaidi ya longolongo zenu, kwanza sijui ni nani anayewang'ang'ania, pack your things and go!! hebu angalia kuna wabara wangapi Znz comparing to Bara? mbona hamna shukrani nyie, au mnaona tukinyamaza ni kwamba tunawapenda sana? think twice, sisi ni kitu gani tunacho-import toka Znz? ni hizo used electrical devices zinazouzwa na wapemba wenzenu kariakoo?? usitake kuniharibia chai yangu asbh asbh hiv
Wazanzibar tusiwe wapole na wakarimu kwa watu wasio na huruma wala imani na sisi,imani ya watanganyika ni kutuzulumu nchi yetu na haki zetu.
Kumbukeni kuwa kila baada ya uchaguzi wazanzibar humiminiwa jeshi la kikura tukiashana na haya makambi na kizuizi walichotuwekea huletwa jengine kuongeza nguvu na vifaa vya kijeshi utafikiri kuna vita zanzibar?.
Huu ndio mshezo wanaotushezea wenzetu wa tanganyika na wamezowea mshezo huo viongozi wetu wa ccm/smz wao huwa wanaangalia madumbo yao tuu hawaangalii asari ya zanzibar na vizazi vyao vya badae wanaona kila siku watakuwepo tu madarakani hawaoni kizazaa kilicho waingilia viongozi wa nchi za kiarabu hivi sasa?.
Nyuso za undumi la kuwili zimewageukia viongozi wa kiarabu kutumiliwa na western countrys kuzani watalindwa na inchi za mangaribi huku kuwabinya watu wao na kupeleka mapato nchi za ulaya yaguju,wao wenyewe western tabani roho zao ,peoples power ikishaamua no way.
Kwa hio na sisi wazanzibar tuliletewa vitimbi na mateso na juliasi yakilaaina ili tuihame nchi yetu aliozaliwa bibi na babu na waingizwe watanganyika wenye kwao na mikowa yao hii ni choyo ya juliasi na ndugu zake.
Juliasi alitutia tafrani na wazanzibar wakawa kama gaza nchi ikawa shungu kuikaa na wakashawanyika kila pembe ya ulimwengu ikawa ni huzuni ,msiba na majonzi ninani alokuwa yuko tayari kuhama nchi yake kwenda kuishi ugenini kama si mashaka ya nyerere?.
Haiwi mbwana mtume aliondoka makka analia itakuwa sisi,kwa hio wazanzibar wakati umefika wa kuondowa zuluma ktk ardhi yetu ya bibi na babu.
Sio leo tuletewe watu wasio na sifa watutawale kwanza sheria ya zanzibar 1984 hairuhusu mtu yoyote asio mzaliwa wa zanzibar kushika nafasi ya urais ni uhalali gani ulompa ali hassan mwinyi kuwa rais zanzibar wakati kazaliwa kisarawe? Au abudu jumbe mwinyi? Hii ni kukanyagwa sheria zetu. Kwa kuletewa wamsumbiji kuja kujiandikisha kupiga kura na kuchaguwa rais wa zanzibar.
Mbona kule tanganyika hajawahi kushaguliwa mzanzibar kuwa rais wa tanzania? Na walivyo wabaguzi alipo taka kushaguliwa tu salim ahmed kanisa likaja juu ni muarabu,hajafanana na watanzania(tanganyika) na ubaguzi kibao.
Wazanzibar tuashe tafauti na tuweke uzanzibar na uzalendo wa nchi yetu kwanza,hata uwe muafrika mweusi kama kaa ukenda kenya unaulizwa tambuliso huna unaswekwa ndani simo la chewe na mumeona southafrica walivyo chachamaa na nchi yao kwa nini sisi turuhusu kumegwa nchi yetu na kuamuliwa mambo yetu kwa kisingizio cha muungano fake ambao upande moja wa zanzibar hawautaki na ni uvundo? . Muungano unangaganiwa na watanganyika kwa faida yao tu.
Muungano gani huu wakulazimishana usio na ridhaa na wananchi?
Mwenzio akubebapo kunja miguu jkubebe vizuri leo unanyoosha vimiguu vyako atakushusha tu!
Anzeni kuwaambia kina Bilali,Mnyaa,AR, Kama watakuelewa.
Re: Mapinduzi ya umma dhidi ya Muungano yamewiva! Kura ya maoni iko njiani
Zanzibar is a time bomb!.
Tena wenye akili, waushukuru Muungano vinginevyo baada ya Mapinduzi, wangeendelea kuchinjana mwanzo mwisho!.
