-Tanganyika pia ilikuwa haijaungana na ncho yoyote
-Nyerere na Karume (bila ridhaa ya wananchi waliokuwa wakiwatawala) wakaona bora waunganishe nchi hizi mbili
-Huku Memorandum za Muungano zikafishwa na imefika mahala kosa kuziulizia
-Muungano umelega lega na malalamiko (hasa from visiwani kuwa uko one sided) while on the other hand Bara wanaona Zanzibar wanaishi kwa INCOME SUPPORT za wa Bara hivyo ni mzigo
-Sasa kama imeshindikana kwani kuna ubaya gani Muungano ukavunjwa na kima mmoja akarudi kuwa na nchi yake bila kuingiliana?
Ohhh jambo lingine
Je ni kweli BARA ndio wanaoungangania huu Muungano wakati VISIWANI hawana hawautaki?
Apparently kwenye mitaa ya huko visiwani kuna habari kuwa WAZANZIBARI be if CUF au CCM WANA one thing in common: HAWAUTAKI MUUNGANO lakini its politocally incorrect kusema live lakini ukweli ni kuwa wao hawautaki
Marekani unafahamu ziko Nchi ngapi zilizoifanya kuwa - ( United State of America)
Sasa nakujulisha ziko Nchi 52. Ndiyo inaitwa Amerika.
Ulaya wameungana na hata kuwa na pesa yao yaani EURO.
Tanganyika na Zanzibar ziliungana kwa ridhaa ya sehemu zote mbili Tanganyika na zanzibar, Ikaitwa Tanzania.
Wewe unayelisemea hili nadhani wakati yote haya yanafanyika wewe hukuweko Duniani.
Ujue Mkishawachagua Viongozi hufanyamambo kwa matakwa ya wananchi na sio vinginevyo.
Hayo unayoyasema kama yatatokea basi Utaamini kuwa waliofanyakazi ya kuunganisha Nchi hizo walikuwa na akili ya kuona mbeli tofauti na wewe.
Usisahau kuwa mtu wa Bara ni vigumu kupata hata Kiwanja cha kujenga Zanzibar, Lakini Wazanzibar wengi wanaviwanja bara pamoja na majumba makubwa mbakubwa zikiwepo gorofa.
Hilo watu wa bara hawajasema lolote.
Wazanzibar ni Ndugu zetu sisi hatuna matatizo waje bara Viwanja Vipo, Wajenge na kufanyabiashara kubwa kubwa.
Ujue zanzibar wanazaliana pindi kwao kukijaa wanakaribishwa sana bara.
Moja wapo ya kuungana ni pamoja kuhakikisha tunakuwa na uhusiano mzuri na kupeana nafasi ya maisha ikiwa ni pamoja na Ardhi.
Unayedai Tuvunje Muungano huwatakiimema Wazanzibar.
Wazanzibar bara yako Mikoa yote na ni Watu Wema hawana Matatizo.
Na ninyi Wazanzibar Potoshweni na wahuni wachache muiache pepo yenu.
Ninyi mko kwenye pepo, Kama hamuamini Jitengeni, Au Vinjeni Muungano, Joto litawawakia hamtoweza kurudinyuma kamwe.
Mtalia na kusagameno.
Jihadharini ndugu zanguni.
Nadhani wewe hufahamu linalozungumzwa hapa. Katika muungano wowote lazima kuwepo na mutual agreement as kwanini tunaungana. Hizo unazozingumzia wewe ni habari za kuota kwani muungano wa Tanzania haukuwa na mutual agreement bali Karume kwa kuhofia kupinduliwa akaamua ajiunge na Tanganyika na nyerere kwa kuhofia zanzibar isiwe na maendeleo akakubali tuungane ili akimalize kisiwa sasa hebu tuambie pana mutual agreement hapo.
Hivi hujiulizi kwanini watanganyika wengi hawataki muungano!!!! na wazanzibari wengi hawataki muungano!!!! nani anautaka muungano???? Tizama kipimajoto kinaonyesha nearly 70 hauwautaki muungano je nani anautaka????