Kuna ubaya gani Zanzibar ikajitenga na kuwa huru kama Zamani? - Page 33 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st February 2010, 10:05 AM  
Kuna ubaya gani Zanzibar ikajitenga na kuwa huru kama Zamani?
mzaramo mzaramo is offline 1st February 2010, 10:05 AM

Muungano ni kama ndoa

-Zanzibar ilikuwa huru kabla ya Muungano

-Tanganyika pia ilikuwa haijaungana na ncho yoyote

-Nyerere na Karume (bila ridhaa ya wananchi waliokuwa wakiwatawala) wakaona bora waunganishe nchi hizi mbili

-Huku Memorandum za Muungano zikafishwa na imefika mahala kosa kuziulizia

-Muungano umelega lega na malalamiko (hasa from visiwani kuwa uko one sided) while on the other hand Bara wanaona Zanzibar wanaishi kwa INCOME SUPPORT za wa Bara hivyo ni mzigo

-Sasa kama imeshindikana kwani kuna ubaya gani Muungano ukavunjwa na kima mmoja akarudi kuwa na nchi yake bila kuingiliana?

Ohhh jambo lingine

Je ni kweli BARA ndio wanaoungangania huu Muungano wakati VISIWANI hawana hawautaki?

Apparently kwenye mitaa ya huko visiwani kuna habari kuwa WAZANZIBARI be if CUF au CCM WANA one thing in common: HAWAUTAKI MUUNGANO lakini its politocally incorrect kusema live lakini ukweli ni kuwa wao hawautaki


kwa nini tusiwaache na visiwa vyao?

mzaramo
Senior Member
Points: 134,716, Level: 100 Points: 134,716, Level: 100 Points: 134,716, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
Join Date: Mon Sep 2006
Posts: 88
Thanks: 1
Thanked 2 Times in 1 Post
Views: 4090
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to mzaramo For This Useful Post:
MrFroasty (1st February 2010), takashi (1st February 2010)
  #321  
Old 18th February 2010, 06:18 PM
Mdondoaji Mdondoaji is offline
Mdondoaji is always against unfairness
JF Senior Expert Member
Points: 204,934, Level: 100 Points: 204,934, Level: 100 Points: 204,934, Level: 100
Activity: 29% Activity: 29% Activity: 29%
 
Join Date: Tue Mar 2009
Posts: 613
Thanks: 92
Thanked 329 Times in 190 Posts
Rep Power: 23
Mdondoaji will become famous soon enoughMdondoaji will become famous soon enoughMdondoaji will become famous soon enoughMdondoaji will become famous soon enoughMdondoaji will become famous soon enoughMdondoaji will become famous soon enoughMdondoaji will become famous soon enoughMdondoaji will become famous soon enough
Default Re: Kuna ubaya gani Zanzibar ikajitenga na kuwa huru kama Zamani?

Quote:
View Post
Marekani unafahamu ziko Nchi ngapi zilizoifanya kuwa - ( United State of America)
Sasa nakujulisha ziko Nchi 52. Ndiyo inaitwa Amerika.
Ulaya wameungana na hata kuwa na pesa yao yaani EURO.
Tanganyika na Zanzibar ziliungana kwa ridhaa ya sehemu zote mbili Tanganyika na zanzibar, Ikaitwa Tanzania.
Wewe unayelisemea hili nadhani wakati yote haya yanafanyika wewe hukuweko Duniani.
Ujue Mkishawachagua Viongozi hufanyamambo kwa matakwa ya wananchi na sio vinginevyo.
Hayo unayoyasema kama yatatokea basi Utaamini kuwa waliofanyakazi ya kuunganisha Nchi hizo walikuwa na akili ya kuona mbeli tofauti na wewe.
Usisahau kuwa mtu wa Bara ni vigumu kupata hata Kiwanja cha kujenga Zanzibar, Lakini Wazanzibar wengi wanaviwanja bara pamoja na majumba makubwa mbakubwa zikiwepo gorofa.
Hilo watu wa bara hawajasema lolote.
Wazanzibar ni Ndugu zetu sisi hatuna matatizo waje bara Viwanja Vipo, Wajenge na kufanyabiashara kubwa kubwa.
Ujue zanzibar wanazaliana pindi kwao kukijaa wanakaribishwa sana bara.
Moja wapo ya kuungana ni pamoja kuhakikisha tunakuwa na uhusiano mzuri na kupeana nafasi ya maisha ikiwa ni pamoja na Ardhi.

Unayedai Tuvunje Muungano huwatakiimema Wazanzibar.
Wazanzibar bara yako Mikoa yote na ni Watu Wema hawana Matatizo.
Na ninyi Wazanzibar Potoshweni na wahuni wachache muiache pepo yenu.
Ninyi mko kwenye pepo, Kama hamuamini Jitengeni, Au Vinjeni Muungano, Joto litawawakia hamtoweza kurudinyuma kamwe.
Mtalia na kusagameno.
Jihadharini ndugu zanguni.
Nadhani wewe hufahamu linalozungumzwa hapa. Katika muungano wowote lazima kuwepo na mutual agreement as kwanini tunaungana. Hizo unazozingumzia wewe ni habari za kuota kwani muungano wa Tanzania haukuwa na mutual agreement bali Karume kwa kuhofia kupinduliwa akaamua ajiunge na Tanganyika na nyerere kwa kuhofia zanzibar isiwe na maendeleo akakubali tuungane ili akimalize kisiwa sasa hebu tuambie pana mutual agreement hapo.