Naifuatilia kwa keen interest hii GNU ya CCM na CUF, juzi nimetoka huko nikawa surprised, kumbe viongozi wa CUF ndani ya GNU wanatekeleza sera za CCM!.
CUF ni kama mtoto aliyekuwa akilia kwa makelele sana ndipo baba CCM akampa peremende ya GNU alambe anyamaze. CUF kalamba kanyamaza, nasubiria utamu wa peremende utakapoisha kama mwana ataendelea kunyamaza!.
Hata hao Wanzazibari wanaolalama humu kuhusu muungano hawajui watendalo kwa vile ni muungano ndio unaowapa fursa za kuyafanya wanayoyafanya kwa kukohoa na kelele nyingi, nje ya muungano hawa wange vanish into thin air (wangeshafungwa mawe shingoni na kutoswa baharini).
Wazanzibari wenye muono wa mbali, wanamshukuru Julius vinginevyo wangeachwa walivyo hawa, zamani pale pangekuwa ndio ngome ya Osama na Wamarekani wangevizamishia mbali kabisa visiwa hivi vifutike kwenye uso wa dunia! Thanks to Muungano.
Elimu ya umma haina mwisho, mimi nitaendelea kuwasaidia Wznz kujitambua na kuchanganua mambo.
Kama Mwinyi/ Aboud Jumbe ni Watanganyika: Abeid Aman Karume ni Mnyasa kwa taarifa yako. Sasa kama unawakataa Mwinyi na Jumbe ambao ni miongoni mwa Wanamapinduzi 12 waliohai unayakataa mapinduzi ya nchi yako.
Salim Ahmed Salim: Ndugu yangu acha unafiki, mwenyezi Mungu hapendi, kanisa halina mkono, ni habari zilizozushwa hivi karibuni, na kwa uduni wa kuelewa, kusoma na kutambua mambo Wznz wanaimba wimbo huu. FACTS: Wajumbe wote wa Halmashauri kuu NEC ya CCM walimkubali na kumtaka Salim A Salim. Walioleta fitna ni wajumbe wa ZNZ waliosema eti ni Hizhbou. Wakasema ana damu ya Uarabu, na alishiriki mauaji ya Karume. Fitna hizi ni kutoka kwa wazanzibar wenyewe. Hakuna Mbara anayejua Hizbou ni nani, ila waunguja na wapemba. Salim alikuwa waziri mkuu wa Tanganyika, na waziri wa Ulinzi. Usiwadhalilishe Wnz
Hakuna anayelazamisha muungano. Tanganyika tumechoka kulipia watu umeme wa bure, kuwalipia mishahara na kuendesha serikali ya muungano. Sisi hatuna faida na muungano.
Ombi letu: Fungeni virago muondoke bara mrudi kwenye nchi yenu. 700,000 mnafanya nini bara? Ondokeni mkadai nchi yenu mkiwa kwenu.
Muungano ukivunjika Tanganyika wana lose nini? waulizeni Wznz kwenye mablog na website maana nimeuliza hili swali mara zaidi ya 100 hakuna mZnz anayejibu.
Znz if you think education is expensive try ignorance.
Mkuu umemaliza kila kitu, facts ni kwamba watngnyka hawata-lose chochote kwani hawana investments zozote zenj! Nadhani pia watanganyika waanzishe 'operation ondoa wapemba bara' yaani wote kuanzia ujiji-kigoma hadi kigamboni, kila kukicha tunakutana na malalamiko yao tuu ambayo hayaeleweki, vijana wanasema kama noma na iwe noma! Kila black kwao si mzaliwa bali mwarabu yes-this z slave inferiority ambayo imejengeka visiwani na wanataka kuihamishia bara! Al adawi wakubwa hawa
Kumbukeni hadi vyakula mnachukua bara, so if you decide to go mtatupunguzia mzigo sisi, we got nothing to loose zaidi ya longolongo zenu, kwanza sijui ni nani anayewang'ang'ania, pack your things and go!! hebu angalia kuna wabara wangapi Znz comparing to Bara? mbona hamna shukrani nyie, au mnaona tukinyamaza ni kwamba tunawapenda sana? think twice, sisi ni kitu gani tunacho-import toka Znz? ni hizo used electrical devices zinazouzwa na wapemba wenzenu kariakoo?? usitake kuniharibia chai yangu asbh asbh hiv
Halafu mkuu tena haya ma used wanayouza ndo yanaua sna uchumi wa bara! Wanatumia dola ku-import hata vile ambavyo havina matumizi kwa watz, an they export nothing ili kuingiza foreign earning-wapemba woooote now warejee chokocho kwao huko wakajenge nchi yao na watngnyika wote warejee umatumbini kwao-na vijana wa kazi watakaa ready ku-confiscate kila chumo la migrants wa either side-wanabebwa then wananyoosha miguu!
Re: Mapinduzi ya umma dhidi ya Muungano yamewiva! Kura ya maoni iko njiani
Mimi huwa naushangaa sana Muungano..ukiwasikiliza WaZnz utapata picha wanaona kwamba wananyonywa na Wabara ..., na ukiwasikiliza Wabara utapata picha wanaona kama wanabeba mzigo wa WaZnz.....kiufupi hamna anayeona faida ya kuwa na mwenzake, kinyume chake kila mtu anaona kama " anavutwa shati " na mwenzake. Najiuliza huu Muungano upo kwa faida ya nani?
Mbona kule tanganyika hajawahi kushaguliwa mzanzibar kuwa rais wa tanzania? Alitaka kuja Dr. Salim A. Salim,kanisa linamuijia juu eti muarabu hafanani na watanganyika!
Heshima yako ustaadh! Hapo umepotea mkuu. Aliemfanyia zengwe SAS ni ------ na mtandao wake. Sasa kanisa sijui umeliingizaje! Labda kama una chuki binafsi na kanisa.
Re: Mapinduzi ya umma dhidi ya Muungano yamewiva! Kura ya maoni iko njiani
yakhe Respect nyingi kwa SAS. nadhani angekuwa raisai wetu kama alivyotamani baba wa taifa leo hii tusingekua tunadidimia kwa kasi hii inayoendelea saivi..
aliyemuumiza salim ni ------ akisaidiwa na kina salva rweyemamu. hawakumuumiza huyo tu bali pia mh Sumaye wakimuandika magazetini eti kaweka heka nyingi ughaibuni...
------ hiyo haikumtosha akaenda mbele kiasi cha kumyapa nyapa sumaye asisafishiwe njia na polisi akitoka kwake kibaha kwenda dar..sumaye wa watu akaamua kujiendea zake marekani kusoma kuliko kuteswa vile...
Re: Mapinduzi ya umma dhidi ya Muungano yamewiva! Kura ya maoni iko njiani
yakhe Respect nyingi kwa SAS. nadhani angekuwa raisai wetu kama alivyotamani baba wa taifa leo hii tusingekua tunadidimia kwa kasi hii inayoendelea saivi..
aliyemuumiza salim ni ------ akisaidiwa na kina salva rweyemamu. hawakumuumiza huyo tu bali pia mh Sumaye wakimuandika magazetini eti kaweka hela nyingi ughaibuni...
------ hiyo haikumtosha akaenda mbele kiasi cha kumyapa nyapa sumaye asisafishiwe njia na polisi akitoka kwake kibaha kwenda dar..sumaye wa watu akaamua kujiendea zake marekani kusoma kuliko kuteswa vile...
Re: Mapinduzi ya umma dhidi ya Muungano yamewiva! Kura ya maoni iko njiani
Kuna mtu alisema Zanzibar ikijitenga itakuwa kama hong kong ndani ya miaka mitano! NLICHEKA SANA! Mwingine akasema Zanzibar ikijitenga itaanza kuchimba mafuta mara moja na raia wake wataanza kula na kulala kwani mafuta yaliyopo wanaweza kufanya kila mmoja kuwa billionea pasipo kufanya kazi yeyote!
YOTE HAYA HEWALA JAMANI!!!!
HEbu jitengeni ili mfanikiwe kama kweli imani yenu ni hiyo lakini angalizo moja kwamba:-
Mtakapojitenga na bara halafu hayo maendeleo yakashindikana, MTAJITENGA NA NANI?
Re: Mapinduzi ya umma dhidi ya Muungano yamewiva! Kura ya maoni iko njiani
Hata sisi hatuuhitaji huo muungano
nendeni zenu, wala hatutawahitaji , kwani mtu akikukataa huna haja ya kumkataa pia.
Lakini mkumbuke kuwa hata kama ktaondoka mtakumbuka tu mazuri mliyokuwa mkiyapata kutoka Tanganyika pamoja na hizo kejeli zenu.
We are tired of u.
Ee Bwana uyasikilize maneno yangu, ukaangalie kutafakari kwangu.
Follow Us Here