Hivi hujiulizi kwanini watanganyika wengi hawataki muungano!!!! na wazanzibari wengi hawataki muungano!!!! nani anautaka muungano???? Tizama kipimajoto kinaonyesha nearly 70 hauwautaki muungano je nani anautaka????
Reply With Quote
  #322  
Old 18th February 2010, 10:11 PM
MwanaHabari's Avatar
MwanaHabari MwanaHabari is offline
MwanaHabari watching the show
JF Senior Expert Member
Points: 235,523, Level: 100 Points: 235,523, Level: 100 Points: 235,523, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu Nov 2006
Posts: 413
Thanks: 0
Thanked 11 Times in 8 Posts
Rep Power: 24
MwanaHabari will become famous soon enoughMwanaHabari will become famous soon enoughMwanaHabari will become famous soon enoughMwanaHabari will become famous soon enoughMwanaHabari will become famous soon enoughMwanaHabari will become famous soon enoughMwanaHabari will become famous soon enoughMwanaHabari will become famous soon enough
Default Re: Kuna ubaya gani Zanzibar ikajitenga na kuwa huru kama Zamani?

hakuna kuvunja muungano...wana mafuta wale...tutakula wote pale
__________________
“Small nations are like indecently dressed women. They tempt the evil-minded.” - JK Nyerere
Reply With Quote
  #323  
Old 23rd February 2010, 05:32 PM
Domenia's Avatar
Domenia Domenia is offline
Domenia Just watching you go to hell...
Senior Member
Points: 81,952, Level: 100 Points: 81,952, Level: 100 Points: 81,952, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue May 2009
Posts: 224
Thanks: 19
Thanked 21 Times in 16 Posts
Rep Power: 21
Domenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enough
Default Re: Kuna ubaya gani Zanzibar ikajitenga na kuwa huru kama Zamani?

Quote:
View Post
Kwani muungano uliwekwa na mungu si binaadamu hivyo basi binaadamu ndio watauvunja abaa
Wewe nini......!!
__________________
'Education is not only Books ,it is a spirit some one born with...!!'-"Elimu sio vitabu tu ni MZUKA(Roho) Mtu Huzaliwa nayo!!"
Reply With Quote
  #324  
Old 23rd February 2010, 05:33 PM
Domenia's Avatar
Domenia Domenia is offline
Domenia Just watching you go to hell...
Senior Member
Points: 81,952, Level: 100 Points: 81,952, Level: 100 Points: 81,952, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue May 2009
Posts: 224
Thanks: 19
Thanked 21 Times in 16 Posts
Rep Power: 21
Domenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enough
Default Re: Kuna ubaya gani Zanzibar ikajitenga na kuwa huru kama Zamani?

Quote:
View Post
hakuna kuvunja muungano...wana mafuta wale...tutakula wote pale
we una wapoteza wajinga!!!
__________________
'Education is not only Books ,it is a spirit some one born with...!!'-"Elimu sio vitabu tu ni MZUKA(Roho) Mtu Huzaliwa nayo!!"
Reply With Quote
  #325  
Old 24th February 2010, 05:07 PM
Domenia's Avatar
Domenia Domenia is offline
Domenia Just watching you go to hell...
Senior Member
Points: 81,952, Level: 100 Points: 81,952, Level: 100 Points: 81,952, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue May 2009
Posts: 224
Thanks: 19
Thanked 21 Times in 16 Posts
Rep Power: 21
Domenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enoughDomenia will become famous soon enough
Default Re: Kuna ubaya gani Zanzibar ikajitenga na kuwa huru kama Zamani?

Ndio Ngumi moja wajinga kimya.....uper cut!!
__________________
'Education is not only Books ,it is a spirit some one born with...!!'-"Elimu sio vitabu tu ni MZUKA(Roho) Mtu Huzaliwa nayo!!"
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
gani, harakati, huru, ikajitenga, kama, karume, kujinasua, kuna, kuwa, muungano, ubaya, zamani, zanzibar


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Ripoti ya Richmond Bungeni na yatokanayo Halisi Jukwaa la Siasa 803 18th March 2010 12:11 PM
SMZ na CCM Zanzibar wapo miaka 14 nyuma azirben Habari na Hoja mchanganyiko 8 17th December 2009 12:42 PM
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Budget Mbadala 2008/09 Kahangwa Jukwaa la Siasa 1 18th June 2009 03:09 PM
Majibu rasmi ya Mwanakijiji kwa Waziri Mkuu Halisi Jukwaa la Siasa 244 21st January 2009 07:47 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 08:29 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com